kupika vitumbua vya uji

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 99

  • @nasraulomi8312
    @nasraulomi8312 Рік тому +2

    Hongera Sana kwa upishi rahisi kwa wamama wote na pia hauna mahitaji mengi unapikika kwa Kila Hali ya mtu Asante sana

  • @HabibuRashid-q6n
    @HabibuRashid-q6n 2 дні тому

    Ukipika vitumbua utumii nanz

  • @HalietiSimfukwe
    @HalietiSimfukwe 11 днів тому

    Naomba namba yako ili.unielekeze zaid

  • @TumainiKayombo
    @TumainiKayombo 9 місяців тому

    Hongera Kwa mapishi mazuri

  • @joycemakala44
    @joycemakala44 9 місяців тому

    Hongera dada, nimependa

  • @KhadijMahenge
    @KhadijMahenge 4 місяці тому +2

    Mimi uwa napika uji wa Mchele kitumbua kinakuwa kizuri sana wa mahindi bora dona

  • @bakarimgua1558
    @bakarimgua1558 3 місяці тому

    Naomb namb yako naitaj Kuanz biashara hii naitaj unielezee zaid

  • @BlastusMkwele
    @BlastusMkwele 6 місяців тому

    Hongera dada ninakuelewa sana

  • @sofic.1622
    @sofic.1622 3 місяці тому +1

    Hongera! Lakin ungekipasua tuone na ndani

  • @AgnesKilongo
    @AgnesKilongo 4 місяці тому

    Hongera aise

  • @anithageorge164
    @anithageorge164 3 місяці тому

    Jitahid ukiwa unafundisha uwe unasema vipimo,hapo hatujui unga kias gan umesema tu amira

  • @johnkalinga3786
    @johnkalinga3786 8 місяців тому

    Congratulations

  • @athumanngolosa9680
    @athumanngolosa9680 3 місяці тому

    Vp my dear mbonae yametoka maugal jamn

  • @VumiliaSayi
    @VumiliaSayi 5 місяців тому

    Mimi huwa napika vitumbua vinapasuka km andazi nakosea wapi, huwa nakanda ukiwa mzito Kwa kupika huwa naweka maji ya barid

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 6 місяців тому

    Habari nilijaribu kusaga mchele kutumia blender lakini chengachenga zinabaki na hata ivyo naupiga Sana wewe unafanyeje hata visiwe na chenga? Swali 2 na hata baada ya kuupigapiga na kuuweka hamra unakata maji maji yanakuwa juu na unga unakuwa chini na Wala hauumuki kabisa tatizo ni Nini? Naomba nijulishe ili nielewe kwanzia kuandaa mchele, mpaka kusaga na hata kuhumua

  • @SmartnessPaschal
    @SmartnessPaschal 5 місяців тому

    Unga wa mahindi ulio changanyika na mihogo unafaa??

  • @lestherusitukanesanasomaam1339
    @lestherusitukanesanasomaam1339 10 місяців тому

    Assnte sana kwa darasa zuri mmmo.

  • @PiliHashim-wn3ng
    @PiliHashim-wn3ng Рік тому

    My unga ulitumia sembe au

  • @RebecaTlae
    @RebecaTlae 2 місяці тому

    Dada minataka nijafunze kupika

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 місяці тому

      Karibu,pia ingia kwenye channel yangu yani bonyeza jina la channel yangu upande ulio andikwa video utakuta nyingi na zamapishi mbalimbali

  • @SophiaRamadhan-o2g
    @SophiaRamadhan-o2g 9 місяців тому

    hongela

  • @sadadossa-zj7on
    @sadadossa-zj7on Рік тому

    Hongera

  • @reemaalwad3ani616
    @reemaalwad3ani616 3 місяці тому

    Waoooo❤❤❤

  • @kuthlamyusuf7876
    @kuthlamyusuf7876 4 місяці тому

    Umeandaa vizuri ila moto wako wa kuchoma umekuwa mkali uneviunguza

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  4 місяці тому

      Havikuungua ila simu nilio tumia kurekodi haiku quality, na siku na sapoti ya mwanga

