Highlights | Yanga 0-1 Rivers United - CAFCL 12/09/2021
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2021
- Tazama mambo yalivyokuwa wakati Yanga ikimenyana na Rivers United kwenye mtanange wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imepoteza mchezo kwa kufungwa bao 0-1.
Ni mchezo wa raundi ya kwanza hatua ya awali.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Спорт
Waliokuja kuutazama huu mchezo baada ya kupangwa tena na rivers nipeni like zangu
Kama Nawewe ulikua ukisubirii hizi highlights za Azam gonga like tujuane
Tuliokuja kwa ajili ya Okwa tujuane🔥🔥
tulio kuja kwa ajil ya okwa tujuan
Wangapi tuliokuja kumuangalia okwa vizuri baada ya kusikia anakuja unyamani?
Al kisasi Haqi
Mtajua hamjui..Mlituonea sana kwenu Kenge Nyie.
Yanga..
Mkitulia hii timu Nageria mtawapiga..
Sio wazur sana..
Yaaan mafaraaaa hawa wamejileta mdomo wa Mamba, uhakika n nje ndani mbwa hawa
Uto mnatukana nn, Tim yenu mbovu,
Never give up Alota continues
Mngefunga nisingeangalia ila naangalia tu sababu mmefungwa 😂😂😂utoploooooooo oyeeeeeee
Daah! GSM ana kazi sn... kusem ukwl hii Mechi Yanga wamejiabisha sn
Hamna cha manara wala mzee pili hapo :D. This is genuine football OG
Kila jambo linakua na mwanzo na mwisho wake, Sasa KAZI yetu wana yanga ni kuujaza uwanja, na kuweka record yetu mpya, ya kuchukua mataji
WAMELALAAA YOOOOOOOOOOO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐵🐵🐵🐵🐒🐒 MLIKUA MNAZICHUKULIA POA TEAM ZINAZOSHIRIKI CLUB BINGWA NA UO NI MWANZO TU MANINA ZENU
ALLAH atujalie yanga tuweze kumfungu huyu Rivers
Mbona Wamepata nafasi nyingi af wamezichezea hv...daah! aisee Yanga wanastahili wachapwe Viboko
Kama walitufunga 1 na King mayele nakuchezea Dr aucho hakucheza Juma shaban hakucheza je safari hii kikosi kimekamilika watatuweza??😂😂😂😂😂
Aaa wapi...labda watuletee tena chuki zao.. Lkn mungu fundi.
Azam mnazingua sana Highlits mnachelewesha hadi tunaangalia video za kurekodiwa na tecno kwenye vi medear uchwara
Time ni nzuri sema kinamakosa madogo sana yani
Hongereni sana River kwenu naamini kbisa mtawapiga zaidi lbda wajipange sana Utopolo
Nipo apa kwa ajili ya Okwa tu
Popote ulipo shabiki wa YANGA jipige kifuani kwko na useme Mimi ni Falaa🥴😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@aishachambo8663 #hajismanara tumemkuta chooni akicheka😆
mwanangu wa moro umenichekesha sana kaka tatzo lao utopolo ule mwiko nyuma unawasumbua sana kk nipo moro mzinga
Big up, hata Kama tumefungwa
Nilifurahia Sana utopolo kufungwa hii mechi
Yani huyu kocha anataka kutuaminisha kuwa nchimbi ana maajabu kuliko kaseke, bangala na saido🤣🤣🤣
Angekuwepo kuwepo king 👑 mayele kwa nafasi izo asinge wa acha salama kama alivyo wafanyia sasa
Nipo hapa kumwangalia Okwa
Tupo haps
Manara ana dhambi et Tim inafungwa anaenda kuchekea chooon,lakin Ii nchi ndg mda utafika tutakupiga mawe this uto🐸🐸🐸🐸
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwemwe poleni sna utopolo tatizo mmesajili waimba kwaya wengi
MAREHEMU ALIKUA NA TATIZO LA MDOMO MREFU
Simba level ingine kbisaa
Highlight imechelewa sana aisee
Huyu Fesal ilo goli alilokosa dah ila ndo wachezaji wetu walivyo hawana nidham na mpira leo atakuchezea vizuri alafu kesho anacheza Blanda kama izo tatizo wana mazoea sana 😂😂😂
Poleni sana watani zetu mkajaribu kupindua meza huko Nigeria kilala kheri watani
Lakini wamejitahidi kufungwa gol moja na livers pool mabingwa wa ulaya wamejitahidi sana
Wee vipi unawatakia kila kheri kwani wewe uwa wanakutakiaga kheri ....wakomeee wakomeeee wapuuuuzi
@@rithadonatus8110 😂😂😂doooh utaki ujinga
Nna uchungu sana kila nikikumbuka, jamaa walitunyanyasa sana hawa....watakiona kivumbi na jasho....
