Mheshimiwa rais Natamani Nikushauli kama utapenda Mungu Akusaidie kujua washauri ulio Nao wengi siyo salama wanakutengenezea BOM kubwa sana Ukishauriwa Ongeza Na Zako utakuwa salama
Muda wote nalisema na na nasimamia ukweli na haki daima kuwa CHADEMA wataandamana na wataungwa mkono na wananchi na hatimaye polisi watawalinda tu kwani si uasi bali haki kisheria na kikatiba.Hadi usiku nalirudia msimamo wangu huo.Sasa yametimilika
MIMI NASEMA MAMA SAMIAH KAMA AMEFANYA HIVI ...KWELI HAUSIKI KATIKA WAUAJI MAMA WA WATU. SHIDA NI SPEAKER TULIA ACKSON NA MENGINE NDO MAUAJI YANACHAFUA SERIKALI YA MAMA NA
AMANI YETU NI TUNU ILIYODUMU KWA ZAIDI YA MIAKA 50,,, ASITOKEE MPUMBAVU YOYOTE WA KUJA KUIVURUGA KWA ULAFI WAO BINAFSI WA MADARAKA... HONGERENI SANA POLISI. HAYA NDIO TUNAYOYATAKA.
Moyo wangu unaumia sana lakini kwa fraha hongeleni mnaoandamana kwa niaba ✌️🖐️✌️✌️✌️🖐️👏👏👏
wote ao wamenunuliwa mafuta bure ili waandamane
Hongereni sana makamanda nilisubiri kwa hamu kubwa siku hizi. Hakuna kurudi nyuma mpaka Soka na wenzie wapatikane.
Hiyo ndo demokrasia Rai Samia.Chadema big up!
Mungu awatangulie maandamano mema
Mungu awabariki sana sana sana mnaoandama kwani wengine afya zetu mgogoro kazi yetu iliyobaki ni kuwaombea Mungu awalinde
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️ mungu yupo pamoja nanyi
Hii channel safi sana
CHADEMA HONGERA HONGERA SANA KILA MPENDA HAKI LAZIMA ATAANDAMANA GOD BLESS ALL
Bigup never give up,haki lazima hipatikane,watching from mombasa kenya. Acha ss tupumue ndipo kazi kwenu watanzania 😂😂😂😂.
Wana umeee awoooo mungu awasaidieee nikiwa DRC congo
Weee jamaa una dhambi umepost maandamano ya mwaka juzi 😂😂😂😂😂😂 Hongera sana kwa kumaliza bando letu
Ahsante Samia Kwa utulivu wa nchi yetu,kama ungezuia hii ungejiletea shida,AchA watoe kero zao zitakazokuhusu rekebisha kazi iendelee
Safi
Acha unafiki ww ....Samia ndiyo aliagiza Jeshi la Polisi kuzuia maandamano .....sasa wameumbuka walidhani kuwa hatutatoka, tutaogopa mabunduki yao
....WE MSENGE NINI WEWE...HUYO SAMIA ANAINGIAJE HAPO...AU UNAMPONGEZA KWA KAZI GANI ALOIFAYA...JINGA MKUBWA WEWE
Hongereeni sana watu wote mlio tuwakilisha Dar tuko pamoja
Sio ya leo hiyoooo muongo huyooo
Kila lakheri watanzania maandamano mema 🙏🙏
Ahsanteni MUNGU awabariki na kuwalinda.
Aposawa namshukulu mungu Kwa maandamano haya tungefeli isingependeza ccm wangejivuna sana
Tuko pamoja makamanda hongelen sana
Mchi hii mungu atusaidie nchiyetu itoke mikononi mwawakoloni mungu angalia mikodi lukuki tunafanyishwa kazi hatujielewi mikodi lukuki
Safi sana
Sina lakisema ila ni furaha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
Safi sana ,lakini hatuna jeshi la kulinda raia,hawa ni polisi wa ccm ambao hubaliki mauaji
Muongo sio leo hayo😂😂
Mungu awabari wote mlioandamana kwa amani
Mungu yupo pambaneni kudai haki kikubwa msivunje sheria za nchi
Ahsante sana Mungu wetu.Umeitika tulipo kulilia jana katika sala.
Mungu awatie nguvu chadema, you're the only hope! Let blood of Jesus covers you
Hii siyo leo 😂😂
Hii sio ya Leo.
Mheshimiwa rais Natamani Nikushauli kama utapenda Mungu Akusaidie kujua washauri ulio Nao wengi siyo salama wanakutengenezea BOM kubwa sana Ukishauriwa Ongeza Na Zako utakuwa salama
Hii nchi acha kutishia nyau
Good
Kuandamana ni haki ya mtanzania yoyote, kwanini watu wakamatwe kwa hilio
Sio kweli
hii sio leo bana
Ni aibu kutawaliwa na mzanzibar tena Mwanamke
❤❤
Yaani Acha tu
Nyinyi wanawake ndio maana munatawaliwa na mwanamke.Lakini hamumuwezi Mama Samia.
