2. DALILI ZA KURUDI KWA YESU NA UNYAKUO WA KANISA | Mwl. Isaac Javan
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Tunakaribia mwisho wa dunia hii, na YESU yupo karibu kuja kulichukua kanisa lake. Kama Mungu amekupa nafasi ya kuwa hai siku ya leo, fahamu ya kwamba unaishi kwenye kipindi muhimu sana kwenye historia ya maisha ya mwanadamu.
Mambo tunayoyashuhudia leo, ni mambo ambayo manabii waliopita walitamani kuyaona lakini hawakuyaona. Mambo tunayosikia, ni mambo ambayo manabii walitamani kuyasikia, lakini hawakuyasikia. Sisi tumepewa kibali na neema ya kuishi na kushuhudia unabii ukitimia mbele ya macho yetu.
Hili somo linakuja kwako ili kukuandaa kunyakuliwa, kwa sababu YESU yupo karibu sana kurudi. Hakikisha unasikiliza vizuri mafundisho haya, halafu uweke kwenye matendo kile utakachojifunza, ili parapanda ikilia, na wewe uwe mmoja wa tutakaomlaki YESU pale mawinguni.
Nakuombea YESU akutie nguvu ya kusimama katika imani yako ndani ya KRISTO. Nakuombea utunze vazi lako la wokovu, ili shetani asije akaitwaa taji yako. Nakuombea tumaini lenye baraka la kunyakuliwa lisikupotee, lakini ukae tayari kwa sababu saa yaja, nayo sasa ipo. YESU anarudi.
Mungu akubariki. Mshirikishe na ndugu, jamaa na marafiki zako juu ya ujumbe huu muhimu. Amani ya YESU iwe ndani yako. Amen
Mwl. Isaac Javan
Ubarikiwe mtumishi unatufungua akili ili tupate kujuwa wakati tulio nao ,Bwana yesu akuongezee zaidi na zaidi
Ubarikiwe sana kwa kutupa neno zuri la kutuokoa katika dhambi tulio kuwa nayo sasa tunatoka huko tunaenda kuokoka mungu akubariki amen
Mtumishi wa Mungu, Mwl. Javan! Hakika Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa mafunuo haya ya pekee! Mimi najifunza mengi sana kwako, hili somo limejaa mafunuo makubwa. Barikiwa Baba.
Amen mtumishi uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele, na YESU azidi kukujaza nguvu na mafuta. Ubarikiwe sana
Amina Asante
Amina 🙏🏼 🙏🏼 Asante MUNGU akubariki sana na atusaidie sana 🙏🏼
Mungu wa mbinguni akubariki sana baba🙏
asante sana mtumishi wa Mungu by kevn😂😂😂😂
Duhuuu!!!!! Kweli dunia imekwisha jamani tumrudiy Mungu
Amén amén mtumshi wa mungu akubarki
Ee Bwana Yesu unirehem.
Asante kwa Neno na maombi
Naendelea kupona kwa Jina la YESU KRISTU ALIYEHAI 🙏
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI 🇺🇸
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehovah
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Mmoja Katika wattumishi ameelezea vizuri sana hata darasa la nne anaelewa ni huyu sasa
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe na kusifiwa sana. Ubarikiwe na YESU
Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Ubarikiwe mpendwa kwa mafundisho hayo
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🎉 😢❤❤❤❤❤😂
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Uniongoze baba kwa huruma yako.
Mungu akubariki na kukutunza
ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kutufungua na kutukombos
Amen Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Ubalikiwe mtumishi munguazit kitufunuliwa
Yesu akutunze mtumishi
Amen ,nimebarikiwa sana na mafundisho haya ,Mungu akubariki sana na neema yake iongezeke kwako, Amina
Amen Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele. Uzidi kubarikiwa pia kwa baraka za milele yote
Amen and Amen yaani Mungu akubariki kweli unaniinuwa kiwango kingine.