Ila hata hawakupokelewa kwa uzuri poleni sana waliwachukia kweli River nfo maana wameamua kuwatenda zaidi duhu
Yanga ni timu yangu lakini inasikitisha kikweli
*bcs of okwa am here hata kama sijui kinge ila nimeeleweka kudadeki*
Rive wako vizuri sana wajitahidi kuoasiana mipira na kucheza kwa upendo watapata magoli mengi snaa
CAF wana wimbo mzuri sana.YNWA
Tumelala Yooooo
Yanga mpira upo safi,umakini tu........fei toto amepoteza nafasi na wengine wengi.Tumefungwa ila nimeridhika na perfomance ya Yanga.
na wao wameivuruga saf yenu ya ulinzi mara ngap shukur mola mngetiwa vitatu halali au vinne na kule mnaenda kukalia msumar wa moto😂😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Hakuna kitu pale, umejifaraji tu Yanga ilikuwa wakufunga kabisa lakini wametobanga inakuwa wacheza mpara wakubahatisha
The return of utopolo.., vipigo viendelee n,,!😂😂
Hii mechi tuliwakosakosa sana hawa jamaa safari hii tunawakanda nje ndani
Baada ya mechi kipa wao RIVERS UTD AMEIPONDA sana MISUKULE FC eke MIGONGO WAZI FC na kuipa VYEO SIMBASCTZ eke MNYAMAA MKALI 🦁🦁🦁💪💪💪
Tz mwache mpira wa midomo na magazeti mpira ni uwajani
Ninyi wenyewe acheni pia kazaneni ,timu za kenya nazo tia maji tia maji tu
@@emmadora7848 Wewe sijakuelewa,watz wenzako wanasemaje?
Wahooo safi sana Giper wa River tumpateje huyo dah yuko poa sanaaa
Mlisema Simba anashinda kwakua kuna Corona kwan vip Corona imeisha
Rivers mmenipa Raha Sana
subir ya kwenu
Bora sisi ni kamchezo kakirafiki huwii sasa nyie utopolo jmn mwanzoni kbisa mwa ligi mshatolewa huwiii hta hmjacheza. Mara mbili duhu utopolo mwaka huu mtaishia tu na manara wenu
Kibwana, Mauya, Adeuy wote hawafai kuanza kwa game yyte, kfupi hao ndo waifersha Yanga SC, Yanga SC naiamin sana nguvu na Taifa moja, 2tasonga mbele
msonge wap mna gem mbil zijazo mkikojolewa kwaheri 😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐵
@@daudsam3146 🤓🤓🤓🤓🤓
Dah makambo ulimi ni tai
Mamaaaaa!! kumbe ukiangalia marudio yanga wanafungwa tena
Bahati haikuwa Tanzania Jana tujipenge TM iko Poa
Wamelala Yoooooo
Hahahaha huku kwetu tunakula kuku kwa mlija Utooooo Return of huzan matatzo maumivu kuteseka 🤪
The return of aibu lol😂😂😂🐸🐸🐸 bana.YNWA
Yani young alivyo fungwa hii mechi ameenda kumlamba simba kwenye ngao nimependa sana
Okwa mtu kazi
Nimeirudia hii match kmmmk wataona moto hawa wasenge
Kumbe tuko wengi😂😂
😂😂
😆😆😆😆😆
Na tutawatolea zasira zote hadi za Makolo.
Vive Yanga
💚💛
KWANI VYETI VYA PROFESSA NABI HAVIJAIPA YANGA MATOKEO?
