Highlights | Tanzania 0-1 Burundi - Mechi ya Kirafiki 11/10/2020
Вставка
- Опубліковано 22 вер 2024
- TANZANIA VS BURUNDI - INTERNATIONAL FRIENDLY: Timu ya Taifa ya Tanzania #TaifaStars imepoteza mchezo wake wa Kimataifa wa Kirafiki dhidi ya Burundi kwa kichapo cha bao 1-0. Mfungaji wa bao hilo pekee ni Saidi Ntibazonkiza dakika ya 85. Tazama baadhi ya matukio makubwa kwenye mechi hiyo
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Asante Mungu kwa ushindi wetu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🏾
Bujumbura 🔥🔥🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html
Burundi 🇧🇮 yangu ba wachezaji wote oyeeeeeeeeee💪💪💪💪🥰😍🤩
Mme nifulahisha jamaa zangu uwiiiiiiii Burundi 🇧🇮 ♥ ❤ 👌
Too much congratulations to our swallows 🇧🇮🇧🇮 🇧🇮
Thank you 🇧🇮
Timu ya manara na wachezaji wake wamefungwa
Tanzania naona leo Instagram kumepoa bora ivo warundi wamewapa adabu
Sisi tunaweza league ya ndani tu, na Siasa lkn kimataifa Tupo vzr kwenye magazeti
😂😂😂😂😂😂
Hongereni lakn cjaona Tanzania imeonyesha wap uwezo yaan zirooo kabsa bas tu,☺️☺️☺️☺️
Kawaida 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Good Job Burundi
Thank you 🇧🇮
Burundi🏃💜💜💜
Azam tv kuna vitu ambavyo hatuoni kama skills zilizopigwa za kifundi sana zipo wapi ? Ingekua tanzania mgerudilia mara 100
Kabisaaaaaa
Kweli kabs wamefica😅😅😅
NTAMBA.MURUGAMBA.NAWAPENDA.SAN🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Mkude angekua mchezaji wa Yanga mhhh tungekoma maana Manara angesema mpaka baasi
Huyo ni hamnazo manara
Umeona ee
Umeona ee wanachonga san hao simbusi
Duuuh 😲😳 mimi cshangai kufungwa ila naulza huo uwanja ni kwamkapa,,,,,Mbona uwanja umekuwa mbovu hvyo jmn
Abahungu bacu bakinye neza cane. Burundi oyeeee
Burundi 💚💚💚💚👍
Tz Mmekula kicapo haahaaha Bujumbura oyeeee
Oyeeee🇧🇮
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bujumbura 🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html
😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥🔥🔥
Burundi ayeeeeee
Bujumbura 🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html
Bora hata ingecheza yanga na Burundi tungeshinda
Siombaya nibora tumefungwa tujue hatujaiva bado, tutulie, timu ninzurii.
Azam hv hamjui maana ya highlights au n mm sijui? Highlights mnarudia mechi nzm
Aaaaaaah wabongo bhana eti bora yanga na burundi
Timu ipo vizuri, ni bahati mbaya tu dk za mwisho mwamuzi kaharibu mchezo wa kirafiki kuwa karaha,
Tumecheza vizuri sana, Burundi wameona,
Tuendelee kutafuta mechi nyingi za kujipima.
Timu yetu ya Taifa ikicheza ugenini inacheza vzr kuliko ikiwa hom
💪💪💪🇧🇮
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Yani Kapombe hata akibaki na Kipa yeye nikuliga krosi tu hawezi kufunga?
Samatta reyiz kafa toplarında çok iyi, Ademi atamazsa Samatta atar o atamazsa Lemos atar o atamazsa Tisserand o da atamazsa Gökhan atar 💛💙 Maşallah takıma
Halafu sasa hawa burundi wamekuja na coach msaidizi tu+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Yaaani mnanikera sanaa
Mi naona mechi ilikuwa nzuri, sema tu haikuwa bahati yetu. Kingine wachezaji wengi hawakuwa na utimamu mzuri kwenye mchezo pia golikipa alishindwa kupanga mabeki wake kwenye kukumbusha majukumu. Zaidi inabidi timu ya taifa tucheze mechi nyingi wachezaji wamelala sana yaani kama hawajitumi baadhi.
Umeongea kitu sahihi sana vijana wamepambana na wamecheza vizuri ni utulivu wa mastreka ulikosekana..
