Highlights | Tanzania 0-1 Burundi - Mechi ya Kirafiki 11/10/2020

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 жов 2020
  • TANZANIA VS BURUNDI - INTERNATIONAL FRIENDLY: Timu ya Taifa ya Tanzania #TaifaStars imepoteza mchezo wake wa Kimataifa wa Kirafiki dhidi ya Burundi kwa kichapo cha bao 1-0. Mfungaji wa bao hilo pekee ni Saidi Ntibazonkiza dakika ya 85. Tazama baadhi ya matukio makubwa kwenye mechi hiyo
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 292

  • @fabriceingabire8736
    @fabriceingabire8736 3 роки тому +10

    Asante Mungu kwa ushindi wetu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🏾

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 3 роки тому +1

      Bujumbura 🔥🔥🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 3 роки тому +10

    Burundi 🇧🇮 yangu ba wachezaji wote oyeeeeeeeeee💪💪💪💪🥰😍🤩

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 3 роки тому +7

    Mme nifulahisha jamaa zangu uwiiiiiiii Burundi 🇧🇮 ♥ ❤ 👌

  • @nurdinalhaji7139
    @nurdinalhaji7139 3 роки тому +11

    Timu ya manara na wachezaji wake wamefungwa

  • @hasanimikeyo8893
    @hasanimikeyo8893 3 роки тому +7

    Tanzania naona leo Instagram kumepoa bora ivo warundi wamewapa adabu

  • @vanessak1272
    @vanessak1272 3 роки тому +7

    NTAMBA.MURUGAMBA.NAWAPENDA.SAN🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @zpii9317
    @zpii9317 3 роки тому +6

    Too much congratulations to our swallows 🇧🇮🇧🇮 🇧🇮

  • @solemba595
    @solemba595 3 роки тому +6

    Sisi tunaweza league ya ndani tu, na Siasa lkn kimataifa Tupo vzr kwenye magazeti

  • @bhokedavid8932
    @bhokedavid8932 3 роки тому +10

    Mkude angekua mchezaji wa Yanga mhhh tungekoma maana Manara angesema mpaka baasi

  • @suleysuley6889
    @suleysuley6889 3 роки тому +6

    Azam tv kuna vitu ambavyo hatuoni kama skills zilizopigwa za kifundi sana zipo wapi ? Ingekua tanzania mgerudilia mara 100

  • @hgfduiop7421
    @hgfduiop7421 3 роки тому +9

    Burundi🏃💜💜💜

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +4

    Duuuh 😲😳 mimi cshangai kufungwa ila naulza huo uwanja ni kwamkapa,,,,,Mbona uwanja umekuwa mbovu hvyo jmn

  • @andrepapykarubi8781
    @andrepapykarubi8781 3 роки тому +6

    Abahungu bacu bakinye neza cane. Burundi oyeeee

  • @sittakibishi5019
    @sittakibishi5019 3 роки тому +2

    Hongereni lakn cjaona Tanzania imeonyesha wap uwezo yaan zirooo kabsa bas tu,☺️☺️☺️☺️

  • @johniekak8213
    @johniekak8213 3 роки тому +6

    Good Job Burundi

  • @cizapaterne2709
    @cizapaterne2709 3 роки тому +5

    Kawaida 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mamahusnasandnusraskitchen5992
    @mamahusnasandnusraskitchen5992 3 роки тому +6

    Burundi 💚💚💚💚👍

  • @pfranklyon1230
    @pfranklyon1230 3 роки тому +5

    Tz Mmekula kicapo haahaaha Bujumbura oyeeee

  • @willymico8628
    @willymico8628 3 роки тому +5

    Azam hv hamjui maana ya highlights au n mm sijui? Highlights mnarudia mechi nzm

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 3 роки тому +4

    Siombaya nibora tumefungwa tujue hatujaiva bado, tutulie, timu ninzurii.

