JEE YAFAA KUWATUMIA MAJINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 64

  • @feisalgale1252
    @feisalgale1252 15 днів тому

    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا (6

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah378 3 роки тому +3

    Kwa kweli nimeskitika sana kusikia shekhe anahamasisha majini watumike katika baadhi ya kazi nzuri , ABADAN , huwezi ukapata aya wala hadithi kuonyeaha dalili ya anachokisema si mtume mashaba wala tabiina tabi tabiina waliwatumia katika izo kazi nzuri alizozielezea hakuna katika uislam mafundisho hayo ya kuwatumia majini , shekhe amevuka mipaka WALLAHI ... Allah akusameh bado nakupenda na kazi unayofanya in kubwa ila binadamu hakosi mapungufu kwa hilo hauko sawa ...

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  3 роки тому +2

      Shukran sana kwa nsaha yako mzuri lakini mm sijawahimiza mm nimesema kisharia yafaa kumtuma jini bt sijawambia watu watafte majini wawatume .

    • @musaolemollel4756
      @musaolemollel4756 3 роки тому +1

      Majini ni haramu ni uongo wewe.ogopa.m mungu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 місяці тому

      ​@@musaolemollel4756Niharamu kivipi wakati ni waislam wenzenu

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 місяці тому

      Shida hata wanaokataa elimu hamna ndiyo shida hiyo,Huyu Sheikh anayo Elimu zaidi ndiyo maana anaongea, kwa mfano katika Quran yetu kwa sisi tusio kuwa na elimu tukiisoma hatuwezi kuona vitu tunavyovitumia hivi sasa ambavyo Mitume wa Allah hawakuvitumia kwa mfano,Wapi pameandikwa kwamba Mtume aliyatumia magari ya Chuma tunayoyatumia Sisi hivi leo?Wapi Mtume alikula chips na tomato sosi?Wapi Mtume alivaa suti?Wapi Mtume alitumia Tv,simu,firiji za umeme,train,ndege sa chuma,magorofa,rami na wapi Mtume alisoma digirii za elimu mbalimbali kama ilivyo hivi sasa?wapi Mtume alikula makuku wa kizungu munayokula hivi leo?Wapi Mtume alitumia Maroboti?Wapi Mtume alikula Ice cream?Wapi Mtume alicheza mipira?Kwahiyo elimu ya kutumikiwa na viumbe wasio onekana sio kila mtu anaweza kuwa na elimu hiyo ndiyo maana Wanazuoni wengi wanakataa kwa sababu watu wenye Ikhlas na Elimu za kuweza kutumia hao viumbe watu hawana na tatizo linaoweza kutokea kwa watu hawa wanaweza kuacha kumuabudu Allah kwa sababu watu wengi tunapenda dunia sana,Sasa kama ataona anawatumia majini wanamletea madini ya thamani kubwa na kuuza na kupata matilioni mengi imani za watu kwa Allah zinaweza kushuka mfano mzuri ni hao ndugu zetu Wazungu wanawatumia majini katika tekonojia mbalimbali ndiyo maana imani zao katika kumjua Mwenyezi Mungu mmoja zinayumba!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      Wewe Endelea kuwatumia hao ni ndugu zenu

  • @sheikh.abuusamuhath
    @sheikh.abuusamuhath 3 роки тому +4

    Asalam alaikum.. sheikh. Hapo kidogo kuna ikhtilafu,, kwa sababu wengi katika wanazuoni, hawasupport hayo mambo... ila hata aliyesema yafaa kulingana na masharti aliyotoa... ust. Hapo kidogo umekosea, naomba ujirudi katika maelezo yako toa clip kurekebisha hayo makosa, afuan lakini.. maana hata mimi ni mwalimu wa ruqya, kutoka hapahapa Kenya

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 6 років тому +5

    Mashallah Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin

  • @ramadigidigi1988
    @ramadigidigi1988 4 роки тому +4

    mashaallah mungu akupe mwisho mwema

  • @AmirOmar-vl9vc
    @AmirOmar-vl9vc 4 місяці тому +1

    Umezungumza bila Dalili tafadhali shekhe

  • @neemaabdul9553
    @neemaabdul9553 6 років тому +2

    Yanini kujitia shubhaa buree! Kuishi na viumbe kama majini shetani ni rahisi kuwa karibu sana na wewe ninavyoona mimi!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 місяці тому

      Shetani alisha silimu siku nyingi kasome vitabu

  • @mlawaalliy
    @mlawaalliy 4 місяці тому

    😢Hata angesema haifai pengine dalili vile vile isiwepo.wewe unayo dalili?tupe faida.

  • @mesalimrashid6312
    @mesalimrashid6312 5 років тому +2

    Mbona usifanye kazi ya kuvua samaki kuliko kutumia jini utampa nn . Ndio nyinyi mnaotusumbua mitaani.Mabati huvuja tu kwakugongwa.

