Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo
Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........
Hongera mh. Bashe....
Safi saana Mh. Bashe
Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu
TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia.
Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda
Hongera sana Mh. Bashe
Well done mheshimiwa BASHE!!
Namkubali sana waziri bashe🙏🙏
Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa
Bashe umetisha
Kwa Bashe kweli tumepata jembe
Hongera sana
Bashe ur the best minister
Bashe Yuko vzr sana
*☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*
Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe
Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo
Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako
Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu
Naomba namba yako mh. Mkulima.
Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.
Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.
Kilimo ndio mpango
muheshimiwa, bashe, naomba, unisaidie, niludishiwe,. mashine, yangu, ya, kuvutia, maji, niliyonyanganywa, na, mkuu, wa, wilaya,. nilijalibu, kufuatilia, sikuweza,. Kufaniliwa,. naomba, unisaidie
Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.
Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi
Enzi za Jpm hizo hakuna kulala
alie sikia kambun gonga like yako hapa,
Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze
Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi
@@msalikemediaonline nitapataje mawasiliano
Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA
Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi
Kweli kabisa
Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali
Unaitwa utupaaa huoo
duu
Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni