EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
Wakati Wastaafu mbalimbali Nchini hasa Baadhi ya Viongozi waliowahi kushika nyazfa tofauti tofauti Nchini Kuhamia Nchi za nje na kufungua biashara za Mahoteli na Miradi ya Mashirika Makubwa kwa upande wake, Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, imekuwa Tofauti.
Global tv tumefunga Safari mpaka Mkoani Dodoma Kwenda kushuhudia kwa macho kujionea jinsi gani alivyoamua kuhamishia Maisha yake shambani na kuwekeza kwenye Kilimo na Ufugaji wa Kisasa ambao umegeuka Faida kubwa kwa jamii kuliko watu walivyotegemea.
Tazama video hii kujionea mengi.
Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Globa
Category
News & Politics
Unalamba pamoja na asali yaan aaah! Bomba kabisa alie sikia kauli hii like hapa
😁😁😁
kabisa
Pongezi sana Mhe.Mizengo Pinda kwa shamba lako nzuri sana.Inapendeza.
Aliemtuma huyu muandishi kwa Mh Mtoto wa Mkulima big up, Mzee wa kusikiliza sana ila maneno machache yenye nyama. Big up Mzee wangu Mh. Mtoto wa Mkulima, ulifikiria vzurii kuwekeza M/Makuu ya Nchi hongera kwa wazo jema pia. Dodoma juuu
Ni mfano wa kuigwa na watu wote hongera Sana Mzee pinda.
Hongera Waziri Mkuu Mstaafu Pinda-Mtoto wa mkulima kwa kuonyesha mfano katika kilimo.Hususani Mkoa wa Dodoma.
UNALLAMBA ......UUUUU..... BOMBA KABISA ! I like that ! Very beautiful Farm.
Hongera sana PM mstafu kwa kilimo cha kisasa
Tusaidie wakulima wadogo wadogo wa zabibu Dodoma kuimalisha kilimo haswa viwanda vya kununua zabibu za wakulima
Tembelea vijiji vya ngahelezi handali chanhumba ndebwe mvumi uone wakulima walivyohamasika
Mweshimiwa yupo. Makini kujibu Maswali sana .
Waziristan mkuu mstaafu hongera Sana kwakujituma ktk kilimo umetisha saaaana
Hii inaidhininisha kuwa mtoto wa mkulima hukujali ngazi ya uongozi uliyotoka ulitambua utu na kuishi na watu wa hali zote hongera sana Pinda
The story is good, the music is not necessary, kwanza miziki yenyewe ni kama ile ambayo huchezwa msibani.
“🤣🤣🤣”
Kweli mziki wa nini na zaidi ni mziki inaoibua hisia za huzuni na kugubikwa na simanzi
😂😂😂😂😂
Usitukane wewe sikiliza elimu unayopewa,muziki haukuzuii kusikiliza
Good
Mashalah mama uko vizuri mrembo na hongera kwa kazi nzuri
muandishi ana weka miek kwake tuu.... na video editor ameweka ma sauuti ma melody tuuu.... hongera mzee Pinda that my passion
Duh huyu mzee hakika ni mfano wa kuigwa
Anastahili kuwa kiongozi wa mfano
Hongera sana
Mtoto wa mkulima ulielazimishwa kuwa waziri mkuu
Na ukalazimishwa kuvaa mpaka suti
Safi sana Mzee Pinda.. ni kitu cha kujifunza kwa sisi vijana
Da jamani aya ni maojiano au kuna film ndani yake yaani huo mziki unaosikika back playe unapoteza umakini wa kusikia vizuri hayo maojiona next time mshughulikie mambo kama ayo sauti iko too much sana asanteni
Nakukubali sana mheshimiwa Waziri mkuu Mustafa, Mizengo kayanza
Hongera Sana Mzee Pinda. Hii inahamasisha ushiriki WA watu wengi has vijana kwenye kilimo kwa kiasi kikubwa.
Kuna watu wana comment "mfano wa kuigwa" iga ufe investment ya mabilioni iyoo, ilo shamba ni hela tuu
Unaanza kidogo kidogo kaka, matonge madogo...usivamie
Hayo mashamba ni ya mali ya wananchi wa Tanzania, na pesa zilizotumika hapo ni pesa zetu wananch za kodi
@@mahamoudabas8555 Hiyo pesa ni juhudi zake binafsi ambapo wakati anazitafuta wewe na Mimi hatukuwepo.Hilo ni jasho lake lililotoka kwa muda mwingi.
