Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Masha Allah tz,🔥🔥🔥👏👏👏😘
Salam nani inayfaham chuo cha thaqeb mwanza sokoni?!?? kilmahewa
Tunaomba utuoneshe mabadiriko yake mpka mwaka huu 2024
Sawa, tutajitahidi kufanya hivyo
@@BMGOnlineTV Hivi ile stend ya daladala mbele ya soko bado itakuwepo?
@@Stan-103 ilihamishwa
@@Stan-103 soko lilianzia kutumika, itajulikana, inaweza kurudishwa ili kupeleka wateja sokoni
airport vipi bro? ujenzi ulisimama?
Tutafuatilia pia
Salam unakifaham chuo cha thaqeb mwanza sokoni kilmahewa ustath Adam??
Stendi ya Nyegezi inaanza kazi lini boss mkubwa.???
Miundombinu ikikamilika boss
Salam inayfaham chuo cha thaqib?mwanza sokoni kilmahewa?
mradi ulio lala hapa mwamza ndo hu sasa! Hio chuma ni mwaka sasa tangu imewekwa! Hakuna cha bati wala ukarabati!
Ahsante kwa kufuatilia
Salam inayfaham chuo cha thaqeb mwanza kilmahewa sokoni. Ustath Adam!!???
Nawasikitikia waanyabiashara waliopo RWAGASORE STREET,,,Hio barabara ni mwaka wanne sasa tangu imefungwa ili kuusubiria huu mradi wa ujenzi wa soko hadi utakapo kamilika
Hv huo mradi usha kamilika hakuna updated kitambo
Bado kidogo
Nyegezi bus vipi kunani paleeee afu na hapo nilisikia mkandarasi kang’anywa tenda
Wapi?
Masha Allah tz,🔥🔥🔥👏👏👏😘
Salam nani inayfaham chuo cha thaqeb mwanza sokoni?!?? kilmahewa
Tunaomba utuoneshe mabadiriko yake mpka mwaka huu 2024
Sawa, tutajitahidi kufanya hivyo
@@BMGOnlineTV Hivi ile stend ya daladala mbele ya soko bado itakuwepo?
@@Stan-103 ilihamishwa
@@Stan-103 soko lilianzia kutumika, itajulikana, inaweza kurudishwa ili kupeleka wateja sokoni
airport vipi bro? ujenzi ulisimama?
Tutafuatilia pia
Salam unakifaham chuo cha thaqeb mwanza sokoni kilmahewa ustath Adam??
Stendi ya Nyegezi inaanza kazi lini boss mkubwa.???
Miundombinu ikikamilika boss
Salam inayfaham chuo cha thaqib?mwanza sokoni kilmahewa?
mradi ulio lala hapa mwamza ndo hu sasa! Hio chuma ni mwaka sasa tangu imewekwa! Hakuna cha bati wala ukarabati!
Ahsante kwa kufuatilia
Salam inayfaham chuo cha thaqeb mwanza kilmahewa sokoni. Ustath Adam!!???
Nawasikitikia waanyabiashara waliopo RWAGASORE STREET,,,Hio barabara ni mwaka wanne sasa tangu imefungwa ili kuusubiria huu mradi wa ujenzi wa soko hadi utakapo kamilika
Hv huo mradi usha kamilika hakuna updated kitambo
Bado kidogo
Nyegezi bus vipi kunani paleeee afu na hapo nilisikia mkandarasi kang’anywa tenda
Wapi?