Yes! Kontawa, kwanza Hongera kwa tuzo....hakika unastahili zaidi ya hapo...naam hii ndo video tuliohitaji...maana tuliisubili baada ya ile story ulotusimulia pale tunaota 🔥👍👏👏👏👏
Kwenye fasihi hii inaitwa kufaulu kwa mwandishi /mtunzi, ujumbe imefika na funzo limetolewa,lkn angeenda kuiba akafanikiwa maana wizi ungeonekana mzuri, lkn kwa sababu yamemkuta mazito hadhira itaelewa kwamba suruhisho la kipesa ni kutafuta kazi ya kufanya,kuomba sio kuombaomba,kukopa na baadae kurudisha.
Hongera sana kontawa bt naomba wasanii muwe makin sana kwenye kuwaklsha mahudhuhi,nyimbo inatuambia alichomwa na mipira ya magari dhen video inaonesha mwsho wake c uo,,😂😂 be carefull bro
Hivi we jamaa wanakuangalia kwa jicho la Tatu kweli ndo mziki ushakua wa watu fulani na wanaoangaika na madanga u are real talented bro keep pushing and will support you till end🙏🙏❤️
Endelea kukaza mwanangu badman kontawa, respect pia kwa script writer kaitendea haki ngoma kweny video nimeuelewa xana ujumbe kuliko nilivyokuwq naisikiliza audio Jamaa kanyoosha xana scrpt nicklas nae kawaida take kufanya vyema.
Chuma kali video kali story kali japo nilitamani pia kuona tukio la uchomwaji moto hata lisipomaliziwa ila kwa maana ya mtu kuungua ila kwa kuwa limeimbwa kwa namna story ya video ilivyokaa inegeweza kuisha na tukio lenye kuashiria kuchomwa moto. All in all kazi nzuri sana big up to all yo
Naisubili kwa hamu hiyo ngoma #dungawawe baada ya kuona picha ya nagwa ndo nikaja ku comment kwasababu mimi mwenywe nilkua na waza kama yule ahoufe wa ghana amekufa basi mwingine wakuweza kuigiza uhusika wa dunga mawe ni nagwaaaaaa sharout sana mwanangu kontawa napenda sana uhandishi wake
I remember my father introduced me to this 'Ndunga mawe' Ngoma Nagwa in this video...he really is the best person for this role played in the video...A very deep song bro I literally shed a tear because I am going through the last stage that led to his death and I pray God bless us all and bless kontawa for the inspiratio...I left this comment so I can read it when I'm old next to my son/daughter
Kama unamtambua NGOMA NAGWA,nigongeeni Likes wana.frm🇰🇪001
Sana
Kafanyaje?
Huyooo
Nangwa ameuwa
Zikusaidie nn hzo like halafu
Mwanangu Dunga mawe ....kama unamtambua .ngoma nagwa piga like
Wakenya ni watu wazuri sana, yaani wao wanapenda muziki mzuri basi.
Big up 🇰🇪
Nyie simuimbe zenu
Ulistahiri kuwa msanii Bora chipukizi wewe ni motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yes! Kontawa, kwanza Hongera kwa tuzo....hakika unastahili zaidi ya hapo...naam hii ndo video tuliohitaji...maana tuliisubili baada ya ile story ulotusimulia pale tunaota 🔥👍👏👏👏👏
tunahitaji part 2 ya wimbo huu😂😂 isiwe Dungamawe alifariki. anafaa awe na mwisho mzuri
I fell from the depest part of my HEART....u're genious BRO.😢❤
Licha ya maguma aliyopitia muhuni wetu Dunga Mawe lakn alikufa kwa kutaka kumsaidia mke wake RESPECT SANA✊
Sio kwa wizi banae kutimiza mahitaji funzo hapa ni kuwa tafuta hela kwa njia ya halali kazi za kiume zipo miingi mijengo na kathalika
Kwenye fasihi hii inaitwa kufaulu kwa mwandishi /mtunzi, ujumbe imefika na funzo limetolewa,lkn angeenda kuiba akafanikiwa maana wizi ungeonekana mzuri, lkn kwa sababu yamemkuta mazito hadhira itaelewa kwamba suruhisho la kipesa ni kutafuta kazi ya kufanya,kuomba sio kuombaomba,kukopa na baadae kurudisha.
