MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 316

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 6 місяців тому +71

    Hii nchi ukijifanya una akili zako una kufa masikini😅😅😂😂😳😳🏃‍♂️🏃🏃

    • @YonaKigawa
      @YonaKigawa 6 місяців тому +1

      Hapo kweli unacho lakin unakuwa maskin tumia fan yako

    • @fridaanders183
      @fridaanders183 6 місяців тому +1

      😂😂

    • @amanmalik6917
      @amanmalik6917 6 місяців тому +5

      Ukitumia akili za shule kutafuta hela hutoboi

    • @vincentauxerbius7554
      @vincentauxerbius7554 6 місяців тому +2

      @@amanmalik6917 🤣🤣🤣😂😂 seriously

    • @sawackoswald9322
      @sawackoswald9322 6 місяців тому +4

      Haswaaa kiwa navitu vyakichizi ndio unaonekana

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 6 місяців тому +35

    Miso missondo nawakubali sana watafika mbali sana Kila mahali lazima waalikwe wanatufurahisha sana sisi watu wazima

    • @wizk_halfa
      @wizk_halfa 4 місяці тому

      Hatari sanaaaa😅😅😅😅

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 місяців тому +14

    Mwenye kigaloni mbona yupo😁😁😁😁👍👍❤❤ila nguo leo ziko safi kweli'mwaliko ni MKUBWA huu.

    • @NaomiBwilinde-r2j
      @NaomiBwilinde-r2j 6 місяців тому

      Tena Leo n beat tuu hakuna maneno 😂😂😂

  • @hassanMahmoud-i4l
    @hassanMahmoud-i4l 6 місяців тому +10

    mama samia kaamua kuwaachia wenyewe Tanganyika mupokee ndege yenu yeye yupo kwao zenji .safi sana mama

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 6 місяців тому +34

    Aisee kiukweli hii nafac hamkuitegemea leo mungu kawafkisha mbali!! Mshukuru mungu wakat wote amen

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 6 місяців тому +38

    Mungu akitaka kupa hakuandiki barua yan wamefika mbaka kwa mwueshimiwa kama masihala

  • @GloiSa-of6vo
    @GloiSa-of6vo 6 місяців тому +20

    Nijambo la aibu taifa kufanya hafla ya mapokezi ya ndege. Hii nikukiri umaskini ambao sio uhalisia wa Tanzania

    • @ABUUSHURAIM
      @ABUUSHURAIM 3 місяці тому +2

      Sawa tu Kwan Mara ngapi wew unafanya birthday unamwaga pesa afu Kiran anapga miayo mbona uko hamshangai ivo ukiona unashndwa kuhurumia wasio nacho na ukafanya ufujaji wa pesa ovyo bac ni ivo ivo ata juu kaa kimya

    • @DanielManase-m2b
      @DanielManase-m2b 19 днів тому

      We hauna hakili ulisha jua unachoo ki ova kweny hii nyimbo

  • @GeraldSkamba
    @GeraldSkamba День тому +1

    Nakukubali miso missondo p1sana 45 apa

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 6 місяців тому +8

    Dah Ktk serikali yet naombeni nimpe waziri Mkuu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mariamyusuph3262
    @mariamyusuph3262 6 місяців тому +19

    Namkubali sana waziri mkuu.mungu amlinde

  • @NorasckoLaurent
    @NorasckoLaurent 6 місяців тому +4

    Unyama ni mwingi sema wamezingua kufua nguo zao maan zikiwa chaf ndo unyam wa kutosha lakin wapew maua yao💐💐💐💐

