PENZI JIPYA | NITABADILISHA DINI | HELA IPO | ATANITUNZA | GOLDEN GIRL | HELLO MR RIGHT
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Nimefurahi sana na couple ya leo yaani vitu ni Boom boom ❤❤❤❤
Yaan aliyah apewe 🎉 meng na azid kwenye hiki kipind anajua kuwanyoosha hawa wadada❤❤
Kweli aisee😂😂
Yani natamani naeza mchamba
Nzuli sana leo iko moja to jamani huyu Elizabeth simpendi anajisikia sana huyu kaka yuko very nice ❤😢
Nimempenda mr right akiongea anaonekana mstaarabu na hana mdomo mdomo kama wnaume wengine 😂😂😂hongera lolo umepata bwana inshaallah abadili din kweli akuoe mama
lolo nae pia mpole mashaAllah❤
Lolo wanafanana na nelly
Wangon ni nyoko
Hapo Greyson umepata mke. Na kuhusu dini jitahidi kumshawishi Lolo atakubali kubadilisha deni baadae
Awa wastaarabu shkamoo
Lilu diva napenda unavyo cheka hadi raha my sister ❤❤🎉🎉
Nimerudia mara mbili kuangalia hii .nimeipenda sana hii couple.mkaka anaupendo sana
Mashaallah wamependezana sanaa nimependa sanaa hiyo mkaka mzurii sanaaa handsome hatimaye Lolo amepata mwenzawake jamn
Huu ni mnada wawanawake kweli dunia ipo mwisho mungu tuangalie wanao tunapotea tuoneshe njia sahihi
Wamependezana sana Lolo yuko mucute sana jamn najiona mm huwiiiiii😅
Waaah! This man aki he is so sweet na for sure amemakinika.Big up bro and hope ulimpata mwenye unamuhitaji.
Nimependa wanaendana sana 😘😘😘😘😘😘😘
That was the best couple of all this 5th season so far.That man has dignity
Grayson + lolo was natural love wameendana na kupendezana
Eliza aelew bwana mtoen apo
Huyo eliza atolewe mana hasikilizi hata maongezi,anachoreka tu
Naona kama eliza anamdomo sana na dharau pia. Angeenda zake na yule mzee baharia 😂
Hata kwenye ndoa hawez kudum
😂😂😂shituka mwanangu
Ahhahahahahahahah jamn jamn hatr na nusu hahahah
Fact
😂😂😂😂mzee baharia
Yani mimi nawapenda sana.kila mara napenda kiiyangalia school kuwaona lolo ampendae.Allah awape mapenzi daima❤
Imagin ndo umemchukua Eliza akawe mke wako my dear nakwambia utanyookaa 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 na komwe lake uyo Eliza haha bibi akalee wajukuuu uko atolewe
Amna uyu unamwitikia afu ungya nae ndoa unamnyosha bora ndoa ife ila ajue akuna zuzuu
😂
😂😂😂😂
Huyo Elizabeth ni msenge sana,, inafaa angechukuliwa na yule mwamba sungu sungu...
😂😂😂😂😂
Inasikitisha sana yaani kubadili dini kutoka Grayson mpaka shabani madobe duh 😂😂😂 huyu jamaa anatakiwa afikirie mala mbili mbili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
😊😊😊😊
Kama mzize alivyobadili kutoka Clement mpaka Warid
Kwanza kwa sheria ya kiislam haitakiwi mtu abadili dini kisa mapenzi sasa mapenzi yakiisha utarudi ulikotoka...unatakiwa usome dini na uingie kwa imani sio kufata kitu....Allah awaongoze na awasamehe
Hiiiii couple nimeipenda sana mungu awape maisha marefu katika mahusiano yao
Aliya tha best ana juwa kukweli wanaendanaaa ❤❤❤❤❤❤ kweli
ukitaka upoteze mwelekeo na ukuu wako kwenye maisha jaribu kubadili dini hata kwasiku moja ,watu wanadhani ni jambo la kawaida kama vile kubadili nguo lakini kiukweli unapo badili dini unabadili yule unaemwabudu siku hii unaabudu mungu kesho unaabudu pepo(shetani), mungu wetu ni mungu mwenye wivu. mfalme sulemani mwana wa daudi aliemjengea mungu hekalu jerusalemu hadi watu toka dunia nzima wakawa wanaenda kuabudu huko kila mwaka, siku alipo oa mwanamke anae abudu miungu na suleimani akaiabudu .,Mungu akauvua uzao wake ukuu juu ya israel katika makabila 12 ya israeli akambakizia 2 mengine yote wakapewa wengine.nahiyo imetokea kwa wafalme wengi kama vile yeroboumu, belishaza, na wengine wengi. mwanaume yeyote mwenye misingi imara misingi yake inapimwa kwa uwezo wa kuitunza imani yake.
