Kaka hongereni sana pia unastahili heshima kubwa kwa kutuheshimisha taifa kwa movie zilio classic kiufupi Mungu akuzidishie ubunifu uwe Star muda wote🙏🙏.. Ikikupendeza ingia kwa akaunti yangu uenjoy muziki mzuri #clamvevo 🙏🙏
Kuwa wakwanza sio michongo yangu nshaachaga sinaga tabia Za kuwai wai Ila jamani clamu kauwa kamchukua mpaka chili mtabili tambitambi nasemaje yajayo makubwa like zangu mia apo
Mhhh jamani wakati mwingine hapa duniani tuwe makin na mambo tunayo fanya kwenye mambo kama haya watu tunakua weng kusapoti lakin katika suala la kiimani tunakua nyuma sana ni msiba huu jamani tunaendekeza sana dunia
Nyie omba omba wa like tumewachok jmn kwan hmn maarif ya kukoment uzur wa scene flan tukawagongea lke kma zot bhna alaf nyie wakwanz mpo kma mia wakawanz kwel nan sas 😂😂😂
Clam Huku Kenya tuko number one n ww mkuu mm n fan. Wako sana
Mdada alieigiza kakoso katisha sana yani kama yy mwenyewe ❤❤
Ambao tunakula uku tupo Kwa clam mje appa😂😂😂
Clam vevo big up bro na usicheleweshe hii ni movie bomba kabisa nimeipenda
Wow! Wow ! Wow ! Good work from TZ.kenya is more happy with your stress healing production 🎉🎉🎉
Hongereni sana film nzuri sana kila siku inazidi kuwa nzuri
Unaupga mwingi ma'brother so God bless on your success 🙏🙏🙏🙏🙏👍
Mwakatobe bwana et changanya vikalio vyenu visije vikaganda
Yes number one leo jmni napenda sana hii movie 🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰
Nataka iyi picha tufike nayo mpaka Season 3, kama nawewe unakubali gonga like 👊
Kutoka Congo Lubumbashi DRC 🇨🇩🇨🇩
Clam VEVO hajawahi kutu disappoint... More love from Kenya like ziwe hapa❤❤
Move ime noga mimi niko upande wa mwakatobe😂😂kumbe chili yumo😂umu ndani movie kweli lina noga
Clam mungu akuongezee kipaji kazi zako ziko poa
Clam vevo ni mwamba sana anajuwa sana Dunia nzima ni namba moja ❤❤
Mungu/MUNGU sio mungu
Hawa watu wanajua na wanajua Tena hongra vevo kwa Kaz nzuri
yeeeess sasa move imeanza kuleta mvuto na mwelekeo wa kimataifa.
tulieni zaidi katika kuiandaa na kuipangilia.
safi sana.inasisi mua.
Mimi shabiki namba moja wa clam toka kongo fizi.naombeni hata like moja jamani
My brother clam VEVO umenifrahosha ulivoufanyia kaz ushauri wang safi sana
Mwamba sana nakubali mkali tukiwa Kenya
Tupe episode nyingine kabla twende shule 💯💯💯
Hata mm nakosa like hata 5 jaman nimewahi dkika ya nane tuuu sio kweli team Clam tujuane hapa
Zitakusaidiaje
Like zann k wewe
tatizo moja Clam vevo munapunja dakika kweli mujitahidi ata dakika 20 ni sawa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wakwanza apa from dodm city like zangu
Mbona nikama nimesikia sautiya mganga
Mizimuya kolero mizimu mizimu yakolerooo
Movie acha sasa ikuwe moto moto i Say🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥
Waoooooh leo wakwaza mimi saimon from dodoma like zangu ATA 3 TU zinatosha
Yaaani Kim Daaah! Nakukubali sana Dada angu icho kipande ulicho mshika Clam mpk unalia mpk mimi machozi yamenitoka 😢😢😢😢 yaaani daaah! Bila kupepesa macho Dada angu unajua ongera sana, wote tunaekubali kile kipande na kimewagusa naomba gonga like hapa tuone kiasi gani tuna mkubali Dada yetu Kim. ❤❤❤
Mzee wa Cjapenda Kawa zombie haujuwi 😂😂😂😂
Leo mimi niwa mwisho,naombeni like zenu watu wa DRC
Iyi kali na omba liki zenu niko wakwanza kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩
Thanks you Super star wetu Clam vevo from Tanzania 🇹🇿🇹🇿 Kwa KAZI nzur anazofanya na Group lako lote🎉🎉
