#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • #EXCLUSIVE: SOPHY wa JUAKALI Asimulia ALIVYONG'OLEWA MENO ya MBELE ili AVAE UHUSIKA wa TAMTHILIA..
    Muigizaji Sophy amesimulia jinsi alivyowahi kung'olewa meno ili aweze kuuvaa uhusika kwenye tamthilia ya jua kali.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 112

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Рік тому +11

    Hapana,hata kama uhalisiaa,hata kama kutafuta pesa,..lakini si kutoa meno,mimi sijasapoti kwa hilo,hiyo ni kujidhulumu,Mungu kakuumba vizur..umejiharibu kwa maslahi

  • @sophiajamali831
    @sophiajamali831 2 роки тому +3

    Wajina wangu nakupenda MNO unajua adi unajua Tena 👍❤️....

  • @allthings1302
    @allthings1302 Рік тому +4

    Technology ingeweza kutoa hayo meno, na tungeweza ona huwa meno, sio ulivyofanya

  • @tiffanyakramJr814
    @tiffanyakramJr814 2 роки тому +7

    Umerogwaaa Kunasiku utakunywa sumu wewe uoneshe uhusika na kuingiza unachokijua kulia tyuu🤗

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 2 роки тому +14

    Dada yangu leo umeniacha na maswali mengi yasiyo na majibu. Yani unang’oa meno kisa sanaa ?? Nakuonea huruma sana 🥲..

  • @sandrine6562
    @sandrine6562 Рік тому

    Sophia nakupenda sana ndugu yangu

  • @bjaribu4675
    @bjaribu4675 2 роки тому +3

    Hiiii!!!!! Huyu kumbe zamwamwa eeeh!!!😳😳😳😳

  • @aminamwaja3297
    @aminamwaja3297 Рік тому

    My dear uko vizuri mhh

  • @ClaraKaduma-yj3vb
    @ClaraKaduma-yj3vb Рік тому

    Nakupenda saana mdogo wangu

  • @EdithaAbely-fb9yb
    @EdithaAbely-fb9yb Рік тому

    Napenda kua mwigzaji Jmn naomba mnisaidie

  • @ilhamrashid1125
    @ilhamrashid1125 Рік тому +1

    Mmhh hapana kwa kweli ni upuuzi uliopitiliza

  • @sarahmichael1327
    @sarahmichael1327 2 роки тому +12

    Hili lidada ni liongo alipata ajal meno ya mbele yakatoka huwa anavaa ya bandia aisee sipendi majitu maongo

    • @hadhyaabdull2298
      @hadhyaabdull2298 2 роки тому

      apo kweli mana yanaonekana yametoka mda mreeefu sio kwa kung'oa mda mfupi

    • @gadfinydady4762
      @gadfinydady4762 Рік тому

      kwanza kikwaida meno ya juu uwezi tolewa ovyo ovyo

    • @jamilajamal1584
      @jamilajamal1584 Рік тому

      Umesema ukweli kbs sasa sijuwi kwanini anadaganya wa Tanzania🥲

  • @omarihamisi4211
    @omarihamisi4211 Рік тому

    Au sío nakúbali kazi zako dadaangu mama jasi

  • @neyshayo1351
    @neyshayo1351 Рік тому +1

    😂😂😂walisia ndo nitoe meno

  • @KennedyKabonge
    @KennedyKabonge Рік тому +1

    Mmmh!

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Рік тому

    Da ulilipwa kiasi gani 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 2 роки тому

    Mwandishi mashaallah anabenzi la kidume

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 2 роки тому +4

    Pesa inatafutwa Kwa nguvu kweli yanni ningolewe Jino si wangetafta mapengo tu

  • @neemasalysaly4332
    @neemasalysaly4332 2 роки тому +1

    Walikuona wew ni mjinga ndo maana wakakwambia duh lakin huyo lamata mbona kama anaanza utumwa sasa

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 роки тому +3

    Tokea mwanzo ayo meno huna dada

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 роки тому +1

    Jinga ili

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Рік тому

    Uyu inakua alipigwa vichwa sugunyo anatuongopea tu kutoa meno kwa sababu ya pesa kweli haiingii akilini kutoa meno ya balazani ili uwatemee watu mate😂😂😂