    • @madamjoy2402
      @madamjoy2402 6 місяців тому

      Misodo wamejitaidi 🎉😂❤❤❤❤❤❤😅😮😢

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 6 місяців тому +26

    Mungu akitaka kukupa akuandikii barua😂😂😂😂😂

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 6 місяців тому +14

    Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi 100%

  • @RayaRaya-d1h
    @RayaRaya-d1h 6 місяців тому +6

    Jaaaman tnzn muraha😂san nataman nifike InshaAllah

  • @abeidmbano6077
    @abeidmbano6077 6 місяців тому +7

    Joty angekuwepo kikosini..nakazia

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 6 місяців тому +7

    Yani Uyo DJ ni maandazi kabisa Kazingua sana Yani 😲

  • @Zuu673
    @Zuu673 6 місяців тому +7

    Wakati wa mungu Big up kazi kazi

  • @SikudhaniIbadi
    @SikudhaniIbadi 6 місяців тому +6

    Miso misondo namkubali sanaaa

  • @KidauraKoplojohnA
    @KidauraKoplojohnA 20 днів тому

    Ni wakati wa mungu big ap kazikazi ❤

  • @hyerarosemary
    @hyerarosemary 6 місяців тому +6

    We miso misondo umepigajee apooooooo (kusini kwanzaaaa)

  • @brandsmedia4861
    @brandsmedia4861 6 місяців тому +6

    nawakubali ila hapa hakuna mlifanya aisee

  • @RichadMelembuk
    @RichadMelembuk 6 місяців тому +3

    missomisondo in the world❤❤❤❤ kinomaa yaniii

  • @Saidmayombya-z3g
    @Saidmayombya-z3g 6 місяців тому +9

    Sijapenda maan sijaisikia honey ya miso misondo

  • @danielmgonja9906
    @danielmgonja9906 6 місяців тому +3

    Bado tuko nyuma sanaa daah mpka Leo tunafanya sherehe mapokez ya ndege Tena Moja aise

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 6 місяців тому +2

    Mimi sierewi kira mwaka cag anasema shika randege rinaendeshwa kwa hasara sasa nawaza hospitari hakuna madawa ndege ya nini tuwaze kabula ya kutenda

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 6 місяців тому +2

    Mungu azidi kuwabariki misso missondo

  • @BundalaCharles
    @BundalaCharles 5 місяців тому +2

    nawakunari sana waje nahuku geita wapige show

  • @Deldy-ww5gx
    @Deldy-ww5gx 6 місяців тому +2

    Bien sana ❤️✌️ niko Congo 🇨🇩🇹🇿

  • @peterpetter1311
    @peterpetter1311 6 місяців тому +15

    Jamaa wanajua sana miondoko

  • @barakalema4358
    @barakalema4358 6 місяців тому +2

    Sasa shirika la ndege linajiendesha kwa hasara halaf bado mnanunua ndege what a shame

  • @Adelemaombi
    @Adelemaombi 6 місяців тому +3

    Kwani miso missodo ni team au ni msanii

  • @ANAMARYRUNYORO
    @ANAMARYRUNYORO 6 місяців тому +2

    Sema bdo hampo organized lkn mnafurahisha

  • @KINYONGAMASAUTI
    @KINYONGAMASAUTI 6 місяців тому +3

    Nakukubali sana wazili

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 6 місяців тому +7

    Uyo DJ maandazi kabisa Kazingua sana

  • @ShedrackMakumba
    @ShedrackMakumba 6 місяців тому +2

    DJ sijui anawaonea wivu madansa wake kaboa hatali wakati mwingine anatamanigi nae haingie Kati kucheza

  • @nuruhhussein167
    @nuruhhussein167 6 місяців тому +2

    Waziri 🙏

  • @shadrakagalus1185
    @shadrakagalus1185 5 місяців тому

    Keep it up miso misondo🎉

  • @kingthedon508
    @kingthedon508 6 місяців тому +4

    Dj kazingua alafu hao jamaa ni wengi sana wangekuwa at 5 wangevutia zaid

    • @saidyally8148
      @saidyally8148 6 місяців тому

      kwahiyo wengine tuwapereke wap?

    • @kingthedon508
      @kingthedon508 6 місяців тому

      @@saidyally8148 wachukue ww

  • @REHEMAMINISTRYCHURCHTV
    @REHEMAMINISTRYCHURCHTV Місяць тому

    Yaani Mimi naipenda serikali yangu ya TANZANIA sana

  • @maigekigendi6414
    @maigekigendi6414 6 місяців тому +11

    Sasa hapo Kun miziki gani ama kweli maisha ni Bahati

    • @gracemassawe3670
      @gracemassawe3670 6 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ridermc7734
    @ridermc7734 4 місяці тому

    Mungu akipanga kuwa inakuwa

  • @AntoniDaffi
    @AntoniDaffi Місяць тому

    Nakubali miso misondo

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 місяців тому +20

    Wazee wa makoti'kusin hoyooo❤❤❤❤

  • @erickmsemwa4268
    @erickmsemwa4268 6 місяців тому +3

    Hatari saana ngoja wapige hela.

  • @KingMoses-i2v
    @KingMoses-i2v 6 місяців тому +3

    Tanzania Kuna Uhuru kweri🙏🙏

  • @sebastianphineas1593
    @sebastianphineas1593 6 місяців тому +3

    Leo dj kaboronga kabana mziki mbwembwe zimeharibu hawajakinukisha vilivyo

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 6 місяців тому +5

    nasikia matikiti matikiti ama nimesikia vobaya alafu bangi sio mchicha haki 😂😂😂😂😂😂

  • @EmadoDone
    @EmadoDone 6 місяців тому +2

    Amen

  • @nestorynestoryjohn4738
    @nestorynestoryjohn4738 4 місяці тому

    Mungu nakuomba ujibu maombi yang kwazia sasa

  • @salimkatumbaku3384
    @salimkatumbaku3384 6 місяців тому +2

    Dj anapika tu kwa faida yake, awa jamaa wasipo cheza kwa mpangilio watapotea mapema sana

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher7571 6 місяців тому +40

    Sijapenda Leo wamefua nguo bana hahaha

  • @sheyjimmy6055
    @sheyjimmy6055 6 місяців тому +5

    Kumekosekana vumbi tu😅

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 6 місяців тому +2

    ukibaitika kuwa kiongozi wakat huu wa bb tt uta enjoy sna

  • @Kaida_Cut254
    @Kaida_Cut254 6 місяців тому +7

    Utamu ni nguo zao chafu na hio ndio nguvu ya Africa

  • @KarangiMafuruMjinja
    @KarangiMafuruMjinja 6 місяців тому +3

    oya weeee nakubali xana misomisond

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 6 місяців тому +7

    Wewe zunguka naPHD zako kwenyemaofi yalioandaliwa nafamilia ya kwaniaba ya watoto wavigogo uku wadu wanapiga pisasa bila kutumia akili ya PhD bidii yako tu❤

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 6 місяців тому +1

    Dj,,muhuni....hafla kama hiii speed yoote ya mziki unakimbilia nn,,sio wote wazaramo bhana

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 6 місяців тому +3

    Wauni wamekchafua had serikaln😂😂

  • @IddimkindiYahaya
    @IddimkindiYahaya 15 днів тому

    Nakubar

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 6 місяців тому +3

    mmetisha sana wanangu

  • @AmiriHamisi-lj4zg
    @AmiriHamisi-lj4zg 6 місяців тому +1

    ❤❤❤❤love

  • @Victoria-bv6xu
    @Victoria-bv6xu 4 місяці тому

    God bless you

  • @KharudickigMkolosai
    @KharudickigMkolosai 6 місяців тому +1

    Mh hiyo ndo miujiza ya Mungu umepigaje apo

  • @AllySeleman-co6km
    @AllySeleman-co6km 6 місяців тому +2

    Jama Wana weza sana

  • @KarimujumaMkasa
    @KarimujumaMkasa 6 місяців тому +2

    We misi misondo nakup dadaa

  • @salhaiddy403
    @salhaiddy403 6 місяців тому +1

    Nawapenda Sanaa hawaa watu nachekaga tuu 😂😂

  • @NdakiNdaki
    @NdakiNdaki 5 місяців тому +1

    Wametisha sana

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 6 місяців тому +1

    Mosondo inavutia ukipiga saiz ya kati,,we dj wa wapi??

  • @KhadijaKindamba-yj9bn
    @KhadijaKindamba-yj9bn 4 місяці тому

    Sana unaweza 🎉❤

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214 6 місяців тому

    apa wamezingua. beat haijaleta vibe kabisa. kuna kionjo tumekikosa kabisa

  • @RamadhaniHemedi-l1v
    @RamadhaniHemedi-l1v 6 місяців тому +1

    Nawakubalisana❤

  • @lusakokyando8693
    @lusakokyando8693 6 місяців тому

    Namshukuru mama kwa kutuletea makoti

  • @RichardLikingo
    @RichardLikingo Місяць тому

    Good

  • @ApronalCharles
    @ApronalCharles 6 місяців тому +2

    Mwenyew nikinunua baiskeri nawaharika

  • @TausiOsein
    @TausiOsein 5 місяців тому

    Nawapenda jamani 🥰

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 2 місяці тому

    Mm nawapenda wakiwa wamevaa nguo chafu,,Leo mmefua ,,illa pokeen maua yenu🎉🎉🎉

  • @janemcharo5371
    @janemcharo5371 6 місяців тому +1

    Hv miso misondo mnanini lakini😂😅😅Niachen😊

  • @JafaryChamungwana
    @JafaryChamungwana 4 місяці тому

    ukivaa hivo mtaana unaonekana masikini.

  • @MremaMkunji
    @MremaMkunji 6 місяців тому +1

    Dj kazingua Sana hapo

  • @B_GORD_RIGHTTZ
    @B_GORD_RIGHTTZ 2 місяці тому

    ❤❤

  • @upendomwampulule1724
    @upendomwampulule1724 6 місяців тому

    Big up msondo wako vinzuri

  • @Nyabondotvmedia.6297
    @Nyabondotvmedia.6297 5 місяців тому

    mi nimesikia tuuu misondo ee luhya in the house sema tu hi

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 6 місяців тому +1

    Amakweli rizki ina nguvu
    Misomisondo amepata sifa kwa kuvaa Makoti na kuruka ruka tu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 6 місяців тому +9

    Kumbe ata mimi nikinunua gari mpya itabidi namualika angalau mkuu wa wilaya kuzindua

    • @AmaniManase-x1i
      @AmaniManase-x1i 6 місяців тому

      😅😅😅😅 sasa ww sisimizi na tembo wapi na wapi,tofautisha vitu vya umma na vitu vya mtu binafsi jombaa

  • @ModestRaurence
    @ModestRaurence 6 місяців тому +1

    😮noma balaas

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 6 місяців тому +1

    Miso misondo izo nguo zao vip😂😂

  • @EmanuelMsangi-ro9we
    @EmanuelMsangi-ro9we 6 місяців тому

    Kazi kazi babu

  • @FLORAHANSIBERTY
    @FLORAHANSIBERTY 6 місяців тому

    Nunueni makoti safi,muwe smart,mtapendeza zaidi,hasa kipindi cha kampeni,mikoti hiyo mnaonekana wachafu, mbele ya wagen

  • @JumaRajabu-t9e
    @JumaRajabu-t9e 6 місяців тому

    👍

  • @YaqoobElyasa
    @YaqoobElyasa 6 місяців тому +1

    Mh watu na mamb yao now kila moj ana angalia upande wake

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 6 місяців тому +1

    Wazee wa makoti wapo kwenye moto, nchi yao sasa hivi, wamekaikamata vema😅

  • @p.l.sfinancialserivesltd-fe3jt
    @p.l.sfinancialserivesltd-fe3jt 4 місяці тому

    Mung azidi kuwapa sku nying miso msondo nawakubali San nilifurah sana pale niliposkia Ngoma ya kupigwa na kitu kzito hatar san

  • @abuumnokotha
    @abuumnokotha 5 місяців тому

    wapewe mauwa yao🎉👏

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 5 місяців тому

    hapo kwenye kama kilema, hapana. siyo vyema kuigiza kasoro za wenzetu maana hayo ni maumbile walopewa na Allah

  • @EduBou
    @EduBou 6 місяців тому +2

    Miso miso do nitakuja dadaam🎉

  • @YohanaWanda-v7d
    @YohanaWanda-v7d 6 місяців тому +3

    Hamna kazi ya kufanya mmekuwa mavichaaa kabisa

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 6 місяців тому +1

    Wanaaibisha Tanzania

  • @neemaneema-xw1ol
    @neemaneema-xw1ol 6 місяців тому +1

    mashall❤❤❤❤❤

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 6 місяців тому

    Inyanyapaa dhidi ya walemavu mbele ya viongozi wa serikali, na wanachekelea tu.

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 6 місяців тому +1

    Ndio nawaona leo , ngoja nikae kimya