Maneno ya ukweli kabisa mimi ninayasadiki kwa yaqiin kabisa,nilikuwa nikimfanyia visomo dada mwenyekupatwa na majinni akapoteza nguvu kabisa kiasi cha kushindwa kusimama wallah thumma wallah mapak naogopa na watu waliniona si binadamu wa kawaida nilichukua maji nikayasomea aya nambari 12 katika surat yasin inayosema inna nahnu nuhiy mauta wanaktubu maa qadam wa atharahum wakula shayn ahswainahu fiy imamim mubiin nikampaka maji yale mikononi akakunja ngumi nikampaka miguuni akanyoosha miguu nikamwambia nyanyuka akanyunyuka ndani ya sekunde 3 wallah watu wakasema kweli huyu ni ustadh na hatuwah ona mtu wa namna hii
Aaw mm ni mama Niko na shida Dani ya miaka kumi sasa Niko Kenya MSA nimekaliwa na uchawi mda wote huko kama utafika Kenya karibuni nijuwe uko wapi nine nikuone tafadhal huwa nasikiza sana darsa zako akujaze Allah wabillahi taufik
Huyu shekh nampenda sana kwa ajilya allah amlipe kher inshallaah sjuw anapatikna wap tukachote elim kama hii wallah.
Maneno ya ukweli kabisa mimi ninayasadiki kwa yaqiin kabisa,nilikuwa nikimfanyia visomo dada mwenyekupatwa na majinni akapoteza nguvu kabisa kiasi cha kushindwa kusimama wallah thumma wallah mapak naogopa na watu waliniona si binadamu wa kawaida nilichukua maji nikayasomea aya nambari 12 katika surat yasin inayosema inna nahnu nuhiy mauta wanaktubu maa qadam wa atharahum wakula shayn ahswainahu fiy imamim mubiin nikampaka maji yale mikononi akakunja ngumi nikampaka miguuni akanyoosha miguu nikamwambia nyanyuka akanyunyuka ndani ya sekunde 3 wallah watu wakasema kweli huyu ni ustadh na hatuwah ona mtu wa namna hii
mm nikutoka KENYA, MOMBASA shk Athman ALLAH akulipe ujra mwema duniani nakesho aakhera, aamin
Alhamndulillah, Mafunzo Mema naomba niwe Mwanafunzi wako nitafuatilia Maelekezo.Inshallah.Namuomba ALLAH Akupe Maisha Marefu.Amiina.
Allah akupe bora kuliko unalo muomba
Aaw mm ni mama Niko na shida Dani ya miaka kumi sasa Niko Kenya MSA nimekaliwa na uchawi mda wote huko kama utafika Kenya karibuni nijuwe uko wapi nine nikuone tafadhal huwa nasikiza sana darsa zako akujaze Allah wabillahi taufik
Aaamiiin inshallah 🙏 ❤️ allah atujaalie tuwe miongoni mwa mwisho mwema😊
Yuko vizuri sana Shekhe huyu Mungu ampe Mema atuelimishe
Mashaalah sheikhe Allah akulipe Kila hatua maan huw nahix km nko kwa pepo ninapockia mawaidha yko
Subhana Allah wabihamdih...Allah akupe kla hitaji la nafsi yko inshllah sheikh wetu
Masha allah
For me it very nomol I like you from tha bottom of my ❤️
Asalam alaikum warahma tullah wabarakatuh
Jazzak Allahu khaira shekh darasa lako ni zuri najifunza vitu vingi kupitia darasa lako
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
Allahuma bariki shukran jazaqalahu khairan
Allah akudjaze he kher
Masha Allah Mola azidi walinda n dua zenu zitufikie na elimike zaidi
Mashaalah lazima niifanyie bidii niijue biidhin ahi
We love you fr the sake of Allah