PENZI JIPYA | NITABADILISHA DINI | HELA IPO | ATANITUNZA | GOLDEN GIRL | HELLO MR RIGHT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

КОМЕНТАРІ • 750

  • @siame.abraham9707
    @siame.abraham9707 11 місяців тому +54

    Nimefurahi sana na couple ya leo yaani vitu ni Boom boom ❤❤❤❤

  • @mwajabudegwa
    @mwajabudegwa 11 місяців тому +23

    Yaan aliyah apewe 🎉 meng na azid kwenye hiki kipind anajua kuwanyoosha hawa wadada❤❤

  • @NeemaKhamis-n8h
    @NeemaKhamis-n8h 11 місяців тому +37

    Nzuli sana leo iko moja to jamani huyu Elizabeth simpendi anajisikia sana huyu kaka yuko very nice ❤😢

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 11 місяців тому +64

    Nimempenda mr right akiongea anaonekana mstaarabu na hana mdomo mdomo kama wnaume wengine 😂😂😂hongera lolo umepata bwana inshaallah abadili din kweli akuoe mama

    • @zeynabuhussen8740
      @zeynabuhussen8740 11 місяців тому

      lolo nae pia mpole mashaAllah❤

    • @salmakivo4073
      @salmakivo4073 11 місяців тому

      Lolo wanafanana na nelly

    • @rehemamgata224
      @rehemamgata224 10 місяців тому +1

      Wangon ni nyoko

    • @sethjohnson7266
      @sethjohnson7266 10 місяців тому +1

      Hapo Greyson umepata mke. Na kuhusu dini jitahidi kumshawishi Lolo atakubali kubadilisha deni baadae

    • @doriselipokea651
      @doriselipokea651 9 місяців тому

      Awa wastaarabu shkamoo

  • @Spicekingnushinwe.-kt5lp
    @Spicekingnushinwe.-kt5lp 11 місяців тому +10

    Lilu diva napenda unavyo cheka hadi raha my sister ❤❤🎉🎉

  • @AminaOmary-cn5vb
    @AminaOmary-cn5vb 11 місяців тому +4

    Nimerudia mara mbili kuangalia hii .nimeipenda sana hii couple.mkaka anaupendo sana

  • @AnnoyedMarsh-is4nr
    @AnnoyedMarsh-is4nr 11 місяців тому +12

    Mashaallah wamependezana sanaa nimependa sanaa hiyo mkaka mzurii sanaaa handsome hatimaye Lolo amepata mwenzawake jamn

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 11 місяців тому +7

    Huu ni mnada wawanawake kweli dunia ipo mwisho mungu tuangalie wanao tunapotea tuoneshe njia sahihi

  • @ollenshamba
    @ollenshamba 11 місяців тому +1

    Wamependezana sana Lolo yuko mucute sana jamn najiona mm huwiiiiii😅

  • @rehemawaweru5373
    @rehemawaweru5373 3 місяці тому

    Waaah! This man aki he is so sweet na for sure amemakinika.Big up bro and hope ulimpata mwenye unamuhitaji.

  • @edinarobert6716
    @edinarobert6716 11 місяців тому +6

    Nimependa wanaendana sana 😘😘😘😘😘😘😘

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 11 місяців тому +3

    That was the best couple of all this 5th season so far.That man has dignity

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 11 місяців тому +37

    Grayson + lolo was natural love wameendana na kupendezana

    • @JeniphaEzekiel-z1s
      @JeniphaEzekiel-z1s 11 місяців тому

      Eliza aelew bwana mtoen apo

    • @FaridaCharema
      @FaridaCharema 11 місяців тому

      Huyo eliza atolewe mana hasikilizi hata maongezi,anachoreka tu

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 11 місяців тому +44

    Naona kama eliza anamdomo sana na dharau pia. Angeenda zake na yule mzee baharia 😂

  • @oman-c7y
    @oman-c7y Місяць тому

    Yani mimi nawapenda sana.kila mara napenda kiiyangalia school kuwaona lolo ampendae.Allah awape mapenzi daima❤

  • @ngusiupdates4363
    @ngusiupdates4363 11 місяців тому +37

    Imagin ndo umemchukua Eliza akawe mke wako my dear nakwambia utanyookaa 😅😅😅

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 11 місяців тому +2

      😂😂😂😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 11 місяців тому

      😂😂😂 na komwe lake uyo Eliza haha bibi akalee wajukuuu uko atolewe

    • @ericmellau3783
      @ericmellau3783 11 місяців тому

      Amna uyu unamwitikia afu ungya nae ndoa unamnyosha bora ndoa ife ila ajue akuna zuzuu

    • @ancyjoakim8308
      @ancyjoakim8308 11 місяців тому

      😂

    • @Aishaawadhimsloki
      @Aishaawadhimsloki 10 місяців тому

      😂😂😂😂

  • @japhetjohnson3691
    @japhetjohnson3691 20 днів тому

    Huyo Elizabeth ni msenge sana,, inafaa angechukuliwa na yule mwamba sungu sungu...