Ogopa kuiga baadae wenzako walioanza kidogo kidogo kwakuiga wakifanikisha kukuza brand zao wewe ubaki kuamini ktk freemason nakumtuza shetani
Kwao ni Sumbawanga/Katavi, amewasaidia wakulima wangapi? Yeye anauza mazao kwa jina la nafasi yake, halafu anajidai kudanganya watu hadhalani. Maembe, zabibu, asali nk. siyo mazao mageni nchini, Leo hii yeye tu ndo agundue soko bora kuliko wananchi wa mikoa yote? Anawazidi hata waliomfundisha! Wapi bhana!
Hongera sana muheshimiwa waziri mstaafu,unanivtia sana kwa habari za kilimo.Ningepata fursa ya kukutana na wewe.OMBI LANGU LINGEKUA NI MOJA TU (NATAMANI KUFANYA KAMA WEWE, UNIPE FURSA TU.
Mzee pinda safi sana kweli ww mfano wa ukweli mungu akubariki sana.
Kipindi kizuri sana Ila hiyo Soundtrack imekuwa too Loud.. na hii imekuwa tatizo kubwa sana kwa Tanzania iwe ni interview au Movie,Mnapenda sana Loud Back ground Music..After All sijaona umuhimu wa kuwa na Hiyo Background Music.
Brother umeongea ki technically hili ni tatizo kweli kwa clip nyingi sana
Tatzo vyuo vya kusomea taaluma hii ni vya uchochoron na serikali inadai imevisajili.huwez kufanya upuuzi kma huu katka karne hii halafu unaweka youtube ambako kuna wabobezi zaid wa hizi mambo.ujinga sana
Wengi tunapenda hii miziki yaani nyie mmezoea lingala
Big Up Former PM Pinda
Former hahah
Aliyeedit hii show kashindwa kubalans kati yasauti yamuziki na mahojiano...
Mbona mmefupisha jamani mngefa hata saa limoja nimeipenda 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Wonderful Content!!, music is distracting though!!
Nimekuelewa waziri mkuu mstafu we ni mwl mzuri endelea kufundisha watanzania kwa vitendo MUNGU AKUBARIKI
Nafikiri kama mngetumia zile wireless Mic ndogo za Kuweka kwa shati tu ingekuwa Poa Zaidi..Nawaza tu
Ndugu wewe ndio umenena
Point
Cha msingi umeelewa acha usenge.
U mfano wa kuigwa mkuu👏🏻👏🏻👏🏻
Hii system ya kuweka musik kwenye maongez siipend maudhui hayasikik
Mh. Pinda hongera sana kwa mchango wako mkubwa kwenye kilimo cha kisasa na uwezo wako wa kuwafundisha watanzania wengine. Nyuki ni muhimu sana, huku California wakulima wanalalamika sana kuwa pollinator bees wamepungua sana kiasi mimea mingi ya matunda sasa inashindwa kutoa matunda.
Huu mradi ni wa mamilioni
But hongera sana mheshimiwa.
Next time hii funneral/sadness background sound msiweke kwa sauti ya juu na isitoshe mjue sounds za kuweka si hii ya funneral/sadness, kila sound ina mahali pake wazee.
Sawa kabisa mr hili nami nililiona sio poa kbsa
Very good work..for our African leaders...
Mungu mwema ambariki mzee wetu Pinda
Aisee hongera mzee
Apigwe tu kama akikaidi apigwe tu, 😂😂😂😂 i remember dis moment. keep it up mstaafu wangu
“🤩 Ndiyo inavyo takiwa namna hii”
“MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿 🙏🏾”
“😍 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀🙏🏾”
Nimependa sanaa mashamba mifugo na vyote vilivyomo ndani asante mweshimiwa
Vzr sana kiongozi, ila kwa ushauri wangu waite vijana wadogo waeze kujifunza jambo, u have good idea
Nice
@@hawa4968 waaleykum salam warahma tullah wabarakatu
Shukran
Hawa.waalykumussalaamu.vp Hali ndugu yangu?
@@arqamibnarqam.7185 alhamdu Lilah waallakuli halli namshukur Allah kwa kuniamsha mwenye afya njema na kuiyona Leo tena alhamdu Lilah
Ondoeni uwo mziki bhana unazingua kinoma atusikii vizuri
Global mnapo kua mna fanya ivi punguzeni izo back voice tune
Mziki unakera sanaaaahata sisikii vizuri kwani bila mziki ujumbe si unafika?tunakosa kusikia vitu vya muhim kuhusu kilimo.