Uyo eliza mtoeni ni bibi aende nje anakera na kuwaharibia kazi buana ,amejikuta jaji wa mr.right hafato protocol atolewe buana
😂
Bora angechukuliwa na yule mzee stukaaa mwananguuu 😅🤣
Eliza bibi sana na sula lake kalificha na mekapu😂😂😂
Ni bibi alafu masharit kibao atakua nawatoto wengi
For sure anabore,halafu she is too old for that stage
Oya mwanangu umetisha wemkali kweli uko makin sana
Hii nimeipenda mno mungu awape maelewabo inshaallah ❤
Huyo Eliza anadharau na atazeekea humo anaropokwa hovyo kazi ipo ashuke stejin tu😊😊
Yan hii ndoa mtuletee humu ndani tuione😊
Ile notion ya bcz of love, nnamashaka nayo, mwamba anaenda kula mzigo nakuuacha kwenye njiapanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅
Kalolo kazuri ,karembo na kasitarabuu wow good couple ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i wish you all the best❤❤❤❤
Grayson umeshinda kwa kishindo sana, jitahidi zaidi ata dini atabadirisha tu❤❤❤
🙏🙏🙏❤❤
Katika Mr right zote hii n couple pendaaaaa saana
Respect kaka hongera sana Grayson 🎉🎉🎉❤❤❤
Huyo Lolo kwq kuongea na muonekano n kamaa jamaa kapata mtu🎉🎉🎉🎉
Ni tukio la kufurahisha sana, kuna golden girls wengi sana waliopita walipojijua kuwa ni golden girl maringo kibao,lkn huyu mrembo hakuwa na mengi,ningekuwa na namba uaje ningemtupia buku big LOLO❤❤❤
Wamependeza na sanaa❤❤❤
Mr right yupo straight en brain ake smart sanaaa wadada hatuna akil muda mwingine
Nipeni namba ya Mr Right😍😍😍 anajielewa sana😊
Eliza atakuja kumaliza hizo soda tu 😂😂😂
Hahahahaha 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Hahahaaaa
@@ashamshona9321😂😂😂😂
Waooooo nawapenda sana ❤❤❤
Eliza atazeekea hapo for sure pod iyo 😂😂😂😂😂
Wameendana jaman lolo na grayson ❤❤❤
Nawapenda ndie lolo maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉❤kwakweli mashaallah wamependezana
Naombeni icho kibibi kieliza mkitoe pumbavu zake sanaaa
Anaongea kama kengele
Sigupendi gu eliza
@@AnethKukosi 🤣🤣🤣Yan mm Eliza na zalishi siwaelew kabc
😂😂😂😂😂kwanz kibaya kimezeeka kama queen Elizabeth 😂
@@zaitunirashidi5532 😁😁😁bila shakaaaa
AISEE SIJAWAI KUKOMENTI MR RIGHT , KIUKWELI HUYU DADA ELIZA MTOENI SIONI KAMA KUNA CHOCHOTE ANACHOKIFANYA HAPO.
True kuwaste tu masaa nvny sura ata akna
Kuna huyu Eliza na kuna yule Glady ni bure kabisa.... kujifanya na ujuaji mwingi😅
Eliza bado niko na ww au wamtaka Gara B😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hahahahaaaaaa
😂😂
😂😂😂😂😂
Anataka wakumpeleka Dubai ana paspot Haina muhuri na ana leseni Haina gari
Wow kijana wa kingon mr right
Na mkiachana muwe mnatutangazia pia maana hatujui huwa mnafikiaga wap😅😅😅😅😅😂😂
Jamani hii couple imepemdezaa❤❤❤
Lolo ni mzur sana hongera zake
Huyo anajifanya mzuri halafu bibi😂😂😂
Amesha sema hana hisia hahahah kwahyo ndo maan ame changanyikiwa na nyege bwana 🤣🤣🤣🤣
Muislamu jina haswali Mungu amjalie aswali
Uyu eliza ata akija kupata mr right cjui kama atadumu na anamdomo sana azeeke tu apoapo
Mashaallah mapenzi yenye baraka
ukachana na ukristo ila jamaa ni muumini na nina imani kama ataslim na kua muislam kweli atazidi kua muumin mwenye imani thabit ktk maisha yke
Ivi uyo dada naitwa eliza uwa anajielewa kweli😂😂😂
Sio rahisi men kubadili dini, tuliosoma Cuba tumemuelewa mwamba, ila anazambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😮niww ndy uwez kwendra uko
Hahahhahaha sanaaa
Bhanaaa hawa wadada wanataka nini lakini😢😢 alivyoita hiyo eliza......chaiiiii this guy ooo😊😊
Huyu Msichana Mbona Anaharibi MR.. Kwanini Hamupigia Marufuku Asije Hapo Anakera Sana....
