Mo Music Feat Vanillah - Mimi Na Wewe (Official Lyric Video)
Вставка
- Опубліковано 5 лют 2025
- (C) Slide Digital
Mo Music Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
onerpm.link/Mi...
Written & Performed by Mo Music
Follow Mo Music on:
/ mo_musictz
www.tiktok.com...
Leo vanillah kaskika Mala 2 ngoma tofauti kichupa cha chumbani
Ingine ni gani
Tuliofika kwajili ya #spana vanillah naesabu LIKE
Nomaaq
Unajuaaaa
Hatr
🎉🎉
Tishaaaaa
WANGAPI WAMEKUJA KUMUONA MO MUSIC?🎉🎉
Yaan ❤❤❤❤
mm apa kaka
mo music kula 👛👛🤙🤙
Much love ❤❤❤from Zambia 🇿🇲 fire 🔥
Mo music, u get a heartfelt sound that touches. The Vocals and melodies are on point. Tunahitaji makubwa zaidi kutoka kwako🎉🎉.
Ila huyu Vanillah 🎉🎉🎉🎉🎉
Nomaaaa
Unajuaaaa
Nomaaq
Hatr
Unyamaaaa
Vanilla spana fundi❤❤
Mo music umeimba kitoto sana
Kingmusic tumerepresent 🔥🔥🔥🔥🔥
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Span mtoto wa kifalme
Daaaah kaka unajua kuimba sio sili
Yaaaaaaa hii ndo sauti yako mo music Safi sana
Kazi kali mwanangu.. Mmetisha mnooo
Vanilla mwaka wako na ibrah
vanillah kka ni ubarakah the prince mtupu
Umetisha sanaa mwamba ngoma kali vidio kali
Kutokaaaa Kings 🤴 King ❤❤❤❤❤ spana
Ngoma kali sana I love this Iam hera for all of them
Ni zaidi ya mara ya 10 naskiliza collable ya Watu Wangu WA nguvu
wazee mumeuwa kinomaa
Mo music ni WA kitambo
Spanaaa Leo Amehamuw Kufany Umafya Tu❤🎉🔥🔥🔥🔥✅🫡
Karamu inefanya kazi hum umetish mo
Uyu spana anakuja moto xana jamaa anajua ad anakela
Let's Gooo now LEGENDARY @MO MUSIC 🙏👊🌍🌍🌍🔥🔥🔥
Mo music nakukubari sana chukuwa maua yk🎉🎉🎉🎉🎉❤
Ĥii ngoma kali sana
Mim na we
Bahat
Siamin
Vitamin
Vile
Ngoma kali sana na chpa limesimama! big up mzee
Weeeeh @vanillah weeeeh ngoma mbili tafauti kwa siku moja ❤❤❤❤❤
😂kuwa muelewa wanarekodi wakati tofauti ila mwenye wimbo anatoa ratiba na watu wengi huwa wanapost Friday
Nouma sana @@Abby_Shawn_KE
Noum sana
Kali sana
Mzuri sana
Bad man M4 hapa hatuweki pause mzee @momusic✈️✈️🔥🔥🍻
Unyaman sana mo nakukubal sana bro
Ubaya ubayani 2kings
Am here for spana
Huyu jamaa fundi mo music
Ngoma kali, vidio kall shallaup kwako kaka
Mo music umemchap Vanillah kwa verse iliotulia
Aloow mo music daaaa hapo ulipo 😂❤❤ sharoti sana brow
Kali juu ya kali zote,,daaaaaaaaaaaaah
Noma sana kaka
Mo music jipambanie ukaimbe otile brown
Hii collaboration ni fire 🔥
Hakiba Tone nimechanganyikiwa
Ongera kaka
Lamotoo 🔥🔥🙌🙌
Ngoma Kali sanaaaaaa
Mo Music ummeuwa kabisa safi sana
Mo welcome back❤❤
Hakika nilikumis sana brother
@@manbubabubaraja5075 karibu sana🤝
Huyu mo music bado ana hangaikaga tu na mziki😅 si akalime
Spanaaa
Nice Good Job 🔥🔥🔥
Twendeni pamoja wanangu wa mwanza ❤❤❤❤❤
Huyu jamaa n noma xn mxukuma huyu anajua
Mwanza mwanza
Dogo yupo vizuri
#SPANA ni moootoooo this guy he is taking over KINGS MUSIC THAN K2GA ABDHUKIBA TOMMY
MO kama. MO
Welcome back broo umeua
🎉🎉
Vanillah ana ubaraka da prins mwingi sana
🙌🙌🙌🙌 mo
Kifua mbele
Spana
Uzur
Kumpata
Akilin
Noma
Vike
Nyimbo si ndo hii sasa
tulio mmic mo music like hapa
#SPANAAA MAN TO WATCH @ @KINGSMUSIC KAMA WAKUBALIANA NIPE LIKE YAKO
😂Mo na Vanillah walikopi wimbo wangu ila kwakuwa ameuwa KESI nimeitupilia mbali
Mmmm mm vanilla Siku izi umekuja km kimbuga
Mo music melody yako bado tamu bro usikae kmy
Mo music ana tone 🔥🔥🔥🔥 na anajuwa mnooo
Ngoma kubwasana hii
Sina cha kusema ❤❤❤vanilla ❤❤❤❤❤😊
HUYUUU MOMUSIC ANAJUAAA SANAAAA
Good sound🎉🎉🎉
Kibonge mnene
Vanillah verse iko juu
Kuna mtu huwa anasikiliza vas ya Vannilla katika kila nyimbo huwa ananyosha sana maua yako kaka🎉🎉 pia respect kwa Mo music
Amini sawa
Vanillah umeuwaa babaa❤
Mo and vanilla kama vile mo music ft baraka ....hawa ni product moja
Mmetisha sana🎉🎉
Bonge moja la ngoma, bonge moja la video👍👍👍💪💪 halaf umeimbwa na wasanii wakubwa
Binti mpole
❤❤❤🔥🔥🤝
Kijana mpole
mwanza mwanza boys wamekutana 🔥❤️🔥
Mo anajuaaaa nyieeeeeeee
Tumpeee heshmaa yakww
Kauaa sanaa
Balaaa sanaa
Nomaaaa sana
Kaliiii sanaa
nipo kwa spana
Nilichogundua #Vanilla ana #Ukiba mwingi anajiamini ktk kazi yake ndio maana haogopi collaboration
Sukuma combination
Wanangu wa vanillah tujuane hapa ❤❤
Nomaaa
Vanilalaa
Mooo❤
Tishaaaa
Mwanang
SUPER VIDEO KHALIIIIIII SANA
Wadubusa
BONGEE LANGOMAAA
Nomaaa sanaa
Nomaaa sanaa
Jiweeee
Kituuuuu cha motooo sanaa
Nomaaa sanaa
The most underrated artist in Tanzania ..mo music for life
Ila vannilah umenishinda tabiaaa🙌
Vanillla is fire mafundi wamekutana
Vanilla kanileta hapaa
Balaa na nusu
Wameua
Chuma hicho🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwepesi
MAFUNDI🎉🎉