Namshangaa sana mou anaelilia kwenda ulaya, kufanya kazi za ndani wakati rasilimali zote Zipo huku,hususani Ardhi.laiti kama mababu zetu wangeona kizazi chetu tunavyolilia kupendwa na wazungu,na kuwakaribisha kwetu na kuwanyenyekea,nadhani wangelia sana.Tunawabatiza watoto zetu majina yao ya kishetani,zaidi sana tunabaguana kwa dini dini ambazo zimetoka kwao hao hao washenzi,unawezaje kumuita ndugu na jamaa yako kafiri kisa tu,haamini imani ya kitumwa kutoka huko kwa mashetani weupe.Unakuta mzazi yupo tayari mwanae aitwe BROWN,lakini sio aitwe KAHAWIA,hivi tupo sawa kiakili jamani.......PUMBAVU KABISA
My brother Jamal Historia ya utumwa ni ya kusikitisha sana sana sana Mume wangu ni Mmarekani mweusi ambae hajui ni nchi gani ametokea Africa, yeye ni kizazi cha nne,lakini bado anauchungu sana kwa hawa washenzi wazungu,ukiishi na hawa waamerika ndio utajua jinsi gani bado wanauchungu mno na sio rahisi kusahau,ni historia ya kusikitisha sana kama ukisikia wenyewe wakikuaadithia.
Kuna na huku omani dada kila mtu mweusi anakwambia ana jua Kiswahili japo vizaz vyao sasa hawajui kuzngumza inaumiza Sana Allah awalaani ote walotesa ndug zetu
Wasafi-storybook for life professor Kutoka Kenya tuko pamoja Twajua utumwa mpka wa Leo haujaisha sisi Kama waafrika tushikane pamoja tuweze kuukabidhi racism duniani💯
So sad ....and years down the line we have not yet attained independence, not just physically but psychologically. A deep history...TRULY PROFESSOR!!!Nice work
Jamal unaandaika vizur Sana lakn mtiga ni msimulizi mzuri Sana inshort mmepoteza perfect combination aiseee maana wewe unaandika Story nzuri lakn hazisisimui kwenye masimulizi mtiga siku hizi anahidithi Story za kawaida Sana nafikiri amepoteza muandishi sahihi (Jamal) mlitengeneza pacha bora Sana lakn duuuh no one knows.... Ni mtazamo tu masela msijenge chuki
Figisu tu zilifanyika, namimi nilipoona kila story inatrend UA-cam hadi namba #3 na Views mamilioni, nilihisi patatokea Fitina tu maana The Story Book ilishaanza kuteka watu wengi,..But Kwasasa tuachane na hio Combination maana Jamal mwenyew anachinja vizuri tu
I really is love with this soundtrack, Inaendana na visa hivyo ni ubunifu wa hali ya juu when i think about The story book by Jamal, the soundtrack it's also my favorite issue to that stories 👌❤😎💪😊
Mko vizuri sana MashaAllah lakini natamani sana kuwapata na kwenye PODCAST wasafi mtupe storybook pia kwenye Podcast wengine tunapendelea zaidi Podcast kusikiliza ila kila kitu ni kizuri nafurahia sana Storybook MashaAllah ila mkileta na podcast zenu itapendeza zaidi na zaidi Asante sana WASAFI
WHY THEY don't SHOW this ON TV to ur children IN AFRICA or teachin at school. let the children know their enemies. Itakuwa vizuri for th new GENERATION
Can we all as an African people come together and unite . We still suffer from the effects of slavery. Look at what our people had to go through 😭😭 very heartbreaking 💔!! Let us please unite ...I hope this message does not fall on deaf ears.we can do it!!!