Sana
Maleo Umetuwakilisha Vema Kaka😊😊😊
Lolo nakupendaaa bureeee umenifurahisha saana kbisa
Mme pendezana hatari😂😂❤
Hatamimi kabadir kanifata mumewangu utapata baraka❤
Ndio kheir Mimi kama mwanaume si Muslim staki pressure
Yaan Elizabeth mpaka leo upo rudi home tu unamdomo sana ukikataa mtu sema tu hpn sio kakaenda kakarurud😊
Safi sana ww ndio mwanamke naam haijuzu mwanamke kuolewa na mwanaume mkristo mpaka abadili dini
Jamaa kanichukulia lolo wangu aise dahhh
Huyo eliza anamaliza soda tu mfukuzen
Naomba tuwe tunasomewa na wasifu wa wadada japo kwa ufupi tu ili wanaue nao wamjue mtu wanayeambatana naye, ahsante.
Mkaka ana sauti tamu❤❤❤
Yani mm story yahuyu jamaa nimeipenda kushida wote jamaa katisha sana
Wifii njoo kwetu sisi wangoni tunajua kupenda😁😁😁
Uyo dada asipande on stage wapen watu nafasi ya kumpata mr.right wao
Ntakuja niondoke na huyo mwanamke mwenye kidomo domo Eliza jiandae nakuja kukutoa hapo 😂😂
I..like..the..couple..it's.. awesome..🎉🎉
Jaman huyu kaka anaonekana mstaarabu sana😊❤
Waoooo wamependeza
Daa mwenyezimungu tupe mwisho mwema
Amin amin amin 🙏
Jamani natamani nigalikuwa Tanzania nigelipata mke muzuri sana
Eliza anakera mpaka Wanao Host 😂😂😂 Jau sana😂😂😂
Sijalipenda hilo li Eliza ujuaji mwingi na haelew nimependa uyo dada kamchana fresh
😂😂 Grayson so tapeli kweli 😅😅
Ila nikua nakapenda kalolo Kako sweet Sana I love the couple
Je warundi wanakuja my❤😂
Kuwa uyaone huyu mwanamke anayeitwa Eliza Ni hamnazo kabisaaaaa mbona jamaaa yupo.wazi sana amenyoooka
Uyo eliza mutoweni anamundom kam kalewa kwaza anaharibu ukubi hapo nimubishi kiufupi simupendi 😁😁
Sijapenda yaan #LOLO kukubali kiurahisi maana mwanzo alikuwa mgumu lolo
Manshallah wamependezana kbsa
Huyu mdada hawezi olewa kabisa😂
Mwambie atafute wazee wenzake abilene nyodoo😅😊
HILo ELIZa si mlitoe linanikera sana bibi yangu kabisa
Uyo Eliza kwanza ni mzee 😂😂😂
Huyu eliz mtoenii kil siku yupo mbibi😅😅😅😅
Natamani ungekuwa wifi yangu make mke wa kaka yangu unacheka vizuri sana many ❤
Jamaa kapata kazur kakiwa na tabia nzur kaokota dodo
Uyo eliza ana mambo ya kijinga siku zote haelewi ana kichwa kigumu 😂😂😂😂😂
Ni kiazi ajifanya nzuri
@@FatmaaFatoom ana uzuri gani mwenyew kama bibi
Au yeye kawekwa kwa ajili ya kuchangamsha shoo nini
Sasa bibi kizee kumbukumbuku zitoke wapi
Wanapendezana kinoma ❤
eliza co mwanamke wa kuweka ndan kabisaa
Woow Namupendeza ana❤❤❤❤
ana matatizo eliza aiseee😂😂😂😂 mimi ata bure simchukui
Hivi wanakumbukaga na kupima hawa😂😂😂😂