KWANINI MAOMBI YETU MENGI TUNAYOOMBA MAKANISANI, MISIKITINI HAYAJIBIWI? UKWELI WAANIKWA | HARD TALK

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025
  • KWANINI MAOMBI YETU MENGI TUNAYOOMBA MAKANISANI, MISIKITINI HAYAJIBIWI? UKWELI WAANIKWA | HARD TALK
    WASILIANA NA DKT. MWAKA: +255 759 100 200 Kwa Msaada zaidi.
    HARD TALK ya leo ni mjadala mkali kuhusu namna maombi yetu yanavyotakiw kuwa na kwanini tunakesha tukiomba na hatujibiwi, ipi siri iliyojificha? Dk JJ Mwaka, tabibu maarufu wa matatizo ya uzazi na kiroho anachambua na kujibu maswali magumu ya mtangazaji Lilian Mwasha - this is HARD TALK....!
    WASILIANA NA DKT. MWAKA: +255 759 100 200 Kwa Msaada zaidi.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 102

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 роки тому +3

    SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 роки тому +12

    Salute kwa mwaka tunataka watu wanao umiza kichwaa Kaka huyu sisi wangine hatumizi kichwaa tunataka mtelemko

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Рік тому

    Lilian Asante,Leo umetuonyesha upaja,japo kidogo....mashalah

  • @timothywaritu4762
    @timothywaritu4762 2 роки тому +1

    Watanzania wengi wanapenda mambo raisi raisi siyo km haya unayofundisha Dr mwaka
    Barikiwa Sana kaka

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 2 роки тому +1

    Dr .Karibu kwa Yesu Dr mkuuu :

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 роки тому +2

    Asante Dr mwaka 💙💙💙

  • @kenneth.m.siwale9699
    @kenneth.m.siwale9699 2 роки тому

    I really appreciate and agree with you madam,this guy is good

  • @veronicascottmollel7897
    @veronicascottmollel7897 2 роки тому +1

    Da Leo nimejifunza Kitu 🙏🙏👏

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 2 роки тому

    Absolutely,this is new preaching

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 роки тому +1

    Mwaka upo juu upo vizuri

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 2 роки тому

    Huyu Dr Mwaka alitakiwa awe mtumishi wa Mungu ni balaa.

  • @RithaMoshi-b2n
    @RithaMoshi-b2n 2 місяці тому

    Amina .

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 2 роки тому

    Thanks Dr. Welcome again

  • @linahdaniel999
    @linahdaniel999 2 роки тому

    God is always final,he knows when to answer our prayers

  • @rehemasindakira6953
    @rehemasindakira6953 2 роки тому

    Ameeennn sanaa doctor.

  • @beatricekipela9100
    @beatricekipela9100 2 роки тому

    Nafatilia sana ila naomba no ya Dr mwaka

  • @jairatu688
    @jairatu688 2 роки тому

    Ma shaa allah Dr Mwaka

  • @ekathezekiely7047
    @ekathezekiely7047 2 роки тому +1

    Baba umenena 🙌🙌🙌🙌 shikamoo,leo hakika maneno yako yamenigusa saaana...

    • @rashidmohamed1949
      @rashidmohamed1949 8 місяців тому

      Hujaelewa..
      Wakristo Mungu kawafumba macho..hawaelewi.

  • @heavenlovemusic
    @heavenlovemusic 2 роки тому

    Pole sana

  • @lalafamily5290
    @lalafamily5290 2 роки тому +6

    Uislam na ukkristo ni vitus viwli tofauti kabisa!! Tukisema "mwenyezi Mungu" wote haimaanishi tunaita Mungu mmoja.... kuwa makini na mazoea ya matamshi!!

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 2 роки тому +1

      Mungu ni mmoja tu, mungu wa pili ni wazazi, akuna dini yenye mungu wa wili.

    • @lalafamily5290
      @lalafamily5290 2 роки тому +1

      @@maryamtan682 Mungu wa wakristo ni tofauti na Mungu wa uislam!! Soma vitabu usisubiri utafsiriwe..unadanganywa!!

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 роки тому

      Amen

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 роки тому

      @@lalafamily5290 Amen

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 2 роки тому +1

      @@maryamtan682 mungu ni mmoja2 utofauti ni tafsiri2!

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 2 роки тому +4

    Dhambi haijawai kuwa kipimo Cha utakatifu dhambi no kuwa tiyari umeanguka kipimo cha Imani ni jaribu linalo kuja na nguvu ya kutii Sheri'a ya MUNGU au uanguke ukianguka umetenda dhambi dhambi siyo kipimo Cha Imani ni kuanguka

  • @jacquesuwezo7479
    @jacquesuwezo7479 2 роки тому

    Ndio baba Mungu awariki

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 2 роки тому +2

    Huyu Dr akifungua kanisa kesho mimi nitakua mfuasi wake wa kwanza, anaongea madini sana.

