Mtangazaji huu ujumbe naomba umfikie LORD EYEZ Interview nimeifatilia san nijambo zur san kumkumbka prof.chugullu kwa mema na mazur aliyomfanyia had leo anapumua,ila napenda kumwambia lord eyez kuw prof yupo had leo ila kwa sas nimgonjwa
ugomvi wa makundi sio sifa,, jau,,,si tulienda kupigana vingunguti,,,mwanetu akafa pigwa sana nyembe za uso,,,au kwa lugha fupi kama unapenda sana ugomvi punguza kiherehere,,watarudi wenzio,,,we utabaki
Nashuru sana kwa kuwasikiriza q aliposema kufa mpaka ukubali ni kweli niliwahi kuuguza boyfriend wangu aliangaika sana sa wakati huo sikuwa najua kitu alikuwa anazimia na kuzinduka anahema mfurulizo sikuwa mtu wa mahombi hili nilijua kusali siku hiyo namwabia kataha roho ya mahuti na yeye anarudia cha ajbu alipo sema nakufa akasinzia ghafla mm sikujua 😓😭😭😂😂sababu hilikuwa mara yangu ya kwanza kuuguza mtu Leo nimekumbuka mbali sana Mungu ilaze roho yake maali pema peponi
Ukishaona mgonjwa anahema mfululizo anatetemeka anaongea visivyoeleweka bas ujue ugonjwa wake umeshafika kwenye ubongo hivyo hana hata week 1 ya ku survive pole sana ulipambana
49:14 "The strongest person in the world is the one who controls his anger"- Prophet Muhammad (Salallahu Alayh Wassalaam).
FID Q 🔥🐐
Now this is the second story teller and a Tanzanian Monument, besides Master Jay. This dude knows and analyses a story.
Hii stori ni very senditive, mzee ana kitu chake lersonal kihisia❤
Nimeenjoy sana interview ❤❤these guys are genius
Noma sana hawa Jamaa. Ni zaidi ya Artists, hawa ni Waalimu wa Maisha
Fid ni bonge moja la storyteller,, hachoshi kumsikiliza
Mtangazaji huu ujumbe naomba umfikie LORD EYEZ
Interview nimeifatilia san nijambo zur san kumkumbka prof.chugullu kwa mema na mazur aliyomfanyia had leo anapumua,ila napenda kumwambia lord eyez kuw prof yupo had leo ila kwa sas nimgonjwa
Bongo Hip-hop to the world 🌎 ,Asee watangz tareh imesubirw kwa shauk sana.
Big up legends, true definition of Tz hiphop
Lord Eyez katulia sana,haongei sana.
East African HIP HOP ICONS... Respect sana hapa.
Nomaa nimecherewa rakin nime wai hip hop for life rod fid 🎉🎉
DAMN THE VISION BEHIND NENO 🙌
Jamaa wako matured,calm and intelligent.
Fid Tunakusubiri Burundi Napenda Intervieu zako zinafundisha uniq person
ugomvi wa makundi sio sifa,, jau,,,si tulienda kupigana vingunguti,,,mwanetu akafa pigwa sana nyembe za uso,,,au kwa lugha fupi kama unapenda sana ugomvi punguza kiherehere,,watarudi wenzio,,,we utabaki
Wooow so amazing guys 🐐👑
Kubwa sana hii interview 🔥🔥🙌🏽
Sky unaweza sana
Lord Eyez and Fid Q!! Hip Hop bròthers. Interview ya Terror na Bandidu haichoshagi kusikiliza .
Yeah tulijaa sana ..Tena ile session unapaform Ripoti za mtaani na Mwanza Mwanza.
Hawatuweziii❤❤❤❤
combination ya fidi na lord ni perfect sana.
lord ni chaos sana na ndo inamfanya awe lord.
fidi katulia sana ndio kinamfanya awe fidi.
@goodbeatus unajua sana music wa hip hop 🫡
Aiseh 🙌🙌
Legends🔥✊🏿
Nakubali
Nakubali sana fid Q
Hip hop legends.
sns vc lord ft fd nomaa sanaaa
Alikuwa anamuonea Fido vato
Lord eyez akaingilia ugomvi
Unawajua sana au sio?????
