#TheStoryBook

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 850

  • @edmundmbele4307
    @edmundmbele4307 4 роки тому +17

    Namshangaa sana mou anaelilia kwenda ulaya, kufanya kazi za ndani wakati rasilimali zote Zipo huku,hususani Ardhi.laiti kama mababu zetu wangeona kizazi chetu tunavyolilia kupendwa na wazungu,na kuwakaribisha kwetu na kuwanyenyekea,nadhani wangelia sana.Tunawabatiza watoto zetu majina yao ya kishetani,zaidi sana tunabaguana kwa dini dini ambazo zimetoka kwao hao hao washenzi,unawezaje kumuita ndugu na jamaa yako kafiri kisa tu,haamini imani ya kitumwa kutoka huko kwa mashetani weupe.Unakuta mzazi yupo tayari mwanae aitwe BROWN,lakini sio aitwe KAHAWIA,hivi tupo sawa kiakili jamani.......PUMBAVU KABISA

  • @maestro1902
    @maestro1902 4 роки тому +55

    No 10 kucoment story nomaaa✊✊✊

    • @peterokalo9632
      @peterokalo9632 4 роки тому +3

      Very interesting let the young generation youths to know the truth

  • @kandeboyjrmanji7149
    @kandeboyjrmanji7149 4 роки тому +66

    Huyu ndo mbadala sahihi was mtiga abdalahh...jamaa anajua sana...naombeni likes zenu na mimi

    • @shabanramadhan3587
      @shabanramadhan3587 4 роки тому +1

      Mtiga zaid uyuu proffes

    • @hassaniothumani5501
      @hassaniothumani5501 4 роки тому +5

      @@shabanramadhan3587 huyo mtiga tumemjua kupitia huyu maana huyu ni muandishi na msimulizi Mwamba

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 4 роки тому +2

      Huyu ndie aliye mpika mtiga, Mtiga Ni mwanafunzi wa huyu bwana

    • @nawesulle3566
      @nawesulle3566 4 роки тому +2

      Huyu ndo anajua sanaaa

    • @MuganwaPatrick-jy3fx
      @MuganwaPatrick-jy3fx Рік тому

      Yoo nependa sana comment Yako nipe nambari zako za sim

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 4 роки тому +41

    OTA Benga😝alikuwa na meno yamechongoka km sururuu km umegundua hilo twende pmj na otabenga na chibudenga ndugu wa damu kwa like za kufa nyanii👍👍👍

  • @allexlunny7795
    @allexlunny7795 4 роки тому +7

    Hongera sana bro tunajivunia kuwa na watanzania wabunifu kama ivi tukiwa kama watanzania endelea kutufundisha wavivu wa kusoma vitabu

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi2465 4 роки тому +37

    My brother Jamal
    Historia ya utumwa ni ya kusikitisha sana sana sana
    Mume wangu ni Mmarekani mweusi ambae hajui ni nchi gani ametokea Africa, yeye ni kizazi cha nne,lakini bado anauchungu sana kwa hawa washenzi wazungu,ukiishi na hawa waamerika ndio utajua jinsi gani bado wanauchungu mno na sio rahisi kusahau,ni historia ya kusikitisha sana kama ukisikia wenyewe wakikuaadithia.

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Рік тому

      Kuna na huku omani dada kila mtu mweusi anakwambia ana jua Kiswahili japo vizaz vyao sasa hawajui kuzngumza inaumiza Sana Allah awalaani ote walotesa ndug zetu

    • @ShaniSalum-ws6ip
      @ShaniSalum-ws6ip Місяць тому

      Mungu atalipa inshallah

    • @williamcosmas1986
      @williamcosmas1986 Місяць тому

      Ujinga wa waafrica ni huu ety Allah atalipa😢, Naamini mungu yupo ila sio hizi dini za kitumwa hizi.

