If you would like to watch this recipe in English language press the link ➡️ ua-cam.com/video/0UmghrhyBDI/v-deo.html and for those who are interested to purchase vitumbua pan kindly contact shunas kitchen :+44 7984 393302
Asalam alaikum Dada mapishi mazuri mashallah mimi nafatilia sana jinsi unavyopika napenda kwa kweli ila nauliza kama wafunza watu naomba unijuze plz niwe mwanfunzi wako
Rukia asante sana kwa mapishi. Naomba kuuliza jiko lako ni la induction? Na hiyo pan yake ulinunua wapi? Mie nimenunua kama hiyo nilipokua likizo Africa, nimeitumia summer tu kwenye jiko la barbecue la gas nje, maana ndani jiko langu ni induction.
Swali langu la kwanza naweza kutumia nini kingine kama Sina tui la nazı?. Swali langu la pili nikiwa Sina hicho chuma cha kuchomea vitumbua naweza kutumia nini kingine? Naomba jibu tafadhali
@@RukiaLaltia nikiongeza maji si nitafanya mchanganyiko utazidi kuwa mwepesi maaan ninajitaidi na loweka mchele usiku kucha na bado nikija kusaga unabaki na vichenga
If you would like to watch this recipe in English language press the link ➡️ ua-cam.com/video/0UmghrhyBDI/v-deo.html and for those who are interested to purchase vitumbua pan kindly contact shunas kitchen :+44 7984 393302
Sijawah kufnya vitumbua nkapatia ....leo nmefanya kama vipimo vyako mashaAllah MashAllah hasbiyaAllah vimetoka sijaamin😘❤️👌
Awww asante sana my deae … nimefurshi sana kuskia hivyo
Umenitia njaa dada😂😂 Mapishi mazuri mashallah 👌
Maa shaa Allah you never disappoint , naomba recipe ya meat balls. Hakuna upishi wako sijajaribu, nimejifunza sana
mashaallah nimejarib nimeshindwa
Wow Thanks for sharing your aplodingfriends🔔🔔🔔
Likeeee 70
Mashallah
Allah akuzidishie kwa kutupatia ujuzi
Kama kawa...vitu nadhif vitu pambe ma sha Allah aleyki😘😘😋😋👌👌
Shukran habibty 😘 ❤️ kama pamba 👌👌
Masha'Allah Vitumbua vimetokekezea vizuri hadi raha😋👌
Shukran my sista sista ❤️ 😘
@@RukiaLaltianikipika vitumbua vinanata nakosea wapi?
Asalam alaikum Dada mapishi mazuri mashallah mimi nafatilia sana jinsi unavyopika napenda kwa kweli ila nauliza kama wafunza watu naomba unijuze plz niwe mwanfunzi wako
Mashaallah vizuri na soft. Wapi ntapata chuma cha kuchomea size kubwa kama hiyo.
Kwa shuna kitchen nambari ya simu wasiliana naye ➡️+44 7984 393302
Ubarikiwe dada Mungu akuzidishie maarifa utujuze zaidi
Ameeen 🤲🤲
Asante mm naitaji kupika vya biashala
MashaAllah tabarakaAllah, samahani nauliza kikombe ulopimia Mchele ndicho ulopimia tui
Ndio
Ma shaa Allah kitu simple kabisa and 😋😋😋😋
Shukran sana habibty 😘 🙏
Nzuri sana
Jamani nimependa sana pishi lako zuri san
Shukran saana kuni elimisha na Upishi Superb 😋😋😋😋😋😋
🥰🥰🥰
Asante sis😋
I like this
mashallah
Thanks for the recipe
I real like it and I will try to do it thanks dear
Shukran
Mashallah
Umejua kunifurahisha
Rukia asante sana kwa mapishi. Naomba kuuliza jiko lako ni la induction? Na hiyo pan yake ulinunua wapi? Mie nimenunua kama hiyo nilipokua likizo Africa, nimeitumia summer tu kwenye jiko la barbecue la gas nje, maana ndani jiko langu ni induction.
mashallah vitumbua vizuri sana
Nikitaka vya biashara naweza kusaga mchele mashineni?
Maashallah 😍😍😍
Masha Allah
Mashallah ❤❤
Respect to rukia
Awwww thank u soo much
Hongeraa
MaashaaAllah mate yanidondoka dadaa nitulie location nije mana mmm
😂😂😂😂 karibu sana my dear
Mashaallah ❤❤ mrs🇰🇪
Nimependa shukran
Mashallah habibty yummy vitumbuas😋
Shukran habibty 😘
Nimeyapenda mapishi yako ant!
MashaAllah kipenzi changu 👌🏾 Naomba kujua mchele umeuroweka kwa mda gani? Nimeamka Nna hamu yakula vitumbua lakini sijui natakiwa kuroeka for how long. Asante mamy nasubiri jibu inshaallah
Hey love, shukran sana habibty , mm naroweka mchele usiku mzima
God bless you 🥰
Nice
MashaAllah
Vitumbua mzuri Sana Asante. Rukia where can I buy the vitumbua chuma. (Pan)
Nimefurahia mapishi yako Asante. Eti ni lazima kupika uji na ukae masaa 12 ndipo uanze mapishi?