Dahhhh aisee haya mateso si za kawaida, dahhh inaumiza sana jmn!!! Afu cha kushangaza hata wanawake hawakuachwa, wote waliteswa vibaya sana na minyororo shingoni mwao!!! Jmn wazungu si watu!!! Hawa watu weupe jmn ni mashetani wakubwa!!! Oky tuwaache tu, Mungu atatufuta machozi siku mmoja. Amen.
asalamu alaikum mwalimu wetu mim nakuobea allah akuzidishie ilimu nauhai katika maisha yako pia katika mgogo wako Allah atoa moja kama wewe jamali Allah akupe janah firidaush amina🙏
Ila unaniliza kipenzi am a bit sensitive when it comes to anything to do with children hasa ikiwa si kitu kizuri wanacho pitia.😭😭😭😭 as always kazi nzuri Jamal 💪
ouchhhhh!!!! IT'S NOTHING BUT A PAINFUL CREDIBLE TRUTH Pro. JAMAL I just feel like this was more than brutality. It's time that we as Africans should feel this as being ruthless and we ought to stand and STAND as resolute people. people with brains enough to rise up .
@@horizoncompany2192 Kazi nzuli Sana Ndugu Yangu Kwani Sisi vijana Tunahitaji kujua Histori zetu................ Mpaka Hapo najua utakua umemuelewa Bibi mariam Lucky
Waafraka kwann watu hawa bado tu tunaitaji maada wao ingawa walitutesa Sana hata hivyo mpaka sasa bado wanataka kutumaliza like please anayekubaliana na me
Namshangaa sana mou anaelilia kwenda ulaya, kufanya kazi za ndani wakati rasilimali zote Zipo huku,hususani Ardhi.laiti kama mababu zetu wangeona kizazi chetu tunavyolilia kupendwa na wazungu,na kuwakaribisha kwetu na kuwanyenyekea,nadhani wangelia sana.Tunawabatiza watoto zetu majina yao ya kishetani,zaidi sana tunabaguana kwa dini dini ambazo zimetoka kwao hao hao washenzi,unawezaje kumuita ndugu na jamaa yako kafiri kisa tu,haamini imani ya kitumwa kutoka huko kwa mashetani weupe.Unakuta mzazi yupo tayari mwanae aitwe BROWN,lakini sio aitwe KAHAWIA,hivi tupo sawa kiakili jamani.......PUMBAVU KABISA
No 10 kucoment story nomaaa✊✊✊
Very interesting let the young generation youths to know the truth
Huyu ndo mbadala sahihi was mtiga abdalahh...jamaa anajua sana...naombeni likes zenu na mimi
Mtiga zaid uyuu proffes
@@shabanramadhan3587 huyo mtiga tumemjua kupitia huyu maana huyu ni muandishi na msimulizi Mwamba
Huyu ndie aliye mpika mtiga, Mtiga Ni mwanafunzi wa huyu bwana
Huyu ndo anajua sanaaa
Yoo nependa sana comment Yako nipe nambari zako za sim
OTA Benga😝alikuwa na meno yamechongoka km sururuu km umegundua hilo twende pmj na otabenga na chibudenga ndugu wa damu kwa like za kufa nyanii👍👍👍
Daah we jamaaa,,,tuko pa1,,,team otabenga😂🤣🤣🤣
😆
Z
Ssd
Skd
@@zaitunijuma7831
Vip
@@maysarahesha9532 pow kwem
Hongera sana bro tunajivunia kuwa na watanzania wabunifu kama ivi tukiwa kama watanzania endelea kutufundisha wavivu wa kusoma vitabu
My brother Jamal
Historia ya utumwa ni ya kusikitisha sana sana sana
Mume wangu ni Mmarekani mweusi ambae hajui ni nchi gani ametokea Africa, yeye ni kizazi cha nne,lakini bado anauchungu sana kwa hawa washenzi wazungu,ukiishi na hawa waamerika ndio utajua jinsi gani bado wanauchungu mno na sio rahisi kusahau,ni historia ya kusikitisha sana kama ukisikia wenyewe wakikuaadithia.
Kuna na huku omani dada kila mtu mweusi anakwambia ana jua Kiswahili japo vizaz vyao sasa hawajui kuzngumza inaumiza Sana Allah awalaani ote walotesa ndug zetu
Mungu atalipa inshallah
Ujinga wa waafrica ni huu ety Allah atalipa😢, Naamini mungu yupo ila sio hizi dini za kitumwa hizi.
