Alhamdulillah Maa shaa Allah tabaaraka llah hakika ni maneno mafupi lakini yenye uzani mzito mbinafsi nasema ahsante saana sheikh Wangu Allah akulipe kheri nyingi na ndugu zangu katika Imani hivi mmesha ambiwa kutafuta elimu nibora kwakila mwisilam mwanaume na mwanamke mnapewa kheri mnaibeza hii ni kwasababu kilichoandikwa hamkijuwi kaeni madarasan muisome dini ili msiwe watu wamabishano yahoja wakati namambo ya manfaa kwenu mwenyewe mjuwe mnachokifanya wanapasa kukifanya wanasiasa nasio sisi waisilamu tutafuteni elimu huo ndio msingi wetu fiddunia wal, akhera
ameen ahsantu sana dadaang allah akuzindue katika din akuzidishie kher.na wanaofuatilia darsa zetu allah awafungue wakamjue na kumtaja kwa wingi ndio allaha anapenda kutajwa sana. shukraan sana
سبحان من قسم الأرزاق بين عباده ومن فضله لا ينسى منهم أحدا Glory be to Him who divides sustenance among His servants, and from His grace He does not forget any of them
Jamani angalieni mashekh wa kuwasikiliza mtapotezwa mpaka mtapotea tena. Na mashekhe jamani kuweni na hekima maneno kama hayo siya kufundisha mitandaoni mtatupoteza, Waislam kuweni makini tafadhalini hayana ukweli hayo shauri yenu
A w w sheikh niliolew ila mume wangu nimzinifu sana nilikuwa nampenda sana kudikiya alizini nilifika namchukiya sana Tena sana Tena amazing mke wa rafikiyake niliumiya sana nikaomba Tanaka yangu alinipa nilisha mtukana uchonganishi mwingi mume sutwa
Mtihani waislam yaani mpaka kumzukur Allah watu wanahofu na kutumbukia kwenye bidhaa? hakika makafir hapa wamefanikiwa yaani kupoteza muda kwa kuchati hatuhitaji dalili lakini kumzukur Allah tunahitaji dalili? Subhana llah kiama hakina mda wWallah waslamu yamebaki majina tu ya kiislam bali yakini imepotea
Hao wenzetu ansari sugu wasikusumbuwa na kudai kwao dalili hadithi na vitabu hayo ndio masuali yao wote na kila mmoja kila ahlu bidaa hakosi hio hoja. Tafadhali fikisha unalo lijuwa na wakupokea watapokea watafuata na kutafuta Ahsante
MashaAllah,,,Shukran Sheikh
ameen kwa sote insha allah
Alhamdulillah Maa shaa Allah tabaaraka llah hakika ni maneno mafupi lakini yenye uzani mzito mbinafsi nasema ahsante saana sheikh Wangu Allah akulipe kheri nyingi na ndugu zangu katika Imani hivi mmesha ambiwa kutafuta elimu nibora kwakila mwisilam mwanaume na mwanamke mnapewa kheri mnaibeza hii ni kwasababu kilichoandikwa hamkijuwi kaeni madarasan muisome dini ili msiwe watu wamabishano yahoja wakati namambo ya manfaa kwenu mwenyewe mjuwe mnachokifanya wanapasa kukifanya wanasiasa nasio sisi waisilamu tutafuteni elimu huo ndio msingi wetu fiddunia wal, akhera
ameen ahsantu sana dadaang allah akuzindue katika din akuzidishie kher.na wanaofuatilia darsa zetu allah awafungue wakamjue na kumtaja kwa wingi ndio allaha anapenda kutajwa sana. shukraan sana
Asante kwa somo ustadhi hassan ❤ je naweza kupata kitabu chenyewe?
Tunahitaji dalili kaka
UTUKUFU NI WA ALLAH ANAEGAWANYA RIZKI KWA WAJA WAKE NA KWA FADHLA ZA ALLAH HAMSAHAU KIUMBE HATA MOJA.WOTE WAPATA RIZKI ZAO.
ALHAMDULI ALLAH
mash allah jazaka lkhayr
Assalam alykum naombeni MWENYE kujua hiyo dua alosoma hapo sheikh andike
سبحان من قسم الأرزاق بين عباده ومن فضله لا ينسى منهم أحدا
Glory be to Him who divides sustenance among His servants, and from His grace He does not forget any of them
masha allah masha allah swadaqta jazaka llah.
Masha Allah tabarakallah.... swadakta Akhy....
shukraan jazillah
@@zuhoor-mc7hq ameen ukhty shukraan
Ok inshaaallah asnteeee
Maalim samahani hapo kwenye salam Hiyo taala ina maana gani?
سُبْحَانَ مَنْ قَسَمَ الرِّزْقَ وَلَمْ يَنْسَ اَحَدًا سُبْحَانَ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ صَاحِبَةً وَلَا وَلَدًا سُبْحَانَ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ وَلَمْ يَكُنْ لَهُ كُفُوًا اَحَدٌ مَنْ يَرَانِي وَيَعْرِفُ مَكَانِي وَيَرْزُقُنِي وَلَا يَنْسَانِي
Share
Save
Feedback
❤
Jamani angalieni mashekh wa kuwasikiliza mtapotezwa mpaka mtapotea tena. Na mashekhe jamani kuweni na hekima maneno kama hayo siya kufundisha mitandaoni mtatupoteza, Waislam kuweni makini tafadhalini hayana ukweli hayo shauri yenu
Asc kuna kitu natakuuliza
Jazakallah Sheikh tuko pamoja insh allah ❤❤umri ❤
allah himma ameen shukraan sana
A w w sheikh niliolew ila mume wangu nimzinifu sana nilikuwa nampenda sana kudikiya alizini nilifika namchukiya sana Tena sana Tena amazing mke wa rafikiyake niliumiya sana nikaomba Tanaka yangu alinipa nilisha mtukana uchonganishi mwingi mume sutwa
alykum salam pole sana dadaangu allah akuhifadhi
lakin kwa utatuzi zaid insha allah nitafute kwa hizo namba hapo insha allah
Kwa sasa ushaolewa???
In sha Allah Allah Ameen
shukraan sana ukhty
Mashaallah Mashaallah
afuwan shukraan sana
Shukrani sana kwa darsa
ameen yaa rabb allah atupe wepes pilpo na uzito
Mtihani waislam yaani mpaka kumzukur Allah watu wanahofu na kutumbukia kwenye bidhaa? hakika makafir hapa wamefanikiwa yaani kupoteza muda kwa kuchati hatuhitaji dalili lakini kumzukur Allah tunahitaji dalili? Subhana llah kiama hakina mda wWallah waslamu yamebaki majina tu ya kiislam bali yakini imepotea
Shukran jazeerah
ahsant sana ameen kwa sote
In God we trusted, maa, shaallah, haha kazikwetu.
In God we truste , maa shaallah, kazinikwetu,
Mm, like zanguleo,
Shukrani
ahsant sana
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu shehe andika ss hatutaelewa
alykum salam angalia kwa hapo chini imetfsiriwa kwa kiswaahili
Masha allah
shukraan sana
Shukran jaziilah
ahsant allah akujaalie kher
Sheikh tunaomb tuwe tunapew na dalili ili tusiw na hofu yakudumbukiy kweny bidaa
أدعون أستجب لكم قال الله تعالي
Shukran sheikh kwa dua zuri plz nakuomba uniandhikie hiyo dua plz@@TIBAZAMAALIMHASSAN
Mashallh
shukraan sana
Mashaallah
shukraan saana
Insshaallah
Shekh wetu Kuna Hadith yenye husema hivo
Mashallah shekh wetu inshaallah tutayafanyia kazi na Allah atatujalia kheri zake
allah humma ameen shukraan sama
Mashallah❤
shukraan sana al akhiy
Jazakallahu lkheyr
allah humma ameen
Shukurabni❤❤
Shukran❤
Tuko pamoja inshaallah
Hyo..dua sheakh.. Tunaomba uiandike
sawa insha allah ntakuelekeza zaid
Hasbuna Allah waneemal wakeel neemal maulaa waneemal naswir
unataka uandikiwe wa lugha gani?
Tuandikie kwa kiiswaahili
Frm kenya❤❤❤
Shekhe unatoa duwa tafadhali toa na tafsiri ya duwa tujuwe tunaomba nini
sawa insha allah
Hao wenzetu ansari sugu wasikusumbuwa na kudai kwao dalili hadithi na vitabu hayo ndio masuali yao wote na kila mmoja kila ahlu bidaa hakosi hio hoja. Tafadhali fikisha unalo lijuwa na wakupokea watapokea watafuata na kutafuta Ahsante
@@ruqaiyahrashid4235 alaykum salaam shukraan sana ukhty ruqay-ya
Dua nzr ila iandke taf
sawa insha allah ntafanya hivo ukhty
Mashaalla😢
ahsant sana allah akubarik
Tafsir ya dua hyo tafadhali
Tupe dalili bwana yame tajwa katika kitabu gani? je mtume na maswahaba walifanya hayo? dining imekamilika.
Dalili kwanza
Masha Allah
shukraan sana akhuy kwa sote
Mashallah
shukraan sana ukhty
Shukran
ahsant sana
Mashallha
shukraan sana allah akujaalie kher
Mashaallah
ahsant pia kwa kupata darsa allah akufungulie kher zaid