Je unga wa vitumbua nikikorogea uji unakuwaje?nipee majibu my dear
Asante
Mashallah!! Can I use the same recipe in making vibibi?
Yes u can
Thank you my dear. Bless you !!
wengine wanaeka uji au so lazima
Me penda somo lako dada Asante
Hapo ukitoka na vitumbua vingapi
Habar dada vitumbua vyangu vinatoka vigum nifanyaje
Naomba utoe namba yako ya Sim,kwanza nakushukuru Bwana yes akubaliki.
Mashaallah vimetoka vzury swa da umetumia mchele ngani na umeroweka kwa mda gn na kama huna nazi waweza tumia nni?
Basmati nimeroweka usiku mzima
@@RukiaLaltia Oooh shukran habibty
Swal:kuna wengine wanaweka mayai kwa ajili yann na wakat gan wanaweka,pia wanaweka na unga wa sembe ni lazima
Asalam alekum napenda sn kuangaliya mapishi yako nauliza mimi nikipika vitumbua siku ya pili vinakufa vigumu sn sababu ni nini
Mashaallah ukhty, kwahiyo sio lazima kusaga kwenye machine hata blender naweza tumia kumbe au inategemea na mchele wenyewee?
Eeeh na blender
me nimefanya kama ww shida imekuwa kwny unga mara ya kwanz ulikuwa mwepes vizur but ulivyoumuka ukawa mzito kidogo au unafaa kuongezewa maj?
Upishi maridadi da.
Mchele unauroeka kw muda gani?
Mchekele unalowekwa kwa mda gan?
Nakama Sina Brenda nawezaj kupata kitumbua kizuri kama hicho
Hey habibty mchele ni basmati???
❤
Unga wa klo1::naweka maji kiasi gan
Na vile vya mchele kusangwa mashine ya nafaka inakuwaje?
Naomboa kuuliza, mchele kilo 5 natumia Nazi ngapi, na hamira kiasi gani.
huo mchele unakaa kwenye maji kwa mda gani?
Hello
Ikiwa situmii nazi ninaweza kutumia maji au maziwa?
Ndio
Nini kinasababisha vitumbua kunatanata ndani kama ugali??? Msaada please
Sister hicho chumaa ume nunuwa wapi?
Mchele kilo1::maji au tui kiasi gan??
Swali langu la kwanza naweza kutumia nini kingine kama Sina tui la nazı?. Swali langu la pili nikiwa Sina hicho chuma cha kuchomea vitumbua naweza kutumia nini kingine? Naomba jibu tafadhali
Waeza tumia maziwa au maji na Chuma ni lazma uwe na Chuma
Naomba kujua kutengeneza skonzi
Inshallah
Mambo, nauliza hio pan naeza ipata wapi na Kwa bei gani
Duka ya vyombo ama sokoni mami
Ningependa kujuwa kama hiyo pan naeza tumia kwa jiko la infrared cooker/ceramic furnace
Kama natumia kilo Moja ya Michele mchanganyiko wake unakuaje
Hi,Rukia nami nahitaji chuma cha vitumbua size kama hiyo ntakipataje?
Mm nanunua kwa shuna yupo uk buy ikiwa uko kenya nawal center utapata pia
Je ninaweza kutumia maziwa badala ya tui????
Sijawahi jaribu
my dear mbona nishajribu kusag naona mchele hausagiki unbaki na vichenga chenga shida itakuwa nnini
Inategemea na mchele , michele mengne hayonya maji , itbidi uwongezee tui ama maji
@@RukiaLaltia nikiongeza maji si nitafanya mchanganyiko utazidi kuwa mwepesi maaan ninajitaidi na loweka mchele usiku kucha na bado nikija kusaga unabaki na vichenga
Dada nimejaribu vinakua kama. Uji ndani nakosea wap
Moto mkali havikuiva ndani
Unatumia mchele UPI kwa vitumbua?au wowote?
Basmati
Please jina la hiyo cover juuu ukimaliza ku blenda inaitwaje
Cling film
Mchele unaloekwa kwa mda gan maah?
Usiku mzima
Please translate in inglês
ua-cam.com/video/0UmghrhyBDI/v-deo.html all my videos are in English and Swahili thts the English link
Asl alaykum samahani umetumia mchele aina ipi?
Basmati
@@RukiaLaltia shukran
@@RukiaLaltia samahani yoyote ile au ipo spesheli
Kamahua nazi
mchele unaloweka kwa muda gani
Usiku mzima
Naroeka Kama kiasi Cha wa Sinia huo mchele
Eeeh ndio
Mashallah
Shukran
MashaAllah