BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 266

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 місяців тому +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @LovelyBrain-wz7si
      @LovelyBrain-wz7si 8 місяців тому

      We mpumbavu useme ukweli kuwa alizuia ushoga dar halafu marekani haiko kama unavyo filkiri

    • @michaelkwatlema2124
      @michaelkwatlema2124 8 місяців тому

      Weww ndio mpumbavu ushoga sasa haupo au unaongea ujinga tu

    • @AvelinMarunda-po8cp
      @AvelinMarunda-po8cp 8 місяців тому +1

      ​8

    • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
      @RoseKimishabhalemi-oz9bn 8 місяців тому

      Humana akili mpinzani wewe mpongeza makonda ungekuwa na akili makonda msaada wako

    • @joshuatowo
      @joshuatowo 6 місяців тому

      ​@@LovelyBrain-wz7si13:21

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 6 місяців тому +1

    Viva Makonda🎉

  • @ChristopherKayuni-k6r
    @ChristopherKayuni-k6r 8 місяців тому +5

    Muko vizuri wananchi hawana uelewa

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 8 місяців тому +4

    Natamani sana Mungu ampe kibali HECHE cha kuongoza nchi hii

  • @philipalengachi5729
    @philipalengachi5729 8 місяців тому +3

    Safi sana classmate nyota ilionekana all the way from Nyamaharaga primary schools

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 місяців тому +3

    Makonda anachapa kazi sanaaaa ccm oyeeeee kazi inaendelea mama samia oyeeeee wanawake jeshi kubwa

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 8 місяців тому +5

    Kweli kabisa CCM wameshindwa na makonda anafanya maigizo na kimsingi system imefeli

  • @magabemkami6653
    @magabemkami6653 8 місяців тому +5

    Peoples power

  • @paulinakatemi7119
    @paulinakatemi7119 7 місяців тому

    uko vizuri sana ni wenye uelewa ndio wanakuelewa kaka good job

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 8 місяців тому +2

    Uko sawa kamanda

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf 8 місяців тому +10

    Nimekuelewa sana Heche

    • @iddiramadhani5111
      @iddiramadhani5111 8 місяців тому

      Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 8 місяців тому

      @@iddiramadhani5111 mimi sijasema kama anafaa au hafai mimi nimesema nimemuelewa

  • @AmiliNkalamula
    @AmiliNkalamula 8 місяців тому +2

    Jonh unaakiri nyingi Sana unajib point Sana chadema haiwezi kutoa Fara hats ck 1

  • @Ernestlaiza
    @Ernestlaiza 8 місяців тому +2

    Heche❤

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 8 місяців тому +3

    Hapana saizi makonda anakubarika sana watu wamemwelewa sana saizi watanzania wengi wameweka Imani kubwa sana namakonda

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn 8 місяців тому

      Mmmh😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Usiwasemee watanzania jisemee mwenyewe 😅😅😅😅😅

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 5 місяців тому

      Watanzania wa aina gani labda ww na wenzako wajinga ambao shule hamna mnashabikia ujinga

  • @makulileboniface7962
    @makulileboniface7962 8 місяців тому +11

    Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 8 місяців тому

      Umeongea ukweli

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 8 місяців тому

      acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 8 місяців тому

      Anapendwa na wajinga tu.

    • @prosperreuben1724
      @prosperreuben1724 8 місяців тому

      Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya

    • @JoshuaStanley-qu3im
      @JoshuaStanley-qu3im 8 місяців тому

      Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 8 місяців тому +4

    Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 8 місяців тому +1

    Heche uko sawa 🎉🎉

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 8 місяців тому +2

    Makonda hammuwezi

    • @DeusiMorisi
      @DeusiMorisi 8 місяців тому

      Hawamuwezi kwa nini kwani wanashindana

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 8 місяців тому +2

    We heche unaropoka

  • @PeterBaton-v9z
    @PeterBaton-v9z 8 місяців тому +1

    Mimi Naendaga Mikutano Ya Mafisiemu Kutazama Wasanii tu ✌️✌️✌️

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 7 місяців тому

    Huyu jamaa ni very very nice ...mikundu hawawezi kukuelewa Heche.