  • @Given-Norman
    @Given-Norman 11 місяців тому +8

    Inasikitisha sana yaani kubadili dini kutoka Grayson mpaka shabani madobe duh 😂😂😂 huyu jamaa anatakiwa afikirie mala mbili mbili

    • @salmakivo4073
      @salmakivo4073 11 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌

    • @AgathaMatambula-lf7fv
      @AgathaMatambula-lf7fv 11 місяців тому

      😊😊😊😊

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 10 місяців тому

      Kama mzize alivyobadili kutoka Clement mpaka Warid

    • @kadhyanassor5046
      @kadhyanassor5046 4 місяці тому

      Kwanza kwa sheria ya kiislam haitakiwi mtu abadili dini kisa mapenzi sasa mapenzi yakiisha utarudi ulikotoka...unatakiwa usome dini na uingie kwa imani sio kufata kitu....Allah awaongoze na awasamehe

  • @PascalAlex-v5z
    @PascalAlex-v5z 22 дні тому

    Hiiiii couple nimeipenda sana mungu awape maisha marefu katika mahusiano yao

  • @Noor56-i7s
    @Noor56-i7s 11 місяців тому

    Aliya tha best ana juwa kukweli wanaendanaaa ❤❤❤❤❤❤ kweli

  • @luganoesomu5301
    @luganoesomu5301 10 місяців тому +7

    ukitaka upoteze mwelekeo na ukuu wako kwenye maisha jaribu kubadili dini hata kwasiku moja ,watu wanadhani ni jambo la kawaida kama vile kubadili nguo lakini kiukweli unapo badili dini unabadili yule unaemwabudu siku hii unaabudu mungu kesho unaabudu pepo(shetani), mungu wetu ni mungu mwenye wivu. mfalme sulemani mwana wa daudi aliemjengea mungu hekalu jerusalemu hadi watu toka dunia nzima wakawa wanaenda kuabudu huko kila mwaka, siku alipo oa mwanamke anae abudu miungu na suleimani akaiabudu .,Mungu akauvua uzao wake ukuu juu ya israel katika makabila 12 ya israeli akambakizia 2 mengine yote wakapewa wengine.nahiyo imetokea kwa wafalme wengi kama vile yeroboumu, belishaza, na wengine wengi. mwanaume yeyote mwenye misingi imara misingi yake inapimwa kwa uwezo wa kuitunza imani yake.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 11 місяців тому +158

    Uyo eliza mtoeni ni bibi aende nje anakera na kuwaharibia kazi buana ,amejikuta jaji wa mr.right hafato protocol atolewe buana

    • @ghayamjombo6582
      @ghayamjombo6582 11 місяців тому +1

      😂

    • @MwaJuma-zf8sk
      @MwaJuma-zf8sk 11 місяців тому +15

      Bora angechukuliwa na yule mzee stukaaa mwananguuu 😅🤣

    • @lawijosephezekieli1078
      @lawijosephezekieli1078 11 місяців тому +6

      Eliza bibi sana na sula lake kalificha na mekapu😂😂😂

    • @athumanhamad8522
      @athumanhamad8522 11 місяців тому +2

      Ni bibi alafu masharit kibao atakua nawatoto wengi

    • @auntygee1194
      @auntygee1194 11 місяців тому +2

      For sure anabore,halafu she is too old for that stage

  • @ChillumbaEdward-nz9xr
    @ChillumbaEdward-nz9xr 10 місяців тому

    Oya mwanangu umetisha wemkali kweli uko makin sana

  • @ummyhoza4495
    @ummyhoza4495 11 місяців тому +1

    Hii nimeipenda mno mungu awape maelewabo inshaallah ❤

  • @diva_20162
    @diva_20162 10 місяців тому +2

    Huyo Eliza anadharau na atazeekea humo anaropokwa hovyo kazi ipo ashuke stejin tu😊😊

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 11 місяців тому +10

    Yan hii ndoa mtuletee humu ndani tuione😊

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 10 місяців тому +1

    Ile notion ya bcz of love, nnamashaka nayo, mwamba anaenda kula mzigo nakuuacha kwenye njiapanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 10 місяців тому

