Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Asante sana Dada, hii recipe ilinipatia crepe tamu sana hadi marafiki walinipatia sifa tele. Mungu akubariki!
Asanteee! Nimeipenda recipe yako sana! Mungu akubariki! ❤️
The real pancakes hua hazina mafuta, ukiweka na cinnamon unyunyizie maple syrup ni tamu sana, mapishi uko vizuri
Nzur nimejaribu jaman mpka nimeipenda mwenyewe thanx mamy
Lecker chapati za maji asante dada ubarikiwe 👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
MashaAllah. Yummy 😋👌🏽🤗 Shukran
I tried and it worked
Kazi safi kabisa kabisa.
Thank you!
Ma nsha Allah naipanda Sana recipe yako
i like it
Jabari dada wa mapishi rahisi
Nzuri sana nmependa mamy
My husband love this thanks for the recipe
Usiseme anachopenda mumeo hadharani dear baadhi ya watu watamuiba😎
@@lauraabass1077 🙄🙄🙄🙄
Mashaallah tabarakallah shukran kwa kutuelimisha
Nimeipnda recipe yko saaaana
Nimesave InshaaAllah nitajaribu
Je kweny farampeni naweka Madhya??
Unapomwaka mchanganyiko walo kwenye pan unaweka mafuta pia unapozichoma?
Pishi zuri
Niliweka mchanganyiko mwepesi uling'ang'ania kwenye sufuria
😍
Wow nice
❤️❤️❤️❤️
Sielewi dose ya mafuta. Vikombi vyapataje? Umesema maziwa vikombe viwili lakini mengi zaidi ya vikombe viwili vya mafuta.
شكرا جزاك الله خير
Can i make the same without eggs.???
aiseeee waoooh nice but vp hutumii mafuta tena wakati wa kupika??
Naona mafuta aliweka kwenye mchanganyiko wake kabla
Salaam alkm mamangu anifundisha kutia mafuta time yakuchoma. Kwa hivo ukitia mafuta pale wamix ingredients Si lazima kutia mafuta time ya kuchoma? Ama
Nimeweka mafuta wakati wa kukoroga mchanganyiko. Ndio maana sikuweka mafuta wakati wa kuchoma. Lakini ukitaka waweza kutia dear😊❤
Kama situmii maziwa
Nazipenda na nyama ya kukaanga rosti yani we mwana mbona ni tamu.
Mashaallah
Mashallah lkn mafuta hutii wakati wakuchanganya tutaumwa c kwa mafta hyo hpo umekosea mafta unatia kidg tu wakat wa kuchoma
Mchele ni pishori upishi kila mmoja na wake
lakini umeona wakati wakuchoma hajaweka mafuta
Mashallah yummy yummy
Zakuonja tafadhali😊
maandazi
Shukran
Unga vikombe viwili ni nusu kilo au
Ni maziwa fresh au mtindi?
Fresh
😃🤣🤣🤣
Huti mafuta wakati ya kuchoma?
@@Mapishirahisi okay thank you for replying
hueki mafuta wakat wa kuoka
Kwa sababu alishaweka mafuta kwenye kukoroga mchanganyiko....
Lkn jitahid unapoosha mapish kata makucha hayo yanachefua ujue
Asante sana Dada, hii recipe ilinipatia crepe tamu sana hadi marafiki walinipatia sifa tele. Mungu akubariki!
Asanteee! Nimeipenda recipe yako sana! Mungu akubariki! ❤️
The real pancakes hua hazina mafuta, ukiweka na cinnamon unyunyizie maple syrup ni tamu sana, mapishi uko vizuri
Nzur nimejaribu jaman mpka nimeipenda mwenyewe thanx mamy
Lecker chapati za maji asante dada ubarikiwe 👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
MashaAllah. Yummy 😋👌🏽🤗 Shukran
I tried and it worked
Kazi safi kabisa kabisa.
Thank you!
Ma nsha Allah naipanda Sana recipe yako
i like it
Jabari dada wa mapishi rahisi
Nzuri sana nmependa mamy
My husband love this thanks for the recipe
Usiseme anachopenda mumeo hadharani dear baadhi ya watu watamuiba😎
@@lauraabass1077 🙄🙄🙄🙄
Mashaallah tabarakallah shukran kwa kutuelimisha
Nimeipnda recipe yko saaaana
Nimesave InshaaAllah nitajaribu
Je kweny farampeni naweka Madhya??
Unapomwaka mchanganyiko walo kwenye pan unaweka mafuta pia unapozichoma?
Pishi zuri
Niliweka mchanganyiko mwepesi uling'ang'ania kwenye sufuria
😍
Wow nice
❤️❤️❤️❤️
Sielewi dose ya mafuta. Vikombi vyapataje? Umesema maziwa vikombe viwili lakini mengi zaidi ya vikombe viwili vya mafuta.
شكرا جزاك الله خير
Can i make the same without eggs.???
aiseeee waoooh nice but vp hutumii mafuta tena wakati wa kupika??
Naona mafuta aliweka kwenye mchanganyiko wake kabla
Salaam alkm mamangu anifundisha kutia mafuta time yakuchoma. Kwa hivo ukitia mafuta pale wamix ingredients Si lazima kutia mafuta time ya kuchoma? Ama
Nimeweka mafuta wakati wa kukoroga mchanganyiko. Ndio maana sikuweka mafuta wakati wa kuchoma. Lakini ukitaka waweza kutia dear😊❤
Kama situmii maziwa
Nazipenda na nyama ya kukaanga rosti yani we mwana mbona ni tamu.
Mashaallah
Mashallah lkn mafuta hutii wakati wakuchanganya tutaumwa c kwa mafta hyo hpo umekosea mafta unatia kidg tu wakat wa kuchoma
Mchele ni pishori upishi kila mmoja na wake
lakini umeona wakati wakuchoma hajaweka mafuta
Mashallah yummy yummy
Zakuonja tafadhali😊
maandazi
Shukran
Unga vikombe viwili ni nusu kilo au
Ni maziwa fresh au mtindi?
Fresh
😃🤣🤣🤣
Huti mafuta wakati ya kuchoma?
Nimeweka mafuta wakati wa kukoroga mchanganyiko. Ndio maana sikuweka mafuta wakati wa kuchoma. Lakini ukitaka waweza kutia dear😊❤
@@Mapishirahisi okay thank you for replying
hueki mafuta wakat wa kuoka
Kwa sababu alishaweka mafuta kwenye kukoroga mchanganyiko....
Lkn jitahid unapoosha mapish kata makucha hayo yanachefua ujue
Mashaallah