  • @dennisluben113
    @dennisluben113 3 роки тому +3

    Bora hata ingecheza yanga na Burundi tungeshinda

  • @muhammadmahmoud1068
    @muhammadmahmoud1068 3 роки тому +2

    Halafu sasa hawa burundi wamekuja na coach msaidizi tu+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel6818 3 роки тому +3

    Aaaaaaah wabongo bhana eti bora yanga na burundi

  • @dianeniyonsaba3477
    @dianeniyonsaba3477 3 роки тому +6

    Burundi ayeeeeee

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 3 роки тому

      Bujumbura 🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 роки тому +1

    Timu ipo vizuri, ni bahati mbaya tu dk za mwisho mwamuzi kaharibu mchezo wa kirafiki kuwa karaha,
    Tumecheza vizuri sana, Burundi wameona,
    Tuendelee kutafuta mechi nyingi za kujipima.

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 3 роки тому +3

    Timu yetu ya Taifa ikicheza ugenini inacheza vzr kuliko ikiwa hom

  • @DerErwachsene15
    @DerErwachsene15 3 роки тому +4

    Tanzania should be playing against Kagere Meddy
    RW🇷🇼 VS TZ

    • @jayc575
      @jayc575 3 роки тому

      Lauryn 😂😂😂

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba1614 3 роки тому +1

    Yani Kapombe hata akibaki na Kipa yeye nikuliga krosi tu hawezi kufunga?

  • @kennah03m
    @kennah03m 3 роки тому +5

    Mdomoo tuu na hamuna loloteee tz hamna lolotee

  • @peninadevotabsnrn6030
    @peninadevotabsnrn6030 3 роки тому +6

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 3 роки тому

      Bujumbura 🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html

    • @blaiseirabaruta3644
      @blaiseirabaruta3644 3 роки тому

      😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥🔥🔥

  • @hamidriday2352
    @hamidriday2352 3 роки тому +4

    Jazeni tu wachezaji wakigeni katika ligi na matokeo ya ya timu ya taifa yatazidi kua hivi,wapi chama na kagere???

    • @fatumachagudadui3138
      @fatumachagudadui3138 3 роки тому

      Chama na kagere siyo Wa watanzania hawawez kucheza timu ya Taifa

    • @hamidriday2352
      @hamidriday2352 3 роки тому +1

      @@fatumachagudadui3138 Fatima naelewa sana medie in mrwanda na chama mzambia ile kitu nataka watanzania muelewe ni ligi yenu wageni ni wengi kuliko wale wa nyumbani na ikiwa hivyo timu ya taifa huwa maembe kama hiyo Taifa Star

    • @alexjohn8439
      @alexjohn8439 3 роки тому

      Tanzania tutashka mkia2 revo zetu ni za vpl kwa kutegmea wachezaj wa kigen

    • @likemohd8957
      @likemohd8957 3 роки тому

      We vp kwani chama na kagere ni wachezaji wa timu ya Tanzania usiwe mjinga ww

  • @abisoluvanda2760
    @abisoluvanda2760 3 роки тому +4

    Kilichoalibu uwanja nn?

  • @mgduygucu
    @mgduygucu 3 роки тому +1

    Samatta reyiz için geldik 💛💙

  • @mgduygucu
    @mgduygucu 3 роки тому +1

    Samatta reyiz kafa toplarında çok iyi, Ademi atamazsa Samatta atar o atamazsa Lemos atar o atamazsa Tisserand o da atamazsa Gökhan atar 💛💙 Maşallah takıma

  • @BYAUNDA
    @BYAUNDA 3 роки тому +2

    Refa noma sana mjinga kakataa penalty ya Burundi. Ndiomaana awaendelei sijui wanasoma masomo ya ahina gani.

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx 3 роки тому +4

    Hamja rudia rudia kisa Tz imefungwa ila ingekuwa tz imefunga mgekera Na marudio Rudio

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 роки тому

      Yeah lazim iwe hivyo kwakuw temeshinda ss hm

    • @AMI-ip1lx
      @AMI-ip1lx 3 роки тому

      @@aminatanzanya7475 😂😂

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 роки тому

      @@AMI-ip1lx Sawa nadhn ww utakuw Burundi honger pia

    • @pfranklyon1230
      @pfranklyon1230 3 роки тому

      Umesemesha ukweli mpaka instagram kumepoa

  • @husseinhamisi9166
    @husseinhamisi9166 3 роки тому +1

    Refa mungu anakuoona

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 3 роки тому +2

    Hii ni stars au utopolo

  • @sadiasadia737
    @sadiasadia737 3 роки тому +3

    Burundi oyeeee oyeeee. Hmmm hamutaweza. Kelele tu za wa tanzania zilikua nyingi ndomana