  • @saidantugwa7671
    @saidantugwa7671 4 роки тому +30

    Jamal uko deep sana proffesor!!! Umetisha unachimba madini c kitoto~good bless yuh"

  • @louiriri
    @louiriri 4 роки тому +267

    Wanaosema Jamar Anafanana na Alikiba Gonga like hapa

  • @victormwansasu7005
    @victormwansasu7005 4 роки тому +15

    Kalii sana ....Niwabunifu sanaa Wa vipnd vyenu ...Huwa havichoshi #wasafi for de life#

  • @ibrahimnyutu1461
    @ibrahimnyutu1461 4 роки тому +19

    Wasafi-storybook for life professor
    Kutoka Kenya tuko pamoja
    Twajua utumwa mpka wa Leo haujaisha sisi Kama waafrika tushikane pamoja tuweze kuukabidhi racism duniani💯

  • @costantinejohn6661
    @costantinejohn6661 4 роки тому +14

    Hii story imenikumbusha shule jmn bigup sana bro

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 4 роки тому +4

    Allah Akbar. Allah awalaani mizungu iliofanya ivo. Inauma sana

  • @abdulmarijani3301
    @abdulmarijani3301 4 роки тому +9

    Nice mwamba your the hero

  • @carolkangethe9544
    @carolkangethe9544 4 роки тому +8

    Jamal is alikiba's look alike
    Viva africa may God bless Africa both today and forever..

  • @rameckshalom9056
    @rameckshalom9056 4 роки тому +2

    Africa tulipata tabu sana ndy naama m/mungu kaamua kupunguza covd19 or corona kwa kiasi kikubwa xana niayake tupumzike tumetesek xan

  • @Yuzzowgrapher
    @Yuzzowgrapher 4 роки тому +3

    dah jamaa anajua sana.....kama unapenda kuwa na IQ kama ya huyu jamaa weka like yako hapa

  • @makalakatembo4773
    @makalakatembo4773 4 роки тому +70

    Wazungu unaweza ukawachukia milele😰 wasenge sanaa

  • @elias123lazaro3
    @elias123lazaro3 4 роки тому +8

    Muko vizuri Sana wasafi tv_ the story book

  • @jolamababyofficial6481
    @jolamababyofficial6481 4 роки тому +21

    Ur xo creativity bro, kp it up 🔥🔥🔥🔥

  • @mfaumeseif5872
    @mfaumeseif5872 4 роки тому +2

    Jamal unajua sana kusimulia na sauti yako ni ya simulizi...hongera kwa kazi nzuri

  • @looruaolendere2597
    @looruaolendere2597 3 роки тому +1

    Hongera sana nduguyangu jamal kwa simulizi nzuri ALLAH AZZAH WAJALAH AWE PAMOJA NA WEWE, ni mimi Hassan gamal tobiko from Kenya

  • @NiaKelly-sh4hj
    @NiaKelly-sh4hj 9 місяців тому +1

    Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @muhammadkombi5954
    @muhammadkombi5954 4 роки тому +50

    Kama nawewe umeona kua Jamaa kafanana na Ali kiba like hapa twende sawa

    • @mariamabdallah5224
      @mariamabdallah5224 4 роки тому +2

      Hahaa ht mm nimesema jaman

    • @tomkroos2094
      @tomkroos2094 4 роки тому

      Hivi ndo vipindi vzuri vinavyo sisimua UBONGO. asante Professor Alikiba

  • @stellaobieno8696
    @stellaobieno8696 2 роки тому +5

    So sad ....and years down the line we have not yet attained independence, not just physically but psychologically. A deep history...TRULY PROFESSOR!!!Nice work

