1. DALILI ZA KURUDI KWA YESU NA UNYAKUO WA KANISA | Mwl. Isaac Javan
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Tunakaribia mwisho wa dunia hii, na YESU yupo karibu kuja kulichukua kanisa lake. Kama Mungu amekupa nafasi ya kuwa hai siku ya leo, fahamu ya kwamba unaishi kwenye kipindi muhimu sana kwenye historia ya maisha ya mwanadamu.
Mambo tunayoyashuhudia leo, ni mambo ambayo manabii waliopita walitamani kuyaona lakini hawakuyaona. Mambo tunayosikia, ni mambo ambayo manabii walitamani kuyasikia, lakini hawakuyasikia. Sisi tumepewa kibali na neema ya kuishi na kushuhudia unabii ukitimia mbele ya macho yetu.
Hili somo linakuja kwako ili kukuandaa kunyakuliwa, kwa sababu YESU yupo karibu sana kurudi. Hakikisha unasikiliza vizuri mafundisho haya, halafu uweke kwenye matendo kile utakachojifunza, ili parapanda ikilia, na wewe uwe mmoja wa tutakaomlaki YESU pale mawinguni.
Nakuombea YESU akutie nguvu ya kusimama katika imani yako ndani ya KRISTO. Nakuombea utunze vazi lako la wokovu, ili shetani asije akaitwaa taji yako. Nakuombea tumaini lenye baraka la kumyakuliwa lisikupotee, lakini ukae tayari kwa sababu saa yaja, nayo sasa ipo. YESU anarudi.
Mungu akubariki. Mshirikishe na ndugu, jamaa na marafiki zako juu ya ujumbe huu muhimu. Amani ya YESU iwe ndani yako. Amen
Mwl. Isaac Javan
Chukrani kwa mungu kwaneema yake yaleo 🤲 nime yapenda ahaya mafudisho
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu ni kweli kabiza huu ni wakati wa mwinzo
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mimi nimeota kama mara tatu Yesu amekuja na mimi nimebaki, nabaki kulia tu na kunakuwa na vita kubwa mno akishaindoja 🙏🏼🙏🏼😭
Mungu wa mbinguni akubariki sana, Nmekuwa nikitafta mafundishi&Mahubiri ya aina hii haya ya hzi nyakati za mwisho wa dunia, mkono wa Mungu uwe juu yako🙏
Mafundisho yako yananifanya nionekama natoka shimoni ambako kulikuwa nagiza nene sana Ni Mungupeke yake ndo anajua, Mungu akulinde na kukutunza wakati wote Kwa damu yake TAKATIFU UNATUFUNGUA KWA JINA LA YESU BARIKIWA
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Mungu azidi kukuonekania na kukushindia daima. Ubarikiwe sana
Roho Mtakatifu nisaidie, niwezeshe nakuomba unipe utayari wa kukesha. Nakupenda sana YESU nisaidie.
Amen tunaomba kwa pamoja tumepita kwenye chanel hii MUNGU aziponye roho zetu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ninatamani mbingu ya Mungu. Ee Yesu nakusihi usiniache na unikumbuke kwenye ufalme wako.✝️Amen
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Mungu atusaidie
Amen 🙏🏼 🙏🏼 Asante MUNGU akubariki sana na atusaidie sana 🙏🏼 🙏🏼
Amina
Mungu atupe hofu ya Zambi na kuliweka neno lake moyoni
Amen Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote
Ameeeen Ameeen eeh Bwana wangu kristo naomba uniongoze katika hii dunia nishikamane nawe Baba yangu nipe moyo wakuyapuza ya dunia hii ili niishi kwa tumaini lako Yesu kristo ili ujapo Bwana niwe mmoja wa kukulaki mawingini 😢😢😢nisaidie Yesu tawala maisha yangu niwembali na dhambi mimi mtumwa wako nakusihi Bwana
Amen Amen mwanangu, ubarikiwe sana na BWANA YESU. Tuzidi kujiweka tayari. Amen Amen
bwana yesu asifiwe mtumishi mungu akubariki sana maana kupitia wewe nimejifunza mambo mengi ambayo nilikuwa siyajui kabisa mungu akubariki sana mtumishi mimi naswali moja tu naomba unisaidie hapa unyakuo utatokea ni baada ujenzi wa hekaru la tatu au kabla ya ujenzi wa hekaru la tatu niilotu.
Mungu akubariki sana pia, na asante kwa kufuatilia mafundisho haya. Unyakuo utatokea "wakati wowote kuanzia sasa".
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Ubalikiwe sana mtumishi
Amen baba,kwakwel Mungu azidi kukubariki toka nianze kukufatilia humu UA-cam nimepiga hatua kiroho,nimepona
Amen mwanangu zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote
Ooooh mwalimu hapo mwisho ni mimi nimefikisha mara ya nne sasa leo ikiwa ni sku ya nne nikiota yesu amerudi watu wamenyakuliwa mm nieachwa 😢😢 mwaka 2015 nilikua katika maombi nikaota hivo nilipoamka nililia saaana lakini hivi leo nimeota nimenyakuliwa halafu nikarudi 😢😢😢 ooooh Jesus have mercy on me lord.
