Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra
Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini
Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2
Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia
Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute
Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.
Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa
Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi. Acheni kutukuza sana wazungu
Hivi mi nashangaa sana watanzania,nani alisema kujaa watu ndio kuwa na sapoti ya wananchi au kukubalika?kuweni na Akili mi nilishawahi hudhuria mikutano mbalimbali ya kisiasa makongamano na hata sijawahi sapoti chama chechote cha siasa na wala sitopiga kura yeyote.wengine tunahudhuria kama sehemu ya mshangao na kusongesha muda😂 2:46
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
We mpumbavu useme ukweli kuwa alizuia ushoga dar halafu marekani haiko kama unavyo filkiri
Weww ndio mpumbavu ushoga sasa haupo au unaongea ujinga tu
8
Humana akili mpinzani wewe mpongeza makonda ungekuwa na akili makonda msaada wako
@@LovelyBrain-wz7si13:21
Viva Makonda🎉
Muko vizuri wananchi hawana uelewa
Natamani sana Mungu ampe kibali HECHE cha kuongoza nchi hii
😂😂😂😂 bangi tupu
Kenge
Pole
Safi sana classmate nyota ilionekana all the way from Nyamaharaga primary schools
Makonda anachapa kazi sanaaaa ccm oyeeeee kazi inaendelea mama samia oyeeeee wanawake jeshi kubwa
Kweli kabisa CCM wameshindwa na makonda anafanya maigizo na kimsingi system imefeli
Peoples power
uko vizuri sana ni wenye uelewa ndio wanakuelewa kaka good job
Uko sawa kamanda
Nimekuelewa sana Heche
Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
@@iddiramadhani5111 mimi sijasema kama anafaa au hafai mimi nimesema nimemuelewa
Jonh unaakiri nyingi Sana unajib point Sana chadema haiwezi kutoa Fara hats ck 1
Heche❤
Hapana saizi makonda anakubarika sana watu wamemwelewa sana saizi watanzania wengi wameweka Imani kubwa sana namakonda
Mmmh😂😂
Usiwasemee watanzania jisemee mwenyewe 😅😅😅😅😅
Watanzania wa aina gani labda ww na wenzako wajinga ambao shule hamna mnashabikia ujinga
Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra
Umeongea ukweli
acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree
Anapendwa na wajinga tu.
Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya
Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini
Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini
Heche uko sawa 🎉🎉
Makonda hammuwezi
Hawamuwezi kwa nini kwani wanashindana
We heche unaropoka
Mimi Naendaga Mikutano Ya Mafisiemu Kutazama Wasanii tu ✌️✌️✌️
Huyu jamaa ni very very nice ...mikundu hawawezi kukuelewa Heche.
Nice
Kweli.nimeamini.makonda kawa.shika.penyewe.heche.jidanganye.ogopa Makonda.mwamba
Mtu anaetuumiwa na kuuwa watu binadam unawezaje kumshangilia et mwamba au ndo utanzania wetu mtu kama aijakufika kuna kamsemo ka kwetu mbifamuki
@@JohnsonBagambihaijawafika ikiwafika watakuwa hawajui
❤❤❤❤❤
Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo
Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?
Kwel kabisa asijilinganishe na makonda
Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki
Makonda ana nini
Heche honereni sana mnafanya kazi nzuri. Mnawapambania watu lakini wenyewe hawaelewi. Ccm wanatumia ujinga wa watu kuwatawala
Chadema inatumia wavivu wa kazi kuwakamata akili waandamane.
Chadema haiwezi kufika popote pale mpaka viongoz wake waache ujingq
Bado hamjasema Makonda chukua maua🎉
Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani
Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul
TANZANIA
Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2
hakili kubwa eche jembe eche
👊✌️👍.
Tema mate tumchapee mwananguu😅😅😅
Ndio chama kubea
Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia
Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm
@@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao
Kweli waxngu wameharibu
Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !
Eche shikamoo
Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu
Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema
Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu
Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.
CCM imetuletea shida kwa kuondoa ukoloni
Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe
Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.
😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Anae mpiga makonda mungu usimone
Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno
Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa
Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??
Jaribu kuelewa anachozungumza yy hajasema anamchukia huyo uliemtaja
MAKONDA IS HERO
Wakanushe majasusi wa Marekani walichokisema kuhusu huyo mwenezi.
Hero for kidnapping or mocking Tanzanians? Think big guy
Iyo mifano ya utoton inanikosha sana
Hehe muongo. Hana aibu kabisa .
Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,
💪
MWEHU WEWE
Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa
Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!
Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo@@jonasdaniel1025
@@jonasdaniel1025wambie waelewe
Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza
Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute
Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa
Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza
Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda
Heche gombea uenyekiti wa chadema . Unaweza sana.
Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari
Heche mpumbavu ndo wawezi kukuerewa lakin mwe akiri hukusikiriza nakujitambua !!
Amekuibia mkeo mbona utafoka
Wekweli ndezi
Nenden kaishini marekani tuacheni
Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.
We unaishi nchi gani
Makonda anaua chama
Mama mtoe
Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji
ACHA UONGO WEWE
Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm
Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa
Very convincing guy😂😂
H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa
Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?
Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote
Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.
Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu
Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe
Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?
Leo kk unamawazo yachuma chakavu
Heche akili hana
Bigup Makonda.
unasema nini
Big up makonda
Kwani shida ni nini,....
Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi.
Acheni kutukuza sana wazungu
Hivi mi nashangaa sana watanzania,nani alisema kujaa watu ndio kuwa na sapoti ya wananchi au kukubalika?kuweni na Akili mi nilishawahi hudhuria mikutano mbalimbali ya kisiasa makongamano na hata sijawahi sapoti chama chechote cha siasa na wala sitopiga kura yeyote.wengine tunahudhuria kama sehemu ya mshangao na kusongesha muda😂 2:46
Mtoa taarifa na mpokea taarifa
We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale
Comment nyingi zinaonyesha namna bado tunasafari ndefu kama watz😂😂😂 kuna watu humu ni bora sijui nisemeje
😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume
Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe
Ekeni video full kama hamana internent acheni kazi
Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?
Mbona hata ninyi mnasomba tunaushahidi
😢
Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana
Chadema si ni wahuni tu
Makonda hoyeeeeeeeeeeeee
Heche
Asipoenda huko marekani anakufa
Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .
Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague
Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM
Mbowe huwa hawasilizi nyie hata kwa lowasa mlimkataa akampokea
Halafu wamarekani hawapigi kura tanzania wewe nenda kwenye ushoga wako huko
Mmebakiza makasiriko tu
Umesema Albert nini?
Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa
HECHE WACHA UJINGA WEWE KIUFUPI TU CHADEMA HANA KITU HAPO
Kolumba achia interview yote Broo