MAPISHI YA VITUMBUA/jifunze kupika Vitumbua na Sisi/ Tanzanian YouTuber

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • Hellow dears
    Hii Video nitakua namuelekeza fau jinsi yakupika Vitumbua… hope utaenjoy kuiangalia na pia utajifunza kitu chochote…
    Video ya Kutengeneza Vitumbua:
    Instagram @ikamalle
    #vitumbu #tanzanianyoutuber #mapishi

КОМЕНТАРІ • 56

  • @Furaha-hx6lv
    @Furaha-hx6lv Рік тому +1

    Wow mtoto mzuri anapikavutumbua vizuri sana endelea ivo mama kumfundisha .alafu anamfanana sana mdogo wangu mpaka nashindwa kwani ni lipacha wake au ninependa anitafute niongee naye kweli ❤

  • @tridabalira5992
    @tridabalira5992 2 роки тому +2

    Welldone. Your daughter is brave and beautiful. I like the idea of using minimal oil. Great job.

  • @betty_900
    @betty_900 2 роки тому +4

    Your baby gal is so pretty 😁😍with love from Kenya

  • @safiashariff8473
    @safiashariff8473 2 роки тому +3

    Nmependa sana convo zako na mwanao! Nme imagine nikiwa na binti yangu 😄 Allah awatunze 😍

  • @joliekayirebwa511
    @joliekayirebwa511 День тому

    Kama huna nazi huwezi kutumia maziwa? Fresh

  • @catherinenicodemus1574
    @catherinenicodemus1574 2 роки тому

    Hongera Ni vizuri he vyombo kikiwa kipya unafanyaje changu si special

  • @asmahtamla4749
    @asmahtamla4749 Рік тому

    Hongera zako dada umekuza bintiyo anaelekea vizuri Sana ktk mapishi na anapenda Big up to you dada

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani2786 2 роки тому

    Mansha'Allah mwanao au wa mziwanda bakers😍😍

  • @georginakemboi1576
    @georginakemboi1576 2 роки тому +1

    Dada anajua kazi hongera

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому +1

    Maa shaa Allah

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 місяці тому +1

    So cute girl mashallah ❤

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani2786 2 роки тому +1

    Hodari mwanao kaweza💪💪

  • @Georges.Kitchen
    @Georges.Kitchen 2 роки тому +1

    Dada anajitahidi sana ❤️ nashukuru sana kwa recipe nzuri 😘

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 4 місяці тому

    Habari niblend mchele niliupga sana chengachenga zilibakia na hata ninapouhumua unakata maji maji yanakuwa juu unga unabaki chini na wala hauumuki kabisa tatizo ni nini? Kwa wanaopika uji wao unakuwa mzuri wala haujitengi na maji na unakuwa na povu kiasi ukiweka uji kwenye kikaangia kitumbua ukikigeuza kinageuka vizuri. Je nifanyeje basi kwanzia hatua ya kuandaa mchele kuuloweka , kuusaga na hata kuhumua. Naomba unifahamishe nijue hatua zote hizo . Asante

  • @annaprosper2435
    @annaprosper2435 2 роки тому

    Nakupenda bure dada 🥰🥰🥰

  • @fadnanoor5121
    @fadnanoor5121 2 роки тому +1

    Mashacala

  • @judicahillary9910
    @judicahillary9910 2 роки тому +1

    Dada ameweza aisee ananishinda had mm 😃😀😀

  • @khadijahaji6341
    @khadijahaji6341 2 роки тому +1

    Mashalla

  • @itshaluastyle
    @itshaluastyle 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @user-wx6os9uy8c
    @user-wx6os9uy8c 4 місяці тому

    Nimeipend hiyo

  • @fideahyera2599
    @fideahyera2599 Рік тому

    Mashallahaa

  • @RoseEdward-vm5he
    @RoseEdward-vm5he 4 місяці тому

    Kwa nn mm vyangu vinakuwa kati na tundu au flati aviwi duala ukikibinua

  • @bijouxjuwaisy4680
    @bijouxjuwaisy4680 2 роки тому +1

    Maziwa haiwezekani tumia nasfasi ya nazi

  • @cholesarah332
    @cholesarah332 2 роки тому +1

    Your Daughter is so pretty 💜
    Thanks for the recipe

  • @swabribwana5399
    @swabribwana5399 2 роки тому

    Mashaallah

  • @reginanguomoja6900
    @reginanguomoja6900 2 роки тому +1

    Dada miye kila nikijaribu nashindwa kabisa

    • @asmahtamla4749
      @asmahtamla4749 Рік тому

      Kikubwa uckate tamaa pambana utaweza tu rahic my

  • @ciekeyslebulu6393
    @ciekeyslebulu6393 2 роки тому

    Jaman nataka kujua jinsi ya kuchanganya unga wa mchele wa biashara msaada please 🙏

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 роки тому

    Hadi raha kumfundisha mtoto mapishi🥰

  • @wildtodiet835
    @wildtodiet835 2 роки тому

    ❤️❤️❤️❤️

  • @user-pj7ks7jn5m
    @user-pj7ks7jn5m 6 місяців тому

    Hatukuona kipimo camcele umepia kikombe gani

  • @christinahillary3417
    @christinahillary3417 2 роки тому

    Vikombe viwili mbona vimetoka vingi

  • @elizabethtr5rrtakonaay413
    @elizabethtr5rrtakonaay413 2 роки тому +1

    Eti dada nimejaribu kutengeneza na mm but haziivi kati uji unabaki kati afu nje zimeiva nakosea wapi?
    Ninaacha kwa muda wa dakika 45 nikaona zimefura hadi kumwagika nieleweshe plz

    • @stevejobz4481
      @stevejobz4481 2 роки тому

      Unaweka amira nyingi na maji au tui jepesi sana

  • @OmarAhmed-ht2ns
    @OmarAhmed-ht2ns 2 роки тому

    Nataka hicho chuma cha kuchomea vitumbua nitakipata vipi? Niko mombasa kenya. Shukran

  • @SunnyAlve
    @SunnyAlve 2 роки тому

    listen please?

  • @Odama-dn7xy
    @Odama-dn7xy 2 роки тому

    Mbon ujatumia uji wa sembe

  • @nasirasalim9622
    @nasirasalim9622 Рік тому

    Kwani mnaweka maji kiasi gani

  • @jennymallya4533
    @jennymallya4533 2 роки тому

    Na hawataki kwely kujeuzika jamani

  • @handwatchmaro4124
    @handwatchmaro4124 2 роки тому

    Unga wa mahindi unawekwaga kwa ajili gani dada. Naona wewe hujaweka na wengine wanaweka

    • @ikamalle
      @ikamalle  2 роки тому

      Ni recipe 2 tofauti…..

  • @husnaabdillah4648
    @husnaabdillah4648 2 роки тому

    Umetumia mchele gani

  • @mariammaina2141
    @mariammaina2141 2 роки тому

    Hiyo pan naeza ipata wapi

    • @ikamalle
      @ikamalle  2 роки тому

      Hii niliinunua kwenye duka la vyombo vya mtumba

  • @muuzneally8050
    @muuzneally8050 2 роки тому

    Unatumia mchele gn naomba kujua

  • @alesmakasi7805
    @alesmakasi7805 2 роки тому +1

    Ni lazima kuweka Nazi!?

  • @mziwandabakers8297
    @mziwandabakers8297 2 роки тому

    Maa shaa Allah