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana. Mungu akubariki
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Mtumishi ubarikiwe sana sana ! Jina la Bwana libarikiwe! Mungu tusaidie!
Amen Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote
Asante kwa ujumbe mzuri. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Amen Mungu akubariki nawe pia kwa baraka za milele
Ubarikiwe mtu was Mungu
Amen Mungu akubariki nawe pia, kwa baraka za milele yote
Ameeeen Ameeeen mtumshi wa Mungu akubariki sana na azidi kukufunulia ilikwamba utujuze mambo haya ya Muhimu eeh Mungu wangu nitie nguvu katika safari hii naomba eeh Bwana utengeneze nami mtumwa wako
Amen Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen 🙏 i receive in Jesus name this message is very powerful service God is good all time
Amen God is good all the time. Be blessed with everlasting blessings
Hakika unabii unatimilika mungu atutangulie atuhrpushe atupe nguvu na ujasiri wakiroo wakuikataa dunia na mambo yake wala tusigeuke nyuma tena😓🙏
Powerful 🎉🎉
Amen to JESUS be the glory
Amina sana
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe
Amen Amen ubarikiwe Sana mtumishi wa BWANA
Amen Mungu akubariki nawe pia kwa baraka za milele
Very powerful revelation.... hakika hiki ni kipindi cha mwisho ...na Baba wa uongo anatuzubaisha kuona bado tupo sana ili aendelee kuvuna roho za kwenda nazo Motoni maana yeye amekwisha kuhukumiwa
Amen Amen ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote
Ubarikiwe
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Asante YESÚ KRISTO amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ameen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen Mama ubarikiwe sana pia na BWANA YESU milele
Ameen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ubarikiwe Sana mwl kwa fundisho la kinabii
Amen Mungu akubariki nawe pia
Mtumishi mafundisho haya yanaumiza sana na yatawaumiza sana wale ambao
Watashindwa kuyasikia na kuyaelewa maana muda ni mchache sana wa sisi
Kuchukua MAAMUZI MAGUMU YA KUMFUATA YESU. NAKUACHA YA DUNIA,MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏
Amen Mungu ni mwaminifu sana. Tuzidi kuomba na kujitakasa na YESU azidi kuonekana. Mungu akubariki mwanangu kwa baraka za milele yote
Ameeen 🙏 ubarikiwe sanaa Mtumishi wa mungu kwa mafundisho haya nabarikiwa sana baba na nitazidi kuishi uweponi kwa bwana yesu kristo🙏🙏🙏🙏🙏
Very deep Teaching ❤Ubarikiwe tena na milele my Dad . Amen 🙏🏽
Amen Amen my daughter, God bless you with everlasting blessings.
Ameeni
Amen ubarikiwe kwa baraka za milele
❤🎉
Ubarikiwe na BWANA YESU
Amina mtumish nimebalikiwa sana
Amen zidi kubarikiwa sana pia kwa baraka za milele yote
Amen baba. Hiii ni kengele ya kutuamsha tuwe tayari.. Kristo utusaidie
Amen Amen mama, Mungu atusaidie tujiweke tayari nyakati zote. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen baba. Hakika Kristo awe nguvu yetu nyakati hizi
Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili Bwana atusaidie
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mafundisho yanayo jenga Imani yetu kuendelea.
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana
Amen 🙏 god is in the away soon god have mercy for all
Amen God bless you forever
Nimetetemeka niliposikia mafundisho haya
YESU akupe amani na akubariki kwa baraka za milele
Ubarikiwe sana Kwa mafunuo haya Mtumishi wa Mungu,asante Kwa kutufikishia ujumbe huu ni jukumu letu Sasa kujiweka teari ..Mungu azidi kutumia ktk huduma hii
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Usisahau kufuatilia muendelezo wa somo hili
Ameni
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Give us an ending better oh LORD than the beginning . I know you’re coming back soon Jesus Christ our Sevior don’t leave me and also my Family in the Name of Jesus will Be there on the Last Day Kumulaki Bwana YESU Mokozi Wetu 🎉 you’re a good Father ♥️♥️♥️
Amen Amen my daughter, I have just released the continuation of the message. You will be blessed after you hear it.