      😅😅😅

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 11 місяців тому

    Kalolo kazuri ,karembo na kasitarabuu wow good couple ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i wish you all the best❤❤❤❤

  • @esterlubisi3704
    @esterlubisi3704 11 місяців тому +1

    Grayson umeshinda kwa kishindo sana, jitahidi zaidi ata dini atabadirisha tu❤❤❤

  • @upendogidion5167
    @upendogidion5167 11 місяців тому +1

    Katika Mr right zote hii n couple pendaaaaa saana

  • @RadhiaBewa
    @RadhiaBewa 3 місяці тому

    Respect kaka hongera sana Grayson 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @jotoentertainment9225
    @jotoentertainment9225 11 місяців тому +1

    Huyo Lolo kwq kuongea na muonekano n kamaa jamaa kapata mtu🎉🎉🎉🎉

  • @rubenmsimbe934
    @rubenmsimbe934 11 місяців тому

    Ni tukio la kufurahisha sana, kuna golden girls wengi sana waliopita walipojijua kuwa ni golden girl maringo kibao,lkn huyu mrembo hakuwa na mengi,ningekuwa na namba uaje ningemtupia buku big LOLO❤❤❤

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 2 місяці тому

    Wamependeza na sanaa❤❤❤

  • @MarthaSimoni-c5m
    @MarthaSimoni-c5m 10 місяців тому

    Mr right yupo straight en brain ake smart sanaaa wadada hatuna akil muda mwingine

  • @aika3024
    @aika3024 11 місяців тому

    Nipeni namba ya Mr Right😍😍😍 anajielewa sana😊

  • @taupenisanshimirimana475
    @taupenisanshimirimana475 11 місяців тому +20

    Eliza atakuja kumaliza hizo soda tu 😂😂😂

  • @EstherJvany
    @EstherJvany 11 місяців тому

    Waooooo nawapenda sana ❤❤❤

  • @restitutamfoy
    @restitutamfoy 11 місяців тому +1

    Eliza atazeekea hapo for sure pod iyo 😂😂😂😂😂

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv 11 місяців тому +1

    Wameendana jaman lolo na grayson ❤❤❤

  • @MargretSanat
    @MargretSanat 9 місяців тому

    Nawapenda ndie lolo maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mohammedganyuma3445
    @mohammedganyuma3445 2 місяці тому

    🎉❤kwakweli mashaallah wamependezana

  • @BethiGody
    @BethiGody 11 місяців тому +12

    Naombeni icho kibibi kieliza mkitoe pumbavu zake sanaaa

    • @DoreenDaniel-hd7kv
      @DoreenDaniel-hd7kv 11 місяців тому +1

      Anaongea kama kengele

    • @AnethKukosi
      @AnethKukosi 11 місяців тому

      Sigupendi gu eliza

    • @BethiGody
      @BethiGody 11 місяців тому

      @@AnethKukosi 🤣🤣🤣Yan mm Eliza na zalishi siwaelew kabc

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂kwanz kibaya kimezeeka kama queen Elizabeth 😂

    • @BethiGody
      @BethiGody 11 місяців тому

      @@zaitunirashidi5532 😁😁😁bila shakaaaa

  • @edierichie
    @edierichie 11 місяців тому +13

    AISEE SIJAWAI KUKOMENTI MR RIGHT , KIUKWELI HUYU DADA ELIZA MTOENI SIONI KAMA KUNA CHOCHOTE ANACHOKIFANYA HAPO.

    • @lizndunchez720
      @lizndunchez720 11 місяців тому

      True kuwaste tu masaa nvny sura ata akna

    • @justinambrose3577
      @justinambrose3577 11 місяців тому

      Kuna huyu Eliza na kuna yule Glady ni bure kabisa.... kujifanya na ujuaji mwingi😅

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 11 місяців тому +29

    Eliza bado niko na ww au wamtaka Gara B😂😂😂😂

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @DorcasAmos-mv8cy
      @DorcasAmos-mv8cy 11 місяців тому

      Hahahahaaaaaa

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 11 місяців тому

      😂😂

    • @NasmaBanka
      @NasmaBanka 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @AsyaHamad-tx9vr
      @AsyaHamad-tx9vr 11 місяців тому +2

