MAANA YA KUOTA UNAPAA
Вставка
- Опубліковано 10 бер 2024
- Je umeshawahik kuota ndoto za kupaa hewani kwa namna moja au yeyote? Na je umeshawahi kufuatilia maana halisi ya kuota unapaa?
Haya ni majibu sahihi kabisa kwa habari ya MAANA HALISI inayoendana na KUOTA UNAPAA.
Me naota napaa, mda mwingine naota naombea watu kanisani na wanapona, naomba uniambie maana yake mchungaji 🙏
Amina mtumishi wa mungu mi naota mala nying sana watu wa baya wakiwa wananifukuzia alafu najikuta nawakwepa kwa kupaa nisaidie mtumishi maana yake
Hiyo ina maana kuna watu waovu kama wachawi na jamii nyingine ya watu waovu wanaotaka kukushusha chini na kukuangamiza.
Ila hapo inaonyesha unapaa kwa sababu kuna neema ya BWANA katika kukuwezesha kuwaepuka.
Ila unaitaji kujua namna ya kufanya maombi ya vita ili kukata mzizi mzima wa waovu hao.
Naomba nisaidie kunifungulishs kazi ya. Mungu yaani kibali
Sema mtumishi wa bwana
Pia mtaani kwangu baada ya kuokoka nikawa nachukiwa sana na baadhi ya watu
Mimi miaka 38 mpaka sasa nazoota ndoto za kupaa napigana, na Kuota Niko na watu maarufu zaidi kila MTU asiyenijua huniona tajiri lakin ndugu zangu upande wote wananichukia sana
Wewe hakika una hatima kubwa sana, ila unaitaji msaada wa kiroho kiasi na maombi ili uweze kufikia malengo ya hizo ndoto za ukuu
@@ulimwenguwarohonisahihi na kila kitu nimefunuliwa nishajaribu kuokoka lakin nakosa Msaada wa kiroho basi narudi Tu kuswali maana nimebase Sana lakin naimani kupitia Yesu nitasaidika Ila Niko nchi ya uarabuni sina bible wala muongozo
Itabidi nikusaidie uweze kukulia wokovu. Nitafute kupitia namba hii ya Whatsapp+255 762 444 418
Amen 🙏 🙏 🙏
Naomba unisaidie na hii ndoto mara nyingi naota niko kwa mto vusha watu,mara nione nachota maji kwa kisima cha katikati ya mto,na mara nione maji yanajaa wale nitakua nao wanakimbia na kuacha mitungi yao mimi ndio nitaivusha naomba tafasiri yake Amen.
Hii ndoto siyo nzuri kabisa. Ina maana ya kuwa hatima yako imechukuliwa na kuwekwa uteka katika vyanzo vya maji kila uweze kutumikishwa kichawi kutokea katika vyanzo vya maji husika. Soma kitabu cha UFUNUO 17
@@ulimwenguwarohoni Amen Asante sana
@@janecharo1196amen
Ameni
Mimi huwag naota wakati mwingine nipo na watu wakubwa mara nimeshikwa mkono na raisi mara wasanii wakubwa hata sielew
Mmmmm mtumishi umenigusa Sana Mimi nilikuwa napita Sana hiyo ndogo ya kupaa juu Sanaa pia nilikuwa napenda Kuota ndoto Niko viwanjani na kuna kundi kubwa la watu Kama vile mkutano halafu naambiwa niombe au niimbe nauliza sitaweza kuimba au kuomba nitakutieni aibu matokeo yake naimba watu wanafurahi na naomba mpaka watu wanapona Ila siku hizi hizo ndoto hazipo tena nifanyeje mtumishi
Wewe ulikuwa na vito mkubwa sana. Lakini hapo kinachotokea ni kuwa mafuta ya wito wako yameibiwa na kufukiwa.
Lakini kwa asili wewe una wito mkubwa sana.
Labda pia fuatilia MASOMO MENGINE YA TAFSIRI ZA NDOTO ZA WATU WALIOKUFA NILIYOTUMA HIVI KARIBUNI uone kama unaweza ukajifunza kitu pia.
Mm huwa naota napaa juu ya anga maeneo ya bahari alafu watu ambao wapo nchi kavu pembeni wananinyooshea vidole kwa kunishangaa ila mm mwenyw huwa nakuwa na hofu huwa nakuwa kama mtu aliyebebwa napelekwa juu kabsaa naomba msaada tafadhal
Jaman mi naot kila siku nikiwa napaa uku nasaidia watu
Hii ina maana una hatima kubwa sana ya mafanikio ambayo yataendana na kuwainua na kuwasaidia watu wengine
Kweli mjungaji tutafanya nn ili tutimize
Hapo unaitaji msaada wa kiroho ili kuvunja vifungo vya giza vinavyojiinua kinyume nawe
Kweli mchungaji
Amen
Mm nilikuwa naota napaa mara nyingi sana nikiwa binti naomba unishauri nifanyeje ili nifikie hatma yangu Mungu aliyonikusudia?
Kama hizo ndoto zimeacha mana yake kuna nguvu za giza zilijiinua kinyume nawe na kuleta shida ya kukwamisha hatima yako.
Pia je naona kama una shida ya mguu wa kushoto maeneo ya gotini kushuka?
Jesus that prophecy haihusiani
Mimi huwa naota napaa juu sana. Naweza ota nakimbizwa na watu wabaya af ninaruka juu sana. Kuna wakati mwingine naweza Ota nipo juu au nimepelekwa juu ya mlima mrefu sana then nasukumwa na mtu ili nianguke chini lakini sasa cha kushangaza nikiasukumwa nashuka kama nimefungiwa parachuti!
Wewe una hatima kubwa lakini kuna nguvu ya mpinzani inataka kukusukuma udondoke. Lakini bado unaonekana una mbawa za kiroho
Khaaa
Mim naota San kupaa uku naimba
Hii ina maana una wito mkubwa sana sana unaohusiana na uimbaji. Na kama utaufuatilia wito huu na kuutendea kazi basi utafika mbali sana
Me naota napaa angani pia nishawahi kuota nipo na wazazi wangu wawili wote simba akawa anataka kutuzulu wakati anamfikia mama angu nikamuua pia nishawah kuota nimelala kwenye kiti gafla ndotoni nikawa kama nimemshika mtu nyuma upande wa kulia uku nakemea kwa jina la yesu nikamvuta mbele ya miguu yangu nikaanza kumkanyaga
Wewe ni kiongozi na msaada wa familia. Sema hiyo ya kulala kwenye kiti ina maana nyeti sana
Naomba ushauli wako mtushi wa bwana