KOMANDO MADAFU AWEKA WAZI KILA KITU BAADA YA KUTOKA IKULU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 тра 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 124

  • @jmm1840
    @jmm1840 2 місяці тому +14

    This guy is very clever. He has a big secret that professionally knowing him will give you extra intelligence

  • @dr_englyandojunior6610
    @dr_englyandojunior6610 2 місяці тому +14

    Wanahabari mnazingua ,iv kuna shida ukitumia kiswahili fasih bila kuchanganya lugha .. muangalie mnaongea na na nani ndio ufikilie aina ya lugha unayopswa kutumia

    • @dreamersonlinetv6496
      @dreamersonlinetv6496 2 місяці тому

      ua-cam.com/video/Nv3FZwjlCew/v-deo.htmlsi=h64eaA-lV7nFRXJD ingia hapa

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 2 місяці тому +1

    Komando wa kigambon i❤

  • @geofreygeorge9502
    @geofreygeorge9502 2 місяці тому +2

    Uyu kweli kipensi komando

  • @Onenigt
    @Onenigt 2 місяці тому +2

    Kwann win anakuw mwanamke wa kwanza kwa wanaume wengi

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 2 місяці тому +3

    Siyo Lazima umri bwana mnazingua sana

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 2 місяці тому +5

    Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana

    • @dreamersonlinetv6496
      @dreamersonlinetv6496 2 місяці тому

      ua-cam.com/video/Nv3FZwjlCew/v-deo.htmlsi=h64eaA-lV7nFRXJD

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 місяці тому +2

    Maswali ya kikoro@diva soon huna kazi wasafi uende crown sasa

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 2 місяці тому +2

    NIYEYE

  • @Wise1983
    @Wise1983 2 місяці тому +1

    Mbona watu huwa wana taabu kusema miaka yao.Kwani ndo iweje.Hata kwa wanawake si kuzaliwa kukua kawaida tu?Kwani si hata masaa huenda kila dakika.kuzaliwa mapema au baadae ni jinsi mtu alivywo pangiwa Kuja Duniani.Old is Grace

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 2 місяці тому +2

    Mwamba mpole sanaa

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 2 місяці тому +4

    Huyu jamaa Tusubirie Siku akiitwa na Skywalker SNS kuijiwa tutajua kilakitu huku Media Zingine wanao stress za Mapenzi huko .. Huyu Diva Anao Mastress Ya Mapenzi na kupunguziwa Mshahara Na Diamond...😡

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 місяці тому +1

      Kabisa nakubaliana na wewe miongoni mwa watangazaji wangu bora ni
      1. Skywalker
      2. Millard Ayo
      Hawa jama wanahoji bila ku fake fake lugha Yani wanahoji kiuhalisia kabisa.

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4g 2 місяці тому +1

    Kabisa kasomea uandishi huyu khaaaaa.

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g 2 місяці тому +6

    Yaani huyu dada hafai kuwa mtangazaji kabisa

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 2 місяці тому +3

    Jamaa kashaenda mjin

  • @Hasnspop
    @Hasnspop 3 місяці тому +3

    😂😂😂😂😂 jidanganyeni mtachea huyo ni komandoo

  • @user-yj4iw6pg8u
    @user-yj4iw6pg8u 2 місяці тому +2

    We mwandishi fara sana yaani unawaza ngono tu unashindwa kuwaza maswali ya muhimu na hiyo ni tatizo ya wanawake wasiyofikishwa.............

    • @nyumbanituthegendaheka7222
      @nyumbanituthegendaheka7222 2 місяці тому

      Utakuta ajasomea hata uandishi...amepata kazi kwa mwili wake...maswali ya kofia umenunua sh ngap ujinga tu

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ 2 місяці тому +2

    😂😂😂 Eti Komando Madafu,,,,

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 2 місяці тому +2

    Swali zuri lilikua la miaka ambalo nalo halijafanikisha na hatujapata majibu😱

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 3 місяці тому +3

    Kwa hiyo hakuna cha maana záidi ya kiki

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 2 місяці тому +1

    Sauti ya Diva mpk Komando kalegea😅😅😅

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 місяці тому +2

    Mtangazaji kichefu chefu weye mwenyewe umeanza kutiwa unaumri wa miaka sita na humjui aliyekutia hadi leo ushamsahau maana ulukuwa mdofo unatiwa ile mbaya. Wacha kuuliza mambo ya kishenzi shemzi. Huna mvuti dada Kakojoe ukalale.

