Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
If you would like to watch this video in English press the link ➡️ Chicken stew | How to cook a tasty and thick chicken stew | Kenyan chicken stew . ua-cam.com/video/3xTwDYGSBMY/v-deo.html
Hello sister mm nataka kupika mapange ya kuku mzima wa kisasa Recipes please
Kwenye picha kuku anaonekana mkubwa kumbe wa kiasi vipande
Asante 😋
Tunapenda
Ty Rukiya for the awesome n lovely chicken Makange I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow.
Mashaa ALLAHNapia wajua kueleza step by step Hongera yammy.,
Jaman ahsante kwa darasa kipenzi
Thank you dear. You are such an amazing chef
Mimi naipend San saut yk pia so yum😋😋
Mashallah mashallah habibty 😍 😋 😋 😋 looks so yummy jamani, must try hun ❤️❤️
Asante sana nimesoma jinsi ya kutayarisha kuku leo
Nimependa sauti yako dear unaelekeza vizur hongera
Sauti yenyewe mashalla , nice one
Your my favorite chef,I love how you cook.
Mary Mathew aww thank you so much ❤️
Aiiiiiii wedada unaniuwa mwenzio kwa mapishi yako mazuri,
I love u Rukia...God bless u
🥰🥰🥰Ameen
Jamani hvo viungo mtuambie kwa kiswahil
Mm nimepnd saut 😂😂😂😂😂
tatizo hivo viungo vengine ntavitoa wapi sie wa mbeya huku....daah sema unaelekeza vizuri sana dada
😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂 mahiii umegusaaa penyew 😂 ... hata uyolee havipo hivyo viungo
@@esterstaphord5184mbona vipo
Asante sana kwa maelezo ya upishi mzuri.
MaashaaAllah habibty
Nimeelewa dada nilitamani sana kujua hapo sawa
Ma sha Allah yummy yummy
Masha Allah nice
Looks delish😋😋😋
B's Magic Kitchen thank you so much ❤️
@@RukiaLaltia you're welcome dear😘❤
Safi sana kazi nzuli
Asante sana
❤
👌👌👌👌👌what is Royco?
MAA SHAA ALLAH
Shukran habbty
Asante dear
Nice
Soo yummy
Mashallah. Bado tanduri
Sauti yako nzuri Mungu amekujalia, je unaweza kuimba kufanya muzik ?
Ukipika kwa muda mrefu hizo vegetables, vitamins na enzymes zilizomo humo ndani yake si zinaharibika?
Hayo siyo makange bana,ni rosti
Mbona hajatumia tomato fresh?
Mapishi mazuri ila Royco, Jumbo na Tomatoe ya mkebe ni bidhaa vya kemikali nyingi - vinachangia pakubwa katika kuenea kwa mangonjwa kama vile kansa.
how about curry powder?
@@missykayla2460 Ideally Curry Powder is a mix of natural herbs
@@missykayla2460 Ideally Curry Powder is an assortment of herbs originally from , very good ...
Point kubwa sana
Kumbe...je tutumie Nini kama mbadala?
Yummy
Nimependa hingeraa
Naweza kutumia nyanya fresh instead of nyanya ya kopo katika hiyo recipe yako?
Waeza
Nimeipenda bule
Sauti tu mie
Mi kila siku najiuliza makange nini jaman kumbe nii ivyo
Jumbo ni nini
Naweza changanya ndiz zilizokatwa kma chips na kuacha dk 1au nitapoteza ladha my
Ndio waeza
@@RukiaLaltia asante dear
Makinika nami mpk mwisho napenda
😋😋👍
Pilipili manga yaitwa aje na kizungu
Black peper...
Je siwezi tumia nyanya ya kawaida tofauti na nyanya ya mkebe?
Unaweza dear isage kwa blender ndio uxuri
Zaman nilikuwa napenda viive Sana kalot hila wanasema za makange Ata za kawaida hazitakiw kuiva Sana
Where can i buy the greated ginger plus garlic?
Supermarkt
Y
Dada naomba niwe muonjaj
Glory Lema karibu sana 😂😂 dada sema uko mbali
@@RukiaLaltia ntakuja tu mbali ni mbinguni jaman
Dada mambo gani hayo yakunitoa mate kwenye mtandao. You are great my dear.