  • @anuaryfernandez7230
    @anuaryfernandez7230 4 роки тому +91

    Otabenga Atakuwa Na Undugu Na Chibudenga

  • @sebastiandidier7928
    @sebastiandidier7928 4 роки тому +5

    Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu keep it up brother 💪

  • @billydagga8266
    @billydagga8266 4 роки тому +2

    Jamali Saf endelea kutupa simliz na mungu akubalik xana

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 4 роки тому +2

    Daaah kumamake.. Wazungu walicho kifanya kwa ma babu zetu sio poa

  • @ramadhanboi6485
    @ramadhanboi6485 4 роки тому +9

    Jaaamaaa kwa mbali kama alikiba mm nlijua kiba kwenye thumbnail

  • @barakavictor5959
    @barakavictor5959 4 роки тому +8

    Jamal unaandaika vizur Sana lakn mtiga ni msimulizi mzuri Sana inshort mmepoteza perfect combination aiseee maana wewe unaandika Story nzuri lakn hazisisimui kwenye masimulizi mtiga siku hizi anahidithi Story za kawaida Sana nafikiri amepoteza muandishi sahihi (Jamal) mlitengeneza pacha bora Sana lakn duuuh no one knows.... Ni mtazamo tu masela msijenge chuki

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 4 роки тому

      Kwel kbsa

    • @hassan0256
      @hassan0256 4 роки тому

      Figisu tu zilifanyika, namimi nilipoona kila story inatrend UA-cam hadi namba #3 na Views mamilioni, nilihisi patatokea Fitina tu maana The Story Book ilishaanza kuteka watu wengi,..But Kwasasa tuachane na hio Combination maana Jamal mwenyew anachinja vizuri tu

    • @barakavictor5959
      @barakavictor5959 4 роки тому

      @@hassan0256 it's true coz life goes on no matter what!!

  • @fatmamwatamba5881
    @fatmamwatamba5881 4 роки тому +2

    Daah aaisee hii ni hatari mpka najiisi vibaya mno😢😢😢😢
    Walifanyiwa vibaya mno

  • @husseinmambo6739
    @husseinmambo6739 4 роки тому +7

    DUH HUYO OTABENGA USIOMBE AKUNG'ATE HAYO MENO DUH😂😂

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 4 роки тому +2

    Ana sauti nzuri sana kwa simlizi yaani unasikika vizuri maneno unatamka vizuri sana, alafu msimulizi alitaka kufanana na Ally Kiba

  • @taliskare3007
    @taliskare3007 4 роки тому +6

    From 254 🇰🇪🇰🇪 thanks a lot jamal

  • @aftermath5226
    @aftermath5226 4 роки тому +10

    I really is love with this soundtrack, Inaendana na visa hivyo ni ubunifu wa hali ya juu when i think about The story book by Jamal, the soundtrack it's also my favorite issue to that stories 👌❤😎💪😊

  • @kelvinpatrick5305
    @kelvinpatrick5305 4 роки тому +4

    Bro unachunguza asee, like kwa kaka mkubwa jamn

  • @cliffordogolla7294
    @cliffordogolla7294 4 роки тому +1

    Thanks for this wonderful story I love this... Kindly I would like to see more of this and other ones that happens and that happens century bless

  • @shabaniadolph7367
    @shabaniadolph7367 4 роки тому +22

    Jamal atar Sana ww ni professor haswaaa

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 4 роки тому +1

    Msenge nilikua sikukubali ila saivi nakuelewa sanaa kweli huwezi kufanikiwa bila kupigwa mawee hongera umetuprove rwong sisi kama wajumbe

  • @hassaniothumani5501
    @hassaniothumani5501 4 роки тому +24

    Nimeikosa kwa tv leo nilikuwa naisubir huku .🔥🌍🔥

  • @onemoremotivation8045
    @onemoremotivation8045 4 роки тому +6

    Mko vizuri sana MashaAllah lakini natamani sana kuwapata na kwenye PODCAST wasafi mtupe storybook pia kwenye Podcast wengine tunapendelea zaidi Podcast kusikiliza ila kila kitu ni kizuri nafurahia sana Storybook MashaAllah ila mkileta na podcast zenu itapendeza zaidi na zaidi
    Asante sana WASAFI

    • @elifarijilaizer4846
      @elifarijilaizer4846 4 роки тому

      Bro unapata kupitia podcast yangu karibu na u share please link on twitter.com/erickitalazyo

