Mashallah mashallah tabarakarahman nafarajika Kwa mawaidha yako Allah akujaze kheir na baada ya kheir jannatul firdaus ameen Allah humaa Ameen Kwa sote jamii islam
Maaashallah shekhe Izudin napendaga saaaana mawaidha yako,yaan wanigusa hasaaa kwenye moyo ww ni lol modo wangu haswaa yaaan time Izudin. Nitakualika kwenye harus yangu uwafikishie mawaidha haya siku hiyo itakuwa ndio mada kuu bb harus ajifunze pia na waalikwa wote maana wanaume ni mtihan kweli kweli wachache sana wafanyayo hayo ni 10 kwa moja umpate mwenye sifa kama hizo usemazo.
Aslm alkm wtw... pole Sheikh wetu muumin hasemi uongo, lakini english yako safi na umesema hukusoma shule, sema kweli. Ama wanaume wangekua kama wewe jinsi unavyo ongea Ma Sha Allah 🤣 sisemi kitu. Lakini nasikirika Sheikh, hatuna maana wanawake, tumepitia mengi Sheikh wetu. Allah akulipe Jannah firdaus kwa mada hii. Akupe umri wenye afya furaha na mafanikio. Shukran sanaaa Sheikh.
Jazakaullahu kheir maashallahu shekh wanifurahusha wanikunahasaaa maana kama umeingia ndan kwangu ukayaona hayo uyasemayo.Subuhannallah Allah asinionyeshe tena hayo khaaa.
Masha Allah Shaikh kwa mawaidha yako nayapenda sana Lakini shida na ila ni kitwa cha mada huenda ikawa ni nyingine kisha hubadilika kikawa kingine kisha hukosa mwelekeo na ladha pia hupotea
Ingekua ni movie au video za series, hata masaa kila siku ungekaa ukafuatilia, lakini dini unaona uzito. Lakini Inshaa’Allah M/Mungu akupe subra. Shekhe Baarakal-Laahu Fiik.
Mashallah mashallah tabarakarahman nafarajika Kwa mawaidha yako Allah akujaze kheir na baada ya kheir jannatul firdaus ameen Allah humaa Ameen Kwa sote jamii islam
Maaashallah shekhe Izudin napendaga saaaana mawaidha yako,yaan wanigusa hasaaa kwenye moyo ww ni lol modo wangu haswaa yaaan time Izudin. Nitakualika kwenye harus yangu uwafikishie mawaidha haya siku hiyo itakuwa ndio mada kuu bb harus ajifunze pia na waalikwa wote maana wanaume ni mtihan kweli kweli wachache sana wafanyayo hayo ni 10 kwa moja umpate mwenye sifa kama hizo usemazo.
Masha Allah sheikh nakupenda bure kwa ajili ya Allah una mawaidha madhur Sana
Assalaam aleikum sheikh, shukran sana wambie ,wengine wake zao hawajui hata yanayo endelea maishani mwawo
Masha Allah mbona wanielimisha yaa usthadi mungu akupe mwisho mwema
Shukran sheikh Izudin Alwy napenda nasaha zako mungu hatujalie kuyafata yalo mema Inshaallah
Nakupenda sana shekh langu wallah ako vzuri kutuelewesha kwa mawaidha👏👏👏👏👏😍😍😍ALLAH akuhifadh inshallah
Aslm alkm wtw... pole Sheikh wetu muumin hasemi uongo, lakini english yako safi na umesema hukusoma shule, sema kweli. Ama wanaume wangekua kama wewe jinsi unavyo ongea Ma Sha Allah 🤣 sisemi kitu. Lakini nasikirika Sheikh, hatuna maana wanawake, tumepitia mengi Sheikh wetu. Allah akulipe Jannah firdaus kwa mada hii. Akupe umri wenye afya furaha na mafanikio. Shukran sanaaa Sheikh.
