AMKA NA BBC LEO, HABARI KUBWA ZA DUNIA: JESHI LA ISRAEL NA HAMAS WAKUBALI KUSITISHA MAPIGANO
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Check more here: bit.ly/3yrpH70
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Sio kusitisha tu Bali wamalize kabisa Israel iondoke kwenye aridhi ya wapalestina wawache ubabe na uwalifu wa kivita
Wew acha zako utuliv ndo mwnz wa kuacha vita, hbr za ardhi achana nazo hawan nafas hyo😂
Ardhi washapewa na Mungu wew nani upinge😅
Taarifa zako unazipata wapi ??
Kilakitu kinamwisho
Mshishangaze watu mnawachanja uku mnawauwa faida gani
Mnawachanja alafu mnawaua sasa hiyo chanjo itafanya kazigani hiyo nibiashara ya kuanika viroboto juani
Na nyie mmeanza kuwa wa puuz BBC ya nn tena humu habar za uongo ma propaganda
Munatowa chanjo harf munawaua Vt iendelee mpk siku y kiyama
Kwanini wasimalize tuu vita?israel muogopeni mungu nynyi mnauwa raia wengi tena wasio na hatia
Uhalifu wa kivita mnauona kwa nchi maskini tu mbona hamuoni israel laniwe hadi kizazi chenu
Wa Israel wameuwa wamama na watoto ndio Vita gani hiyo au wamechanganyikiwa
Shambulio la Oktoba 7 la Hamas, halikuuwa watoto na wamama, acha wafe tu 😅😅😅
@@PetroMpunga-rt7hvunataka kunambia weye utaishi milele ng'au ng'au weye
NAMSHUKURU MUNGU NIMETIMIZA MIAKA MIWILI XAIV TOKA NILIPOGUNDUA BBC NI CHANNEL YA UONGO IPO KWAAJLI YA KUTETEA MASLAHI YA MAGHARIBI NA MSHUKURU MUNGU NA NAWAOMBEA NYINYI AMBAO MNAAMNI BBC MUNGU AWAFUNULIE AKILI ZENU MUWEZE KUELEWA ZURI NA BAYA(UONGO)😂😂😂😂 SAMALEKOOOOO 😂😂😂
Wa kongo inchi imewashinda kwanini wasigawe wa ishi kwa amani
Kama unaona unaamani shukuru Mungu.Hata wakongo wenyewe hawataki vita wanataka amani isipokuwa nchi za magharibi zikihitaji kitu kutoka kwako huna pakukwepea wanafanya kila aina ya ukatili kuhakikisha wanapata wanachohitaji
Mbwa nyie