  • @norbertmafioso3213
    @norbertmafioso3213 4 роки тому +6

    🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🔥huyu jamaa anajua

  • @franckomar1008
    @franckomar1008 4 роки тому +5

    Asante kaka kwa Chanel yako swala langu niku uliza mungu hakukua naona aya nakubali Sasa kama dini nizakututapelitu

  • @kelyanjeremiya2533
    @kelyanjeremiya2533 4 роки тому +1

    Ndy professor... Heshima kwako Jamal..👍 japo natamani mtiga ajirudi muendelee kufanya kazi kwa pamoja kwan mna combination nzuri sana

  • @edwardgistave9488
    @edwardgistave9488 4 роки тому +8

    Huu ogonjwa Wa kitaifa wakuomba like kila siku umevuma sijui kwanini au namm ndo njaaa yangu

  • @morrismwangi8015
    @morrismwangi8015 4 роки тому +3

    lots of love from kenya...kazi nzuri

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero9958 3 роки тому

    Baada ya Mungu ni mzungu, mmm mimi nasema baada ya Mungu, nimimi Amos, the little God on the earth, because i am a chidl of God.

  • @goldshukri86
    @goldshukri86 4 роки тому +12

    WHY THEY don't SHOW this ON TV to ur children IN AFRICA or teachin at school. let the children know their enemies. Itakuwa vizuri for th new GENERATION

  • @joobrizy1436
    @joobrizy1436 4 роки тому +29

    Wale wa story book tujuane🖐🖐🖐

  • @meddywayne7155
    @meddywayne7155 4 роки тому +2

    Kama umegundua Jamal anamapozi ya kucheza na story akiwa anasimulia gonga like yako hapa

  • @jaymontale4718
    @jaymontale4718 4 роки тому +1

    Professor unajua sana.

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Рік тому +1

    Siwapendi wazungu kutoka moyoni yani hata kama ubaguzi wa rangi umepigwa marufuku walaaniwe kabisa mbwa awa

  • @Buonjiboy
    @Buonjiboy 4 роки тому +38

    Can we all as an African people come together and unite . We still suffer from the effects of slavery. Look at what our people had to go through 😭😭 very heartbreaking 💔!! Let us please unite ...I hope this message does not fall on deaf ears.we can do it!!!

    • @dishasuwa7616
      @dishasuwa7616 4 роки тому +5

      Problem is our leaders,

    • @mosucc1269
      @mosucc1269 4 роки тому

      Not in Africa countries

    • @denicodilo9484
      @denicodilo9484 4 роки тому

      prblm iz neo colonialsm

    • @edmundmbele4307
      @edmundmbele4307 4 роки тому +4

      you still even use their language....inafurahisha sana utumwa unaotutesa sisi Waafrika ni wa fikra

    • @richardibrahim5609
      @richardibrahim5609 3 роки тому

      @@edmundmbele4307 hakika. xax ame2mia english ya nn xx.

  • @twaribkitogota208
    @twaribkitogota208 4 роки тому +1

    Brother uko Safi Yani unasimulia vizuri Sana story book

  • @avitusdamian3232
    @avitusdamian3232 4 роки тому +2

    Vyema sana unatafiti, pia Sauti yako inaridhisha MTU kuendelea kusikiliza

  • @mkatungu7457
    @mkatungu7457 2 роки тому +1

    Nashukuru kwa Story nzuri . Sass naomba unifahamishe naona vid

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 4 роки тому

    Dahhhh aisee haya mateso si za kawaida, dahhh inaumiza sana jmn!!! Afu cha kushangaza hata wanawake hawakuachwa, wote waliteswa vibaya sana na minyororo shingoni mwao!!! Jmn wazungu si watu!!! Hawa watu weupe jmn ni mashetani wakubwa!!! Oky tuwaache tu, Mungu atatufuta machozi siku mmoja. Amen.