Alikufa kishujaa 😂😂😂
Dg ametisha unyama can ✌️
Alikufa kiume😂😂😂
Ngoma nagwaaaaa miaka mingi hatujafilimba ulembe💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kilichobaki ni kuitolea movie😢
Yani Content ya wimbo na mhusika NAGWA vinaendana Sana Kontawaaaaa we ni noma 🙌🙌🙌🙌
Nagwa kiboko 💯💯🔥Dunga mawe wapi likes from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 it to the world 🌎
Kenyans 🇰🇪 let gather here to show this man love❤❤
KONTAWA ❤hii ni zaidi ya filamu
huyu ni mnoma bana
We are here
ua-cam.com/video/m9Z4fiDPYFg/v-deo.html
Daah hii imetisha. #Big love from 🇰🇪
Hongera sana kontawa bt naomba wasanii muwe makin sana kwenye kuwaklsha mahudhuhi,nyimbo inatuambia alichomwa na mipira ya magari dhen video inaonesha mwsho wake c uo,,😂😂 be carefull bro
Sad story bt nice song nakukubali kontawa...Kenyans loves Tanzania
Nataman kua wa kwanza kuitazama hii ngoma aiseee ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Hii Ngoma imenifundisha mengi sana 😢😢,,
Gonga like km una mkubali kontawa ❤💥💥
Dunga mawe 😂😂😂❤❤❤ +243 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ngoma Nagwa,,,bendera chuma,mlingoti chuma.Namkubali sana Ngoma Nagwa❤
we need part 2 of this song😂 i hope Dungamawe didn't die. he deserves a better ending lol
Dunga mawe saizi ni star
😂
BIG FAN TOKA KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪... BIG UP NAGWA BIG UP KONTWA ART KUBWAA... MKOJANI GAnG nawatambua sana pia
Massage mzuri kwa mayouths.. from Kisii Kenya 🇰🇪
From the City of Africa"Nairobi"🇰🇪 l love this bro, you're the Star 🌟
Hivi we jamaa wanakuangalia kwa jicho la Tatu kweli ndo mziki ushakua wa watu fulani na wanaoangaika na madanga u are real talented bro keep pushing and will support you till end🙏🙏❤️
Ngoma nagwa og. Au macho yangu tu. Hamilton William mtu mbady✌😁😁😁😁😁
Dunga Mawe 👊👊👊
APPRECIATE THIS TALENTED BOY! I wait this dungamawe nagwa
anyshow to kenya il be there
Mbona Hajachomwa Km Nymbo Isemavyo Kapgwa Tu
Wakwanza mimi 🇮🇹 tujuwane kwa Likes
Iyo miambili anaiona kama shingapi Kwan had aseme chenj irud🤣🤣🤣
Video nimeiangalia Mara 6 bila kuitoa yaani kila ikiisha naweka tena ndo ujueiko powa kweli kama na wewe umeangalia kama mimi gonga like hapo
This song is on ANOTHER LEVEL,,💥💥💯
Wangapi tunasubiria hili jiwe
Endelea kukaza mwanangu badman kontawa, respect pia kwa script writer kaitendea haki ngoma kweny video nimeuelewa xana ujumbe kuliko nilivyokuwq naisikiliza audio Jamaa kanyoosha xana scrpt nicklas nae kawaida take kufanya vyema.
Kwangu mimi binafsi hapa bongo msanii wa kwanza ni #KONTAWA na ndo role model wangu utake utakubari na usitake ukakubali tu
Apart from the vibe, The messages hit the inner part of the ears.... The love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 is big...