Jamani jamani tuna timu nzuri kuliko midimu miwili iliyopita muhimu Sana Sana kwa kipindi hichi ni kuwapa sapoti wachezaji,daima mbele nyuma mwiko
Maneno ya ujinga tu mbele uko hamuendi mnaongea utopolo tu mdomoni mnazidi kurud nyuma kama hujui hiv sasa mmekalia jezi jezi jezi hadi wachezaji mmewatia usukule wenu walikua wanashangaa jezi wakafungwa sasa yanga tim ya kuongelea jezi kweli mwezi mzima had Ridhiwan kikwete kaingilia kati kuona hawa watu vip nyie mifuniko fc
Kwani huwo police hapo anafanyanini au ndo kamatu ya ulinzi 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤷🏿♀️
Okwa kanleta hapaaa
namie ndio nemekuja tyr
@@masoudimsomali7450 tupo wengi naamin huu n mwaka wa neema kwetu wanasimbaa
Hahahahaha na Akina bangala mlianzaje kutolewaaa jaman duuuu
Hapo nafasi ya kaseke ilikuwa inahitajika sana
Nasubiri matokeo ya Nigeria
USIKU WA LEO NIMEOTA "UTTO UNITED" WAMELIWA TATU UGENINI, HALAFU BONGO WAMETOKA SARE SARE
Acha ujinga.wewe...hii siyo Makolo...
Huyu golikeeper wa rivers ni mpuuzi sana
Hakika.kisasi.kitaripwa.yanga.tamuuu
Yani mm ni msimbazi Ila nimeumia Sana.. Hawa rivers FC ..watakuaa kijito FC subr tuwafuate hukohuko gonga 3.. viva Tanzania
Bado Ana uliza mshale umepitaje
Timu nzuri sana haikuwa bahati yetu tu
yule alie nunua Jez ya simba n yupi Kati ya Hao wote😅
jamaa anaitwa uche anavaa jersey no 32
Rivers watachezea port harcourt yanga wame wazidi vingi
Anatoka yacouba anaingia nchimbi 🤥🤥 au ndio nchimbi amemloga kocha🤣🤣
Pointi nyingine za rivers waperekeeni kwao
Wanajua kulinda sana River ulinzi Imara sanaa Yanga bdo sanaaaaaaaa yaani ni maneno tu uwanjani sifuri Aibu tu mnaipakaza nchi yetu
Nice
Nguli ua-cam.com/video/bQ7CgIAmTcA/v-deo.html💥💥🥰👀❤️❤️💥
Kikos haikuwa na quality kbs
Roho inaniuma nikiona hii mechi 😢 mwenyezi mungu atatujalia msimu ujao tutafanya vizur zaidi inshallah 🙏
Hahahaha mtaanzia mlipoishia
Nilichogundua wachezaji wote wa UTOPOLO viwango vyao haviruhusu kucheza michuano mikubwa kama hii
Yanga lazima mshughulikie Safu ya Ulinzi. Timu nyingi za Afrika wako vizuri kwenye forward line na Yanga beki zao zinakabia macho.
Kwanza hapo ngoja nicheke
Nimekuja Kumtumainia okwa nelson
🤣🤣🤣
Viazi FC noma
Yanga marudio tunashinda uhakika kwa uwezo wa mungu
Manara yukowapi cameraman?
Umeuwona mshale huo😂😂 maneno ya mpenja
Waje tumalizane
Hii mechi walizingua tuu wachezaj wa yanga lkn ushindi ulikuwa wazi kabsaa
Tuna beba mijitu isiyobebeka kabisa Bora Namungo
Kabisa yaani
Bora wangelipileka uko uko shirikisho mijitu misukule hata akili haina imeshikilia jezi jezi wenzao wanaandaa tim wao wapo na jezi tu mashabiki ziro wachezaji ziro msemaji ziro ovyooo kalaleni uko watoto kweli mtoto yake makopo.
Huwii hilooo Manara tunalala yooo Yanga wamelala yoooo
Goli kipa yuko safi kabisa tatizo beki na utulivu wa mafowad
Mmelala yoooooo
Bado San yang ooooooo
Kwel dd
Utopolo fc 🐸
MAMA J fc 🤣
Mizukule fc 😂
Mtapata tabu sanaaa!!!
Mshamba ww efus simba chupi
@@wiliamwango4865 Utopolo 🐸🐸🐸🐸
Simba chupi
Simba kajitahid kuwabeba lakin wap pumbavu sana
uyo adeyum wa nn sasa jaman
😂😂😂
😂😂😂
tunajipanga!!
Manara Yuko wapi
Aki na Ukwa walivyojipigia utopolo🤣
kama makirikiri walivyokutungua 3
@@Dilammy6764 wao wametunguliwa ngapi? 😂😂
kam makirikir walivyojipgia tatu safiiiiii