  • @JenniferBaya-zu5cr
    @JenniferBaya-zu5cr 9 місяців тому

    Kweli. Inaponya

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 2 роки тому +1

    Nakuona Pastor Lilian😍

    • @NurdiinXabiib
      @NurdiinXabiib 2 роки тому

      Manamke hawezi kuwa pasta according to Christian...

  • @theodorahmchami4197
    @theodorahmchami4197 2 роки тому

    Asante Dr mwaka

    • @rashidmohamed1949
      @rashidmohamed1949 8 місяців тому

      Hujaelewa.
      Wakristo hawana ubonho wa kuelewa mambo ya Mungu.
      Mfano mdogo tu..
      Yesu kzaliwa na mama mmoja anaitwa Mariam.
      Dah...
      Wakristo wote mmedanganyana ni Mungu.
      Hii ni balaaaaaa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 роки тому

    Dr mwaka 🔥🔥🔥🔥👏

  • @halimahleema5165
    @halimahleema5165 2 роки тому

    Uyu doctor mwaka sanamu lake poster lijengwe jmn nimesikia maubiri mengi Sana lkn doctor uko vizuri

  • @judyjudy3513
    @judyjudy3513 2 роки тому

    Uko sahihi yani umeniguza sana

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 2 роки тому

    😂😂😂😂 ila Mwaka mifano mingine bana. Sasa mfano wa mke mwe😂😂

  • @hamzaswaibu9470
    @hamzaswaibu9470 Рік тому +1

    Kwanza huyo mwanamke atupe andiko la kuweka mapaja wazi 🤣🤣

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 роки тому +2

    Mashallah Dr. mwaka

  • @barick
    @barick 2 роки тому +4

    Ktk maelezo ya dk mwaka mengi amepatia na machache amekosea.
    Kwaiyo sio vyote alivyosikia uvifuate na kuamini my friend utapotea

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 15 днів тому

    ❤❤❤

  • @heavenlovemusic
    @heavenlovemusic 2 роки тому

    Kuwa Makini Liliani, kulingana na mwaka hakuna ushirikina.... kuwa makini.

  • @edsonmoshiro4547
    @edsonmoshiro4547 2 роки тому +1

    Huyu MTU Yuko vizuri. Kesho naenda zangu Arusha kuchukuwa ng'ombe wangu mwekundu niliyoahidiwa na babu. Siwezi kuishi kidandara hapa duniani. Nitakuja kuchekwa bure.

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 2 роки тому +3

    Jamani huwezi lindwa na na fimbo ya Musa au Pete ya sulemani hunakuwa unakosea mungu Yuko juu ya kila kitu na mungu ni roho ulinzi wake kwetu ni wa kiroho

  • @aldiboxingfanatic
    @aldiboxingfanatic 2 роки тому

    Wavuta sigara wanapendana sana kuliko wale wanao mpenda Mungu😅😅😅

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 роки тому +5

    Bora unajua Damu ya Yesu inatisha

  • @aysherkitoi5507
    @aysherkitoi5507 2 роки тому

    Aliesema maombi kanisani hayajibiwi ni nani acheni ujuaji sasa mwaka ongelea uislam hujui chochote kuhusu ukristo na AC zote bado jasho lina kutoka 🤔🤔

  • @othmanmohamed5188
    @othmanmohamed5188 2 роки тому +1

    Innaalillaah ... Huu nimsiba allah akuongoze ktk dini yako na ndugu zangu waislam kunahaja kubwa yakusomesha dini watoto zetu dunio cyo

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 роки тому +2

    Hii mesej sent Kuna mtu nafurahi itakuwa imemfikia anafanya mambo ya kumuudhi mungu lkn TEGEMEO lake anaimani amebarikiwa na damu ya yesu iliyomwagika msalabani.

    • @naikenjau1686
      @naikenjau1686 2 роки тому +1

      Nimekuelewa sana dr,unamafundisho mazuri yenye maarifa makubwa sana, yenye kuelimisha,

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 2 роки тому

    Dr MWAKA wee😂 imebak kumpa YESU MAISHA✍️🙏ila dr MWAKA wewe neno unalijua unafanya kusudi ukifungua kanisa litajaaa hakikaa ila lazima uwe mtakatifu

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 роки тому +4

    Mwaka zile camera chungunzima nyumbani kwako za Nini kama sio za ulinzi maana mimi Ni jirani yako naishi mbezi Beach karibu na masjid Iqraam.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 роки тому +1

    Liliani Mwasha×3 Wakristo hatutakubali kupotoshwa. Kila mmoja ajadili dini yake husika full stop...,hatudanganyiki. Damu ya Yesu inatunenea mema kila uchwao, kama haitendi labda ni kwake. I better don't keep on listen to this.