  • @abbasmuhunzi2232
    @abbasmuhunzi2232 3 роки тому +2

    Inakuwaje mchezaji anaechezea nje na aliejipatia uzoefu mkubwa akachezeshwa dakika 5 tu. Mapigano Mwenye rekodi ya mechi tano za 2020 atawezaje kuwa na uzoefu kuliko Aishi ambae ni kipa bora wa mwaka mzima. Hakukuwa na sababu kumtoa nje Samata. Refa alikuwa anatafuta umaarufu duniani kwa kuuwa nchi yake kwa kumtoa nje Mkude.

  • @linajames2653
    @linajames2653 3 роки тому +1

    Yaaani mnanikera sanaa

  • @zeemaya6800
    @zeemaya6800 3 роки тому +1

    Huyu ndio kipa wetu aliyechukua namba ya manula eenh? Basi sawa

  • @ericksonodhiambo9964
    @ericksonodhiambo9964 3 роки тому +3

    Tanzania shida yenu nini hata wimbo wataifa hamna habari nalo dah,Mnaconcentrate sana kwa simba na yanga mnasahau asilimia kubwa ya hao wachezaji si watanzania mtanyooka raundi hii. Wasenge.

  • @sospeterkalinji736
    @sospeterkalinji736 3 роки тому +3

    Apo ndo utaona kuwa wachezaji wa nje ndo wanabeba game za tanzania paxpo wao wachezaji wa tz hawwezi

  • @ngundachris7598
    @ngundachris7598 3 роки тому +1

    Leta match yote bwana

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 3 роки тому +4

    Mi naona mechi ilikuwa nzuri, sema tu haikuwa bahati yetu. Kingine wachezaji wengi hawakuwa na utimamu mzuri kwenye mchezo pia golikipa alishindwa kupanga mabeki wake kwenye kukumbusha majukumu. Zaidi inabidi timu ya taifa tucheze mechi nyingi wachezaji wamelala sana yaani kama hawajitumi baadhi.

    • @samuelgoodlight9294
      @samuelgoodlight9294 3 роки тому

      Umeongea kitu sahihi sana vijana wamepambana na wamecheza vizuri ni utulivu wa mastreka ulikosekana..

    • @mussasaidy6256
      @mussasaidy6256 3 роки тому

      Yes uko sawa ndugu

  • @amocmanasi7810
    @amocmanasi7810 3 роки тому +2

    mbona hata maxhabiki wenyew hawajaenda kushabikia

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 роки тому

      Walijua Burundi lazima watufngee hahaaaa

  • @habibyusuf1755
    @habibyusuf1755 3 роки тому +1

    Tz kwa mpiraa badoo sna

  • @augustinomakoye2396
    @augustinomakoye2396 3 роки тому

    Simba inawachezaji was kitaifa au ni wakununua kutoka nje?

  • @gahimbaresaxon5445
    @gahimbaresaxon5445 3 роки тому +6

    Hivi tanzania kuna team ya taifa ila mnatakiwa mkubaliane na Hali maana team ya Burundi sio lika lenu, Burundi oyeee

  • @anoldmbarama985
    @anoldmbarama985 Рік тому

    Saido na mkude Leo wapo team moja

  • @isangojambau1067
    @isangojambau1067 3 роки тому +1

    Wachezaji wa taifa Star hawana uwezo binafsi wa kufikiri nakufanya maamuzi sahihi kazi yao kubwa ni kukariri nafasi walizo pata zote nne zilikuwa za ushindi lkn mwalimu aki supplement tutegemee wanafunzi wake wata discontinue

