PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT
Вставка
- Опубліковано 12 січ 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Розваги
Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂
Huwa maraya Hawa wanao tafuta boblishi
@@monirangerera7155 wamekosa kutafuta wanawake inje wanaenda kununua hapo 🙆
Umeona hajieshimuuuuuu
Inamfanya mtu aonekane local Sana anatafuna Manini sasa😂😂😂😂😂
Jamani nisameheni me napendaga2 kutafuta bablish et😅
eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima
Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂
😀
Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂
Lulu diva you're beautiful..congrats
😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana
We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤
Uwakika kaka umepatachombo
Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang
Anaboa kutafuna uyoooooo aseee
Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂
We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂
Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo
Najua mwenye ameona hii atanipea support
Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢
Unyama sana 🎉
Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze
Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye
Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂
Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake
Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako
Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga
Nitumie number nikutafute dada
Sasa
Mimi nikupe namba au uyo eliza wa mr right
Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you
Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda
Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana
Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂
Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂
Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Very nice 🎉
Eliza haamini kilichotokea😂😂😂
Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤
ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂
Mzuri kweli Si uongo
@@khadijaabdhalla9669 mbona haolewi anahangaika kujitangaza
Safi careen ni mzuri sana
Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮
Malipo n hapa hapa
Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana
@@user-yr5wj5bz4w 🤣🤣🤣siyo vzr
Anachagua sana uyo eliza😂
@@user-yr5wj5bz4w mwachen achague had azeek
" mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi"
Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,
hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa
Zarish ni mwehu kwa kweli
Careen is so pretty and cool
Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂
Inawezakana napi siowake
😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂
Hhhhhhhhhh jmn daaah Elza anatia hurum
Weeeeeh nkaliii hiii
Aaliah khaaaa!!!
Kupigwa ndio mapenz
Zarish anamaanisha anajiuza arikua anataka hela kwa mme wake
Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi
Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu
Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi
Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂
HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA
Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli
Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂
Muosha huosha
😁😁
@@florahfrancis1613muosha huoshwa
Leo kaoshwa alafu hata sio mzur ni keupe tu
Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.
Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika
Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂
Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie
Mbona wazeee
Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae
Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮
Cheko la Aliya 😂😂😂
Dj mwendelezo jmn
Aibuuu Kwa eliza
Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa
Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢
Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake
Eliza you're cute
We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭
Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.
ASANTENI KWA KUTUBURUDISHA KWA MZIKI, AMBAO IS TOO LOUD THAN THE ACTUAL MANENO TUNAYOFAA KUYASIKIZA TOKA KWA THE CONTESTANTS...
Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha
Mate hayana maambukizi
Eliza mimi nampenda balaa
Mbona anatafuna kama mbuzi aonyeshi awareness kwamba yuko sehemu ya interview
Jamani gala b punguzeni Saudi ya mziki mana hatuwaskii waledwa
Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃
😂😂😂😂
Ata huyo alio ondoka sio mbaya ukisema mbaya kwan kajiumba umeongea vzl ila hilo neno umekosea eti mbaya
😂😂😂
Mtu a natafuta Kama mbuzi 😂😂😂
Kupigwa ndio mapenz😮😮
Ex mtamu ww🎉😂😂
We zayrish una uzuri gani kimeo tu au urefu kwa mwanamke Ni uzuri siku izi
Zarishi mpuuzi we nan kakudanganya wewe mzuri
Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅
Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi
nakuja apo kumchukua eriza
Umeonaje hiyoo
Zalishi simpendi
Eti mi mzuri unajiona lakini alafu sijui kwanini mibaya ndio inalinga sana
Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂
Shoga haamini anachokiona
Dada lulu like beautiful ❤
😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli
Mr right unatafuta sana
Nice
Mr right .dont ever go to the show..chewing ,bad manners
Anataftia confidence
True! Shameful!!!
Mbuzi Mtu yule😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We za rush tafute kazi upate hela ile kuomba omba pesa ina shusha heshima. Usiwe pale ili kutafuta mtu atakaye kuwa anakupa pesa
Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂
Weupe hata mm nimweupe kushonda yeye natafuta mume ila hapo siendi na sina malingo hayo
Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂
Mbona Eliza mwenyewe mzeee
Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia
Zaylish mjinga sana Kaz kukosoa Mr right
Jamani mnapima kwanza ukimwi
WANAUme tunaangalia akili na tabia
Mwambieni huyo
Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂
😂😂😂
Kwan mbona hakuna ndoa za hawa watu