    • @DidiDidi-r3i
      @DidiDidi-r3i Місяць тому

      Manshaallah vizuri

  • @EdinaMollel-d5c
    @EdinaMollel-d5c Місяць тому

    4:19

  • @DoroteaTsino
    @DoroteaTsino 10 місяців тому

    Nitaka kujua jinsi kuuchanganya maana sijawahi kuona au kupika kabisa hata mara moja unga mahindi unakwepo

  • @Mayasa-oy5bt
    @Mayasa-oy5bt Рік тому

    Very good

  • @SmartnessPaschal
    @SmartnessPaschal 5 місяців тому

    Na ukitumia unga uwo was mchele inawezekana??

  • @ChershAbdallah5-tz8xo
    @ChershAbdallah5-tz8xo 9 місяців тому

    Je kama n vitumbua vya biashata una viumiua usiku

  • @fahimajanes1364
    @fahimajanes1364 7 місяців тому

    Mimi vinakua na maganda magumu shida nini mamy

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  7 місяців тому

      Moto utakua mdogo kwaiyo unapika kwa mda mrefu ndio husababisha ganda kua gumu

  • @ShukuranPaulo
    @ShukuranPaulo 9 місяців тому

    Vyakwangu vinakuwa na ugar ila uji naweka wa mchere shida nini madam

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  9 місяців тому

      Itakua uji ulikua mzito au mchanganyiko uliufanya mwepesi sana au mzito,ukipika tena jitaidi mchanganyiko uwe wa kati

  • @VumiliaSayi
    @VumiliaSayi 5 місяців тому

    Uji kwa kawaida uwe km wa kunjwa au nisaidie dada nafeli sana jinsi ya kuandaa

    • @lucybuyunge5419
      @lucybuyunge5419 4 місяці тому

      Dada mm nashindwa kuandaa uji nikipika kitumbua linaiva juu ndani ni uji

  • @JustinaPaskari
    @JustinaPaskari 3 місяці тому

    Unalalamo au

  • @hiboabdinasir6621
    @hiboabdinasir6621 Рік тому

    Umejaribu kidogo

  • @irenemillinga6484
    @irenemillinga6484 10 місяців тому

    ASANTE

  • @asiankwela-de1ls
    @asiankwela-de1ls Рік тому

    Mimi Huwa zinakiwa lain ndan

  • @jumamaganga7751
    @jumamaganga7751 Рік тому

    Vizuri san

  • @ShukuranPaulo
    @ShukuranPaulo 9 місяців тому

    Je kati ya unga wa mahindi na unga wa mchere upi unatakiwa uzidi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  9 місяців тому

      Wa mahindi ni kidogo tu kwaajili ya uji na uji usiwe mzito wala mwepesi uwe saizi ya kati,wa mchele ina tegemea unataka kupika vitumbua vya idadi gani,labda nusu kilo,kilo na nk

    • @ShukuranPaulo
      @ShukuranPaulo 9 місяців тому

      Nimejaribu vimetoka vzr ila katikati havijaiva

  • @Upendo-qb2kc
    @Upendo-qb2kc Рік тому

    Unga wa mahindi uliyo korogea uji ni mahindi ya kukoboa au na inaliweka au hivyohivyo

  • @khadijaally2174
    @khadijaally2174 2 роки тому

    Mi huwa naumua usiku kwa ajili ya asubuhi nisicjelewe kupika ila nakutachamganyiko wangu umekuwa mwepesi Sana navitumnua huganda yani havigeuziki kwenye chuma et shida makosea wapi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому

      Wakati unapo changanya uji na unga wa mchele itakua mchanganyiko wako unaufanya mwepesi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому

      Ukiumua usiku hakikisha mchanganyiko wako unakua mzito sana hata ukiuchota na upao haumwagiki mpaka ugonge kwenye bakuli au sufuria ulilo changanyia ndio uanguke

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому

      Hii ni kwa sababu hamira ikianza kufanya kanzi huwa inapunguza ule uzito ndio maana ukichanganya ambao si mzito na unatakiwa ulale lazima uwe mwepesi,nibora uchanganye mzito asubui utakuta ume kua ile rojo unayoitaka kuchomea vitumbua au ikawa nzito kidogo na uongeze maji ya vuguvugu kidogokidogo mpaka upate rojo inayotakiwa pia zingatia na vipimo vya hamira my dear