Xxx
Dunga Nagwa Mawe😅👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma Nagwa,, bendera chuma mlingoti chuma, kenya tunamtambua kinyama aisee
Hii story ya mwanangu kabisa, pale Kibaoni Singida. RIP
Tunayofuraha kubwa kupata mrithi wa King Zilla
huyo ndo Dunga mawe kweli umepatiya sana 💖💖💖
😂😂😂😂 i can't get enough of DungaMawe ... The process is called; Pulling it up🔥
Minuno5000
Cheko la 1000
Ngoma nagwaaaaa
Siangaliagi adi mwishi ila leo nime cherk mpaka mwisho
Sawa mwanangu dunga mawe
Oy kontawa me cyo muigizaji lakin nina kipaji cha kuigiza kwenye hustle broo naweza pls
Kontawa nakukubali sana kaka Ni wa peke sana kaka Upo specel like my brow chidi benz
Nice song but hukufai kurepeat beats za champion
kama unaamini huyu ndy anafaa kuwa dunga mawe like hapa
Sijawahi kumpinga huyu mwamba 🙌🙌🙌✋🙌🙏
Nili pitiya changamoto Kama hizi @dance king onix
Ngoma kali mhusika mkuu nagwa og anaweza kabisa kuwa dunga mawe kulingana na uhuni wake tunaisubir❤❤❤❤🎉
Alfu director katisha zaidii
Nilikua naisubiri kwa ham sanaaa nimekua wa kwanza leo naombeni likes zenu 🙏
Chuma kali video kali story kali japo nilitamani pia kuona tukio la uchomwaji moto hata lisipomaliziwa ila kwa maana ya mtu kuungua ila kwa kuwa limeimbwa kwa namna story ya video ilivyokaa inegeweza kuisha na tukio lenye kuashiria kuchomwa moto. All in all kazi nzuri sana big up to all yo
Naisubili kwa hamu hiyo ngoma #dungawawe baada ya kuona picha ya nagwa ndo nikaja ku comment kwasababu mimi mwenywe nilkua na waza kama yule ahoufe wa ghana amekufa basi mwingine wakuweza kuigiza uhusika wa dunga mawe ni nagwaaaaaa sharout sana mwanangu kontawa napenda sana uhandishi wake
❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉🎉😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤😂
❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Haya ndo mambo mazuri ya kuiga wasanii wengine wajue big up kontawa 🙌
Huyu muhuni nongwa kafanyia video haki Duuh 🙄🙄😆
Yaani nipo ange kabisa kuiona hii video ya dunga mawe,,,,nyimbo yenyewe ni noma sana ,,on top kontawa👌
Dunga Mawe 🔥
Wakwanza kuona action🎉 2:30 magwa 😅😅😅😂
Naomba like yako mkalii 🙏
@@rashidinakoni chukua hiyo hapo✌️🦅
Umetisha mkaliii 🔥
@@rashidinakoni ✌️🤌🦅
Umenikimbusha mbali kwa rfk yangu wa krb alieuwawa mabibo kontawa kiume nadondosha chozi kwa hii nyimbo🔥🔥🔥🔥🔥 respect sana 😔
ngoma moto🔥🔥🔥🔥🔥
Some amazing music...watching from Cuba...One Love Kontawa💪
Perfect character(Dungamawe) 👍good point
I remember my father introduced me to this 'Ndunga mawe' Ngoma Nagwa in this video...he really is the best person for this role played in the video...A very deep song bro I literally shed a tear because I am going through the last stage that led to his death and I pray God bless us all and bless kontawa for the inspiratio...I left this comment so I can read it when I'm old next to my son/daughter
All will be well brother
You will be victorious sir.
Kotwala l am from Kenya and you have nice song Kwanza hiii ndio inamaliza mwazo big up Sana to this song and keep up.
Definition of Good music 🔥🎵❤️
Msanii bora Tanzania 🇹🇿 tunae hapa aitwa KONTAWA!
AMETISHA
Aisee hii video ni kali sana hadi inaboa maufundi ni mengi sana
Nipeni like zangu
Mziki 💯💯
Ngoma nagwa ndan ya nyumba DUNGA MA........🚬
Ngoma nagwaa Baba dungamawe kbsaa
ume mwanangu wot wanatuimbia mapenzi Kila msanii atakae kuja mapenz Ila ww umejitoa
CHEST GANG
Mnyama 🔥🙌🏽
Big song
Sky bwoy official is here 🇰🇪
RIP AHOUFE, the only African 2 Pac and real Dunga mawe we ever had.
Like, by zungu.
Unatisha sana nongwa😢😢😢😢
🇧🇮🚀🔥Nipe like warundi wenzangu kontawa aone kama tuko wote
Kitu moto🔥🔥🔥💯shwari
NAGWA YANII HII NGOMA INAMUONGELELEA YEYE KAPISA.... RESPECT TO KONTAWA ENDELEA KU SHINE BRO❤❤
Finally baada yakuisubiri kwa mda mrefu dunga mawe ishatoka Kama unamkubali kontawa gonga like tukisonga
Nagwa kaitendea haki hii video
Tuna isubili kwa ham hii dunga mawe 🔥🔥💉💉
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇦🇺🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wimbo mzuri sana Kontawa. Nimeusikiliza vizuri nimepata feelings flani hivi basi tu. Na huyo mwamba NAGWA Namkubali sana huyo ndo DUNGA MAWE 😃😀
Dunga mawe😂😂😂
Kontawa ❤🇰🇪🇹🇿
This time specially for kontawa
Kontawa you're my champion 🇹🇿🇹🇿🇰🇲🇰🇲👑👑
Wajanja ndo tunajua amecopy wap ni nyokaa
Kama wewe ni mwanangu wa kuikubali "DUNGA MAWE" basi like message hii 💥
*NGOMA NAGWA KUTOKA MKOJANI GANG*
Kontawa is on another level 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 001
Dunga stone kali
Kontawa to the world ❤❤