PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 січ 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 271

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f 5 місяців тому +36

    Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂

  • @lydiagodfrey5959
    @lydiagodfrey5959 5 місяців тому +18

    eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 3 місяці тому +11

    Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂

  • @fayverenah
    @fayverenah 5 місяців тому +16

    Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 5 місяців тому +16

    Lulu diva you're beautiful..congrats

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 5 місяців тому +14

    😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy 5 місяців тому +15

    We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤

  • @user-od9jk1yq1e
    @user-od9jk1yq1e 5 місяців тому +39

    Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 5 місяців тому +13

    Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 5 місяців тому +11

    We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 5 місяців тому +29

    Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo

  • @kakoxspgnewton
    @kakoxspgnewton 5 місяців тому +6

    Najua mwenye ameona hii atanipea support

  • @eleanorkinadiali4721
    @eleanorkinadiali4721 5 місяців тому +7

    Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢

  • @francengosha7157
    @francengosha7157 5 місяців тому +5

    Unyama sana 🎉

  • @janerachel1622
    @janerachel1622 5 місяців тому +5

    Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 5 місяців тому +7

    Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 Місяць тому

    Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 5 місяців тому +3

    Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 5 місяців тому +2

    Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 5 місяців тому +17

    Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 5 місяців тому +4

    Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you

  • @JoyceMwangangi-qh6tf
    @JoyceMwangangi-qh6tf 2 місяці тому +1

    Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda

  • @user-sq1ew8pw3g
    @user-sq1ew8pw3g 5 місяців тому +13

    Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana

    • @ashamjeni292
      @ashamjeni292 5 місяців тому +1

      Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 5 місяців тому +6

    Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂

  • @Soan16
    @Soan16 5 місяців тому +5

    Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gangmusicband3012
    @gangmusicband3012 5 місяців тому +4

    Very nice 🎉

  • @jennet6484
    @jennet6484 5 місяців тому +7

    Eliza haamini kilichotokea😂😂😂

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r 3 місяці тому

    Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 5 місяців тому +16

    ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u 5 місяців тому +1

    Safi careen ni mzuri sana

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 5 місяців тому +47

    Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮

    • @amoslucas1247
      @amoslucas1247 5 місяців тому +2

      Malipo n hapa hapa

    • @user-yr5wj5bz4w
      @user-yr5wj5bz4w 5 місяців тому +3

      Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana

    • @roseafrael75
      @roseafrael75 5 місяців тому

      @@user-yr5wj5bz4w 🤣🤣🤣siyo vzr

    • @aceeofficial255
      @aceeofficial255 5 місяців тому +1

      Anachagua sana uyo eliza😂

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 5 місяців тому

      @@user-yr5wj5bz4w mwachen achague had azeek

  • @rhodarichard4494
    @rhodarichard4494 5 місяців тому +7

    " mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi"
    Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,

    • @user-bn1uv9ev9y
      @user-bn1uv9ev9y 5 місяців тому

      hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa

  • @Dorcaskiwale-ir6ec
    @Dorcaskiwale-ir6ec 2 місяці тому

    Zarish ni mwehu kwa kweli

  • @jamesbutendeli4511
    @jamesbutendeli4511 5 місяців тому +4

    Careen is so pretty and cool

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 5 місяців тому +2

    Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Місяць тому

    Inawezakana napi siowake

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 5 місяців тому +9

    😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂

  • @jumwablandina5773
    @jumwablandina5773 3 місяці тому

    Weeeeeh nkaliii hiii

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 місяці тому

    Aaliah khaaaa!!!

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Місяць тому

    Kupigwa ndio mapenz

  • @JumaMarwa-hc9te
    @JumaMarwa-hc9te 6 днів тому

    Zarish anamaanisha anajiuza arikua anataka hela kwa mme wake

  • @mwanaimaagrey6857
    @mwanaimaagrey6857 5 місяців тому +3

    Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 5 місяців тому +4

    Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!