Jamal uko deep sana proffesor!!! Umetisha unachimba madini c kitoto~good bless yuh"
Wanaosema Jamar Anafanana na Alikiba Gonga like hapa
kweli aisee
Mbona Mie namuona afanana na mbosso
@@ramadhanimwanyumba2955 jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj
Hhh
kwel
Kalii sana ....Niwabunifu sanaa Wa vipnd vyenu ...Huwa havichoshi #wasafi for de life#
Wasafi-storybook for life professor
Kutoka Kenya tuko pamoja
Twajua utumwa mpka wa Leo haujaisha sisi Kama waafrika tushikane pamoja tuweze kuukabidhi racism duniani💯
🇹🇿🇰🇪
Hii story imenikumbusha shule jmn bigup sana bro
Uui
Allah Akbar. Allah awalaani mizungu iliofanya ivo. Inauma sana
Nani awalaani sasa
Allah ndio nani
Na bilali jee alie pitia mateso akiwa mtumwa jee usisahau
Nice mwamba your the hero
Jamal is alikiba's look alike
Viva africa may God bless Africa both today and forever..
Eeeh
Africa tulipata tabu sana ndy naama m/mungu kaamua kupunguza covd19 or corona kwa kiasi kikubwa xana niayake tupumzike tumetesek xan
dah jamaa anajua sana.....kama unapenda kuwa na IQ kama ya huyu jamaa weka like yako hapa
Wazungu unaweza ukawachukia milele😰 wasenge sanaa
acha tu sema simu unayotumia ata ni ya wazungu 😆😆😆
Wasenge kweli kweli MACHETANI
Hata mimi sana
Don Me sio ya wazungu
umetukana eeh?
Muko vizuri Sana wasafi tv_ the story book
Ur xo creativity bro, kp it up 🔥🔥🔥🔥
Jamal unajua sana kusimulia na sauti yako ni ya simulizi...hongera kwa kazi nzuri
Hongera sana nduguyangu jamal kwa simulizi nzuri ALLAH AZZAH WAJALAH AWE PAMOJA NA WEWE, ni mimi Hassan gamal tobiko from Kenya
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Kama nawewe umeona kua Jamaa kafanana na Ali kiba like hapa twende sawa
Hahaa ht mm nimesema jaman
Hivi ndo vipindi vzuri vinavyo sisimua UBONGO. asante Professor Alikiba
So sad ....and years down the line we have not yet attained independence, not just physically but psychologically. A deep history...TRULY PROFESSOR!!!Nice work
Na wewe mtumwa unatumia ruga sio taifa
Otabenga Atakuwa Na Undugu Na Chibudenga
😂
He he
😂😂
😁.. chibudee chibudenga
@@MenTPL 😂
Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu keep it up brother 💪
Jamali Saf endelea kutupa simliz na mungu akubalik xana
P1
Daaah kumamake.. Wazungu walicho kifanya kwa ma babu zetu sio poa
😭😭
Jaaamaaa kwa mbali kama alikiba mm nlijua kiba kwenye thumbnail
Na mm pia nimejua alikiba
@@mariamabdallah5224 😁😁nilistuka leo wasaf wameamua nn kutoa story ya kiba
Ramadhan Boi 😂
@@mariamabdallah5224 😂
Jamal unaandaika vizur Sana lakn mtiga ni msimulizi mzuri Sana inshort mmepoteza perfect combination aiseee maana wewe unaandika Story nzuri lakn hazisisimui kwenye masimulizi mtiga siku hizi anahidithi Story za kawaida Sana nafikiri amepoteza muandishi sahihi (Jamal) mlitengeneza pacha bora Sana lakn duuuh no one knows.... Ni mtazamo tu masela msijenge chuki
Kwel kbsa
Figisu tu zilifanyika, namimi nilipoona kila story inatrend UA-cam hadi namba #3 na Views mamilioni, nilihisi patatokea Fitina tu maana The Story Book ilishaanza kuteka watu wengi,..But Kwasasa tuachane na hio Combination maana Jamal mwenyew anachinja vizuri tu
@@hassan0256 it's true coz life goes on no matter what!!