😅😅😅😅 mbona nyinyi mmetupa mwinyi ila sio mbaya kwa vile mmetupa mwanaume
Nyinyi uwezo wenu wakufikiri mdogo ndio mana tumewapa mwanamke tulieeni
Hongera chadema
Mama Samia hongera mma ww tulia tu tuwaone mwisho wao wasikutie pressure tunachotaka amani
Tunataka haki zetu.... nchi imeuzwa malizetu zinatapanywa kwann????
Chademaa oyeeeeeeeeeeeè saf sana wenzetu tunawapata kutoka 🇰🇪 tuko pamoja hongereeni sana
Hongete kwa maandamano.Mungu awatangulie.
Acha udanganyifu sio li ve
Safi kabisa tuacheni tutoe kilio chetu😢
Amani kwenu wapende amani wengine wanaichezea kama awa ccm
Hahahahhahaahha
Kwa hiyo leo wananchi watafute barabara zao za kupita kuwapisha chadema?
Ni haki kabisa kufanya maandamano juu ya hili taifa letu ,mambo hayaendi vizuri kuuwawa kwa watu ,kupotea kutekwa ni shida kweeli.
Sio maandammanoo ya leo😂😂😂
Siyo Leo hii
Sasa hapo mna andamana au mnapiga misele tu😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Samia must go
Daaah ...acha kudanganya watu...polisi waungemkono?
Mimi naendelea kuwapa hongera kubwa.
Kweli kuna watanganyika wanao unapambani utanganyika
Watanzania kama nyumbu tumekaa kwa kweli, watu wanafuat mumbo tu
Mbona kama siamin km ya leo haya 😅
Hii sio ya leo, Mbowe, Lisu na Lema wamekamatwa
Kudai HAKI ni jukumu la kila MTANGANYIKA,.
Amani huletwa Kwa busara sio Dola na maguvu mengi
Pamoja sana Niko njiani nakuja
✌️
Dua kila atua watanzania arisi
Haha maandamano ya mda mrefu sio leo
2007 na support chadema in 💯
❤
We jmaa kenge kwel ww habar ya kitambo kabisa hii
Ubaya ulio fanyika kuwakamata viongozi wakuu si wangewasindikiza kama hivyo
Usitoke nnje mpaka nifike hapo twende wote
Mungu mkubwa ❤❤
Unauhakika ni leo hii mbonaaaa kamaaaa mmmmh😢
Ccm siku zenu zimeishaaaaa! Watu wamechoshwa na uovu!
Wee unaada watu kwa taarifa za zamani huna elimu mwongo mkubwa
Mheshimiwa usitoke makamanda wako tupooo
😂😂😂😂😂😂 hayo si ya leo watu wengi wajinga kweli
Hii picha sio ya leo jamani haya niyale yaliyopita
Achen kupotosha hii sio ya leo
Wacha kupotosha watu. Sio ya Leo hii.
Habari za uongo
❤❤❤
Muda wote nalisema na na nasimamia ukweli na haki daima kuwa CHADEMA wataandamana na wataungwa mkono na wananchi na hatimaye polisi watawalinda tu kwani si uasi bali haki kisheria na kikatiba.Hadi usiku nalirudia msimamo wangu huo.Sasa yametimilika
Hooo bajaj piki pik hazitakuwepo izo niniii Ilove chadema ingekuwa mbeya jamn
Hayo ya zamani
Lini iyo
Ilakweli sio maandamano ya leo ni yazamani huko nyuma tunataka ya leo
Lazima wafanye maandamano siwanamaagano na hulo wanakoenda kuishi
Wewe ni muongo hayo sio ya leo
MIMI NASEMA MAMA SAMIAH KAMA AMEFANYA HIVI ...KWELI HAUSIKI KATIKA WAUAJI MAMA WA WATU. SHIDA NI SPEAKER TULIA ACKSON NA MENGINE NDO MAUAJI YANACHAFUA SERIKALI YA MAMA NA
Lini hiyoo jamaniii
Hii ni lini acha ujinga
Si ya leo haya
Maandamano yasiwe na kikomo na yawe ya nchi nzima sio tu Dar es salama
AMANI YETU NI TUNU ILIYODUMU KWA ZAIDI YA MIAKA 50,,, ASITOKEE MPUMBAVU YOYOTE WA KUJA KUIVURUGA KWA ULAFI WAO BINAFSI WA MADARAKA...
HONGERENI SANA POLISI.
HAYA NDIO TUNAYOYATAKA.
haya maandamano sio ya leo.
leo haiwezekani kuandamana tz
Hii sio leo
Mungu nu mwema
🎉🎉🎉
Acha watu waandamane kwani tunauwawa bure
Msitudanganye waandishi kwa kutuwekea maandamano ya mwaka Jana, we need current event
Kabsa
Maana wamekamatwa
Hayo cy ya leo
Sio leo acheni kuongopea watu
Hamna shida hapo unayasambaratisha yote hayo
Ccm jipangeni kukamata vitu na wajumbe
Amani, mama anapenda amani sote n wake mitano Kwa mama
Mbna media hazi posti hii kitu??