  • @rayanaabdallah6580
    @rayanaabdallah6580 2 роки тому +3

    🤣😂 wonders shall never end.
    Kesho kwatakiwa kipofu wendatolewa macho🤣🤣💔

  • @CelinaLupoli
    @CelinaLupoli Рік тому

    Waoo

  • @rashidramadhan7708
    @rashidramadhan7708 2 роки тому +3

    Huo uhalisia unaotaka kuubeba ipo siku utakugharimu dadaa amka

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 роки тому

    Siungeeka chocolate tuhapo kuliko kung'oa jamani dah umekula ngapi kwalamata

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 роки тому +2

    Ashi ili jinga kweli unatoameno kwani umuoni joti ck ingine ana meno ciku ingine anayo

  • @sanisani5266
    @sanisani5266 2 роки тому +4

    Usitudanganye wewe bwa na ukute ulishapigwa siku nyingi ngumi me no yote ya sebleni yakatoka😂😂 meno yakiwa mazima ata doctor anakataa kukung'oa mie nipo nje ya tanzania jino linatobo mbona doctor halikataa kuning'oa akasema bado gumu haliwezi kung'olewa nikapewa dawa 2 mpaka leo sijalitoa

  • @sabrakimaso3547
    @sabrakimaso3547 2 роки тому +2

    Huyu toka mwanzo alikuwa hana meno na nilimshtukia kipind flani akiigiza na yusuphu mlela na Neema ndepanya niliona kbsa hakuwa na meno

    • @vumi8371
      @vumi8371 Рік тому

      😮😮eeh hana meno kweli

  • @harunamuhode9402
    @harunamuhode9402 2 роки тому +1

    Ulifumaniwa maeneo ya yombo ukatolewa meno na mwana flani hivi anaitwa fred

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 роки тому +1

    Kweli ww dada za mwamwa unajitoa meno yako kisa tamthilia pumbavuuuu kwa umri ulio nao hayaotiii tn menooooo 🤣🤣🤣kwanza ulilipwa Bei gn nakuuliza hapo kwanza Mana ncheke

  • @tumainisanga7353
    @tumainisanga7353 2 роки тому

    mimi naomba utoe na mengine ya chini sofy

  • @nyamiziramadhani4232
    @nyamiziramadhani4232 2 роки тому

    Heee ela zitatuuwa

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому +1

    Hongera kwa kutoa meno bado mguu dada au mikono 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 2 роки тому

      Hahahahahhahaaaa hakika

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 роки тому

      🤣🤣🤣Enti bado miguu ila huyo ni ujinga Sana

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 2 роки тому

    Huyu Sophia hilo tukio la moto lilitokea Magomeni mtaa wa Luponda B au sio?

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 2 роки тому +5

    Huu ujinga, basi waigizaji wazungu, wote wangekuwa, hawana meno na miguu, ijinga sana, wenzenu wanapaka rangi,, masi na miguu. Utavunja,

  • @olivajoseph1697
    @olivajoseph1697 2 роки тому

    Hongera kwa kujenga dada angu

  • @azminahabib5288
    @azminahabib5288 2 роки тому +2

    Subutu sio jino to hata nywele zangu sinyoi😏

    • @mwanamisimwambeni4942
      @mwanamisimwambeni4942 2 роки тому

      Wewe wanibamba wasema ata nywele unyoi mm inategemea n style ya kunyoa ela kipara mmh swezani

  • @helenswai7452
    @helenswai7452 Рік тому +2

    Uyu muongo ,meno yake tangu zamani nilishamwona akuwa na meno,kuna muvi alicheza akiwa housgerl meno akuwa nayo

  • @RithaRitha-cj3ph
    @RithaRitha-cj3ph Рік тому

    ananikela matibwili yake dar we jeuli

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 2 роки тому +2

    Kuna siku Uhusika utakuhitaji uigize ufe” Kwa jinsi unavyosema eti unampambania Mama yako Na watoto basi wewe utaamua ujipige kisu ufe kweli” Halafu huwezi kung’oa meno hapo hapo ukavaa Meno ya Bandia’ huwenda akawa alichezea kichapo yakang’oka akaona humu humu atokee”

  • @gracekimario6526
    @gracekimario6526 Рік тому

    Huwezi jua amepitia mangapi baada ya kuunguliwa na vitu vyao ndo alivyopata kazi akaona afanye vyovyote apate nafasi kwenye hiyo tamthilia. Shida haina adabu