  • @JoseJoseph-s1x
    @JoseJoseph-s1x 17 днів тому

    Ithink tumepigwa huyo ni army comanda

  • @enocklameck3808
    @enocklameck3808 2 місяці тому +3

    Katikati ya hiyo miaka

  • @KiboshoNjenge
    @KiboshoNjenge 2 місяці тому +3

    This time tuwe makini

  • @EmmanuelJoseph-eg3hs
    @EmmanuelJoseph-eg3hs 2 місяці тому

    Daaa!!!! uyu kweli komando: nimechoka alipo ulizwa, uliwai kwenda kwa mganga akajibu apana msikitini au kanisani akajibu mm ni muumini wa angrikana.

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 2 місяці тому

    Mtangazaji ni wakiwango cha chini sana yan maswali na lugha za kuchanganya changanya mara kiingereza mara ki Swahili

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 місяці тому +3

    Huwezi kuweka wazi umri wako anafahamu huyo weye mzungu lakini mshamba. Umri ni haki ya mtu si la,I'm kutaja wacha ushamba. Unajifanya lakini mambo muhimu hujui. Umri ni hilarious ya mtu tuutangaza huwezi kulazimisha uzungu wako wote kwa hilo umechemsha. Kula hiyo kama change tema.

  • @sam_ngulinzira
    @sam_ngulinzira 2 місяці тому

    Homeboy yuko vizuri ila mtangazaji hajafanya poa! Pia kuzungumza maswala ya chama wakati wasikilizaji na washabiki wanatoka vyama tofauti inaweza kuleta picha mbaya kuwa Wasafi ni ya CCM.

  • @edwinmakingi3631
    @edwinmakingi3631 2 місяці тому +5

    Nafikiri huyu mwandishi Ni mbobezi wa stori za mapenzi, si mwanzish wa habari professional!!?

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 2 місяці тому

    Kimsingi uyo diva ana matatizo ya kimawasiliano

  • @prezyb1699
    @prezyb1699 2 місяці тому +1

    Hiv huyo mtangazaji kasoma kweli?

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 2 місяці тому

    Mtangazaji feilure

  • @rashidhamid5437
    @rashidhamid5437 2 місяці тому

    Muhojaji hana sifa ya kuhoji na ina magna gani kutia kizungu kati ya mshojiano.wakati anohojiwa hajajibu kingereza ni bora ahamishiwe kuhoji watu kwa kingereza asitese wauza madafu😊

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 2 місяці тому

    😢

  • @harizondeya7771
    @harizondeya7771 2 місяці тому +4

    Mahojiano kichefu chefu

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 2 місяці тому +3

    Muuza madafu ana manager😅😅😅

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 2 місяці тому

    Tanzania vitu vya hovyo ndo vinatrend saan, yaan mpk huyo mpuuzi tayari et keshapata Menejs🤔🤔😀😀😀😀

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 2 місяці тому

    ovyo kweli huyu mdada

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 2 місяці тому +2

    Commando madafu😅

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k 3 місяці тому +1

    Mwamba wasikuhojitena usikubali wamezidi pigakazi uzamadafu

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 2 місяці тому +3

    Bora angefanya mahojiano na kipindi cha goodmorning, zembwera, hando, na kitenge, hapo ndo ingenoga

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed 2 місяці тому +1

    Mbona anaongea kama pacha wa mondi

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 2 місяці тому

    Hiyu jamaa anajua kuongea Sannah, alafu anaakili nyingi Sannah kiasi anaweza kujua kusudio la swali, hivyo anajua kukwepa maswali

  • @adiliandidas
    @adiliandidas 2 місяці тому

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @laddymghana
    @laddymghana 2 місяці тому

    😂😂😂😂 Huyo ni komando kwan nyinyi hammwon huyo hataki maswali mengi 😂😂😂ngoja diva ayatimbe hapo na maswali yake😂😂😂

  • @HamadiBwakame
    @HamadiBwakame 2 місяці тому

    Mtangazaji tunajua unaweza kizungu lakini hiya mahojia no niyaya kiswahili kwanini mnatuchanganya yunoo niyingi ebullient kama mnahitaji kuongea lmambo azishen studio ya

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 2 місяці тому

    Una ulazima gani kung'ang'ania mtu akuambie umri wake kama hataki,waandishi wa habari jamani mmmh!!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 місяці тому

    Umeulizwa mwakaaa, unajutetea. We ni kijeba tuu. Shida ndo zinakufanya uonekane mdogo.

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 2 місяці тому

    Mwandishi zingatia (ethics) maadiliya Habari tafadhari unapomfanyia interview mtu yeyote uwe makini.

  • @maxwell8007
    @maxwell8007 2 місяці тому +1

    mwandushi unazingua umri wa mtu ni Siri ya mtu sio lazima akwambie kila kitu hata Leo wakuulize wewe utojibu

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 2 місяці тому +3

    nadhani kuna tatizo la msingi kuhusu watangazaji,hawana uwezo wa kuhoji, hawana mtiririko mzuri wa kuhoji, hawajui hata ni nini anachohitaji kuhoji.