      Anataka wakumpeleka Dubai ana paspot Haina muhuri na ana leseni Haina gari

  • @salmamumba8507
    @salmamumba8507 11 місяців тому

    Wow kijana wa kingon mr right

  • @LisaswaiLisaswai
    @LisaswaiLisaswai 25 днів тому

    Na mkiachana muwe mnatutangazia pia maana hatujui huwa mnafikiaga wap😅😅😅😅😅😂😂

  • @RadhiaMosha
    @RadhiaMosha 13 днів тому

    Jamani hii couple imepemdezaa❤❤❤

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 11 місяців тому +16

    Lolo ni mzur sana hongera zake

  • @DJINNOSSBTZ
    @DJINNOSSBTZ 11 місяців тому +6

    Huyo anajifanya mzuri halafu bibi😂😂😂

  • @emmyfaustine4323
    @emmyfaustine4323 2 місяці тому

    Amesha sema hana hisia hahahah kwahyo ndo maan ame changanyikiwa na nyege bwana 🤣🤣🤣🤣

  • @MkobaWar
    @MkobaWar Місяць тому

    Muislamu jina haswali Mungu amjalie aswali

  • @LuluGideon-h9m
    @LuluGideon-h9m 2 місяці тому

    Uyu eliza ata akija kupata mr right cjui kama atadumu na anamdomo sana azeeke tu apoapo

  • @AshaSHESHE-no2zl
    @AshaSHESHE-no2zl 2 місяці тому

    Mashaallah mapenzi yenye baraka

  • @jemshidkhamis6158
    @jemshidkhamis6158 Місяць тому

    ukachana na ukristo ila jamaa ni muumini na nina imani kama ataslim na kua muislam kweli atazidi kua muumin mwenye imani thabit ktk maisha yke

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 11 місяців тому

    Ivi uyo dada naitwa eliza uwa anajielewa kweli😂😂😂

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 11 місяців тому +14

    Sio rahisi men kubadili dini, tuliosoma Cuba tumemuelewa mwamba, ila anazambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 11 місяців тому

    Bhanaaa hawa wadada wanataka nini lakini😢😢 alivyoita hiyo eliza......chaiiiii this guy ooo😊😊

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 11 місяців тому +8

    Huyu Msichana Mbona Anaharibi MR.. Kwanini Hamupigia Marufuku Asije Hapo Anakera Sana....

  • @redizo_tz
    @redizo_tz 8 місяців тому

    Maleo Umetuwakilisha Vema Kaka😊😊😊

  • @deejayassamix4891
    @deejayassamix4891 11 місяців тому

    Lolo nakupendaaa bureeee umenifurahisha saana kbisa

  • @Aminaibrahim-d2w
    @Aminaibrahim-d2w 2 місяці тому

    Mme pendezana hatari😂😂❤

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 11 місяців тому +10

    Hatamimi kabadir kanifata mumewangu utapata baraka❤

    • @fatumomatano9752
      @fatumomatano9752 9 місяців тому

      Ndio kheir Mimi kama mwanaume si Muslim staki pressure

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 11 місяців тому

    Yaan Elizabeth mpaka leo upo rudi home tu unamdomo sana ukikataa mtu sema tu hpn sio kakaenda kakarurud😊

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 9 місяців тому

    Safi sana ww ndio mwanamke naam haijuzu mwanamke kuolewa na mwanaume mkristo mpaka abadili dini

  • @GodlyPaschal-yv8gv
    @GodlyPaschal-yv8gv 11 місяців тому

    Jamaa kanichukulia lolo wangu aise dahhh

  • @MamaMairaa
    @MamaMairaa 10 місяців тому +2

    Huyo eliza anamaliza soda tu mfukuzen

  • @jameskiokote
    @jameskiokote 3 місяці тому

    Naomba tuwe tunasomewa na wasifu wa wadada japo kwa ufupi tu ili wanaue nao wamjue mtu wanayeambatana naye, ahsante.

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy 10 місяців тому

    Mkaka ana sauti tamu❤❤❤

  • @MkobaWar
    @MkobaWar Місяць тому

    Yani mm story yahuyu jamaa nimeipenda kushida wote jamaa katisha sana

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 11 місяців тому

    Wifii njoo kwetu sisi wangoni tunajua kupenda😁😁😁

  • @YeddaMturi
    @YeddaMturi 9 місяців тому

    Uyo dada asipande on stage wapen watu nafasi ya kumpata mr.right wao

  • @bilshanmartin7660
    @bilshanmartin7660 11 місяців тому

    Ntakuja niondoke na huyo mwanamke mwenye kidomo domo Eliza jiandae nakuja kukutoa hapo 😂😂