Ajakosea
Kila mtu ana complain sounds..hebu jaribuni ku focus kwenye story bhnaa msituchoshe kwn lazima muangalie??? Kama mliwatuma vilee..! Kazi ya watanzania ni kutafuta mapungufu tu kila siku..story iko sawa ,sound iko sawa, niko busy naskiliza story wala sound siskii mpaka nilipo ona complain
Sound iko owk tu ..sijui wancomplain nn jmn
Hongera sana Mheshimiwa Pinda kwa uwekezaji bora kabisa.
"Kweli mtoto wa mkulima umetimiza na kuonyesha mfano kweli kweli," hongera sana kiongozi wetu.
Jamani pesa ndio kila kitu, bila pesa huwezi Fanya haya yote make hata km ni kuku peke yake kuwafuga ni gharama kubwa sn. Mzee alijipanga hyo.
Leading by an example. A True Role Model. Impressed by the farm layout.
The music is not necessary at all .
Mheshimiwa hatumsikii kabisa
Siku nyingine msiweke mnaweka makelele wala hayatusaidii zaid tunapoteza kusikiliza ya msingi yanayoongelewa. Studio una matatizo gani.
sauti ya mziki ipo juu sana
“Haya ndiyo mambo mnayo takiwa kutu onesha sisi Wa Tanzania 🇹🇿”
“Siyo mna tuonesha watu wana ishi makaburini, Halafu mnaenda usiku wa manane ku chukua videoclip huku mki lishwa ugali na mboga isiyo na chumvi, Kisha mna oneshwa katoto ambako hakaja nyolewa nywele tangu kuzaliwa”
“Ina kuwa kama ‘Sangoma au Voodoo vile! Yaani ni kama aina fulani hivi ya uchuro 😡”
“MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀”
“Amen 🙏🏾”
hongera sanaa Mzee wetu 😘😘😘😘😘pinda
Kweli jamani hii sauti ya music inaboa sana. Cha msingi tupate hiyo habari na si muziki.
Napenda sana...maendeleo ya Mzee Pinda...naiga sana kutoka kwake
GREAT MZEE PINDA
MWANDISHI/MTANGAZAJI KILA MUDA WAOOOH LOH; ALAFU HIYO BACKGROUND MUSIC INALETA SHIDA
Mmm ndgu kwa iyo hakuna zuri alilo lifanya?
Very well presented, may be the first one I have seen in a while 🙏🙏
This is superb,order in the farm is 💯 I like the farm
Quality content but the background music spoils the whole thing. With 5M subscribers one would think editors wanajua hili.
mulishindwa kuijenga nchi tukanufaika wote mkajijenga mmoja mmoja ili munufaike na familia zenu ilikuw tuwashitaki na siyo kuwasifia
Aiseee umeona ehe aafu watu wanampa hongera😁😁😁 hongera za kuiba????
😂😂😂😂😂afungwe uyo
mtangazi hajajiandaa vizuri kimaswali kumhoji Mkuu. ..
Anaonyesha limimba lake hapo
Kbsaaa sijui alkua anaogopa?
Duuuuh pongez mhe hakika wew mchapakaz sanaaa baba angu
Yuko vzr mzee
Huyu sio mtangazaji kabsaaaa
Inapendeza Sana
mbona sauti iko chini sana sema nime penda mzee ame invest kilimo vizuri sana
wastaafu si muwe kama Pinda mzee wa watu katuria anafanya kazi zake vizuri wengine mnataka kuvuruga juhudi za JPM turieni. wewe Mzee Pinda ni Mfano wa kuigwa.
Mbona unajishtukia?
Kama umeona mtangazaji amengatwa na nyuki mkononi like ila mtangazaji yako poa.
Daaa ekar ngpii hizo ebu muda mwingine elekezeni nguvu Angalau kidogo kuangalia yatima, hongera mzee.
Hongera baba. Umeyaishi maneno yako. Natamani wengi tungekuwa na fikra na uwezo kama wako.
Hongera sana mh pinda
Cathelin umekua.mweupe kama unakunywa maji ya ray kigosi😂😂
Mimi pia sikumjua daaah
Nikunyaga tu
Ni aibu kumuona muafrika anachukia rangi yake kiasi hiki. Ni aina fulani ya mental slavery.