Daah aaisee hii ni hatari mpka najiisi vibaya mno😢😢😢😢
Walifanyiwa vibaya mno
DUH HUYO OTABENGA USIOMBE AKUNG'ATE HAYO MENO DUH😂😂
🤣🤣🤣stop that
Ana sauti nzuri sana kwa simlizi yaani unasikika vizuri maneno unatamka vizuri sana, alafu msimulizi alitaka kufanana na Ally Kiba
From 254 🇰🇪🇰🇪 thanks a lot jamal
I really is love with this soundtrack, Inaendana na visa hivyo ni ubunifu wa hali ya juu when i think about The story book by Jamal, the soundtrack it's also my favorite issue to that stories 👌❤😎💪😊
Bro unachunguza asee, like kwa kaka mkubwa jamn
Thanks for this wonderful story I love this... Kindly I would like to see more of this and other ones that happens and that happens century bless
Jamal atar Sana ww ni professor haswaaa
Msenge nilikua sikukubali ila saivi nakuelewa sanaa kweli huwezi kufanikiwa bila kupigwa mawee hongera umetuprove rwong sisi kama wajumbe
Nimeikosa kwa tv leo nilikuwa naisubir huku .🔥🌍🔥
Huwa na mda gan kwa tv?
Mko vizuri sana MashaAllah lakini natamani sana kuwapata na kwenye PODCAST wasafi mtupe storybook pia kwenye Podcast wengine tunapendelea zaidi Podcast kusikiliza ila kila kitu ni kizuri nafurahia sana Storybook MashaAllah ila mkileta na podcast zenu itapendeza zaidi na zaidi
Asante sana WASAFI
Bro unapata kupitia podcast yangu karibu na u share please link on twitter.com/erickitalazyo
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🔥huyu jamaa anajua
Asante kaka kwa Chanel yako swala langu niku uliza mungu hakukua naona aya nakubali Sasa kama dini nizakututapelitu
Ndy professor... Heshima kwako Jamal..👍 japo natamani mtiga ajirudi muendelee kufanya kazi kwa pamoja kwan mna combination nzuri sana
Huu ogonjwa Wa kitaifa wakuomba like kila siku umevuma sijui kwanini au namm ndo njaaa yangu
lots of love from kenya...kazi nzuri
Baada ya Mungu ni mzungu, mmm mimi nasema baada ya Mungu, nimimi Amos, the little God on the earth, because i am a chidl of God.
WHY THEY don't SHOW this ON TV to ur children IN AFRICA or teachin at school. let the children know their enemies. Itakuwa vizuri for th new GENERATION
Wale wa story book tujuane🖐🖐🖐
Kama umegundua Jamal anamapozi ya kucheza na story akiwa anasimulia gonga like yako hapa
Professor unajua sana.
Siwapendi wazungu kutoka moyoni yani hata kama ubaguzi wa rangi umepigwa marufuku walaaniwe kabisa mbwa awa
Can we all as an African people come together and unite . We still suffer from the effects of slavery. Look at what our people had to go through 😭😭 very heartbreaking 💔!! Let us please unite ...I hope this message does not fall on deaf ears.we can do it!!!
Problem is our leaders,
Not in Africa countries
prblm iz neo colonialsm
you still even use their language....inafurahisha sana utumwa unaotutesa sisi Waafrika ni wa fikra
@@edmundmbele4307 hakika. xax ame2mia english ya nn xx.
Brother uko Safi Yani unasimulia vizuri Sana story book
Vyema sana unatafiti, pia Sauti yako inaridhisha MTU kuendelea kusikiliza
Nashukuru kwa Story nzuri . Sass naomba unifahamishe naona vid
Dahhhh aisee haya mateso si za kawaida, dahhh inaumiza sana jmn!!! Afu cha kushangaza hata wanawake hawakuachwa, wote waliteswa vibaya sana na minyororo shingoni mwao!!! Jmn wazungu si watu!!! Hawa watu weupe jmn ni mashetani wakubwa!!! Oky tuwaache tu, Mungu atatufuta machozi siku mmoja. Amen.
Ata kabla sijaanza kuskiliza....mmetisha sana wasafi kwa ubunifu, big up🤙
Jamal Mustapha!! You're the Great💪💪
OTABENGA ...R.I.P
asalamu alaikum mwalimu wetu mim nakuobea allah akuzidishie ilimu nauhai katika maisha yako pia katika mgogo wako Allah atoa moja kama wewe jamali Allah akupe janah firidaush amina🙏
creativity za kimataifa axeee
Napenda kusikiliza store book bgpu xana jamal
Upo vzuri sana Prof.👌😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
Ila unaniliza kipenzi am a bit sensitive when it comes to anything to do with children hasa ikiwa si kitu kizuri wanacho pitia.😭😭😭😭 as always kazi nzuri Jamal 💪
m.ua-cam.com/video/6abyIWmevO8/v-deo.html
😢😢baeb
ouchhhhh!!!!
