TAREIKH YETU MSIMU WA PILI (SILSILA 1): Pwani ya Afrika Mashariki - Eneo na Watu Wake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2024
  • Huu ni Msimu wa Pili wa silsila zetu kukhusu tareikh ya Pwani ya Afrika Mashariki na Sheikh Riadh Al Busaidi anauanza kwa kuzungumzia eneo litambuliwalo kama Pwani ya Afrika Mashariki na watu wa eneo hilo.

КОМЕНТАРІ • 6

  • @aminyahya374
    @aminyahya374 3 роки тому +5

    Wallahy napenda sana sana kujuaa historia ya zanzibar kabla y wareno hawajaingia znz!! Mwambie sheikh Ridhwan Al Busaid atusimulieee kabla ya miaka 500 nyuma dola ya zanzibar ilikuajee

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 3 роки тому +1

    Mashallah ❤️

  • @mursalsaid3327
    @mursalsaid3327 3 роки тому +2

    Zanzibar tulikua mbali Sana lakini kutokana Na wakoloni watanganyika wameturejesha nyuma Sana wametulia Kila kitu

  • @jumafaki7473
    @jumafaki7473 Місяць тому

    labta haijulikani llipo, wanahistoa wote afrika mashariki ,hamjagika kilwa , itakua maajabu ,ya wanahistorua wa ajabu ulimwengu , ngombe kilwa inatarehe mlangoni mpaka Leo, 1123,hijiria

  • @SAIFMUSALLAM
    @SAIFMUSALLAM 3 роки тому +1

    أتمنى التواصل مع المتحدث البارع

    • @abeidsalin9700
      @abeidsalin9700 2 роки тому

      Hukuweza kujibu ni nani aliekuwa mwenyeji pwaninya afrika mashariki