MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hii nchi ukijifanya una akili zako una kufa masikini😅😅😂😂😳😳🏃♂️🏃🏃
Hapo kweli unacho lakin unakuwa maskin tumia fan yako
😂😂
Ukitumia akili za shule kutafuta hela hutoboi
@@amanmalik6917 🤣🤣🤣😂😂 seriously
Haswaaa kiwa navitu vyakichizi ndio unaonekana
Miso missondo nawakubali sana watafika mbali sana Kila mahali lazima waalikwe wanatufurahisha sana sisi watu wazima
Hatari sanaaaa😅😅😅😅
Mwenye kigaloni mbona yupo😁😁😁😁👍👍❤❤ila nguo leo ziko safi kweli'mwaliko ni MKUBWA huu.
Tena Leo n beat tuu hakuna maneno 😂😂😂
mama samia kaamua kuwaachia wenyewe Tanganyika mupokee ndege yenu yeye yupo kwao zenji .safi sana mama
Kwan tanganyika sio kwake?
Aisee kiukweli hii nafac hamkuitegemea leo mungu kawafkisha mbali!! Mshukuru mungu wakat wote amen
Upo vizuri nakukbal
Mungu akitaka kupa hakuandiki barua yan wamefika mbaka kwa mwueshimiwa kama masihala
😅😅😅😅maisha ni plan ya allah
Haswaa
@@RajabuHayyanyeah
Nijambo la aibu taifa kufanya hafla ya mapokezi ya ndege. Hii nikukiri umaskini ambao sio uhalisia wa Tanzania
Sawa tu Kwan Mara ngapi wew unafanya birthday unamwaga pesa afu Kiran anapga miayo mbona uko hamshangai ivo ukiona unashndwa kuhurumia wasio nacho na ukafanya ufujaji wa pesa ovyo bac ni ivo ivo ata juu kaa kimya
We hauna hakili ulisha jua unachoo ki ova kweny hii nyimbo
Nakukubali miso missondo p1sana 45 apa
Dah Ktk serikali yet naombeni nimpe waziri Mkuu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
Agombee tu urais jaman
Namkubali sana waziri mkuu.mungu amlinde
Unyama ni mwingi sema wamezingua kufua nguo zao maan zikiwa chaf ndo unyam wa kutosha lakin wapew maua yao💐💐💐💐
Misodo wamejitaidi 🎉😂❤❤❤❤❤❤😅😮😢
Mungu akitaka kukupa akuandikii barua😂😂😂😂😂
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi 100%
Jaaaman tnzn muraha😂san nataman nifike InshaAllah
Karibu sana.
Joty angekuwepo kikosini..nakazia
Yani Uyo DJ ni maandazi kabisa Kazingua sana Yani 😲
Wakati wa mungu Big up kazi kazi
Miso misondo namkubali sanaaa
Ni wakati wa mungu big ap kazikazi ❤
We miso misondo umepigajee apooooooo (kusini kwanzaaaa)
nawakubali ila hapa hakuna mlifanya aisee
missomisondo in the world❤❤❤❤ kinomaa yaniii
Sijapenda maan sijaisikia honey ya miso misondo
Jaivah
Jaivah
Bado tuko nyuma sanaa daah mpka Leo tunafanya sherehe mapokez ya ndege Tena Moja aise
Mimi sierewi kira mwaka cag anasema shika randege rinaendeshwa kwa hasara sasa nawaza hospitari hakuna madawa ndege ya nini tuwaze kabula ya kutenda
Mungu azidi kuwabariki misso missondo
nawakunari sana waje nahuku geita wapige show
Bien sana ❤️✌️ niko Congo 🇨🇩🇹🇿
Jamaa wanajua sana miondoko
Sasa shirika la ndege linajiendesha kwa hasara halaf bado mnanunua ndege what a shame
Kwani miso missodo ni team au ni msanii
Misomisond ni dj wa mzik
Sema bdo hampo organized lkn mnafurahisha
Nakukubali sana wazili
Uyo DJ maandazi kabisa Kazingua sana
Leo kafeli sana
Kapaniki
DJ sijui anawaonea wivu madansa wake kaboa hatali wakati mwingine anatamanigi nae haingie Kati kucheza
Waziri 🙏
Keep it up miso misondo🎉
Dj kazingua alafu hao jamaa ni wengi sana wangekuwa at 5 wangevutia zaid
kwahiyo wengine tuwapereke wap?