IT'S NOTHING BUT A PAINFUL CREDIBLE TRUTH Pro. JAMAL
I just feel like this was more than brutality.
It's time that we as Africans should feel this as being ruthless and we ought to stand and STAND as resolute people. people with brains enough to rise up .
Naona #TheStoryBook imeanza kivingine daah hatare... ubunifumoja amazing
Huyu Jamaa Ndio Alikuwa ana Mfanya Mtiga Ashine Jamaa Anafanya Tafiti Zakisomi
Wacha uchawi kila mt anauwezo n kipaj mungu fundi
Hahahaaaaa 1st. nimejikuta nazingatia video production
2nd. Audio
(Kizazi Sana)
Nzuli sana
The first to coment hit like here
m.ua-cam.com/video/6abyIWmevO8/v-deo.html
Nakubaliiiiii n kam umeot NECTA 4m6 2020
Unasauti nzuri yaan kazi yako imekfit
Eemwenyezi mungu tuondoshee tawala za wazungu katika uso wa dunia
mungu atatulipishia si wa Africa kwa waliotufanyia wazungu
Daaah huu utumwa utaishi lini,hawa wazungu washenz kweli,
Très bon boulot mon frère, les jeunes ont besoin de connaître notre histoire big up👏🏾👏🏾
Maana tupe
@@horizoncompany2192 Kazi nzuli Sana Ndugu Yangu Kwani Sisi vijana Tunahitaji kujua Histori zetu................ Mpaka Hapo najua utakua umemuelewa Bibi mariam Lucky
m.ua-cam.com/video/6abyIWmevO8/v-deo.html
Daaah inaumiza Aiseee
Waafraka kwann watu hawa bado tu tunaitaji maada wao ingawa walitutesa Sana hata hivyo mpaka sasa bado wanataka kutumaliza like please anayekubaliana na me
Kila ijuma saa moja nakumbuka shuleni the story book
Mini Akili yangu baada yakusikia hiyi simlizi inaniabia kila mzungu no mshezi kwangu.
YAMOTO KABISA PROFESSOR KIJANA WAKO HAPA NDOTO ZANGU KUKUSOMEA ULICHO ANDIKA MKUU!!
Wanatakiwa kutulipa fidia wanasheria wako wapi kwa upuuzi waliotufanyia wajinga hawa
Profesor Jamal.. big up sana mzee..
Kaz nzuri, "Tofautisha kufadhaika na na kutaharuki".
Safi kabisa imeweza nipo thika Nairobi mfuasi wa majarida yako.
nasikitika sana baada ya kuona watanzania wenzangu wanalilia like nakusahau walichopaswa kujifunza kutokana na historia hiyo
Daaah mpka roho imeniuma yani
I apritiet my bro.good work
Very sad 😭 story makes me cry 😭 and angry Africa wake up time for change from me to U God 🙏🙌
Kiukweli najisikia hasira sana,alafu leo Kuna viongoz wa kiafrica bado wanawakumbatia hawa wazung daaah
Nakuelewa sana jamal
Yan hao wazungu nawaarabu ndowameleta dini ety watu waokoke acheni kuwa wajinga wasenge ssana hao😘😚😘😚😘😚
🍸🍸🍸🍸🍸🍸
Happy New Year
Inasikitisha sana.kumbe nkulunzinza alikuwa yupo sahihi
Jamal ubarikiwe inauma sana tulikosea wapi mungu wetu tuzindue akili zetu tuwe na umoja
Salute kaka Mungu Azd kukbark nakubari xn kaz yako
Professor Jamal April ,I appreciate bro unajua
Me.. Nakubali.. Kaz.. Yako.. Unajua.. Kinoma
dah!!!!😌😌 kwa ukatili huu alafu tunasubutu kuwapenda wazungu mmmh
Jamal kazi nzuri barikiwa
Nakukubali sana napenda story kama hizi