Shida mmeeka soundtrack kuubwa muheshimiwa maneno mengine hayasikiki vizuri
Cm yako mbovu pole
Mickey Kibabu
Hv mnaolalamikaga kuhusu soundtrack huwa mnatumia cmu gani
@@fatherjaytz hahahaha hata mie sijui nacheka tu
Mzee katisha sana
Zabibu tunda zuri Sana mungu akubariki mkuu
Namwelewa sana tena sana MAGUFULI pale anaposema watanzania na Tanzania tumepigwa kweli kweli
Kama kawa ndo wamepiga kinoma
Una Fikra fupi sana kijana😓 Fanya kazi acha lawama na kushutumu.😑😐😐😑😑
Nice👍
Please if you don't mind try to reduce the music sound a bit louder. Congrats mheshimiwa great job
Music not necessary
Tuko pamoja Kiongozi...motisha wa kutosha...
🇹🇿
Waziri ni yeye mfugaji ni yeye mkulima ni yeye watu wa chini hata soko wanakosa jamani 😭😭😭
hongera mkuu kwa uwekezaji
Pesa ndio kila kitu bila pesa tutaishia kusifia tu
Yunus Mchalu nikwelj
Kweli kabisa
Pesa na akili maana wapo wenye pesa ila akili ya kupambana sifuri.
Fika shambani ulizia peter sio pesa
@@tukuswigaikasu5227 Kweli kabisa..na wapo hawana hela ila wanakili ya Kupambana hadi kuzipata hizo helaa
Hongera mheshimiwa. Ni mfano bora
Nakukubali baba peter mizengo
Mzee umeni inspare najipanga kuja dodoma kwenye zabibu
Safi sana PM
Kila mtu anaweza kufanya mambo makubwa ukiwa na mtaji sijui yule jamaa wa mtaji wa 200,000 wa Instagram anaweza kutusaidiaje
Huyo dada alikuwa meneja wa Dr shika
hongera sana umeonyesha wazi kuwa wewe mjasiriamali halisi
Hogera wazr mstaafu Kwa kudhubutu kuwa mkulima ctad Kwan umekuwa mfano kwetu vjana wa taifa la tanzania
Hafai kabisa Mimi simpongexi Leo wanajifanya wakulima gelesha Mimi nikilima pamba wiki Moja kabira msimu kuamxa nakutngaziwa bei ya pamba imeshuka ni nizarau kubwa sana pinda anatufanyia Leo wamefunga mipaka wakulima walala hoi tuendelee kuumi pinda acha kutuzarau acha kabisa
Hongera sana Mheshimiwa lakin ushauri kilimo na mashamba unakua mtumwa unakua na stress mara madawa ,mbegu,palizi,ujenz,hiyo ndo shida
Hongera sana mizengo pinda
Mzee naona ktk suala Zach zabibu ameshikwa kichwa kujikuna. Lakini Amejibu vizuri mno.
Mziki upo juu kiasi kwamba hatumsikii vizuri
Sasa ??ata hasikiki maneno mengine,,yalafuuu mbona mnaweka mziki unaaribuuuuu,sipendi ichi kitu
😂😂😂😂😂
Ushamba Mzigo Yani Mziki Juu Sauti Ya Mlengwa Chini
Sio ushamba ni ufala sana
Mwandishi ukifanya interview mambo ya kusema naruhusiwa kuonja, doh, si sawa, mpaka nimejisikia aibu
Cathelin dada umekua MWARABU
SASA TUSIKILIZE NINI ?
MNAMUHOJI MTU KISHA MNAWEKA MIZIKI, MI NAONA MNAHITAJI KUJIREKEBISHA KWA HILO. HALAFU INGEFAA HUYO MZEE MUMUWEKEE KIPAZA SAUTI KWENYE KOTI LAKE AU MGEMPA "MIKE" NYINGINE ASHIKE MKONONI ILI ASIKIKE VIZURI,
Kwake ni rahisi sana kwa vile uchumi wake si kama wastaafu wengine. Unapata mili moja hadi unastaafu au chini ya hapo utawezaje kununua shamba na kuhakikisha lina mazao? Ngumu sana sana. Lazima mtu upate mpenyo ndiyo utoboe. Waziri mkuu mstaafu lazima awe vizuri sana kama kichwa kiko vizuri!!!
Sauti hiyo veeeep we dada