  • @Pro_Hacker99
    @Pro_Hacker99 4 роки тому +2

    Ata kabla sijaanza kuskiliza....mmetisha sana wasafi kwa ubunifu, big up🤙

  • @mjuba
    @mjuba 4 роки тому +5

    Jamal Mustapha!! You're the Great💪💪

  • @ismailkasim7960
    @ismailkasim7960 4 роки тому +22

    OTABENGA ...R.I.P

  • @maddog5358
    @maddog5358 8 місяців тому

    asalamu alaikum mwalimu wetu mim nakuobea allah akuzidishie ilimu nauhai katika maisha yako pia katika mgogo wako Allah atoa moja kama wewe jamali Allah akupe janah firidaush amina🙏

  • @hellyally4395
    @hellyally4395 4 роки тому +15

    creativity za kimataifa axeee

  • @ankomady7619
    @ankomady7619 3 роки тому

    Napenda kusikiliza store book bgpu xana jamal

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 роки тому +2

    Upo vzuri sana Prof.👌😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 4 роки тому +20

    Ila unaniliza kipenzi am a bit sensitive when it comes to anything to do with children hasa ikiwa si kitu kizuri wanacho pitia.😭😭😭😭 as always kazi nzuri Jamal 💪

  • @nzekindunga988
    @nzekindunga988 4 роки тому +3

    ouchhhhh!!!!
    IT'S NOTHING BUT A PAINFUL CREDIBLE TRUTH Pro. JAMAL
    I just feel like this was more than brutality.
    It's time that we as Africans should feel this as being ruthless and we ought to stand and STAND as resolute people. people with brains enough to rise up .

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 4 роки тому +1

    Naona #TheStoryBook imeanza kivingine daah hatare... ubunifumoja amazing

  • @frankafrica3973
    @frankafrica3973 4 роки тому +38

    Huyu Jamaa Ndio Alikuwa ana Mfanya Mtiga Ashine Jamaa Anafanya Tafiti Zakisomi

    • @hooswengosha2985
      @hooswengosha2985 3 роки тому

      Wacha uchawi kila mt anauwezo n kipaj mungu fundi

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads 4 роки тому +8

    Hahahaaaaa 1st. nimejikuta nazingatia video production
    2nd. Audio
    (Kizazi Sana)

  • @veronicaboaz9812
    @veronicaboaz9812 4 роки тому +3

    Nzuli sana

  • @bobrama5844
    @bobrama5844 4 роки тому +23

    The first to coment hit like here

    • @Micharazotz
      @Micharazotz 4 роки тому

      m.ua-cam.com/video/6abyIWmevO8/v-deo.html

  • @hkingapunisher9724
    @hkingapunisher9724 4 роки тому +1

    Nakubaliiiiii n kam umeot NECTA 4m6 2020

  • @issaabdallah2417
    @issaabdallah2417 4 роки тому

    Unasauti nzuri yaan kazi yako imekfit

  • @yachuafricansmart1763
    @yachuafricansmart1763 4 роки тому +1

    Eemwenyezi mungu tuondoshee tawala za wazungu katika uso wa dunia

  • @Shortstor-w7h
    @Shortstor-w7h 2 роки тому

    mungu atatulipishia si wa Africa kwa waliotufanyia wazungu

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 4 роки тому

    Daaah huu utumwa utaishi lini,hawa wazungu washenz kweli,

  • @mariamlucky52
    @mariamlucky52 4 роки тому +18

    Très bon boulot mon frère, les jeunes ont besoin de connaître notre histoire big up👏🏾👏🏾

    • @horizoncompany2192
      @horizoncompany2192 4 роки тому

      Maana tupe

    • @maopangyas3381
      @maopangyas3381 4 роки тому +1

      @@horizoncompany2192 Kazi nzuli Sana Ndugu Yangu Kwani Sisi vijana Tunahitaji kujua Histori zetu................ Mpaka Hapo najua utakua umemuelewa Bibi mariam Lucky