  • @chemsaakimana19
    @chemsaakimana19 3 роки тому +3

    💪💪💪🇧🇮

    • @kibibisafi3331
      @kibibisafi3331 3 роки тому +1

      🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @hatibhatib5760
    @hatibhatib5760 3 роки тому

    tz wamecheza vizur

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 3 роки тому +1

    Mtangazaji ebu rudia tena like neno gumu ulilolisema baada ya saido kufunga goli....sako nyoka ya sako bako

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 3 роки тому +4

    Kumbe tumefungwa mbele ya waziri mkuu

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 3 роки тому +2

    Mabeki wa tz duuh! Mtakula 8 Tunisia

  • @gakeboranda3223
    @gakeboranda3223 2 місяці тому

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 3 роки тому +4

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 3 роки тому +1

      Bujumbura 🔥🔥ua-cam.com/video/RN3Sb12ZS90/v-deo.html

  • @jayc575
    @jayc575 3 роки тому +3

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪🏾

  • @lazaroalbano1690
    @lazaroalbano1690 3 роки тому +3

    Tanzania mpira hamna

  • @guydarcynibogora602
    @guydarcynibogora602 3 роки тому +1

    Tanzania team plays well but u got no chance....

  • @amosmeshaki2164
    @amosmeshaki2164 3 роки тому +1

    68mins I think it is a

  • @linajames2653
    @linajames2653 3 роки тому +4

    Ila WaTz bahati haikuwa yetu,Ila mlicheza vizuri

  • @musamgulila577
    @musamgulila577 3 роки тому +1

    Pitch ya uwanja imeharibiwa na kampen kbs

  • @ramadhanjuma1634
    @ramadhanjuma1634 3 роки тому +4

    Bahati haikuwa yetu mpila vijana wamecheza

  • @amanimkambala6240
    @amanimkambala6240 3 роки тому +2

    Kweli ccm mmetualibia uwanja

  • @wazirikipanga325
    @wazirikipanga325 3 роки тому +3

    Wenye uwanja wao wameharibu wameweka uwaraza kibao

  • @husseinmakame8035
    @husseinmakame8035 3 роки тому +2

    Watanzania tunataka twende wapi wakati nizamu empty,????Anaigharimu timu kwa upumbavu....

    • @abdulwahababdully3062
      @abdulwahababdully3062 3 роки тому

      Ckubaliani nawe cz yale mambo hutokea cku zote na n majambo yakawaida ktk mchezo ulokuwa nje ya mchezo utaona kama n ujinga flan hv

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 роки тому

      Kabla ya hapo mlikuwa mmefunga mangapi?

  • @mussasaidy6256
    @mussasaidy6256 3 роки тому +2

    Vijana wamecheza mpira mzur kwani bahati hakuwa yetu watanzania tusichukie jamann😆😆😆😆😆

  • @eliudmaster2175
    @eliudmaster2175 3 роки тому +3

    Ntibazonkiza baba laoooooooo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 3 роки тому +1

    Ooooooh My #TANZANIA🇹🇿🇹🇿😂😂😂

  • @brendakolo9562
    @brendakolo9562 3 роки тому +3

    WATANZANIA WACHENI MPIRA KAZI ZENU UMBEA TU KWENYE MEDIA

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 3 роки тому +4

    Kwampira wa magazetini vikombe vyote vyenu

  • @evamariadaudi5038
    @evamariadaudi5038 3 роки тому +1

    Na huo uwanja Leo vepi mbona Kama hauko poa

  • @edwardmaumau9455
    @edwardmaumau9455 3 роки тому

    Timu yangu iongeze bidii watanzania tunaipenda sana

  • @amanimkambala6240
    @amanimkambala6240 3 роки тому +2

    Huo uwanja sasa km wa morogoro

  • @sixnine969
    @sixnine969 3 роки тому +2

    Tuletee mudasir yahya

  • @njauson1538
    @njauson1538 3 роки тому

    David kisu ni manula anae chezea azam

  • @lupakisyosimon8431
    @lupakisyosimon8431 3 роки тому +3

    Mmmhh huo uwanja ndo uko ivo dah

    • @jemesshoo6778
      @jemesshoo6778 3 роки тому

      miezi kadhaa ijayo sijui utakuwaje

  • @josephmafue3009
    @josephmafue3009 3 роки тому +1

    Jaman mkapa unaona kilichotokea kwenye uwanja wako emungu ww pich amna tena

  • @joshuayoile6149
    @joshuayoile6149 3 роки тому +1

    Tz ni mapnz mpra tuacheni tu..