    • @juddymasili2690
      @juddymasili2690 Рік тому +1

      Huenda uji unaweka mwepesi sana inabidi uji wako uwe mzito kiasi na unavochanganya na unga wa mchele mchanganyiko uwe mzito kiasi Ili wakati unaweka sukali hapo utakuonyesha uongeze maji ya vuguvugu kidogo aula

    • @joycehaule1610
      @joycehaule1610 4 місяці тому

      Ukiumua usiku, unatakiwa mchanganyiko wako uwe mzito sana kama inaelekea kwenye ugari laini sana na amira ni kijiko kidogocha sukari nacho kisijae sana.
      Hasubui utakuta umelainika vizuri kabisa kwa kupika ukiona mzito sana unaongeza maji ya uvuguuvugu kiasi cha izito upendao

  • @ecamachozi136
    @ecamachozi136 Рік тому

    Nataka unifunze kupika vitumbua dada

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Рік тому

      Usijali nitakuelekeza we uliza swali

    • @irenemillinga6484
      @irenemillinga6484 10 місяців тому

      Mi Nina unga wa mchele kutoka supermarket sasa nataka. Kuanza na robo ili nijifinze vipimo vinakuwaje?

  • @zakinamakongwa2677
    @zakinamakongwa2677 Рік тому

    Dada mbona vitumbua vyangu havichamnuli

  • @kuthlamyusuf7876
    @kuthlamyusuf7876 4 місяці тому

    Sioni kutiwa kwa tui la nazi. Vp hapo

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  4 місяці тому

      Ivi ni vitumbua vya kukorogea uji,apo uji ndio umetumika kama tui kipenzi

  • @EmmanuelWankogere-rq9fg
    @EmmanuelWankogere-rq9fg Рік тому

    ukisha tengeneza mchanganyiko unakaa Massa mangap

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Рік тому

      Kama utatumia hamira ile inaya umua haraka na mazingira yakawa ya joto inachukua lisaa mpaka lisaa na nusu,kama ni hamira ya kawaida inachukua hadi masaa mawili

    • @EmmanuelWankogere-rq9fg
      @EmmanuelWankogere-rq9fg Рік тому

      sawa,asante

    • @EmmanuelWankogere-rq9fg
      @EmmanuelWankogere-rq9fg Рік тому

      mchele tuloweke masaa mangapi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Рік тому

      @@EmmanuelWankogere-rq9fg mchele loweka mpaka ulainike nadhani aichukui ata saa moja,

  • @luluabdulaziz8556
    @luluabdulaziz8556 2 роки тому

    Nice 👍

  • @ednahngedu9152
    @ednahngedu9152 2 роки тому

    Nataka vya biaxhara vp hapo

  • @NeemaMwita-e5j
    @NeemaMwita-e5j 6 місяців тому

    Je huo uji ni wa sembe au wa dona

  • @nasraulomi8312
    @nasraulomi8312 Рік тому

    Type muda baadae yakuandaa kuumuka ni muda gani

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Рік тому

      Ukitumia hamira ile inayo umua hataka ni lisaa limoja au moja na nusu inategemea na hali ya hewa ya ulipo,kwa hamira hizi za kawaida ni masaa mawili mpaka matatu

  • @csfareed1974
    @csfareed1974 2 роки тому +1

    Done ✅

  • @uziahhumba1705
    @uziahhumba1705 2 роки тому

    Nice

  • @joycenyongole638
    @joycenyongole638 2 роки тому

    Nimependa unavo elekeza lakin naomba kuelekezwa mamma yakuandaa mchele mwingi keaajili ya biashala