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 2 місяці тому

    Watangazaji bhana!! Kama vile hawajasoma! Huyu anasema yule aliyeshuka kwenye helcopter ni soldier ,,huyu anasema hapana sio soldier ni commando😅😅 ,,sasa najiuliza commando sio soldier?

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 2 місяці тому

    Huyu jamaa mmhhhh

  • @user-qq3fg3kq5j
    @user-qq3fg3kq5j 2 місяці тому +1

    Ametokea kwa makamu wa rais 😂😂😂

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 2 місяці тому +1

    Taja umr wako kijana,,,harafu huyu jamaa ni mbabaishaji tu ,,,

    • @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
      @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb 2 місяці тому

      kwani wewe ni nani?? mimi sikujui
      WEWE NI NANI??
      mbona kwani mbabaishaji anakuaje na sio mbabaishaji anakuwaje ,imani yako inavyokutuma itakua uko sawa

  • @ManenoHussen
    @ManenoHussen 2 місяці тому +1

    Mtangazaj una maswali

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 місяці тому

    😁😁😁😁😁😁

  • @gadiyemarciano1750
    @gadiyemarciano1750 2 місяці тому

    Maswali ya hovyo kichizi😅

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 2 місяці тому

    Kipindi kimebuma . Utamuitaje Komando mchakarikaji kwenye kipindi cha Mapenzi😂

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 2 місяці тому

      hahahahahaha komandoo anaulizwa umebalee ukiwa na umri gani.. akasema kitaalamu mtu ana balee akiwa na umri wa miaka 12..

  • @khamisimaallimtv8539
    @khamisimaallimtv8539 2 місяці тому

    Inabidi iandaliwe interview ambayo inawakusanya wote.

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 2 місяці тому

    Nchii hiii kwa kutuchezesha muvi mnajua cc mininga huyuuu jamaaa anatumikaaa huyu ndo yule komandooo wanatuzani cc maboya vyombo vya habariii ni shidaaa ndo mana konki master anawadis na anawajua mambo yenu endeelezeni muviiii zenu tushawajuaaa

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 2 місяці тому

    Dada wewe unachanganya sana lugha hili nikosa la kiutangazaji elewa uko kwenye idhaa ya lugha gani

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 2 місяці тому

    Huyu dada anazingua

  • @emmanuel_cs
    @emmanuel_cs 2 місяці тому

    Huyu mchizi anaishi kwenye falsafa zake..
    Eti katikati ya miaka 20 au 21, dadeq

  • @MasanjangwesaJiganga
    @MasanjangwesaJiganga 2 місяці тому +1

    Ila huyo jamaa aty 20years Old

    • @user-vi8rt9db2q
      @user-vi8rt9db2q 2 місяці тому

      Hapa tumepigwa na kitu kizito huy ni kama 33........

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 3 місяці тому +2

    maswali ya kipumbavu

  • @MussaNamkoka-xz4mv
    @MussaNamkoka-xz4mv 2 місяці тому

    Dhu mbona komando madafu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 місяці тому

    Hii nchi vijana tunasafari ndefu sana kujikomboa, tuna tatua matatizo kwa njia ambayo sio sahihi na ya muda mfupi kitu ambacho ni gharama kwa taifa ,Kipindi kama hichi kina Adolf Hitler walikua wanafanya mapinduzi na kina nyerere walikua wanajijenga kisiasa, vyombo vya habari ndio vinapalilia na kumwagilia maji ya ujinga kwene taifa wakishikiriana na wana music wao na utawala mbovu.

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m 2 місяці тому

    Muza madafua anaye meneja jaman ndoyeye komando madafu aliyeshuka na chopa

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 2 місяці тому

    Kumbe wa nyumbani kigoma

  • @jozetza
    @jozetza 2 місяці тому

    Mtangazaji ongeza ubunifu, watu wanakuchoka

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 2 місяці тому

    yaani sijaona swali lolote lenye professional yeyote ya uandishi demu ni wa jamaa flani alipewa mchongo wa kazi au?