  • @youngchezo2744
    @youngchezo2744 8 місяців тому

    Nice

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 8 місяців тому +3

    Kweli.nimeamini.makonda kawa.shika.penyewe.heche.jidanganye.ogopa Makonda.mwamba

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 8 місяців тому

      Mtu anaetuumiwa na kuuwa watu binadam unawezaje kumshangilia et mwamba au ndo utanzania wetu mtu kama aijakufika kuna kamsemo ka kwetu mbifamuki

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      ​@@JohnsonBagambihaijawafika ikiwafika watakuwa hawajui

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 7 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 8 місяців тому +5

    Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 8 місяців тому +1

      Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 8 місяців тому

      Kwel kabisa asijilinganishe na makonda

    • @kanoa645
      @kanoa645 8 місяців тому

      Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Makonda ana nini

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 8 місяців тому +1

    Heche honereni sana mnafanya kazi nzuri. Mnawapambania watu lakini wenyewe hawaelewi. Ccm wanatumia ujinga wa watu kuwatawala

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 8 місяців тому

      Chadema inatumia wavivu wa kazi kuwakamata akili waandamane.

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 8 місяців тому

      Chadema haiwezi kufika popote pale mpaka viongoz wake waache ujingq

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 6 місяців тому

    Bado hamjasema Makonda chukua maua🎉

  • @MgangaDaud
    @MgangaDaud 8 місяців тому +3

    Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani

    • @AmiliNkalamula
      @AmiliNkalamula 8 місяців тому

      Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 8 місяців тому

    TANZANIA

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 8 місяців тому +1

    Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 8 місяців тому +2

    hakili kubwa eche jembe eche

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 місяців тому

    👊✌️👍.

  • @charlesmokiwa6323
    @charlesmokiwa6323 7 місяців тому

    Tema mate tumchapee mwananguu😅😅😅

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 8 місяців тому +1

    Ndio chama kubea

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 8 місяців тому +2

    Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia

    • @TiffuAbdallah-of5os
      @TiffuAbdallah-of5os 8 місяців тому

      Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm

    • @mohamedwwnurumasagcom8171
      @mohamedwwnurumasagcom8171 7 місяців тому

      @@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj 2 місяці тому

    Kweli waxngu wameharibu

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 8 місяців тому +1

    Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf 8 місяців тому +1

    Eche shikamoo

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 8 місяців тому +2

    Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 8 місяців тому +1

    Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 8 місяців тому +1

    Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 8 місяців тому +2

    Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.

    • @nuranzubail8134
      @nuranzubail8134 8 місяців тому

      CCM imetuletea shida kwa kuondoa ukoloni

  • @MarcoMahemba
    @MarcoMahemba 8 місяців тому +2

    Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 8 місяців тому

    Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @LovelyForestHills-qe8pe
    @LovelyForestHills-qe8pe 8 місяців тому

    Anae mpiga makonda mungu usimone

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 8 місяців тому +3

    Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 8 місяців тому

      Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 8 місяців тому

      Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 7 місяців тому

      Jaribu kuelewa anachozungumza yy hajasema anamchukia huyo uliemtaja

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 8 місяців тому +5

    MAKONDA IS HERO

    • @wahurumasibale6155
      @wahurumasibale6155 8 місяців тому

      Wakanushe majasusi wa Marekani walichokisema kuhusu huyo mwenezi.

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 8 місяців тому

      Hero for kidnapping or mocking Tanzanians? Think big guy

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 8 місяців тому +1

    Iyo mifano ya utoton inanikosha sana

  • @thomasmallya670
    @thomasmallya670 8 місяців тому +1

    Hehe muongo. Hana aibu kabisa .

  • @GODLuck-h1f
    @GODLuck-h1f 8 місяців тому +2

    Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 8 місяців тому

    💪

  • @allyhamonizhamad4459
    @allyhamonizhamad4459 7 місяців тому

    MWEHU WEWE

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 8 місяців тому +6

    Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 8 місяців тому +2

      Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 8 місяців тому

      Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo​@@jonasdaniel1025

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      ​@@jonasdaniel1025wambie waelewe

    • @TiffuAbdallah-of5os
      @TiffuAbdallah-of5os 8 місяців тому

      Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 7 місяців тому

      Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 8 місяців тому +2

    Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 8 місяців тому +1

    Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 8 місяців тому +4

    Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda

    • @josephkabelege1622
      @josephkabelege1622 8 місяців тому

      Heche gombea uenyekiti wa chadema . Unaweza sana.

