MAPISHI YA VITUMBUA/jifunze kupika Vitumbua na Sisi/ Tanzanian YouTuber
Вставка
- Опубліковано 21 сер 2024
- Hellow dears
Hii Video nitakua namuelekeza fau jinsi yakupika Vitumbua… hope utaenjoy kuiangalia na pia utajifunza kitu chochote…
Video ya Kutengeneza Vitumbua:
Instagram @ikamalle
#vitumbu #tanzanianyoutuber #mapishi
Wow mtoto mzuri anapikavutumbua vizuri sana endelea ivo mama kumfundisha .alafu anamfanana sana mdogo wangu mpaka nashindwa kwani ni lipacha wake au ninependa anitafute niongee naye kweli ❤
Welldone. Your daughter is brave and beautiful. I like the idea of using minimal oil. Great job.
Your baby gal is so pretty 😁😍with love from Kenya
Nmependa sana convo zako na mwanao! Nme imagine nikiwa na binti yangu 😄 Allah awatunze 😍
Kama huna nazi huwezi kutumia maziwa? Fresh
Hongera Ni vizuri he vyombo kikiwa kipya unafanyaje changu si special
Hongera zako dada umekuza bintiyo anaelekea vizuri Sana ktk mapishi na anapenda Big up to you dada
Asante ❤️
Mansha'Allah mwanao au wa mziwanda bakers😍😍
Dada anajua kazi hongera
Maa shaa Allah
So cute girl mashallah ❤
Hodari mwanao kaweza💪💪
Dada anajitahidi sana ❤️ nashukuru sana kwa recipe nzuri 😘
Karibu sanaa
@@ikamalle ikaa umetumia mchele gani dear
Habari niblend mchele niliupga sana chengachenga zilibakia na hata ninapouhumua unakata maji maji yanakuwa juu unga unabaki chini na wala hauumuki kabisa tatizo ni nini? Kwa wanaopika uji wao unakuwa mzuri wala haujitengi na maji na unakuwa na povu kiasi ukiweka uji kwenye kikaangia kitumbua ukikigeuza kinageuka vizuri. Je nifanyeje basi kwanzia hatua ya kuandaa mchele kuuloweka , kuusaga na hata kuhumua. Naomba unifahamishe nijue hatua zote hizo . Asante
Nakupenda bure dada 🥰🥰🥰
Mashacala
Dada ameweza aisee ananishinda had mm 😃😀😀
😂😂😂
@@ikamalle itabid nikaze buti 😀😀😀
Mashalla
Mashallah
Nimeipend hiyo
Mashallahaa
Kwa nn mm vyangu vinakuwa kati na tundu au flati aviwi duala ukikibinua
Maziwa haiwezekani tumia nasfasi ya nazi
Your Daughter is so pretty 💜
Thanks for the recipe
Your welcomed
Mashaallah
Dada miye kila nikijaribu nashindwa kabisa
Kikubwa uckate tamaa pambana utaweza tu rahic my
Jaman nataka kujua jinsi ya kuchanganya unga wa mchele wa biashara msaada please 🙏
Hadi raha kumfundisha mtoto mapishi🥰
❤️❤️❤️❤️
Hatukuona kipimo camcele umepia kikombe gani
Vikombe viwili mbona vimetoka vingi
Eti dada nimejaribu kutengeneza na mm but haziivi kati uji unabaki kati afu nje zimeiva nakosea wapi?
Ninaacha kwa muda wa dakika 45 nikaona zimefura hadi kumwagika nieleweshe plz
Unaweka amira nyingi na maji au tui jepesi sana
Nataka hicho chuma cha kuchomea vitumbua nitakipata vipi? Niko mombasa kenya. Shukran
listen please?
Mbon ujatumia uji wa sembe
Kwani mnaweka maji kiasi gani
Na hawataki kwely kujeuzika jamani
Unga wa mahindi unawekwaga kwa ajili gani dada. Naona wewe hujaweka na wengine wanaweka
Ni recipe 2 tofauti…..
Umetumia mchele gani
Hiyo pan naeza ipata wapi
Hii niliinunua kwenye duka la vyombo vya mtumba
Unatumia mchele gn naomba kujua
Wakawaida
Ni lazima kuweka Nazi!?
Sio lazima
Maa shaa Allah