Amen, indeed may God have mercy and help us stay on the right path as we wait for his return. Mungu akubariki
Maneno haha ni ya kweli tupu na yamekuja kwa wakati wenyewe mwenye masikio ya Rohoni ataelewa na atayapenda sana ,
Nahitaji msaada wako mwalimu kwasababu nilikuwa mfuasi mzuri wa Mungu ghafla nimetoka kwenye uwepo wa Mungu na kuwa mtenda dhambi mkubwa dhambi chafu sana nafanya jitihada kurudi tena kwake lakini nahisi kabisa yuko mbali
Asante Kwa kutuelimisha ... MUNGU akubariki mtumishi
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Amen Ameeeen nimebarikiwa mno na mafundisho yako mwl Isaac
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Hakika Yesu yu karibu kurudi. Baba ubarikiwe sana kwa ufunuo huu mkubwa. Utunzwe na damu ya Yesu!
Amen Amen mtumishi Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote, na damu ya YESU inene mema kwa ajili yako.
Bwana Yesu akutunze Mwl, maana kupitia wewe Mungu amenipa Kile Huwa napenda,mm napenda kufundishwa kwanza afu ndo niombe,Mungu wa mbinguni azidi kukupa mafunuo zaidi na zaidi.
Na pia nawezaje pata mfululizo wa Somo la Vita ya ndoa,maana ninaona vl 40 tuu.
@@annastaziaemmanuel8664 Amen Mungu akubariki sana, na asante kwa kupenda kujifunza. Roho Mtakatifu azidi kukufundisha zaidi kupitia neno la Mungu. Ubarikiwe sana.
Hilo somo linaitwa MAOMBI YA KUPONYA HISTORIA YA MAISHA. Vita ya ndoa ilikuwa ni kipengele kimojawapo cha somo. Vipengele vinavyotangulia havihusiani na ndoa lakini vitakusaidia kwenye maeneo mengine ya maisha.
Ili kupata mfululizo wote, fungua link hii hapa chini, na Mungu akubariki sana. Amen!
ua-cam.com/play/PLP643MGs6uo1HZKI6Xpub1jCmQeBjo5Be.html
@@IsaacJavan Amina Amina,Somo la Vita ya ndoa naweza lipataje lote Mwalimu,plz nalihitaji sana
@@annastaziaemmanuel8664 Mungu akubariki mwanangu, naomba uwasiliane nasi kwa WhatsApp kwa msaada zaidi.
Asante YESU kwa mafundisho haya
Amen Amen hakika jina la BWANA YESU libarikiwe sana. Mungu akutunze na kukubariki kwa baraka za milele yote. Usisahau kuwashirikisha na wote unaowapenda ili twende nao mbinguni pamoja.
Very important message to all! Be blessed Teacher!
Important message indeed! God bless you very much and please help me share this message to your loved ones. Tomorrow we shall continue with part two. You are blessed!
Amen
JESUS CHRIST is coming soon 🔜 let’s be Ready Children of God Amen Thank you Man Of God 🙏🏽
Amen He is coming soon indeed! Let's all be ready. God bless you with everlasting blessings
Mambo ni mengi ambayo tumekuwa hatuyajua..God has choosen you for his purpose to his people.Na mwenye sikio ni asikie...Yanaongopesha..lakini tuliyenaye ni MKUU!! Be BLESSED!!
Amen Amen uzidi kubarikiwa na kutunzwa na BWANA YESU milele yote
Amen glory to GOD
Amen to God be the glory indeed! Be blessed with everlasting blessings
Mungu aendelee kukupa na mwendelezo wa jambo hili la wakati na majira
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele. Nimeweka muendelezo wa tatu, karibu sana uendelee kubarikiwa.
Ooh Lord Thank you for connecting me with Your servant Isaac Javan , I have learned a lot and I have been opened to passages that have bound me hallelujah Thank You Jesus my Sevior Amen Amen 🙏 ♥️♥️♥️🤝🤝🤝
Amen my daughter, God bless you very much. Please help me share this message to your friends and family. Tomorrow we shall continue with part two. You are blessed!
Amen I do it My Dad . God bless your Servant Isaac Javan Forever 🎉hallelujah amen 🙏
Mungu akubariki
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mwalimu Mungu akubariki na kukuongeza zaidi.