  • @lifemiles70
    @lifemiles70 2 роки тому +2

    Dr mwaka namjua kama ni mwislame, swal langu, je anaamini damu ya yesu? Yaan anaamini kwamba yesu alikufaa? Nakama anaamini je kuhusu wiislam usieamin kua yesu alikufa anazungumzia je?

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 2 роки тому +1

    Hayomajivu tunayapatajeee

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 2 роки тому +3

    Doct mwaka,Damu ya Yesu umeiona wapi na uislam unasema hakuuliwa wala hakusurubiwa??

  • @habonimanarehema3657
    @habonimanarehema3657 2 роки тому

    Doct umekuwa muhubiri? Angaliya usijiweki hatatani mbele ya Mwenyezimungu ni Bora zaidi ujiusishe ku maswala ya tiba

  • @abdouluwimana257
    @abdouluwimana257 2 роки тому +3

    nduguyangu mwaka huwa unanifundisha vitu ambavo sijawahi hata kufikiria

  • @sesememakumbitu8019
    @sesememakumbitu8019 2 роки тому +3

    Mbona unamiliki bunduki ya Nini!

  • @lalafamily5290
    @lalafamily5290 2 роки тому +8

    Haya mafundisho ni mapotofu!! Wajinga ndiyo waliwao!! Unajua ukweli upo mbali sana na uhalisia wa maisha!! Imani imekuwa mitizamo ya watu!!

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 2 роки тому

      Fuatilia vizuri mafundisho ya dini zt ndo utapata majibu.

    • @lalafamily5290
      @lalafamily5290 2 роки тому +1

      @@maryamtan682 nafikiri bado huelewi mambo ya imani bado upo kwenye uongo wa muda mrefu kutoka kwa viongozi wako wa dini !! Soma biblia vizuri na soma vitabu vya qurani na hadithi utaelewa wapi umedanganywa.

    • @adriandanford208
      @adriandanford208 2 роки тому

      Akili ni mali

  • @simongalahenga6858
    @simongalahenga6858 2 роки тому +1

    Na hayo nayo unayajua?

  • @abellabv
    @abellabv 2 роки тому

    Lilian Mwasha, if you are a Christian, quit entertaining falsehoods my Sister in Christ. It doesn't help people and you'll be answerable to God if you in any way are part of spreading false teaching. Chungulia UA-cam: David Guzik - 'The Red Heifer and The Work of Jesus Christ - Numbers 19.' Msikilize huyo vizuri na uwatafsirie watazamaji/wasikilizaji wako kwa Kiswahili fasaha.

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 2 роки тому +5

    Hili ni fumbo kubwa sana mjinga kamwe hawezi kulifumbua.

  • @fredysimba982
    @fredysimba982 2 роки тому

    Mwakaa kanikoshaa kinomaaa

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 2 роки тому

    Watoto wakinyamaza hata nawe yatapiga kelele!

  • @januarylyambuzi1718
    @januarylyambuzi1718 2 роки тому

    mke sio bidhaa!

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 2 роки тому +1

    DAMU YA YESU ULIIONA WAPII NA KUIPIMA MJINGA MKUBWA WEWEE MUNAAFIQ MKUBWA MPOTOSHAJI MKUBWA, NDUME LA KUWILI MKUBWA WEWEEE WEWE HAYOO UNAYO YAFANYA NDIO ABRI ULIYO AMBRISHWAAA ? MUNAAFIQ MKUBWA NYOOOO KWAVILE MUNAAFIQ HATA BISMILAAH UMEISAHAUU

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 роки тому

    Ayo majivu nayataka

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 роки тому +2

    Mbona huyu Baba wanasema Ana wake wengi??na Biblia imekataza??

  • @tiagopeter3634
    @tiagopeter3634 2 роки тому

    Uyu jamaa anajitaidi

  • @NurdiinXabiib
    @NurdiinXabiib 2 роки тому +1

    You can't be right because you don't have knowledge about religion especially Islam 💯 we believe in Allah only one Allah and muhamad is the messenger Jesus Moses Ibrahim... etc

  • @mozstorrytv7982
    @mozstorrytv7982 2 роки тому

    Bongo nyoso

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 роки тому

    HAPO NDIPO MWAKA ALIPOKOSEA MWAKA HAJUI KUHUSU HAYA MAMBO YA KIROHO BHANA
    ILA NAMUUNGA MKONO SEHEMU MOJA TU. KWA WAPO BAADHI YA VIONGOZI WA DINI WAOVU HAPO NAMUUNGA MKONO
    HATA HIVYO SIKUBALIANI NAYEYE KWAMBA MUNGU HAWEZI KUKUSAIDIA KISA ANAYEKUOMBEA NI MUOVU. SIO KWELIIIII

  • @malkiyumi5082
    @malkiyumi5082 2 роки тому +1

    𝙐𝙟𝙞𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙩𝙪𝙥𝙪

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 2 роки тому +1

    Nakuona Pastor Lilian😍