  • @prijoseph4665
    @prijoseph4665 4 місяці тому +1

    😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 5 місяців тому

    Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi

  • @maurinemwesh5280
    @maurinemwesh5280 5 місяців тому +3

    Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂

  • @fabiannjovu2273
    @fabiannjovu2273 5 місяців тому +4

    HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA

    • @user-qe5sk4gd6e
      @user-qe5sk4gd6e 5 місяців тому +1

      Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli

  • @alhilayali4200
    @alhilayali4200 5 місяців тому +7

    Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂

    • @florahfrancis1613
      @florahfrancis1613 5 місяців тому

      Muosha huosha

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 місяців тому

      😁😁

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 місяців тому

      ​@@florahfrancis1613muosha huoshwa

    • @banguha
      @banguha 5 місяців тому

      Leo kaoshwa alafu hata sio mzur ni keupe tu

  • @ASUKULUNYASSA-hf6wk
    @ASUKULUNYASSA-hf6wk 5 місяців тому +2

    Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 4 місяці тому +1

    Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 5 місяців тому +7

    Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂

    • @moussagiza3723
      @moussagiza3723 Місяць тому

      Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 5 місяців тому

    Mbona wazeee

  • @user-wu6dx3ho4e
    @user-wu6dx3ho4e 5 місяців тому +3

    Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae

  • @user-sj6qh3yr5t
    @user-sj6qh3yr5t 3 місяці тому

    Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮

  • @user-nt9zj3yk9x
    @user-nt9zj3yk9x 3 місяці тому +1

    Cheko la Aliya 😂😂😂

  • @user-ok2pi9im3d
    @user-ok2pi9im3d 2 місяці тому

    Dj mwendelezo jmn

  • @user-fr1ck1ii7p
    @user-fr1ck1ii7p 4 місяці тому +1

    Aibuuu Kwa eliza

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 4 місяці тому

    Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 5 місяців тому +8

    Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 5 місяців тому

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 5 місяців тому

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 5 місяців тому

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 5 місяців тому +3

    Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 5 місяців тому +2

    Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 5 місяців тому +4

    Eliza you're cute

  • @kizaikonsolat70
    @kizaikonsolat70 5 місяців тому +1

    We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭

  • @African511
    @African511 5 місяців тому

    Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 День тому

    ASANTENI KWA KUTUBURUDISHA KWA MZIKI, AMBAO IS TOO LOUD THAN THE ACTUAL MANENO TUNAYOFAA KUYASIKIZA TOKA KWA THE CONTESTANTS...

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 5 місяців тому +5

    Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 5 місяців тому +1

    Eliza mimi nampenda balaa

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Місяць тому

    Mbona anatafuna kama mbuzi aonyeshi awareness kwamba yuko sehemu ya interview

  • @mwanaimaagrey6857
    @mwanaimaagrey6857 5 місяців тому

    Jamani gala b punguzeni Saudi ya mziki mana hatuwaskii waledwa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 5 місяців тому +7

    Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃

    • @niyonkuruconsolee7820
      @niyonkuruconsolee7820 5 місяців тому

      😂😂😂😂

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 місяців тому +1

      Ata huyo alio ondoka sio mbaya ukisema mbaya kwan kajiumba umeongea vzl ila hilo neno umekosea eti mbaya

    • @user-qm3ov7mj6u
      @user-qm3ov7mj6u 5 місяців тому

      😂😂😂

  • @user-be8lg5wb3m
    @user-be8lg5wb3m Місяць тому

    Mtu a natafuta Kama mbuzi 😂😂😂

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Місяць тому

    Kupigwa ndio mapenz😮😮

  • @jafthomthomas6420
    @jafthomthomas6420 5 місяців тому

    Ex mtamu ww🎉😂😂

  • @user-pg9dv9vo8p
    @user-pg9dv9vo8p 2 місяці тому

    We zayrish una uzuri gani kimeo tu au urefu kwa mwanamke Ni uzuri siku izi

  • @user-wi3wf8im3q
    @user-wi3wf8im3q 4 місяці тому

    Zarishi mpuuzi we nan kakudanganya wewe mzuri

  • @Abdumfaume
    @Abdumfaume 5 місяців тому +6

    Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅

  • @kingthedon508
    @kingthedon508 5 місяців тому +1

    Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi

  • @DanielyLuyenga-zf1bb
    @DanielyLuyenga-zf1bb 29 днів тому

    nakuja apo kumchukua eriza

  • @josierjosmail4195
    @josierjosmail4195 4 місяці тому

    Umeonaje hiyoo

  • @user-fr1ck1ii7p
    @user-fr1ck1ii7p 4 місяці тому +1

    Zalishi simpendi

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx 5 місяців тому

    Eti mi mzuri unajiona lakini alafu sijui kwanini mibaya ndio inalinga sana

  • @JackineMdugala-xs8ht
    @JackineMdugala-xs8ht 2 місяці тому

    Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 5 місяців тому +2

    Shoga haamini anachokiona

  • @abdulkarimaliissa4352
    @abdulkarimaliissa4352 4 місяці тому

    Dada lulu like beautiful ❤

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 2 місяці тому

    😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr 3 місяці тому +1

    Mr right unatafuta sana

  • @user-ep4hl6jd4q
    @user-ep4hl6jd4q 4 місяці тому

    Nice

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 5 місяців тому +7

    Mr right .dont ever go to the show..chewing ,bad manners

  • @jaelmusanga3111
    @jaelmusanga3111 2 місяці тому

    We za rush tafute kazi upate hela ile kuomba omba pesa ina shusha heshima. Usiwe pale ili kutafuta mtu atakaye kuwa anakupa pesa

  • @YazrinKajia-rk8fc
    @YazrinKajia-rk8fc 3 місяці тому

    Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 3 місяці тому

    Weupe hata mm nimweupe kushonda yeye natafuta mume ila hapo siendi na sina malingo hayo

  • @user-tr5ld8sv8i
    @user-tr5ld8sv8i 3 місяці тому

    Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 5 місяців тому

    Mbona Eliza mwenyewe mzeee

  • @user-zm9sd4cm3d
    @user-zm9sd4cm3d 3 місяці тому

    Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia

  • @BerthaMwisu
    @BerthaMwisu 5 місяців тому

    Zaylish mjinga sana Kaz kukosoa Mr right

  • @user-hz4gf8ec6u
    @user-hz4gf8ec6u 4 місяці тому

    Jamani mnapima kwanza ukimwi

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 місяці тому

    WANAUme tunaangalia akili na tabia

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 5 місяців тому

    Mwambieni huyo

  • @JosephDeogratias-up3im
    @JosephDeogratias-up3im 5 місяців тому +2

    Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 5 місяців тому +1

    Kwan mbona hakuna ndoa za hawa watu