@@saidyally8148 wachukue ww
Yaani Mimi naipenda serikali yangu ya TANZANIA sana
Sasa hapo Kun miziki gani ama kweli maisha ni Bahati
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu akipanga kuwa inakuwa
Nakubali miso misondo
Wazee wa makoti'kusin hoyooo❤❤❤❤
❤mkhhggggjj
Mambo vp
Hatari saana ngoja wapige hela.
Tanzania Kuna Uhuru kweri🙏🙏
Leo dj kaboronga kabana mziki mbwembwe zimeharibu hawajakinukisha vilivyo
nasikia matikiti matikiti ama nimesikia vobaya alafu bangi sio mchicha haki 😂😂😂😂😂😂
Amen
Mungu nakuomba ujibu maombi yang kwazia sasa
Dj anapika tu kwa faida yake, awa jamaa wasipo cheza kwa mpangilio watapotea mapema sana
Sijapenda Leo wamefua nguo bana hahaha
😂😂😂😂👍👍👍
😂😂😂sasa hapo ni kwa Mheshimiwa
@@happynesbaemuhappynes8813 hahaha ndo wafue nguo jaman dah hahaha Leo saf kwl
😂😂😂😂😂
😂😂
Kumekosekana vumbi tu😅
ukibaitika kuwa kiongozi wakat huu wa bb tt uta enjoy sna
Utamu ni nguo zao chafu na hio ndio nguvu ya Africa
😂
oya weeee nakubali xana misomisond
Wewe zunguka naPHD zako kwenyemaofi yalioandaliwa nafamilia ya kwaniaba ya watoto wavigogo uku wadu wanapiga pisasa bila kutumia akili ya PhD bidii yako tu❤
Dj,,muhuni....hafla kama hiii speed yoote ya mziki unakimbilia nn,,sio wote wazaramo bhana
Wauni wamekchafua had serikaln😂😂
Nakubar
mmetisha sana wanangu
❤❤❤❤love
God bless you
Mh hiyo ndo miujiza ya Mungu umepigaje apo
Jama Wana weza sana
We misi misondo nakup dadaa
Nawapenda Sanaa hawaa watu nachekaga tuu 😂😂
Wametisha sana
Mosondo inavutia ukipiga saiz ya kati,,we dj wa wapi??
Sana unaweza 🎉❤
apa wamezingua. beat haijaleta vibe kabisa. kuna kionjo tumekikosa kabisa
Nawakubalisana❤
Namshukuru mama kwa kutuletea makoti
Good
Mwenyew nikinunua baiskeri nawaharika
Nawapenda jamani 🥰
Mm nawapenda wakiwa wamevaa nguo chafu,,Leo mmefua ,,illa pokeen maua yenu🎉🎉🎉
Bonjour
Hv miso misondo mnanini lakini😂😅😅Niachen😊
ukivaa hivo mtaana unaonekana masikini.
Dj kazingua Sana hapo
❤❤
Big up msondo wako vinzuri
mi nimesikia tuuu misondo ee luhya in the house sema tu hi
Amakweli rizki ina nguvu
Misomisondo amepata sifa kwa kuvaa Makoti na kuruka ruka tu
Kumbe ata mimi nikinunua gari mpya itabidi namualika angalau mkuu wa wilaya kuzindua
😅😅😅😅 sasa ww sisimizi na tembo wapi na wapi,tofautisha vitu vya umma na vitu vya mtu binafsi jombaa
😮noma balaas
Miso misondo izo nguo zao vip😂😂
Kazi kazi babu
Nunueni makoti safi,muwe smart,mtapendeza zaidi,hasa kipindi cha kampeni,mikoti hiyo mnaonekana wachafu, mbele ya wagen
Kazi ya Sanaa hiyo😂
👍
Mh watu na mamb yao now kila moj ana angalia upande wake
Wazee wa makoti wapo kwenye moto, nchi yao sasa hivi, wamekaikamata vema😅
Mung azidi kuwapa sku nying miso msondo nawakubali San nilifurah sana pale niliposkia Ngoma ya kupigwa na kitu kzito hatar san
wapewe mauwa yao🎉👏
hapo kwenye kama kilema, hapana. siyo vyema kuigiza kasoro za wenzetu maana hayo ni maumbile walopewa na Allah
Miso miso do nitakuja dadaam🎉
Hamna kazi ya kufanya mmekuwa mavichaaa kabisa
Vichaa vyao vinawalipa pesa
😂😂😂😂😂😂😂
Wanaaibisha Tanzania
mashall❤❤❤❤❤
unatari❤❤
Mambo vp
Inyanyapaa dhidi ya walemavu mbele ya viongozi wa serikali, na wanachekelea tu.
Ndio nawaona leo , ngoja nikae kimya