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому +1

      Mambo Joyce,kwa biashara hapa inategemea labda unatengeneza vya kilo ngapi, mfano labda kilo tatu hapa cha muhimu kuzingatia ni uji na hamira ndio vya muhimu kwa kilo tatu unaweza kukoroga uji kwenye sufuria la kilo na nusu au robo au hata uji ukiwa mwingi haijarishi ila usiwe mdogo baada ya kuupooza uji kwenye kuchanganya sasa inatakiwa usiweke uji wote mojakwa moja weka kidogokidogo mpaka mchanganyiko wako hapa usiwe mwepesi,uwe mzito saizi ya kati(ata uji ukibaki unaweza kutumia kwa matumizi mengine) nakama utakua mzito sana baada ya kuumuka (namaanisha ukishaweka hamira na kwa kilo tatu ni vijiko vitatu vya chakula)na bado ukawa mzito chemsha maji ya vuguvugu na ongeza kidogokidogo mpaka upate ile rojo ambayo itafaa kuchomea vitumbua.usijali uliza kama kunasehemu ujaelewa kwenye maelezo

    • @bachrimaseven5049
      @bachrimaseven5049 Рік тому

      @@homecookingtz2488 i love you so much

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Рік тому

      Love u more

  • @ireneomben8415
    @ireneomben8415 2 роки тому +1

    Jeh kwa vitumbua vya mahind inakuaje hp kweny kuchanganya

    • @ireneomben8415
      @ireneomben8415 2 роки тому

      Hii!

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому +1

      Kwenye upande wa vitumbua vya mahindi ukisha koboa mahindi unayaloweka siku tatu baadae unayaosha unayaanika kidogo yasikauke sana kisha unayasaga ukisha pata unga kwenye kuchanganya unatumia mrorongo huohuo kama ivi vya mchele unakoroga uji ukisha maliza unachukua unga wako wa mahindi na kuchanganya

  • @lucybuyunge5419
    @lucybuyunge5419 4 місяці тому

    Mm v

  • @madievan1821
    @madievan1821 2 роки тому +1

    Me vyang vinakua na ugaali ndani shda nn

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому +2

      Hapo itakua uji wa kuvurugia uliweka kidogo,ikasababisha mchanganyiko ukawa mzito,pili unatakiwa uache unga uumuke vizuri kulingana na aina ya hamira kuna ile active unaweza ukaacha lisaa limoja na kuna ile ya kawaida unaacha kama masaa mawili na nusu(ila sanasana ni upended wa uji itakua uliweka kidogo

    • @khadijakombo7006
      @khadijakombo7006 2 роки тому +1

      @@homecookingtz2488 mfano kwenye unga wa Mchele kilo moja natakiwa uji wa sembe kiasi gani nipike?ahsante kwa video yako najifunza.

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому +1

      Okay,tumia sufuria la nusukilo kukoroga uji na uji usiwe mzito wala mwepesi,sasa uji ukipoa kwenye kuchanganya uji na unga usiweke ujiwote kwa wakati mmoja ,weka kidogo kidogo ili usizidishe uji na mchanganyiko wako usiwe mwepesi uwe mzito kidogo ili baadae ukiumuka uwe unauzito utakao kupa vitumbua vitavyo chambuka,na kama ulichanganya mchanganyiko na baada ya kuumuka ukawa bado mzito chemsha maji ya vuguvugu kisha weka kiasi ambacho kitafanya mchanganyiko wako uwe na ile rojo (unga wa vitumbua ulio korogwa)ambao sio mwepesi sana na sio mzito ambao utatoa vitumbua vyako vikiwa vimechambuka ndani

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому

      @@khadijakombo7006 👆

    • @joycebalema9889
      @joycebalema9889 Рік тому

      @@homecookingtz2488 asante sana nimekuelewa nitajaribu

  • @jescaedward1605
    @jescaedward1605 2 роки тому

    Mbona mm naumua napika asubuhi ni kosa

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому

      Upo sahihi kabisa si kosa na vitumbua hutoka vizuri vilevile

  • @ivethabakamanyisa3137
    @ivethabakamanyisa3137 2 роки тому

    Vizuri tu

  • @leylafledy82
    @leylafledy82 2 роки тому

    Unaumuka kwa mda gani dada

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 роки тому +1

      Kama kuna Hali ya joto inatumia dakika 45 hadi 60,kama kunaubaridi Acha lisaa limoja na nusu