Yes uko sawa ndugu
Tanzania should be playing against Kagere Meddy
RW🇷🇼 VS TZ
Lauryn 😂😂😂
Refa noma sana mjinga kakataa penalty ya Burundi. Ndiomaana awaendelei sijui wanasoma masomo ya ahina gani.
Samatta reyiz için geldik 💛💙
Mdomoo tuu na hamuna loloteee tz hamna lolotee
Burundi oyeeee oyeeee. Hmmm hamutaweza. Kelele tu za wa tanzania zilikua nyingi ndomana
Hii ni stars au utopolo
Refa mungu anakuoona
Kilichoalibu uwanja nn?
Kampen
Leta match yote bwana
Tanzania mpira hamna
Mpira upo ila viongozi wana Mambo yao
Ni kweli hao tifuatifua na simba yao
Tanzania mpira upo tatizo nimeona shida umaliziaji butu
Magoli mengi tumekosa.
Jazeni tu wachezaji wakigeni katika ligi na matokeo ya ya timu ya taifa yatazidi kua hivi,wapi chama na kagere???
Chama na kagere siyo Wa watanzania hawawez kucheza timu ya Taifa
@@fatumachagudadui3138 Fatima naelewa sana medie in mrwanda na chama mzambia ile kitu nataka watanzania muelewe ni ligi yenu wageni ni wengi kuliko wale wa nyumbani na ikiwa hivyo timu ya taifa huwa maembe kama hiyo Taifa Star
Tanzania tutashka mkia2 revo zetu ni za vpl kwa kutegmea wachezaj wa kigen
We vp kwani chama na kagere ni wachezaji wa timu ya Tanzania usiwe mjinga ww
Hamja rudia rudia kisa Tz imefungwa ila ingekuwa tz imefunga mgekera Na marudio Rudio
Yeah lazim iwe hivyo kwakuw temeshinda ss hm
@@aminatanzanya7475 😂😂
@@AMI-ip1lx Sawa nadhn ww utakuw Burundi honger pia
Umesemesha ukweli mpaka instagram kumepoa
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪🏾
Tz kwa mpiraa badoo sna
Hivi tanzania kuna team ya taifa ila mnatakiwa mkubaliane na Hali maana team ya Burundi sio lika lenu, Burundi oyeee
Mabeki wa tz duuh! Mtakula 8 Tunisia
Saido na mkude Leo wapo team moja
Inakuwaje mchezaji anaechezea nje na aliejipatia uzoefu mkubwa akachezeshwa dakika 5 tu. Mapigano Mwenye rekodi ya mechi tano za 2020 atawezaje kuwa na uzoefu kuliko Aishi ambae ni kipa bora wa mwaka mzima. Hakukuwa na sababu kumtoa nje Samata. Refa alikuwa anatafuta umaarufu duniani kwa kuuwa nchi yake kwa kumtoa nje Mkude.
mbona hata maxhabiki wenyew hawajaenda kushabikia
Walijua Burundi lazima watufngee hahaaaa
Ila WaTz bahati haikuwa yetu,Ila mlicheza vizuri
U
tz wamecheza vizur
Wachezaji wa taifa Star hawana uwezo binafsi wa kufikiri nakufanya maamuzi sahihi kazi yao kubwa ni kukariri nafasi walizo pata zote nne zilikuwa za ushindi lkn mwalimu aki supplement tutegemee wanafunzi wake wata discontinue
68mins I think it is a
Bahati haikuwa yetu mpila vijana wamecheza
Apo ndo utaona kuwa wachezaji wa nje ndo wanabeba game za tanzania paxpo wao wachezaji wa tz hawwezi
Huyu ndio kipa wetu aliyechukua namba ya manula eenh? Basi sawa
Kumbe tumefungwa mbele ya waziri mkuu
Hahahaha hata me nashangaa bora hata raisi hakuepo
Mmmmmmmmmh nihatariii
Mtangazaji ebu rudia tena like neno gumu ulilolisema baada ya saido kufunga goli....sako nyoka ya sako bako
Ooooooh My #TANZANIA🇹🇿🇹🇿😂😂😂
Kweli ccm mmetualibia uwanja
Burundi 1-0 Simba
Tanzania team plays well but u got no chance....
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Pitch ya uwanja imeharibiwa na kampen kbs
Tanzania shida yenu nini hata wimbo wataifa hamna habari nalo dah,Mnaconcentrate sana kwa simba na yanga mnasahau asilimia kubwa ya hao wachezaji si watanzania mtanyooka raundi hii. Wasenge.