  • @Namanda425
    @Namanda425 2 роки тому +2

    Tatizo wale hawafanyi kazi bure. Ushirikina unaingia wakati wa kuwalipa.

    • @adamududu1260
      @adamududu1260 4 місяці тому

      hapo Sasa Sasa NDIO kwenye utataaa

  • @khamismaulidi4562
    @khamismaulidi4562 5 років тому

    MashaAlhaa

  • @umikram6755
    @umikram6755 5 років тому

    Mim bdo cjakuelewa kabisa majb yko.
    Majin hawana urafik nawanadam.
    Wao namishwar yao na wanadam yakwao.
    Dk wanageuka
    Et hamna shida kuwatumia jamani khaaa
    Allah atuhid

    • @nawwarsultwaan6404
      @nawwarsultwaan6404 3 роки тому

      Shekhe ebu kasome Tena kwanza usibishane na vitu vya kusoma hivi nivitu vyaelimu na kuwatuma majini si dhambi shekhe sawa

    • @ibrahimsudi5967
      @ibrahimsudi5967 3 роки тому +1

      Um ikram jitahidi kusikiliza kwa makini darsa au majibu ya sheikh utaelewa tu.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      Eti majini hawana unafiki na wanadamu wakati mtume wako aliwasimisha,na kitabu chao ni hiyo hiyo koran yenu

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina3973 3 роки тому +5

    UNAPOTOSHA USTADH MAJINI HATUTAKIW KUSHIRIKI NAYO KIVYOVYOTE NDO MAAN WAO WANAULIMWENGU WAO N SISI N WETU ALAFU NYIE NDO MANCHAFUA DINI YETU MNAENZA PROPAGANDA MPK WSIO WAISLAMU WANAAAMN DINI ETTU Y MAJINI

    • @JannatTahmid
      @JannatTahmid Рік тому

      Kweli tusishirikiane nao lkn kvp?

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 місяці тому +1

      Ulimwengu wao ni upi? Wakati vitabu vya kiislamu vinasema hawana mtume isipokuwa Muhammad na hawana kitabu isipokuwa koran

    • @AbuuHaruna
      @AbuuHaruna 9 днів тому

      VP Suleiman alikua anakosea

  • @antv5590
    @antv5590 2 роки тому

    na je kuoa jini yafaa.assalam aleykum Sheikh

  • @farhasalim9824
    @farhasalim9824 6 років тому

    Muetee...hahaha!!!!kutukua tukua watu

  • @shabanisaidi8827
    @shabanisaidi8827 6 років тому

    Mashaalh

  • @joyceandrew5682
    @joyceandrew5682 5 років тому +3

    Sheikh serious Mimi nina jini ananisumbuwa mwili mwangu sina raha mume sipati wara fedha hazikayi nisaidiye miye

    • @sikitu8957
      @sikitu8957 5 років тому

      wewe auna jini ni tabia zako tu

    • @joyceandrew5682
      @joyceandrew5682 5 років тому +1

      @@sikitu8957 hayaja kufika yakikufika utasema

    • @joyceandrew5682
      @joyceandrew5682 5 років тому +2

      @@sikitu8957 naniko inje ya Tanzania kikazi sasa izo tabiya sijui umenifunza wewe ndugu yangu duuuuu binadam tupo kukosowana na sikupeyana moyo daaaaa ila safi tu

    • @namayeali6096
      @namayeali6096 5 років тому +1

      Fwatilia abalqaasim online TV,
      Iko na kisa kingine kizuri, chajiita "ukipendwa na jini, jiandae na haya "
      Huenda kikakusaidia

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 5 років тому +1

      @@joyceandrew5682 nadhani usisikize ya watu kwa kuwa baadhi ya majibu sio.sahihi na huenda yakawa ni maudhi bali utafute ushauri kwa huyu Sheikh usikie nasaha ile aliyonayo.

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo 2 роки тому

    Huyu jamaaa ni mushrik

  • @abdalashah3292
    @abdalashah3292 4 роки тому

    ndio maana haifai kushirikiana
    nao

  • @abuubadru2403
    @abuubadru2403 6 років тому +1

    Hyeeeh

  • @sophiasharif9183
    @sophiasharif9183 3 роки тому

    Tupe huo uradi wa kutoa jini

  • @AhmadAlikhamis-ri3nb
    @AhmadAlikhamis-ri3nb 9 місяців тому

    Je nihakki kuomuoa jini akawa mkeo

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      Kwanini isiwe haki wakati ni mwislam mwenzako

  • @abdimwalim3505
    @abdimwalim3505 5 років тому

    Shekh nisaidie kuupata uwo uradi wa ibnu nnawawi

    • @medy7814
      @medy7814 4 роки тому

      Download youtube ipo