    • @Micharazotz
      @Micharazotz 4 роки тому

      m.ua-cam.com/video/6abyIWmevO8/v-deo.html

  • @jaydomjukuuhoteli8485
    @jaydomjukuuhoteli8485 4 роки тому

    Daaah inaumiza Aiseee

  • @thomasdonald6604
    @thomasdonald6604 4 роки тому +1

    Waafraka kwann watu hawa bado tu tunaitaji maada wao ingawa walitutesa Sana hata hivyo mpaka sasa bado wanataka kutumaliza like please anayekubaliana na me

  • @EffortEffort-c7r
    @EffortEffort-c7r Рік тому

    Kila ijuma saa moja nakumbuka shuleni the story book

  • @etolozakaria3916
    @etolozakaria3916 4 роки тому +9

    Mini Akili yangu baada yakusikia hiyi simlizi inaniabia kila mzungu no mshezi kwangu.

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 4 роки тому +37

    YAMOTO KABISA PROFESSOR KIJANA WAKO HAPA NDOTO ZANGU KUKUSOMEA ULICHO ANDIKA MKUU!!

    • @zenapetro849
      @zenapetro849 4 роки тому

      Wanatakiwa kutulipa fidia wanasheria wako wapi kwa upuuzi waliotufanyia wajinga hawa

  • @lioneltiger1148
    @lioneltiger1148 4 роки тому +1

    Profesor Jamal.. big up sana mzee..

  • @mkamanabasabyona7675
    @mkamanabasabyona7675 4 роки тому

    Kaz nzuri, "Tofautisha kufadhaika na na kutaharuki".

  • @razioesbondopevil2421
    @razioesbondopevil2421 4 роки тому

    Safi kabisa imeweza nipo thika Nairobi mfuasi wa majarida yako.

  • @tzcivilengineeringupdate4275
    @tzcivilengineeringupdate4275 4 роки тому +1

    nasikitika sana baada ya kuona watanzania wenzangu wanalilia like nakusahau walichopaswa kujifunza kutokana na historia hiyo

  • @japhetmasini8632
    @japhetmasini8632 4 роки тому +1

    Daaah mpka roho imeniuma yani

  • @fabianenosy7027
    @fabianenosy7027 3 роки тому

    I apritiet my bro.good work

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 3 роки тому +2

    Very sad 😭 story makes me cry 😭 and angry Africa wake up time for change from me to U God 🙏🙌

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 4 роки тому +1

    Kiukweli najisikia hasira sana,alafu leo Kuna viongoz wa kiafrica bado wanawakumbatia hawa wazung daaah

  • @bahatymashaka9440
    @bahatymashaka9440 4 роки тому +1

    Nakuelewa sana jamal

  • @JapharyMajidi-tb8fh
    @JapharyMajidi-tb8fh 8 місяців тому +1

    Yan hao wazungu nawaarabu ndowameleta dini ety watu waokoke acheni kuwa wajinga wasenge ssana hao😘😚😘😚😘😚
    🍸🍸🍸🍸🍸🍸
    Happy New Year

  • @tobiasmsuya
    @tobiasmsuya 4 роки тому +2

    Inasikitisha sana.kumbe nkulunzinza alikuwa yupo sahihi

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 4 роки тому

    Jamal ubarikiwe inauma sana tulikosea wapi mungu wetu tuzindue akili zetu tuwe na umoja

  • @eliashraimos8467
    @eliashraimos8467 4 роки тому

    Salute kaka Mungu Azd kukbark nakubari xn kaz yako

  • @sm5tv
    @sm5tv 4 роки тому +1

    Professor Jamal April ,I appreciate bro unajua

  • @winnyfridahimel1931
    @winnyfridahimel1931 4 роки тому

    Me.. Nakubali.. Kaz.. Yako.. Unajua.. Kinoma

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 4 роки тому

    dah!!!!😌😌 kwa ukatili huu alafu tunasubutu kuwapenda wazungu mmmh

  • @reubenngomi4377
    @reubenngomi4377 4 роки тому

    Jamal kazi nzuri barikiwa

  • @shamsahussein7265
    @shamsahussein7265 4 роки тому

    Nakukubali sana napenda story kama hizi