  • @HJf-d4x
    @HJf-d4x 9 місяців тому +3

    I..like..the..couple..it's.. awesome..🎉🎉

  • @ZarinaTv255
    @ZarinaTv255 11 місяців тому

    Jaman huyu kaka anaonekana mstaarabu sana😊❤

  • @monicasemsey1125
    @monicasemsey1125 11 місяців тому +1

    Waoooo wamependeza

  • @Adamadam-du5vx
    @Adamadam-du5vx 2 місяці тому

    Daa mwenyezimungu tupe mwisho mwema

  • @WiyalikaAssani-rm3og
    @WiyalikaAssani-rm3og 3 місяці тому +1

    Jamani natamani nigalikuwa Tanzania nigelipata mke muzuri sana

  • @EbenChiwinga-pt5wb
    @EbenChiwinga-pt5wb 11 місяців тому

    Eliza anakera mpaka Wanao Host 😂😂😂 Jau sana😂😂😂

  • @HildaChard-vl1jb
    @HildaChard-vl1jb 4 місяці тому

    Sijalipenda hilo li Eliza ujuaji mwingi na haelew nimependa uyo dada kamchana fresh

  • @nasfaiyogo3228
    @nasfaiyogo3228 11 місяців тому

    😂😂 Grayson so tapeli kweli 😅😅

  • @rahabu1497
    @rahabu1497 11 місяців тому +9

    Ila nikua nakapenda kalolo Kako sweet Sana I love the couple

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 11 місяців тому +3

    Je warundi wanakuja my❤😂

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 11 місяців тому

    Kuwa uyaone huyu mwanamke anayeitwa Eliza Ni hamnazo kabisaaaaa mbona jamaaa yupo.wazi sana amenyoooka

  • @NasibuBakari-k4u
    @NasibuBakari-k4u 2 місяці тому

    Uyo eliza mutoweni anamundom kam kalewa kwaza anaharibu ukubi hapo nimubishi kiufupi simupendi 😁😁

  • @AbdulhakimAlly-u9m
    @AbdulhakimAlly-u9m 11 місяців тому

    Sijapenda yaan #LOLO kukubali kiurahisi maana mwanzo alikuwa mgumu lolo

  • @nadiamugisha2913
    @nadiamugisha2913 11 місяців тому

    Manshallah wamependezana kbsa

  • @RefalAhmed-rv2um
    @RefalAhmed-rv2um 11 місяців тому

    Huyu mdada hawezi olewa kabisa😂

  • @JeremiahMathiko
    @JeremiahMathiko Місяць тому

    Mwambie atafute wazee wenzake abilene nyodoo😅😊

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 10 місяців тому

    HILo ELIZa si mlitoe linanikera sana bibi yangu kabisa

  • @BahatiBeatrice-cu7ok
    @BahatiBeatrice-cu7ok 11 місяців тому

    Uyo Eliza kwanza ni mzee 😂😂😂

  • @gloryelimkatesh
    @gloryelimkatesh 4 місяці тому

    Huyu eliz mtoenii kil siku yupo mbibi😅😅😅😅

  • @Spicekingnushinwe.-kt5lp
    @Spicekingnushinwe.-kt5lp 11 місяців тому

    Natamani ungekuwa wifi yangu make mke wa kaka yangu unacheka vizuri sana many ❤

  • @IrenePhilip-ek4lw
    @IrenePhilip-ek4lw 3 місяці тому

    Jamaa kapata kazur kakiwa na tabia nzur kaokota dodo

  • @Geraldmbesere-fn2de
    @Geraldmbesere-fn2de 11 місяців тому +58

    Uyo eliza ana mambo ya kijinga siku zote haelewi ana kichwa kigumu 😂😂😂😂😂

    • @FatmaaFatoom
      @FatmaaFatoom 11 місяців тому +2

      Ni kiazi ajifanya nzuri

    • @Geraldmbesere-fn2de
      @Geraldmbesere-fn2de 11 місяців тому

      @@FatmaaFatoom ana uzuri gani mwenyew kama bibi

    • @Geraldmbesere-fn2de
      @Geraldmbesere-fn2de 11 місяців тому

      Au yeye kawekwa kwa ajili ya kuchangamsha shoo nini

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 11 місяців тому

      Sasa bibi kizee kumbukumbuku zitoke wapi

  • @billytresorndayiragije7238
    @billytresorndayiragije7238 11 місяців тому

    Wanapendezana kinoma ❤

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 2 місяці тому

    eliza co mwanamke wa kuweka ndan kabisaa

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 2 місяці тому

    Woow Namupendeza ana❤❤❤❤

  • @godiasjohn2915
    @godiasjohn2915 2 місяці тому

    ana matatizo eliza aiseee😂😂😂😂 mimi ata bure simchukui

  • @WinnElirehema
    @WinnElirehema 5 місяців тому

    Hivi wanakumbukaga na kupima hawa😂😂😂😂