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 роки тому

    Mzuriii lkn fashen ya kukata hapendezi bichwa kubwa linamanundu style hio awaachie akina Wolper na Kajala wao vichwa vyao vinapendezaga na hio style

  • @WinifridaMakala
    @WinifridaMakala Рік тому

    Nyoo Kwa kutoa meno Bado,ujinga huo cfanyo

  • @husnahusney
    @husnahusney Рік тому

    Huyu haoti nywele au hapendi nywele

  • @jestinamwambu5557
    @jestinamwambu5557 2 роки тому

    Huyo lamata hajatenda haki duh,kuigiza ndo ujitoe kiungo

  • @rahmasalim5252
    @rahmasalim5252 2 роки тому

    Kesho utaambiwa utoe pua bibie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamomary7758
    @mariamomary7758 2 роки тому +3

    Fala uyu anatuzuga meno ya mbele alikuw Hana toka muda . Lamata hawez mtow meno msanii wake

  • @mariamomary7758
    @mariamomary7758 2 роки тому +1

    Mbona joti anaekti na mapengo kila day na hatowi meno yake jmniii

  • @bijouxnicky5060
    @bijouxnicky5060 Рік тому

    Uongo ajatowa meno

  • @swalehebakari8400
    @swalehebakari8400 2 роки тому +2

    He huyu juha ee siku nyingine ikibidi awe kipofu atatoa macho kweli

  • @zeyzey5439
    @zeyzey5439 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣 chiz kwel weye sasa utato wa macho siku nyingine acha ujinga

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 Рік тому

    Kwa kutoa Meno nakuona huna akili

  • @ruumo1201
    @ruumo1201 2 роки тому

    Sio siri we mjinga

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 2 роки тому +3

    Huyu alihitaji elimu maana teknolojia ipo... hajui kuna uzee halafu anatoa meno kizembe.

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 Рік тому

    Huna akili

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 2 роки тому +1

    uhakika wa kula ndo umempa uchizi wa kutoa meno...

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 2 роки тому +1

    Unampongeza ujinga, we mwandishi, kuna filam ngapi, dunian, watu wanafanya uhalisia,, katika watu ambao, hawana akili naona we kiboko,

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Рік тому

    Ulipata ajali bhana hapo umeongopa

  • @teddysananga
    @teddysananga Рік тому

    Si angepaka rangi tu kama joti

  • @AziaJeradi-ix4gw
    @AziaJeradi-ix4gw Рік тому

    Toanamikonoyote

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 2 роки тому

    Mwwhu kabisa na mshamba

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 роки тому

    Kama nikweli wewe sio mzima lakini nahisi ulipata ajali kwaajili ya ulevi

  • @hamidahamadi
    @hamidahamadi Рік тому

    Huyo muongo mwanzo kabisa kasema alipata ajali meno yakatoka

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 2 роки тому +1

    Meno yalitoka zamani sema ulificha ukaamua kuwa wazi ktk kuect

    • @asias8724
      @asias8724 2 роки тому +2

      Kweli kabisa nakumbuka kuna dada nilisoma nae yupo darasa la 5alinyoka meno mpaka leo hakuna atakaye jua hana meno anatumia ya mbandia

    • @cocorita8367
      @cocorita8367 2 роки тому +1

      Kwanza ktk interview yake amesema alipata ajali

    • @asias8724
      @asias8724 2 роки тому +2

      @@cocorita8367 eeeeh hajaenda kutoa kwajili ya interview

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 2 роки тому

    U

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 2 роки тому +1

    Huyu alioza meno muda tu akang'oa na akawa ana ya bandia asituzengua kabisa

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 роки тому

    Duuh nawaza tu ukipata kakipande Cha kuigiza umekufa Utajiua kwel ili utuoneshe uhalisia

  • @AziaJeradi-ix4gw
    @AziaJeradi-ix4gw Рік тому

    Mjingasana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 роки тому

    Ujinga gani huu??

  • @RithaRitha-cj3ph
    @RithaRitha-cj3ph Рік тому

    ananikela matibwili yake dar we jeuli

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 роки тому +1

    Duuh nawaza tu ukipata kakipande Cha kuigiza umekufa Utajiua kwel ili utuoneshe uhalisia

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣Yaani nacheka hadi badi enti uhalisi hii kali