Waaaah,Mungu,wangu ufunuo mkubwa mno
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Hakika unabii wako unatubariki sana
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe
Asante sana kwa somo hili
Mungu atujalie mwisho mwema.
Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU
Naomba kuuliza hivi unajuaje kama Israel ndio mtini?
Shalom, muendelezo wa somo naomba
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Muendelezo umeshatoka tayari. Karibu usikilize
Ndo Kwanza nimekuonà Leo jpil tar2/Desemba,Naomba NAmba yako ya simu,kuchangia injili hii muhimi
Amen Mungu akubariki na asante kwa kufuatilia mafundisho. Asante kwa kupenda kuchangia injili. Mungu akubariki na kukutunza. YESU akutane na haja za moyo wako. +255 745 76 45 72 Isaac Javan
Emungu nisaidie Niko hapa
Amen ubarikiwe kwa baraka za milele yote
Uturehemu ee bwana tumetenda dhambi😊
Mtumishi unaweza kutuambia tunawezaje kuchangia ujenzi wa Hekalu tushiriki baraka hii kubwa
Mungu akubariki sana. Nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu la tatu. Kipindi cha kutumia hekalu kilishapita. Hata utaratibu wa sadaka za kuteketezwa hekaluni zilishapita. YESU alipokuja alifanyika sadaka kwa ajili yetu, na akafanyika yote katika yote. Lakini ili unabii wa siku za mwisho utimie, ni lazima hekalu lijengwe ili Mpinga Kristo alitumie. Kwa hiyo nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
Na pia utufunze jambo la kunena kwa lugha na unabii wa roho tatu za vyura
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Hi Isaac, how do we get these teachings in English language to spread the word here in UK? You’re truly the preacher of God 🙏
God bless you. Am sorry we cannot do that for now because we still have a lot more coming on the subject. But we encourage anyone who hears the message to share what they have learned to many others.
Hakika naamini hakuna jina lingine linipasalo kuokolewa kwalo ila YESU=664=EMMANUEL
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele yote
Tunaomba no zako mtumishi tujue tunaenda kusali wapi ambako siyo san day
Mungu akubariki sana. Mahali pa kusali nakushauri umuombe Mungu akuongoze, naye atafanya hivyo. Zaburi 23:2
Shalom mtumishi naweza kupata namba zako za sim kuna jambo napenda unisaidie naitwa Sunday Niko Marekani
Amen Sunday, unaweza kuwasiliana nasi kwa WhatsApp kupitia simu namba +255 745 76 45 72. Mungu akubariki
Sasa mtumishi mbona wifi yangua alisali rozali mwenzie mzima akapata mtoto baada ya kukaa mika kumi kwenye ndoa
Si hivyo tu, kuna watu wanaenda kwa waganga na wanapata watoto. Hiyo haina maana kwamba jambo hilo ni sawa. Shetani anao uwezo wa kuwapa watu vitu wanavyotaka.
Sasa watakatifu tukinyakuliwa Nani atajenga Hekalu?
Hekalu halijengwi na watakatifu. Hekalu la tatu litatumiwa na mpinga kristo.
Sema unabii wa hekalu la tatu mtumishi bado sijaelewa sasa chukizo la uharibifu linasimamaje ili hali tayari watu wameshanyakuliwa?
Mungu akubariki. Chukizo la uharibifu ni mpinga kristo. Na mpinga kristo atalitumia hekalu baada ya kanisa kunyakuliwa (kipindi cha dhiki kuu).
Amen
Amen
Amen Amen 🙏
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen ubarikiwe
AMEN
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU