DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mwanamalundi / Mwanaume Aliyekausha Miti kwa Kidole Wanawake Wakapata Kuni!!
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Tuliopo hapa 2024 tujuane kwa like kwa fundi ananias
leo nimeamini huyu jamaa anasimuliaga vitu vya kweli mana sehemu aliyoitaja ni kwetu na hizo sehemu zipo tukienda kuchunga tulikuwaga tunaona hizo nyayo za mwanamalundi pia kuna mwamba mwingine alikuwa anaitwa chalya naye historia yake inasisimua pia stori ya ibamba ngulu nilisimulia na mama yangu mzazi, keep it up bro unafanya utafiti wa kina hii habari ni ya kweli kabisa.
Nikutafute unipeleke🙏
Nichek mi nkupeleke kwenye nyayo zake utaona na mti alioukausha
Ukitaka kuyajua maeneo yote haya ya mwanamalundi nitafute nikupeleke
Ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na manabii na wazungu waliwauwa manabii wetu ili kuwatangaza wa kwao na ss waafrica tumeferi ktk hill kwa zipo baraka ktk kuwatangaza manabii zenu na mbaya zaidi mmegeuza majina yao kuwa mizimu lakini wazungu wanawaita watakatifu shtuken waafrika
Hawana uwelewa kabisa me nawahurumia sana
Watu wengi hapa kuna kitu hawakijui (1)-Kabuli la huyu Jamaa lipo Kijiji kimoja kinaitwa SEKE IDIDI (SHINYANGA) mpk Sasa lipo
Huko ni kwetu kabisa ndio nmezaliwa huko.
SIMIYU au Shinyanga?
Nikirudi tz nitakutafuta nipate vitabu vyako kaka ni kwa ajili ya watt wangu hupenda sana kusoma vitabu vya histor ya waliotangulia
Mimi nimesoma mwakilyambiti secondary school hiyo history ni ukweli mtupu mpka kwao mwana malundi napajua mwakubiringa
unachosema kweli....yule jamaa aliwalisha watu kibao kwwa mikate miwili....lakina mwanamarundi anakausa mti wanamuona mshirikina yule wa israel ni uwezo wa mungu africa banaa
Omg nimesoma wasomi huru gerezani, ukombozi wa fikra, na tumbo lisiloshiba na leo nimekusikiliza bila kujua ni wewe mtunzi wa vile vitabu😥 naamini tutaikomboa jamii kwa juhudi zetu sote tukiwa wawazi!!
Kuna anani s edga na Denis mpagaze mmoja mwandishi mwingine msimuliaji
Ndani ya story yako tunapata story nyingine ndogondogo nzuri sana asanteee
Historia imebeba mengi , tuitafute historia, tujitambue.
Shukran kwa uchambuzi wenu .
Tatizo atutimizi marengo ndugu yangu
napenda sana stori zako lakini ni story za juzi tuu nataka unipe story ya chief mangungo na baba yake masaki . habari zao zipo hata makaburi yao lakini yamefichwa na watu wamejua
Ujinga wa kupalamia vya watu ndiyo unatughalimu,Viva wasukuma,harafu mnatuchukulia et washamba.
Haiondoi ushamba wenu 🤣🤣
Wasukum wanapend ndege 🤣 ndio maan hata hayat JPM 💔 alizinunua kwa wingi 👏
Pamoja brother big up
Mwanamalundi ni shujaa wa Africa nzima.
hahaha unachekesha mwamba nimkwawa
Tunashukuru Sana naona na wewe kama mkombozi wa fikra zetu waafrika
Great voice, narration and metaphors....kiswahili kitukuzwe
Lakini kabla Brian deacon mwigizaji wa filim ya Yesu hajazaliwa ! Picha za Yesu Kristo zilikuwepo... Fuatilia kisa cha mwanamke Veronica aliyeachiwa kumbu kumbu ya picha ya Yesu kwa muujiza kupitia kitambaa chake mara baada ya kuupunguza uso wa Yesu wakati wa mateso yake.....
Kakah iachie sisi tuenjoi leo mana kitambo sana tumeisubiri hii
Noma sana, yani ile Historia ya Tanzania ingefundishwa mashuleni wewe ndiye ungekuwa mtu muhimu sana.
Wasukuma tunapenda ndege ndio maana JPM alizinunua Kwa wingi sikupingi 💃💃💃
Za masiku Joyce?? Umepotea Sana... Uje upande ndege😋😃
Nimependa madoido uloyatia katikati usimulize wako😍, hadi nimeishare kwenye status yangu 🇰🇪♥️
Afrika ni Tajiri Lakin sjui nan katuroga
Kweli kaka Denis watoto wa sikuizi wanaingilia paka maongezi ya watu wazima
Nimeipenda sana hii ni kumbukumbu nzur zinatukumbusha Asili yetu tuliko toka Ananias tuletee na simulizi za mwamba wengine wa tz
Chapa kazi Wadau, tunapenda simuulizi zenu katika mambo mbalimbali. Diaspora ya Watanzania UK
Porojo zako nawe!
Huyu ndio Yesu asee maana kaacha nyayo zake juu ya mawe kaka
😂
huo usimulizi wako uko juuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaana>>> You are a great narrator bro.. so catchy
Hongera sana. Kupitia hii simulizi, Leo nimewasimulia watoto wangu kuhusu Mwanamalundi. Maana baba yao anapenda sana kuwasimulia kuhusu Legend stories za tamaduni yake ya Czech au Ulaya. Sasa na mimi nilivyoisikia hii nimewasimulia. Mtoto wangu wa Kiume amefurahia pale kamba ya kunyonga ilipokatika na Mwanamalundi alipojamba na wasukuma wakapata Ng'ombe wao 😆☺️. Unasauti nzuri sana yakusimulia, inanikumbusha David Attenborough akivyokuwa msimulizi mzuri kwenye makala za historia na wanyama. Endelea hivyo hivyo, kizazi chetu tunajikomboa kifikra.
,
Umefanya vema sasa Dada. Vijana hawa wanafanya kazi nzuri sana katika kusimulia vizazi vijavyo historia za mashujaa wetu wa Tanzania. Nimekulia Tanzania kwa miaka 30 lakini sikuweza kusikia simulizi hizi. Inanikumbusha kipindi cha miaka ya 90 ambapo tulikuwa tunasikiliza kwenye redio RTD kipindi cha “mama na mwana” saa 8 kamili mchana.
Mwanamalundi alikua mchawi nlishafuatilia habari yake
Hawa washkaji uwa nawasiikiliza uzalendotu ila kwamachungu mengi sana hawa majaa wameni kula hela yangu eti watanitumia kitabu paka kitabu akijafika mwezi wa6 hivi nikiwahandikia eti bado kunatatizo kwelii tatizo lisiohisha kwamyiezi yotehiyoo
Hello pole sana.
Tafadhali tunaomba ututumie namba yako whatsapp +255659982764 kwa msaada zaidi.>
Nakumbuka sana nikiwa mtoto tulikua tunaambiwa mwanamalundi alikua kilima viazi ASUhi jioni anachimba viazi anaanza kura
Congratulations
Safi
Hii sio historia sahihi ya Mwanamalundi- ng'wanamalūndi.
huyu jamaa hajazungumzia tumboni mwa mama yake, bali ni mjukuu wa Igulu yaani JISHOSHA.
Igulu bugomola ni nan?
Eee bhana na hyo alie kua anaacha alama ya miguu kwenye mawe ni ibhamba ngulu cyo n'gwanamalund navyo jua Mimi lakin
Salute san kiongoz unatufundish vitu tusivyovijua, mung akuongoze....
Denis nakuelewa san mkuu. Keep up kutupa vitu vitamu havichosh kuskilza, unatufundsha vtu vng sana kuhus maisha na historia ya watu weusi. Nakuombea sik moja uje kua kiongoz Mkubwa katka hii nchi naamini utakua kam JPM kwa philosophy na mtzamo wako dhid ya Whites.
Utasikia mtumwa wa fikra anasema "shirk hiyo😂" Akili yake anaamini kila alichoambiwa na waarabu na mwingine utasikia Israel tu... Inabidi tujue siri ya haya mambo
Anaitwa NG'WANAMALUNDI siyo Mwanamalundi!
Historia ya mahoka wa YK92 ua-cam.com/video/yrXqXUFU0hM/v-deo.html
Ni kweli yote. Mimi hapa nimeandika vitabu vitano. Lakini nimekosa wa kunifadhili kea sababu vinazungumzia mila na desturi za kiafrika
Unahitaji ufadhiri Kama tshs ngapi,?
Wafadhiri wapo wengi Sana.
Hiyo unayofanya Ni Kazi Njema Sana.
ur geniuz bro . napenda mawazo yako yani ningeeza ngefufua mizimu yote ya africa lets go back to where we belong
Kaka unatowa simlizi vizuli sana daa kwanza umetulia unavyo ongeza hatakama kunamtoto mdogo anakuelewa hatasisi kule kwetu songea kunamilima kati yahiyo milima mlima mmoja kwandani nikama nyumba nakunavyomba kabisa kasolo vitandatu napia kunachumba kimoja kinaishi lijoka likubwa sana ila halina ubaya namtu ila kama ukienda kwaubaya hauwezi pona piga uwa hautoboi sisi wakati tupo wadogo tulikuwa tunaenda kuliangalia nalinapete kubwa naniyasamani sana wazungu walienda wakataka kuleta mambo yao yaujangili chamoto walikiona kaka mambo nimengi sana kule kwetu
Nasubiri simulizi hili leo
Nimependa sana simulizi yako endelelea kupambazuwa waatu
Ila haujataja miaka. Nilitamani kujua alizaliwa mwaka gani na akafariki mwaka gani. Chlonology
History ni nzuri kabisa nimeipenda ili kaburi lake lipo seke maeneoya hungumarwa sio simiyu.
Safi. Tunatengene filamu yake sasa
Ikikamilika Hiyo filam unijulishe ntachukua CD
Annanias uje kunifundsha kusmulia story. I really appreciate unavosimulia.