Si nimchuzi tu
Naomba namba yako ya wasap
Omg it’s really really tasty love 😋😋😋👌 im just making u to salivate 🙈🙈
Masha'allah
If you would like to watch this video in English press the link ➡️ Chicken stew | How to cook a tasty and thick chicken stew | Kenyan chicken stew . ua-cam.com/video/3xTwDYGSBMY/v-deo.html
Hello sister mm nataka kupika mapange ya kuku mzima wa kisasa Recipes please
Kwenye picha kuku anaonekana mkubwa kumbe wa kiasi vipande
Asante 😋
Tunapenda
Ty Rukiya for the awesome n lovely chicken Makange I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow.
Mashaa ALLAH
Napia wajua kueleza step by step Hongera yammy.,
Jaman ahsante kwa darasa kipenzi
Thank you dear. You are such an amazing chef
Mimi naipend San saut yk pia so yum😋😋
Mashallah mashallah habibty 😍 😋 😋 😋 looks so yummy jamani, must try hun ❤️❤️
Asante sana nimesoma jinsi ya kutayarisha kuku leo
Nimependa sauti yako dear unaelekeza vizur hongera
Sauti yenyewe mashalla , nice one
Your my favorite chef,I love how you cook.
Mary Mathew aww thank you so much ❤️
Aiiiiiii wedada unaniuwa mwenzio kwa mapishi yako mazuri,
I love u Rukia...God bless u
🥰🥰🥰Ameen
Jamani hvo viungo mtuambie kwa kiswahil
Mm nimepnd saut
😂😂😂😂😂
tatizo hivo viungo vengine ntavitoa wapi sie wa mbeya huku....daah sema unaelekeza vizuri sana dada
😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂 mahiii umegusaaa penyew 😂 ... hata uyolee havipo hivyo viungo
@@esterstaphord5184mbona vipo
Asante sana kwa maelezo ya upishi mzuri.
MaashaaAllah habibty
Nimeelewa dada nilitamani sana kujua hapo sawa
Ma sha Allah yummy yummy
Masha Allah nice
Looks delish😋😋😋
B's Magic Kitchen thank you so much ❤️
@@RukiaLaltia you're welcome dear😘❤
Safi sana kazi nzuli
Asante sana
❤
👌👌👌👌👌what is Royco?
MAA SHAA ALLAH
Shukran habbty
Asante dear
Nice
Soo yummy
Mashallah. Bado tanduri
Sauti yako nzuri Mungu amekujalia, je unaweza kuimba kufanya muzik ?
Ukipika kwa muda mrefu hizo vegetables, vitamins na enzymes zilizomo humo ndani yake si zinaharibika?
Hayo siyo makange bana,ni rosti
Mbona hajatumia tomato fresh?
Mapishi mazuri ila Royco, Jumbo na Tomatoe ya mkebe ni bidhaa vya kemikali nyingi - vinachangia pakubwa katika kuenea kwa mangonjwa kama vile kansa.
how about curry powder?
@@missykayla2460 Ideally Curry Powder is a mix of natural herbs
@@missykayla2460 Ideally Curry Powder is an assortment of herbs originally from , very good ...
Point kubwa sana
Kumbe...je tutumie Nini kama mbadala?
Yummy
Nimependa hingeraa
Naweza kutumia nyanya fresh instead of nyanya ya kopo katika hiyo recipe yako?
Waeza
Nimeipenda bule
Sauti tu mie
Mi kila siku najiuliza makange nini jaman kumbe nii ivyo
Jumbo ni nini
Naweza changanya ndiz zilizokatwa kma chips na kuacha dk 1au nitapoteza ladha my
Ndio waeza
@@RukiaLaltia asante dear
Makinika nami mpk mwisho napenda
😋😋👍
Pilipili manga yaitwa aje na kizungu
Black peper...
Je siwezi tumia nyanya ya kawaida tofauti na nyanya ya mkebe?
Unaweza dear isage kwa blender ndio uxuri
Zaman nilikuwa napenda viive Sana kalot hila wanasema za makange Ata za kawaida hazitakiw kuiva Sana
Where can i buy the greated ginger plus garlic?
Supermarkt
Y
Dada naomba niwe muonjaj
Glory Lema karibu sana 😂😂 dada sema uko mbali
@@RukiaLaltia ntakuja tu mbali ni mbinguni jaman
Dada mambo gani hayo yakunitoa mate kwenye mtandao. You are great my dear.
Si nimchuzi tu
Naomba namba yako ya wasap
Mashallah mashallah habibty 😍 😋 😋 😋 looks so yummy jamani, must try hun ❤️❤️
Omg it’s really really tasty love 😋😋😋👌 im just making u to salivate 🙈🙈
Masha'allah
Nice