  • @assadalawite9527
    @assadalawite9527 3 роки тому +4

    Tanzania vijana wa ubwabwa, mpira umewakataa🤣🤣🤣
    Uganda na Kenya mabingwa wa mpira East Africa

  • @mustafamohd1514
    @mustafamohd1514 3 роки тому +1

    Haikuachi salama

  • @salumnassor9425
    @salumnassor9425 3 роки тому +1

    problem of stars is finishing

    • @thomsonmduma7684
      @thomsonmduma7684 3 роки тому

      Jaman mm nimeumia sana kufungwa na watu waliokuwa carantin sema hats refa amezingua sana na sijui tunafel wap maana mpirabtumecheza mwingi

  • @ommynakata8967
    @ommynakata8967 3 роки тому

    Nomasan

  • @amanimkambala6240
    @amanimkambala6240 3 роки тому

    Kwel

  • @daruchiwinga207
    @daruchiwinga207 3 роки тому +2

    Watu wanasubili simba na yanga ndio iliko jaa akili zao

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 3 роки тому +3

    Burundi 1-0 Simba

  • @michaedominic8718
    @michaedominic8718 3 роки тому

    Wabongo tupo vizuri
    2meshindaa kumbeee

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 3 роки тому +1

    Mmmh! Hapo simwoni wa kufunga magoli hapo labda Sammata

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 3 роки тому +2

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @judithtz3509
    @judithtz3509 3 роки тому +1

    Tanzania tufike mahali tuwe serious,wimbo wa Taifa unaibwa mtu anakosa utulivu,anahangaika kugeuka geuka na anacheka,loh!

  • @sammyrobertson5968
    @sammyrobertson5968 3 роки тому +2

    Jezi ya ushindi kwa tz ni rangi ya njano

  • @antondamian9677
    @antondamian9677 3 роки тому +1

    Majamaa wana kanyaga sana

  • @fredymkanza
    @fredymkanza 3 роки тому +3

    Uwanja umekuwa hovyo kabisa...

  • @kassimsadick25
    @kassimsadick25 3 роки тому +1

    Sasa hawa magoli yoote hayo waliyokosa walitaka wapewe nini

  • @harounramadhan2831
    @harounramadhan2831 3 роки тому

    BIDHAA ZA VIUNGO NA MIFUPA
    Tuna bidhaa hii iitwayo
    ARTHROEXTRA TABLETS
    Hii
    -Huongeza uteute (synovial fluid) kwenye maungio ya mifupa
    -Huondoa naumivu ya maungio kama nyonga,magoti na mgongo n.k
    -Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya (articulate cartilage)
    -Huzuia kulika kwa mifupa na maungio
    -Huondoa tatizo la athritis
    -Huongeza Glucose amine na Chrondroitin kwenye maungio
    Pia kuna
    ZAMINOCAL PLUS CAPSULES
    Hii
    -Mchanganyo wa Zinc,Calcium, magnezium na amino acidi(protini)
    -Huboresha mifupa na meno
    -Husaidia mfupa uliovunjika kupona haraka
    -Husaidia sana mfumo wa fahamu
    -Huwafaa watoto wanaochagua chakula kula vizuri
    -Huongeza hamu ya kula
    -Huwafaa sana wamama wajawazito kwani husaidia kupata mtoto na misuli ya ikulu kurejea kwa wepesi baada ya kujifungua.
    Pia kuna GLUZOJOINT-F
    -Huzuia maumivu ya viungo
    -Huzuia kulika kwa maungio
    -Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya(artculate cartilage).
    Ushauri zaidi wasiliana nasi pia Whatsup
    +255712126669
    Simu kawaida 0683147077

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 3 роки тому

    Tanzania tulikuwa na ubora mzuri sana lkn tatizo ni pale ambapo kocha alitaka afanye sub tu bila sababu ya sub hizo

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto1373 3 роки тому +1

    Ccm mmezingua kuharib uwanjaa