Haikuachi salama
🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪
Simba inawachezaji was kitaifa au ni wakununua kutoka nje?
Ntibazonkiza baba laoooooooo🤣🤣🤣🤣🤣
Timu yangu iongeze bidii watanzania tunaipenda sana
Mmmh! Hapo simwoni wa kufunga magoli hapo labda Sammata
Mbona na yeye hajafunga?
Kwampira wa magazetini vikombe vyote vyenu
Wenye uwanja wao wameharibu wameweka uwaraza kibao
Na huo uwanja Leo vepi mbona Kama hauko poa
Tuletee mudasir yahya
Tz banah kwenye magazeti mna ucheza mwingi sana lakini uwanjani nisawa na yanga tu😂😂😂😂😂😂
Mdomo mwingii
Kabisaa bro
Vijana wamecheza mpira mzur kwani bahati hakuwa yetu watanzania tusichukie jamann😆😆😆😆😆
Watanzania tunataka twende wapi wakati nizamu empty,????Anaigharimu timu kwa upumbavu....
Ckubaliani nawe cz yale mambo hutokea cku zote na n majambo yakawaida ktk mchezo ulokuwa nje ya mchezo utaona kama n ujinga flan hv
Kabla ya hapo mlikuwa mmefunga mangapi?
Mmmhh huo uwanja ndo uko ivo dah
miezi kadhaa ijayo sijui utakuwaje
Jaman mkapa unaona kilichotokea kwenye uwanja wako emungu ww pich amna tena
problem of stars is finishing
Jaman mm nimeumia sana kufungwa na watu waliokuwa carantin sema hats refa amezingua sana na sijui tunafel wap maana mpirabtumecheza mwingi
Wabongo tupo vizuri
2meshindaa kumbeee
Tumefungwa
Majamaa wana kanyaga sana
Watu wanasubili simba na yanga ndio iliko jaa akili zao
Huo uwanja sasa km wa morogoro
Jezi ya ushindi kwa tz ni rangi ya njano
Huo ndo ukuma wenu wa tz
pumbavu
Bora hata angeingia chama
🤣🤣🤣
Nomasan
BIDHAA ZA VIUNGO NA MIFUPA
Tuna bidhaa hii iitwayo
ARTHROEXTRA TABLETS
Hii
-Huongeza uteute (synovial fluid) kwenye maungio ya mifupa
-Huondoa naumivu ya maungio kama nyonga,magoti na mgongo n.k
-Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya (articulate cartilage)
-Huzuia kulika kwa mifupa na maungio
-Huondoa tatizo la athritis
-Huongeza Glucose amine na Chrondroitin kwenye maungio
Pia kuna
ZAMINOCAL PLUS CAPSULES
Hii
-Mchanganyo wa Zinc,Calcium, magnezium na amino acidi(protini)
-Huboresha mifupa na meno
-Husaidia mfupa uliovunjika kupona haraka
-Husaidia sana mfumo wa fahamu
-Huwafaa watoto wanaochagua chakula kula vizuri
-Huongeza hamu ya kula
-Huwafaa sana wamama wajawazito kwani husaidia kupata mtoto na misuli ya ikulu kurejea kwa wepesi baada ya kujifungua.
Pia kuna GLUZOJOINT-F
-Huzuia maumivu ya viungo
-Huzuia kulika kwa maungio
-Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya(artculate cartilage).
Ushauri zaidi wasiliana nasi pia Whatsup
+255712126669
Simu kawaida 0683147077
Tanzania tulikuwa na ubora mzuri sana lkn tatizo ni pale ambapo kocha alitaka afanye sub tu bila sababu ya sub hizo
David kisu ni manula anae chezea azam
Tz ni mapnz mpra tuacheni tu..
WATANZANIA WACHENI MPIRA KAZI ZENU UMBEA TU KWENYE MEDIA
True
Kaleb Bonfils
Uwanja umekuwa hovyo kabisa...
Kama mkwakwan
Ccm mmezingua kuharib uwanjaa
Sasa hawa magoli yoote hayo waliyokosa walitaka wapewe nini
Tanzania tufike mahali tuwe serious,wimbo wa Taifa unaibwa mtu anakosa utulivu,anahangaika kugeuka geuka na anacheka,loh!