Tunaomba muendelee kuwahisha zaidi na dk muongeze tuzidi kufurahia Kaz yenu
naona SHAHIDI katoweka😂😂 clam fanya kumleta mzee wetu wa kazi
Jaman na mimi naomba hata like 10 tu,japokua sijawa wakwanza
Gff
Za nini hizo like
Fanyakaz upate pesa kijn kwani unapatangapi ukipata like 2M
Mdogo ake chapombe kacheza vizur sana
Pongezi sana qwa kumleta chili kzi iende kuenda ssa much love from KENYA 🇰🇪 na watu waache kuomba like mnpoteza ladha y kuaglia movie
Kweli gata hawa comment kitu cha maana
💯💯
by@@saumunyadzua
Congrats! Kutoka ZANZIBAR kazi nzuri team Clam vevo
Wakwanza jamaaa plz maua yanguuuuuuuuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nan Aliye msikia Chill wa maneno ya kuambiwa😊
Oya like ata km n50 please team strong hoyeeeeeeeeee nawapenda watu wangu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaa kazi Nzuri sana nimehipenda ihi 🎉🎉🎉🎉 14:10
Big up mwanangu xaaana
Clam allah hakuongezee kipaji chako aki kazi zako nizuri sana❤❤❤❤😂😂😂
Wa kwanza leo kutoka kenya,, mnipee likes kama mwapenda kipaji cha CLAM VEVO
Hongera clam kazi nzuri toka inaanza hadi saiv cjawai jutia kuangalia
Kazi Kazi
Leo nimekuwa wakwanza
Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah ❤❤❤
Leo wa nne said minyemba 😂😂😂😂😂
TULIOTOKA KUANGALIA FAMILIA YA KICHECHE NA KUJA HUKU TUJUANE HAPA 👍
😂
Wa kwanza Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿
Clamu na mwakatobe niwatu wanaagalia ista Africa jey kutoka Kenya naomben ata like jaman
Kibwana mwinyi mkuuu ndani ya nyumbaaaa safi
Leo nimechelea ila kazi nzur sana vevo much love from saudia Arabia really appreciate ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Huenda mm co wa kwnza lkn km na ww unafatilia ili goma weka like 2ende sw
Tupo wote kaka
@@JustineDamas-r6g nakubali kaz broo
Kabsa tupo pmj mpk clame arus kwny Hal yake ya nyoka
@@allymohamed3588 nakubali kaz bt nina iman episode inayo fata itakua Kali sana InshaAllah
Likes zinakupa nini
Mdogo wake mwanahimaya kavaa culture ya Tanzania🇹🇿
Mimi ni shabiki wa clam ile sijawaipata like hata 10 mbona...acha leo nione 🎉🎉🎉
Kazi nzur kram mungu akuongezee kipaji unaweza
Wangapi mmefurahi kumuona 13:00 vira aisee mshkaji anajua sana huyu yaan weeee
Only the best series I can watch. Kenyan 🇰🇪🇰🇪🇰🇪fan, ✌️☝️💕
Kaka hongereni sana pia unastahili heshima kubwa kwa kutuheshimisha taifa kwa movie zilio classic kiufupi Mungu akuzidishie ubunifu uwe Star muda wote🙏🙏.. Ikikupendeza ingia kwa akaunti yangu uenjoy muziki mzuri #clamvevo 🙏🙏
Napenda huyo dada wa mlevi anajua kucheza na hisia zetuu anafanya nilie
Yuko vizur anajua kuvaa huusika
Anajua
Haya jamani leo msinidanganye mm wa kwanza
Wewe ni zaidi ya tegemeo Leo Esat kwasasa Tunakupenda sana tupo nyuma yako
naenda nyumban , kula chapath na maharage😂😂😂 tujuane hapa
Mwenye yuko na hamu ya kujua kama kijana wetu atarudi sawa anipe like😢😢😢
Uwepo wa chili imekuwa kali zaid umeuwa sana clam
Who is chil
Burundian wakwanza like zangu ziko wapi?? Mwagaaa like zangu jamani
Wakwanza jmn naombeni like 😂😂😂
Izo like unata ufanyie nn
Nime fika mkuu nipe liké zangu 🙏
Natoka ichini Congo RDC 🇨🇩🇨🇩
Wa kwanza Leo aki naomba like hata kumi good job my brothers from TZ Mimi ni fan wako from Kenya 🇰🇪💪🙏
Leo nimewai kuwa wakwanza kwanza naombeni japo like
Vip WA clam tunapendana sana 🇰🇪🇰🇪
Cjui mm wangapi ila naomba like zangu
Leo mapema sana like zangu naziomba kwa mwamba kabisa
Oya we umemtoa wap Mwinyimkuu huyo. Hapo sasa uhakika. Mzee wa malitina.