Usawa ndo unawapumbaza mwanaume atimize wajibu wake ndo maana sahz vdume mnaolewa.😂😂😂
Nakubali good tuelimishe maana sasaivi vijana hatuna uasilia wetu
Yaani watanzania sis tuna vitu amazing na hatuvijui
Mimi napenda sana simulizi ukisimuliwa na Ananias Edgar halafu iwe ndefu kama ile ya Thomas sankara,Mkwawa na Mirambo
Mwamba alikuwa Mkushi mbona unaiponda Kushi kaka
Inabidi nikubaliane na mzee maana anataka niwe mganga na nimekatazwa kumpa laana au kumuapia mabaya
safi sana mwamba kwakusamini vyakwetu ama kweli umenikumbusha mbali sana ❤
Story qalii Sana tunamisi saut yako ingekua kila siku
Chefu nisionekane mbeya nikaja kusutwa bure😂
Kwel anacho simulia huyu jamaa kwenye jiwe la mwanza ameacha alama za unyayo wake
Ogopaaaa ni hatari nduhu tabu tutengwe
Ataulizwa maswali wewe nani?
Sasa huyu jamaa si angekausha wakoloni wote
Ama kweli wewe ni mtu ulieteuliwa na Mungu kuja kutuamsha waafrika tuliolala kwa mda mrefu ENDELEA KUTUAMSHA WA AFRIKA
mimi ni mrusi, nenafunza kiswahili waka moja. video hii ni kwanza video kwa kiswahili
Napenda kz yako ndugu mungu awe nawe kwakila jambo 🙏🙏
Tulioko mwanza tunakipataje?
Hangera sana mzee napenda sana kukusikiliza wana jaribu kukuigizaaa lakini wanafel kabsaa.
Mwanamalundi mwamba kweli kweli
Bojo nomanya muno munonga nyewe ndi wa gera mutuza kiziba eya bukoba missenyi
Khaaa ila Igulu alikuwa msumbufu nae 😂😂
Bro tupe Really story usiongeze sana Chumvi nenda moja kwa moja
Hainogi raha ya story iwe nauong
safi sana story nzuri na inamafunzo kwa watu wa africa tunatakiwa kuthamii vya nyumbani na kuvaamini kabca maana ata leo ukikutana na msukuma halisi atakuambia mwanamalundi ni mchawi wa kutupwa
Nilishelewa kidogo brother,good good🇲🇿🇲🇿🇲🇿
cheefuuu😂😂😂😂😂
Yaanikweli tnazipenda ndege.bwana
Dahhh😂😂😂😂 kujamba watu wakalalaa
Alikua mtaalamu wa ngoma ya wigashe
Kwa Uchambuzi tu Asante❤️🙏🏾🇰🇪
Watoto wakiume hapo zamani, sashv wakike ndio wanaochunga mali za wazazi
Mwanalundi hajaenda singida buana ila ni meatu
@@luhendesoloshija9502 Kaenda tena Iramba Maghalibi na history bibi yangu kanisimulia sana
Huyu jamaa anasimuliya ukweli
Binafsi naomba sana km inawezekana serkali kwenye hili huyu mtu angeingizwa kwenye vitabu vya histori ya nchi, binafsi ninaomba walau nifike sehemu moja ambayo kuna maajabu yake nikaombe dua! Nikaombe kurithishwa hata robo ya utaalamu wake
I appreciate your work bro
Huyu alikuwa mwanga
pole yako
Zaman kulikuwaga na vitabu vya mwanamalundi siku izi havipatikani kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂 Edgar akianza kusimulia tu huwezi kuchoka kumsikiliza
History inakubid uwe Makin kuitafakal maan mmmmmmmmh Asante
Sayansi ya kulima asubuhi na kesho ukavuna ingefanya taifa hili tusiwe na njaa kabisa. Kama tungezingatia haya , wizi , kuchukuwa mke au binti wa mtu na mengine yasingekuapo. Piga picha raha ambayo tungekuwa nayo
Ila huyu mwamba alikuwa noma
Amani iwe nanyi 🇹🇿💦🇹🇿
Nimekupenda unavyo simulia 🙏😍💓
Hapa ndo naelewa kwa nn dini zililetwa
kaka una uwezo wa ajabu saaana tena sana maana nilianza kukufaham kitambo saaana kiukweli unatufunza mengi saaaana Mungu akubariki
Na zijua hizo sehem na nilifanya tambiko Hadi alipochimba BAO
Asante sana kwa simulizi nzur
Huyu ndo Yesu sasa wa kweli
Ety mti wa kuwanyongea Wahalifu, Aliyeandika alikua Mpemba niniii😂😂😂
Umeamsha tuliokuw tumelala bro ila wewe hutolala Kama wasemavyo wajinga JAH BLESS🙏
Naomba kupata mawasiliano ya msimulizi
Hakika mswahili alifeli kwatukuza vya weupe. Ndio maana Leo wenye chanjo wameittwa ng'ombe na mahakama za Marekani
Kweri kabisa
Historia nzur na mafunzo tosha ndani yake , mengine SADIKI ukipenda hahaha huyo Ndio mtoto wa mpaganze pamoja kaka