@MTOTOWAvitoto hajataka tu kutaja fido vato, mimi mwenyewe nimekulia kaloleni, ololoo lord alichomwa kisu kwaajili ya kumpambania fidoo
Kwahiyo Fid unamujua na unaheshimu uwezo wa KA Jeanine wa kwetu Burundi,nimependa ukweli wako
blood fam full enegy💪
Fid q wise sana
Mm pia ni product ya bb
😂😂😂😂😂 profesa chughulu
𝘔𝘪 𝘮𝘸𝘦𝘯𝘺𝘦𝘸𝘦 𝘯𝘪𝘮𝘦𝘮𝘴𝘦𝘢𝘳𝘤𝘩 𝘮𝘻𝘦𝘦 𝘻𝘢𝘩𝘪𝘳 𝘻𝘰𝘳𝘰 𝘯𝘪𝘬𝘢𝘪𝘵𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 𝘤𝘩𝘦𝘶𝘱𝘦 𝘯𝘪𝘬𝘢𝘫𝘪𝘬𝘶𝘵𝘢 𝘯𝘴𝘪𝘬𝘰𝘴𝘢..❤❤❤❤
Wame tisha sana heshima kwao
Bonge moja la combo
so good to see brothers rouphing together.😂
Vichwa viwili vya bongo hiphop🔥🔥
Washikaji kutoa damu walikuwa wanataka kwa asilimia Mia Ila kipimo baba
31:38 STORY YA KISU INAANZIA HAPA
Fid,sio saikologia ni Maneno ya Mtume Muhammad pale anasema mnajua mwenye nguvu,akasema mwenye nguvu ni yule aanaeweza kudhibit gadhab zake😂
Neno👊
sio uongo baba ngosha +27 perzuru
Fid q ni msanii wangu pendwa miaka yote
Faridi ni kubanda
lordeyez anahadithia hadi burrdani
mh mwijuma tunaomba support yako ya kutosha kwenye hili jambo sio kitu kidogo its not only about fid and and izzy this is about bongo Hip hop industry
🔥
Will Lord eyes speak ? 🤣🤣
Kisa cha Lord eyez kudungwa kisu hadi akihadithia matukio ya kuokoa maisha yake,kinastahili kuandikwa verse kuwa nyimbo. Ushuhuda mzimu.
Nashuru sana kwa kuwasikiriza q aliposema kufa mpaka ukubali ni kweli niliwahi kuuguza boyfriend wangu aliangaika sana sa wakati huo sikuwa najua kitu alikuwa anazimia na kuzinduka anahema mfurulizo sikuwa mtu wa mahombi hili nilijua kusali siku hiyo namwabia kataha roho ya mahuti na yeye anarudia cha ajbu alipo sema nakufa akasinzia ghafla mm sikujua 😓😭😭😂😂sababu hilikuwa mara yangu ya kwanza kuuguza mtu Leo nimekumbuka mbali sana Mungu ilaze roho yake maali pema peponi
Ukishaona mgonjwa anahema mfululizo anatetemeka anaongea visivyoeleweka bas ujue ugonjwa wake umeshafika kwenye ubongo hivyo hana hata week 1 ya ku survive pole sana ulipambana
NENO
Hamis totoo namfaham kabisa huyu jamaaa
perfect combo
Maeneo yake ni Boma chafu ,soko mjinga ,nguzo mbili chini ya reli makaburini alikuwa ni noma
Sijamuelewa faridi ni wa mwanza tunajivunia ila kaulizwa kuhusu aloyapitia anatoa story ya ilala vip hapo
Hana jipya now days
Fid Q Bandit
Kingi wa hipap fid Q
Watyu makini
Sky ni bonge la mtangazaji
Method man%Red man
Bandidu x Gaidii
Wabishi hawa
Asee warudishe tena
🫡🫡
Wote hawa wanoko tu.
😂😂😂😂😂 profesa chughulu
💉🧪