ila jama anajua napenda kaz zake Sanaa ❤❤❤🎉🎉🎉
Clam na timu mzima mungu awape afya njem muendelee kutupa. Mafunzo. Na burudan
Wakwanza kutoka Kenya..likes zangu
Aya sawa
Wanangu npunguzie nami laik mahana unazo nyingi
Kwani hizo like mnataka zanini achani ushamba
Kila mtu anaomba tu ata hakcoment kitu cha maana ni kuomba like utasema wanaomba hela, mnakela Sana kwani like ni chakula??
Mnisupport kama shabiki wenu toka Kenya ♥️♥️
Nani amemuona @Haji manara ..😂😂😅😂😢
Daah mfaume ni adui mwngne tanzi akpona ajipange kukabil watu wawili
Leo mimi do wakwanza naomba like zangu
Kuwa wakwanza sio michongo yangu nshaachaga sinaga tabia Za kuwai wai
Ila jamani clamu kauwa kamchukua mpaka chili mtabili tambitambi nasemaje yajayo makubwa like zangu mia apo
wa kwanza mimi mnipe maua yangu ❤
Mhhh jamani wakati mwingine hapa duniani tuwe makin na mambo tunayo fanya kwenye mambo kama haya watu tunakua weng kusapoti lakin katika suala la kiimani tunakua nyuma sana ni msiba huu jamani tunaendekeza sana dunia
Good job from 🇧🇮💐🌹 tunakupenda san unaweza mzebaba
Kama unafurahia Ngoma hizi za clam gonga like hapa
Watu weweeeeee nimemuona mzee wa achaaaaaaa,,,,,,,,,,,aliyemuona mganga CHILI SOSI gonga like hapa
Hii noma saana, hatimaye
MWINYI MKUU ndani ya 🐍 BOY. bonge la series. Clam vevo ni nooma🎉
Mimi Leo wa10 kutoka Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 japooo ata 50 tu like
Toa like kwa hili swali ..kakoso alipogeuka kua mwanamke hivi alikua ni bikra au vp
Wakwanza Leo KAZI nzuri sana
Wakwanza yanyoko zenu
@@SafariMsafi-um1pz kma ulikua hutaki kulike ungeacha Tu Acha ushamba wewe
Leo clam umenifurahisha nimemuona master wa kuekti mganga nae yupo kwenye project yako❤❤🎉🎉🎉
Hakika ni chili mwana wa sosi
Jamani nimekuwa wa kwanz
Mm Shalini sans wa clam naomba like japo kumi
Wakwanza leo nipewe like zangu kutoka canada🎉
eti Canada😂😂😂😂😂😂😂 acha uongo banh😂😂😂😂😂😂😂 we upo kakese huko😂😂😂😂😂 unatupanga canada duh
Labda Canada ya nzoya
😂😂😂
Connection mzee
😂😂😂😂 nimecheka
Kazi nzuri sana tunasubiri partie ya 13 kwa hamu sana❤❤
Nyie omba omba wa like tumewachok jmn kwan hmn maarif ya kukoment uzur wa scene flan tukawagongea lke kma zot bhna alaf nyie wakwanz mpo kma mia wakawanz kwel nan sas 😂😂😂
Wathenge TU hao
Wanaboa sanaaa waambiea watoeaon kuhusu kazi
Nimechelewa Lakn Niko Ndani Anemkubali Mwinyiusi . Au Kumuona haeke tano
Kwanza toto ya pemba one love❤
Watoto wa Naliendele like ziwe nying hapa
Mimi hapa kama mnavyonijua maneno kidogo likes nyingi basi nipeni hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂
Nangojea episode 13
ALIE GUNDUA KUA CHILI AU MWINYI MKUU NDANI YA NYUMBA GONGA LIKE HPA