Mashaallah ostazi mwenyezi mungu akuongezee elimu uzidi kutujuza na sisi mwenyezi mungu atuongeze tuweze kuyafanyia kazi inshaallah
Mwenyezi mungu akuweke ili uzidi kutuelimisha shekhe
👍👌👌👌👌👌👌👌👍👍👍👍👍barakallah fiik mashallah mashallah help. ..ni kweli kabisa kabisa. .ni dio mume wagu ana tabia hiu
Jazakallahu khyr
Huyu sheikh Masha Allah nampenda akisema na mawaidha yake mszuuur
Sawa sawa sheikh
Jazakaullahu kheir maashallahu shekh wanifurahusha wanikunahasaaa maana kama umeingia ndan kwangu ukayaona hayo uyasemayo.Subuhannallah Allah asinionyeshe tena hayo khaaa.
Mashallah
Jazaka llahu lkhair 💕
Masha Allah Shaikh kwa mawaidha yako nayapenda sana
Lakini shida na ila ni kitwa cha mada huenda ikawa ni nyingine kisha hubadilika kikawa kingine kisha hukosa mwelekeo na ladha pia hupotea
Mashallah alhamdulillah
Napenda mafunzo yako sana. Keep up
Baarakallahu fiiqu
Maashaallah,Allah akuzidishie kheri
Hasbunaal waaneemaliwakil
Masha Allah Sheickh. Mungu akuifadhi
Mawaidha mazuri sanaaa..pia nafurahi Sana na kiswahili chake kizuriii🤲
Miskini ndo maskini, nnde ndo nje 😆 very entertaining to lisn
Mashaallah Mungu ampe ujuzi zaid
@@muhammaddaud9076 hicho ni kiswahili kizuri tu' lkn inategemea waatokea upande gani wa east Africa
@@zahraalbaloochi2841 me natokea znz
MAA SHAA ALLAH
Ameen Yarabi sote InshAllah mungu akupe kila la Heri,
Faiza baishe hujambo nduyangu
Napendezewa na mawaidha mazuri sanaa nataka useme mada ya je yaruhusiwa kunyonya uchi mke au mume
MashaAllah shekh uyu Mungu amjaze kheri
Mashallah
Thank you ustadh following from Jeddah
Athman Bakari mm pia
Masha allah
MashaAllah Mola akuhifadhi
Salallahu alaihi wasalam 💘
Manshaallah
ma Sha allwah
Hahahahaha walah nafaidika
MASHALLAH ALEIK
Amiin yarrab 🤲
🙏🙏
Mashaallah
Maa shaa Allah wailimishe wanaume sheikh
Mashaallah
Mamy Rashry mashaaalah
Mamy Rashry ml
Ahsante
Mamy Rashry na nyie pia wanawake
mashaAllah tabaraka Allah
Maa shaa Allah
Kulthum Salim .azako
Amiyn allahumma amiyn Shukrani
Masha Allaah
3
MashaAllah
Mashaallah tabarakallah
Mashallh
Allah akulinde na akuepushe na shari za kidunia
Mashallah.......
MashAllah
Mashaallha
Ma sha Allah
mashaallaaah
fatuma yunus ukowap
mashallhaa
MashaaAllah
MashaAllah naelimika sana kupitia mawaidha yako Allah akuzidishie siha njema
Jaazakaallahu kheiry
mash
Takbir
mashaa Allah
mashallah
Nitamleta mchumba umfundishe nini maana ya ndoa sitaki matatizo mie kwenye ndoa thank you
Hahahaaa👍
asante sana
Masha Allah
Ameen yaa Rabb 🤲🏼
mashaallah
Aquraani karim, tafsiiri .
TEMBELEA UKURASA WETU KUJUA NYOTA YAKO ZAIDI KILA SIKU ua-cam.com/channels/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQ.html?view_as=subscriber
Hii ni shirki
ustaaz pumua kidogo watu wanachoshwa
Arqam Munir subhana ALLAH WAchoshwa na mawaidha msiba mkubwa huu 😱
Arqam Munir video yenyewe niyamwaka mzima hii soma coment zajuu watu walicoment mwaka mzima eti umechoshwa
Ingekua ni movie au video za series, hata masaa kila siku ungekaa ukafuatilia, lakini dini unaona uzito. Lakini Inshaa’Allah M/Mungu akupe subra. Shekhe Baarakal-Laahu Fiik.
Munir. Sema unachoshwa wewe. Mawidha ya Sheikh nakesha nasikiliza kwa utamu wake.
@@twahamohamed Duh bro kumbe kama mim
Mashallah
Mashaallah
MashaAllah
Ma shaa Allah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Mwaka mpya