Assalam aleiykum Warahmatullah Wabarakatuh Napenda kuwashukuru Sanaa napenda kuuuliza Hivi vitabu vya al-maruhum bwana issa vina patikana Wapi na pia Tunaomba majina Ya hivyo vitabu please
Kuzorota kwa unguja na zangebar uliaanza baada ya kuanguka walio saida kwanza kumfukuza mreno Yalio fuata ni msiba paka mapenduzi Leo mswahili amevunjwa vubaya sana....lakini misungi yake ime dumu paka lugha ime tambulika bara africa nzima Niwakati ya kurudi paka palipo haribika ili uswahili umfae mwafika asionekane kama hakua chochote paka kuja wageni Uswahili ni sura nzuri ya safari ya afrika
Inasemekana wakati Barghash alipokuwa anatoka nje, kutokana na khofu aliyokuwa nayo basi ile barkoa aliyojifunika ilianguka, yule askari wa kibulushi aliyekuwepo kwenye gate aliona mbona 'mwanamke mmoja' kati ya waliotoka ana ndevu? Lakini hakuamini na alidhani labda ni mawazo yake tu, mpaka baadae waliposikia kuwa Barghash ameondoka kwenye nyumba ndiyo akatoa maelezo hayo. Hii niliisoma kwenye kitabu kimoja zamani sana.
Je huyu Shekh Riyadh anaposema manuari anamaanisha nyambizi au meli tu? Kuna wakati anazungumzia karne za 114,15,16 na kutaja manuari,mimi hujiuliza je kipindi hicho kulikua na manuari?
Ahsanteni Bwana Riadh na Bwana Ghassani kwa ķutuweleza kwa kufahamika habari ýa Utawala wa Zamani wa Unguja shukran.
Assalam aleiykum
Warahmatullah
Wabarakatuh
Napenda kuwashukuru
Sanaa napenda kuuuliza
Hivi vitabu vya al-maruhum bwana issa vina patikana
Wapi na pia Tunaomba majina
Ya hivyo vitabu please
Vinapatkana Masomo Bookshops Zanzibar...
Vitatu vya history yetu ya zanzibar muda ndo huu tunahitaji kusoma
Tunataka historia ya Bushiri aliejenga Mambomsiige. Kutoka kuwa tajiri Zanzibar na kuishia kupigana na kunyongwa na Wajerumani Tanganyika.
Kuzorota kwa unguja na zangebar uliaanza baada ya kuanguka walio saida kwanza kumfukuza mreno
Yalio fuata ni msiba paka mapenduzi
Leo mswahili amevunjwa vubaya sana....lakini misungi yake ime dumu paka lugha ime tambulika bara africa nzima
Niwakati ya kurudi paka palipo haribika ili uswahili umfae mwafika asionekane kama hakua chochote paka kuja wageni
Uswahili ni sura nzuri ya safari ya afrika
Inasemekana wakati Barghash alipokuwa anatoka nje, kutokana na khofu aliyokuwa nayo basi ile barkoa aliyojifunika ilianguka, yule askari wa kibulushi aliyekuwepo kwenye gate aliona mbona 'mwanamke mmoja' kati ya waliotoka ana ndevu? Lakini hakuamini na alidhani labda ni mawazo yake tu, mpaka baadae waliposikia kuwa Barghash ameondoka kwenye nyumba ndiyo akatoa maelezo hayo.
Hii niliisoma kwenye kitabu kimoja zamani sana.
Je huyu Shekh Riyadh anaposema manuari anamaanisha nyambizi au meli tu?
Kuna wakati anazungumzia karne za 114,15,16 na kutaja manuari,mimi hujiuliza je kipindi hicho kulikua na manuari?
Anamaanisha merikebu...sio hizi manoari au nyambizi au sabmarine