Namshukuru Mungu kwa ajili yako
Amen mwanangu ubarikiwe sana na YESU akutunze
Asante Nina mushukuru mungu kwa ajili ya neno ili la okovu nimefunguliwa
Powerful Powerful teachings
Amen God bless you with everlasting blessings
Mungu akubariki, Kwa kuwa ninMtumishi mojawapo wa Mungu anayejitambua kuwa Yesu Anarudi,Shangaa wengine wanapotosha kanisa😭😭wanasema hata vita inayoendelea Israel ni ya kawaida
Ni kweli, roho ya udanganyifu inatenda kazi kwa kiwango kikubwa sana kwenye siku hizi za mwisho. Mungu ni mwaminifu, YESU anarudi, na tuzidi kujiweka tayari. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
Amen baba Mungu akubariki kwa kutupa neno nzuri LA kutafakari kila siku
Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote
Ohh hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah yaani huu ufunuo ni ya ukweli kabisa, barikiwa kweli, ndio maana ufunuo 22 v 11 inasema na mwenye kudhulumu na azidi, kumbe hiyo wakati Roho wa Mungu itakua imeenda na waminio, Asante sana kwa huu ujumbe nzuri umenifunza kweli
Amen Amen Mungu azidi kukubariki na kukutunza
AMEN AMEN NINAMSHUKURU MUNGU KUNIWEKA HAPA
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
🙏🙏🙏🙏
Nimejifuza kuwa nisifuatishe ya dunia hii.
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Amen baba. Kristo atusaidie tuisikie sauti yake tusibaki nyuma..
Amen mama ubarikiwe sana na BWANA YESU, tuzidi kujiweka tayari. Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana baba nami nimejifunza kitu na Mungu atusaidie sana kwa kweli
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
@@IsaacJavan ameen baba
@@creativepublishers7746 Amen mwanangu 🙏
Mafundisho yako yananivusha.ubarikiwe
Ubarikiwe sana
Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote
Ubarikiwe sanamutumishi
Amen Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote
Amina barikiwa
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Ee yesu kweli mwisho wa dunia umekaribia maana maasi yamezidi sana ninazidi kukusihi niwe mmoja wa watu wako utakao wanyakua nishike mkona kama yule akida uliye ingia ktk ufalme wa mbinguni
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Ameen Amen ahsante kwa neno la uzima 🙏🙏🙏
Amen Mama ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Ubarikiwe sana Kwa mafundisho haya Kwa kuzidi kutukumbusha..Mungu azidi kukuinua ktk huduma hii.,namshukuru Mungu kupitia huduma yako imefanyika kua msaada mkubwa sana ktk maisha yangu.
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote. Amen Amen
Amen
Amina nabalikiwa sana na mahubili yako all the way from Boston Massachusetts BWANA YESU ASIFIWE
Amen Mungu azidi kukubariki kwa baraka za milele
Mbarikiwe
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
😭😭Nisaidie Yesu
Ameen Ameen baba asanteee sana kwa somo neema ya Mungu itusaidie kuyashika haya nakuwakarbu na Mungu 🙏
Amen mwanangu, uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote
ubarikiwe sana Baba mungu wa mbinguni akutunze mafundisho yako yananibariki sana🙏
Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote
✝️😭lord have mercy on us
Amen God bless you
Amen glory to God ❤
Amen God bless you with everlasting blessings
Amen 🙏
Mungu akubariki sana
Amen mwalimu umepotea sana
Amen Mungu akubariki sana. Ni kabisa, nimerejea kwa neema ya YESU. Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote
Habari, Asante kwa dadili nzuli sana. Na mimi napata ndoto mara kwa mara bus ikiniacha , as all seating space have been taken. Naomba unifufunurie.
Hapana, hiyo ndoto ina maana nyingine tofauti na unyakuo.
Oooooo😢😢😮😮😮 barikiwa sana amen
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Ameeen 🙏 ubarikiwe sanaa Mtumishi wa mungu 🙏🙏
Amen mwanangu uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele yote
Amen 🙏 nothing but the blood of Jesus Christ the Lord is my shepherd amen 🙏 please pray for me thanks
Amen Amen, and we shall overcome the devil by the blood of JESUS. You are blessed!
Nimebarkiwa sana n it's so scary..naomba niilize swali kuhusu hii theory ya kuona meli ikiwa baharini inaonekana kwa mbali ilkianzi kwenye top then badae unaiona?!
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele. Kuhusu swali lako la meli ikiwa baharini, hiyo ni "law of perspective"
Amen baba. Mungu atupe kusimama imara mpaka siku ya unyakuo.
Amen mwanangu Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote
Mungu anisaide nisije nikawa wakukataliwa
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen 🙏🙏🙌🙌👏👏😭😭
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
MIKONONI MWAKO YESU NAIWEKA ROHO YANGU..
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amina amina baba hauna namba ya wasp labda group ambalo huwa unatoa mafundisho huko?
Emen 🙏🙏
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
hapo kwenye unyakuo ndio pameniogopesha kuanzia leo nimeamua kuokoka sitaki kuachwa na YESU
Amen ubarikiwe sana na hongera kwa kufanya maamuzi mazuri. Ubarikiwe sana
Naomba namba za huyu mchungaji
ULIENDA WAPI NA MBONA HU POST MAHUBIRI?.
Mungu akubariki sana, hivi karibuni kutakuwa na muendelezo wa somo hili. Damu ya YESU ikufunike
@@IsaacJavan amina twasubiri kwa hamu sana ujumbe
Eeee MUNGU usiniashe ukirudi unitakase na damu yako
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele
💓🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana na BWANA YESU
Amina
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amina
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele