Habari mashabiki zetu, karibu kuitazama seies yetu mpya. Kwa ushauri na maoni binafsi jiunge nasi WhatsApp group link.. chat.whatsapp.com/CucZLXAqsadHLwiRuxgjtE
Imagn sijalal nilikuw nasubr hii movie itokee woww honger San chumv nying Kwa kaz yak nzuri San Niko nay hii adi mwish kbsa 😂😂😊😊one lov from Kenya 🇰🇪🇹🇿❤️ alafu nimekuw wa Kwanza naomb like n Mie jman ❤❤❤
Waooo mamb ndo hay chumvi nilikuwa nategemea movie ya ramadhan kutok kwak nakwel imewasil Ahsante san ndomaan nakukubal san chumvi nying kaz nzur honger kwa ubunif Allah awe pamj nawe in-shaa-allaah
Eeeeeh mwenyezimungu 🙏 🙏🙏. Muumba mbingu na nchi nakuomba utupe afya njema waislam woote katika mwezii huu mtukufu wa ramadhan 🙏 na baada ya ramadhan pia uwape afya njema waandaaji wote wa siries pendwa inayoutwa Yan ramadhan 🙏🙏🙏 amiin🙏🙏🙏🙏
Chumvi wala sisi Wakristo hatuko mbali na wewe. Huu ni mwezi wa Toba kwa waislam,na wakristo tupo kwenye Kwaresma. Mafunzo mema ya kumjua Mwenyezi MUNGU ndio mafunzo yaliyo bora duniani na akhera. 🙏
Ostaz wetu awe makini asiseme mwenyezi mungu anasem kweny hadith Zake laaaa iyo ni makosa inahitajik kaul hii mwenyezi mungu anasem kweny qur'an aya fulani Alafu mtume anasema kweny hadith Fulani
Habari mashabiki zetu, karibu kuitazama seies yetu mpya.
Kwa ushauri na maoni binafsi jiunge nasi WhatsApp group link..
chat.whatsapp.com/CucZLXAqsadHLwiRuxgjtE
Let me join the grp aky nawapend buree 🇰🇪❤️❤️💓💓
Tupo p1 kk
Next time mtengeneze pia kuusu kwa rezima maana najua Ata kwenye kikundi chenu Kuna WA kristo msiwabague ni wazoo tu Lakin ili muende na pande zote
@@faithndanukombe254 mm pia nawapenda hawa jamaa kwa bidii Yao, from 254 kanairo 🇰🇪
Mmmmmh
Moto kama pasi,endelea vivyo hivyo chumvi,waliosema utachoka wamebaki vinywa wazi,naona mkojani gang itahamia Kwa hivi karibuni
Sijaipenda mwisho wa funzo, mungeisimamisha tu
Aisee chimvinyingi umetsha Sana unajua kutufuraisha mashabiki zako.. Nakupongeza sahna pia endlea kutufuraisha ivo ivo ktk kpnd iki cha RAMADAN
Mlevi apunguze uchepe, uchepe mwingi na avyoongea anaharibu
CHUMVI NYINGI GANG safi sana HONGERENI
MC naona umeliamsha.
Oyaaa chumvi nyingi kitu kipya ramadhani kazi iendelee
Chunvinying TV MUNGU azid kuibark kaz yenu isonge mbele.
Sema mko vizur akiwepo chumvi nying Dr official 💪💪
Imagn sijalal nilikuw nasubr hii movie itokee woww honger San chumv nying Kwa kaz yak nzuri San Niko nay hii adi mwish kbsa 😂😂😊😊one lov from Kenya 🇰🇪🇹🇿❤️ alafu nimekuw wa Kwanza naomb like n Mie jman ❤❤❤
Wazi
🏃🏃🏃
Umeanzisha yako hongera chumvi nyingi
Tup pamojaa mwend wa buludan kujifunza matukio wa kadha let's goo
Kazi nzr chumv nyingi ,we always togather
Mungu akbrki xanaa chumv nyingii endeleaa kutupaa rahaa
allahu akibar chuvi
Chumvi umetisha mwanangu,,,naikubali sana timu yako
Dogo chunvi unatisha saana im from the mozambique
❤Chumvi wa moto Sana anajua sana burudani na elimu inatembea
Mashaallah
Mashallah kaka chumvi ubarikiwe sana
Shekh chagama 😂😂😂 cema nkukubal sna na napendzwa na elim yak respect
Chumvi nyingi tupo pamoja
Waooo mamb ndo hay chumvi nilikuwa nategemea movie ya ramadhan kutok kwak nakwel imewasil Ahsante san ndomaan nakukubal san chumvi nying kaz nzur honger kwa ubunif Allah awe pamj nawe in-shaa-allaah
😂😂🤣Shhhhh hapo kwa mc nimecheka nusu kufa dahhhh
Ustadhi hongera sana,Mahala pako tupe mafunzo ya dini
Safi Team Chumvi Nashukur Kwa Kunifurahisha
Noma San ihhh move
Kweli chuvi nyingi wewe ni atali kaka natamani siku moja nikuone na jamabo langu kaka upo pw
huyo mwenye kanzu nyeupe anaigiza sana hayupo kwenye uhalisia
Naam hapo sawa kabisa chumvi si ulikwa umekufa pale kwa funzo hahaha😂😂😂
Amefufuka kwa Ramadhan 😅😅😅
Kiukweli Doctor ofisho namkubali sanaaa sanaaaaa
Shaharo ramdhani man sha Allah tuko pamoja
