Allah akupe umre MREFU tuzid kufaidika na Elmu yako.Hakika anayosema shekhe na ukayafuata anayosema Kwa yakini kabisa NITAKUWA SHAHID WA ELMU YAKE HII NIKWELI ZINA MAJIBU NAKWELI ALLAH ANAJIBU . Waislamu tumfatilie Sana huyu shekhe anasema yalikweli nayasio na Shaka kabisa.juu anayotufundisha .Allah amuhifadhi na hasad za VIUMBE wake dhid yake
Shehee unapaniki mapema sana. Unajua kitu kinaitwa tajiriba? Matendo na dua vilifanywa na wanazuon na wakaona matokeo yake sio kila kitu uwe unaskia kilifanywa na mtume (sallallahu alyhi wasalam) ispkouwa waja wema waliopita kwa ilmu waliokuwa nayo wakatia bidiii kwenye ibadat na dhikir mbalimbal na wakapata majibu.kwan hujasom tarekh ya imam abu hanifa? Watu walikua wakimfata afanye rukia, naye anatoa kiatu chake anawapa wakamuoneshe aliyepandisha na aliyepandisha akiona kiatu na anapona.nachojaribu kukufamisha ni kuwa wapo watu walifikia darja za uchamungu sio ubishi wako wa kisalafi
Aslm shukran na jazak llahulkheir
Assalam aleykum warah matuAllah wabaraqat, kweli kabisa sheikh
Asante Sana sheikh wetu
Assallam Allekum warahmatullah wabarakatuh shekhe naomba unisomee nipo
Shukran shekhe Allah azidi ktuongoz njia iliy njema inshallah
Sheikh Michael nondo madhubuti hiyo shukraaan sheikh wetu kwa kutupa mambo mazuri
Asalam alaykum sheikh napend San kusikiliza na kufatilia darsa. zako ❤❤❤
Inshaallah
Asalam aleiykum sheikhe mm nipo oman naomba number kwa mambo ya kheri inshaallah
Alhamdulillah
Mashaallah.napenda.mafunzo.yako
Allah akupe umre MREFU tuzid kufaidika na Elmu yako.Hakika anayosema shekhe na ukayafuata anayosema Kwa yakini kabisa NITAKUWA SHAHID WA ELMU YAKE HII NIKWELI ZINA MAJIBU NAKWELI ALLAH ANAJIBU . Waislamu tumfatilie Sana huyu shekhe anasema yalikweli nayasio na Shaka kabisa.juu anayotufundisha .Allah amuhifadhi na hasad za VIUMBE wake dhid yake
Insha allah naww pia allah akuzidishie kheri kwa kuwa shuhuda wa maneno mazuri ya Sheikh wetu
Naomba.uniombee.shekh.kila.ninachofanya.hakiwi.wema.wangu.wanaona.si.kitu.walimwengu
Shekhe mimi nipo zanzibar naomba namba yako nafatilia sana duwa zako
Mimi huwa silali usiku mpk nisikilize clip ya shekh
Kuna vitu vingi nimejifunza kwake
Asalaam Aleikum. Na ukiisoma usiku wa manane je?
Omani
Sheikh twaomba utuumganishie hizo sura mama tulio slim hatunui kusoma twasikiza kwa simu yafaa
Tumsubiri sheikh atakujibu! In Shaa Allah kusikiliza unaweza anza kwa kuskiliza
Kisha ukaanza taratibu za kujifunza pia🙏🙏🙏🙏🙏
Karibu katika uislamu🙏🙏🙏🙏
Namba ya sheih kama mnayo naomba jemeni
Je utaratibu huu ameufundish mtume Sala na aman ziwe juu yake??
Shehee unapaniki mapema sana. Unajua kitu kinaitwa tajiriba? Matendo na dua vilifanywa na wanazuon na wakaona matokeo yake sio kila kitu uwe unaskia kilifanywa na mtume (sallallahu alyhi wasalam) ispkouwa waja wema waliopita kwa ilmu waliokuwa nayo wakatia bidiii kwenye ibadat na dhikir mbalimbal na wakapata majibu.kwan hujasom tarekh ya imam abu hanifa? Watu walikua wakimfata afanye rukia, naye anatoa kiatu chake anawapa wakamuoneshe aliyepandisha na aliyepandisha akiona kiatu na anapona.nachojaribu kukufamisha ni kuwa wapo watu walifikia darja za uchamungu sio ubishi wako wa kisalafi