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 7 місяців тому

    Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 8 місяців тому +2

    Heche mpumbavu ndo wawezi kukuerewa lakin mwe akiri hukusikiriza nakujitambua !!

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 8 місяців тому +3

    Nenden kaishini marekani tuacheni

    • @peterjengela1770
      @peterjengela1770 8 місяців тому

      Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.

  • @KidijeiNuru
    @KidijeiNuru 8 місяців тому +2

    We unaishi nchi gani

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 7 місяців тому

    Makonda anaua chama
    Mama mtoe

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 8 місяців тому +1

    Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 8 місяців тому +2

    ACHA UONGO WEWE

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle 4 місяці тому

    Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 8 місяців тому +1

    Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 8 місяців тому

    Very convincing guy😂😂

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 7 місяців тому

    H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa

  • @kanoa645
    @kanoa645 8 місяців тому +1

    Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 8 місяців тому +1

    Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 8 місяців тому

      Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.

  • @kanoa645
    @kanoa645 8 місяців тому +7

    Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 8 місяців тому +1

      Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 8 місяців тому +1

    Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?

  • @LameckKomba-r7b
    @LameckKomba-r7b 8 місяців тому +2

    Leo kk unamawazo yachuma chakavu

  • @romamtalambuga7
    @romamtalambuga7 8 місяців тому

    Heche akili hana

  • @ThomasMakarius-x9n
    @ThomasMakarius-x9n 8 місяців тому +4

    Bigup Makonda.

    • @dandeal2269
      @dandeal2269 8 місяців тому

      unasema nini

    • @kanoa645
      @kanoa645 8 місяців тому

      Big up makonda

    • @kanoa645
      @kanoa645 8 місяців тому

      Kwani shida ni nini,....

  • @leonelleo4425
    @leonelleo4425 8 місяців тому +1

    Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi.
    Acheni kutukuza sana wazungu

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 8 місяців тому

    Hivi mi nashangaa sana watanzania,nani alisema kujaa watu ndio kuwa na sapoti ya wananchi au kukubalika?kuweni na Akili mi nilishawahi hudhuria mikutano mbalimbali ya kisiasa makongamano na hata sijawahi sapoti chama chechote cha siasa na wala sitopiga kura yeyote.wengine tunahudhuria kama sehemu ya mshangao na kusongesha muda😂 2:46

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 8 місяців тому

    Mtoa taarifa na mpokea taarifa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 8 місяців тому +2

    We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 8 місяців тому

    Comment nyingi zinaonyesha namna bado tunasafari ndefu kama watz😂😂😂 kuna watu humu ni bora sijui nisemeje

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 7 місяців тому

    😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 7 місяців тому

    Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe

  • @seifalzakwan5663
    @seifalzakwan5663 8 місяців тому

    Ekeni video full kama hamana internent acheni kazi

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 7 місяців тому

    Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?

  • @WiliamMlama-my2ib
    @WiliamMlama-my2ib 8 місяців тому

    Mbona hata ninyi mnasomba tunaushahidi

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 8 місяців тому

    😢

  • @BakariMuesi
    @BakariMuesi 7 місяців тому

    Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj 2 місяці тому

    Chadema si ni wahuni tu

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 8 місяців тому

    Makonda hoyeeeeeeeeeeeee

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 8 місяців тому

    Heche

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 8 місяців тому

    Asipoenda huko marekani anakufa

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan2264 8 місяців тому

    Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 8 місяців тому

    Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 8 місяців тому

    Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 8 місяців тому +1

    Mbowe huwa hawasilizi nyie hata kwa lowasa mlimkataa akampokea

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 8 місяців тому +3

    Halafu wamarekani hawapigi kura tanzania wewe nenda kwenye ushoga wako huko

  • @amanandrew1356
    @amanandrew1356 8 місяців тому

    Umesema Albert nini?

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 8 місяців тому

    Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 8 місяців тому +2

    HECHE WACHA UJINGA WEWE KIUFUPI TU CHADEMA HANA KITU HAPO

  • @Gerry-w2o
    @Gerry-w2o 8 місяців тому

    Kolumba achia interview yote Broo