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 2 місяці тому

    Kicheko chazadhalu

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk 2 місяці тому

    Miaka huyu 37

  • @xxl5239
    @xxl5239 2 місяці тому

    UMEBALEGHE UKIWA NA UMRI GANI????? 😂😂😂😂
    HUYU MWANDISHI HEHEHEHE
    MASUALI YOTE ALIYOULIZA HAYAENDANI KABISA NA HUYU JAMAA ALIVYOELEWEKA KATIKA JAMII

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s 2 місяці тому +1

    21 duuu

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 3 місяці тому +3

    kingeleza cha nini ssa wew mtangazaji. si uongee tu kiswahili mbuzi wewe

    • @zaidihussein4311
      @zaidihussein4311 2 місяці тому +2

      Matusi ya Nini kuwa mstarabu

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 2 місяці тому

      hata hivyo hii kitu ina umuhimu gani hii nchi watu wameona mambo nyeti ya nchi kama kunywa kahawa,na hii inasababishwa na viongozi wetu wakuu,hawa vijana wengi kwenye hizi media uelewa wao mdogo,so mmewapa nguvu wakaitwa watu maarufu,unaona kila issue ya nchi wanajifanya kuijuvua hizi ni dalili mbaya kwetu,kwa nafasi yoyote aliyo nayo huyo kijana sisi kwetu ktk kazi zetu za kila siku inatuhathiri nini mpaka mumulete kumuhoji.

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 2 місяці тому

    Ni vyma ufanye interview na Madebe na chanuo

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 3 місяці тому +1

    Mhoji na mhojiwa wote hawajui interview

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 місяці тому

      Anayehoji hajui kuhoji kuna vitu huwezi kumuuliza mtu eti umebaledhe umri gani. Hayo masuala binafsi jee wewe akikuuliza umetiwa kwa mara ya kwanza ukiwa na umri gani utaeema. Si utaona aibu maana umetiwa unaumri wa miaka visa hujabalekh. Nyoko weee. Ma hiyo kijana anaakili kuliko weye.

    • @angelnicholaus9248
      @angelnicholaus9248 2 місяці тому

      Anayehojiwa yuko vizuri na anajibu kufuatana na mtangazaji ambaye anaonekana hajui kazi yake.

  • @Nassor2377
    @Nassor2377 2 місяці тому

    Mnamlaumu mtangazaji huyu mtangazaji hana kosa huwezi kukurupuka tuu kumuuliza maswala kumjua huyo muuza madafu ni nina lazima umtowe katka reli kwanza ili umtege huyo muandishi anamtega ndio maana anamuuliza miaka yake na tayari kamshika katka miaka alikua na demu miaka 11 nyuma it means alianza hahusiano akiwa na miaka 10 ?... dada hodari ila jamaa nae ni mbobevu kiasi katulia utazani sio muuza madafu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r 3 місяці тому +2

    Du sasa hayo maswali ndio uliotiwa hapo mwambie akaulize ofis za mabasi

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 2 місяці тому

    Mwamba

  • @captainmwata9857
    @captainmwata9857 2 місяці тому +1

    😂

  • @EliaMarco
    @EliaMarco 3 місяці тому +2

    Kwa waandishi kama awa tusaau maendeleo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 місяці тому

    Mtangazaj huna ujualo unauliza balehe unataka mkia sasa

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 2 місяці тому +1

    Muandishi mjinga,uyo niraia mnamtafutia kiki.... askari hajileti hadharani kwenye skendo kamahizo......wewe dada nyodo....miaka 40 hapo... unaonekana atandoa huijui....nasiku ukichukuwa mume wamtu nawewe jiweke hadharani utolewe busha...Sifa zakijinga....

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 2 місяці тому +1

    Huyo mtangazaji ni mbongo au ni wa ulaya, viingereza vingi....hata hawezi kuendesha interview...zero kabisa

  • @simonpeter5300
    @simonpeter5300 2 місяці тому

    Mnaomkosoa mtangazaji mjitathmini!! Kipindi kinahusu mahusiano , nyie mnataka amuulize maswali yapi

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914 2 місяці тому +1

    Maswali ya kijinga kabisa mwandishi anauliza pia mwamba anauerewa mkubwa anajibu kwa kunyooka pia uyu jamaa ni mwamba

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 2 місяці тому +1

    Maswali ya kijinga mwandishi jinga

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 2 місяці тому +1

    Dogo muongo wewe una watoto pia una zaid ya miaka 23

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 2 місяці тому

      Ni kwl n mkubwa ila kama uliskia alsema swala la umr hayupo tayar kulizungumzia leo kwahyo hawez kwambia ukwel

    • @didassadik8075
      @didassadik8075 2 місяці тому

      Uncle mbona hivyo 😂😂😂😂😂😂 lkn

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 2 місяці тому +1

    Maswali ya kijinga kabisa

  • @BalbinaKitambi
    @BalbinaKitambi 2 місяці тому +3

    Jinga Hill liandishi

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 2 місяці тому +1

    Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 2 місяці тому

    We dada diva unaharibu jamii

  • @jarufuyahaya3338
    @jarufuyahaya3338 2 місяці тому +1

    Huyo dogo maelezo yke yaonyesha ni usalama