Hahahahahaha!!!!! chumvi we noma🤣🤣🤣
Chumvi nyingi mchoyo kwa kweli 😀😀😀ume tisha sna nakubali 🙌🙌
Ramadhani kareeem tupo pamoja kutoka kwenye funzo hadi huku
Kaz nzuli chuvi Muna jitaid ata Kam matatizo yap il nikidongo naiman yote yataishat mungu abalik kaz yenu jaman
Eeeeeh mwenyezimungu 🙏 🙏🙏. Muumba mbingu na nchi nakuomba utupe afya njema waislam woote katika mwezii huu mtukufu wa ramadhan 🙏 na baada ya ramadhan pia uwape afya njema waandaaji wote wa siries pendwa inayoutwa Yan ramadhan 🙏🙏🙏 amiin🙏🙏🙏🙏
Nimeipenda hiii ya moto 🔥💯💯👌 mashallah
Masha Allah mungu awafayie wepesi ufike nbali mr chumvi
Uyu jamaa mgeni kwenye hii gang yuko sawa kabisa mbeleni atakua moto hatari yaani anakwaabia si mchoyo😄😄😄
Nimependa mwanzo mzuri YA RAMADHAN
Kisa kidgo.😂chumvi na dr.official❤❤❤
Official kama shekh official itakua balaaaa😊😊😊
Oyaaa Chumvi kiboko 😂😂😂
Masha'Allah Allah awabariki kua kazi zenu
Dahh Dk official big up na wot kw ujuml
Chumvi nyingi 😂😂wambiwa usinywe pombe ww unasema unywe kidogo😅🎉🇰🇪🥰
Yaa ramadhani
Marahabaaa marahabaaa😆😆😆😆
Mwanzo tu kumenoga jaman chumv wew ♥️♥️♥️
Pamoja sana chumvi gang majua sana pia nawatakia ramadhani kareem
Kipaji kikubwa sana hiki chumv kwel anajua uandishi
Doctor official yupo AISE hatari
Hhhhhhh ety mwembamba chumvi noma
Chumvi wala sisi Wakristo hatuko mbali na wewe.
Huu ni mwezi wa Toba kwa waislam,na wakristo tupo kwenye Kwaresma.
Mafunzo mema ya kumjua Mwenyezi MUNGU ndio mafunzo yaliyo bora duniani na akhera.
🙏
Mwenyezi mungu akulinde Kaka na akupe afya njema
Kazi nzuri sna
Ila haya matangazo yanaboa chumvi...
Mnajua kaka
Katika comedy wenye sura nzuri uyu chumvi nyingi😂😂😂
Mko vizuri sana vibaya chumvi nyingi gang tunapata elimu pamoja na burudani.
One love wana ndugu .Fully mpaka basi yaaani👊🤲💪
Hongera
😂😂😂karibu tena doctor official
Mashaallah ramadan kareem all muslim🙏🙏
Kazi nzuri
Ya ramadhan timeipokeya vizuri
Endeleeni kutuelimisha
Me ndo naitazama hapa chumvi nyingi
Chumv lkn si ukuwange serious 😂😂😂😂😂😂alafu mbn amko nyotee team chumv
Bado ndio mwanzo subiri.
Mwenyezi mungu awabariki san
Doctor 😂😂😂 nakukbali sna
Mlevi swaga zake hazina mashiko
Nakukubal cn 👍 BG uP
nawapenda
mashaallah lakn camera quality ipo chin kidogo
Chumvi mashabiki wako tunakukubali sana
Leo wa kwanza asee
Ostaz wetu awe makini asiseme mwenyezi mungu anasem kweny hadith Zake laaaa iyo ni makosa inahitajik kaul hii mwenyezi mungu anasem kweny qur'an aya fulani
Alafu mtume anasema kweny hadith Fulani
Sawa
Pmj
Sahihi
Iko pouwah sana
Noma sana
Ongereni jamani chunvi
😅😅 Happy Birthday chumvii from lndia 😅😅
Nakubali xana
Yapili macha cjaiyona😌
😂😂😂😂chumvii _💪🏿🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Okay thanks for letting me know that I got you a lot of fun and I will be there in a few minutes to get there and I can I can do that 🙏🙏
Tuko pamoja wanangu wote ndani ya ramadhan
Pra bens chunvi geng xto no cabo delgado distrito de palma com 10 mão
Pamoja sana na ww chumvi
jamani from Mombasa kenya nipe like za marehemu chumvi kwenyu funzo ila uku kabisha kwenye kufunga😅😂😅😂
Mnaturetea Docto Ofisho arafu mwisho haonekani mnatupotezea radha maan Ana mchango mkubwa sana kuchekesha kwenye story za kuchekesha
ndg shida tunatofautiana majukum yakaz official nimwajiliwa wa serikarin muda mwingi anakuwa kazin
Keep up, good🎉
😂😂😂 na anza cheka na bado mbele atu juwi kuna nini😂😂
Ya Ramadhan mashallaah 🕌🌙
Good idea
Asalm alekum wake wapendwa ya Ramadhani karibuni San leo wamwanzo fm Zanzibar nawapend yote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Walekum Salam mpemba
Hhhhhhh asante
Alhmdhulillah Ameen
Daaah hapa mchawi camera tu
Chumvi saiv uko vizur
jamani nimechelewa lkn tupo pamoja
Chumvi bana😂😂😂😂
Ulikua wapi DCT 😂😂😂 Ramadhan Bing up 👍iko uku Ramadhan 🇰🇪🇰🇪🇸🇦😂😂