Pole sana ankojay kwa mafua mungu akuponye haraka ila naomba usitupumzishe sana tutaboeka wengne hatuna sehem tunazotoa faraja isipokua humu kwenye simuliz😊😊😊
Anko pumzika mpaka upone afya ni muhimu sana tunakujali afya yako pole sana kipenzi wetu tunakuombea sana mungu akupe afueni kuwa na imani utapoa kwa uwezo wa mungu tunapenda sana na kukujali
Pole sana Anko jay pumzika than uende hospital hunywa dawa ukicome for simulizi your feesh with a new vioce tunakuombea quick recovery 🙏much❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪but in Dubai ❤❤❤❤❤
Pole sana anko j kwa homa hiyo itaisha tu tengeneza tangawizi,ndimu,kitunguu swaumu kienyeji pmj na asali hiyo ni dawa nzuri sana nakutakia kila la kheri
Asante sana ankojay kwa simliz na pole sana kwa mafua mwenyezi mungu akupe afueni ya haraka kwa maoni yangu naona upumzike kiasi angalao upone ndio tuendelee afya mhimu anko one ❤❤❤❤❤
Kwa kweli maisha ya mtu mungu pekee ndiyo mweye kujui kwa nini Lazima kama mtu hataki tana si mtu wako. Jamani shatani ni adui wa mtu siku sote pole kaka. Mungu hawaji mtu wake nashukuru sana kupokea yesu kuwa mwokozi wa mishe yako asente Sana ANKO JAY mungu hakubariki sana
Tunakurumia kweli Anko J lakn nnani ataiga sauty yako mpaka akave iyo nafac ili upumzike,,,pole sana Mungu akupe afuen uendelee na kaz yako,,Mungu atakuondolea fluu In Sha Allah
Pole sana Anko jay kwa kuumwa Allah atakuponyesha kwa haraka Inshallah. Afya ni Bora pumzika Hali utakapoweza kuwa sawa ingawaje sauti Yako imekuwa hamasa zaid kwani sauti Yako hiyo ni dhahabu .Mungu akubarikie zaid
Mmmh pole sana Ankojay kwakuumwa tunakuombea Dua uweze kuka vizuri kwaharaka inshaAllah nikweli na mwili unahitaji. kupumzishwa ila tutabaki. Wapweke sana😢😢ikipita siku Moja 2 haujatupa. Simulizi tunaumwa jee kwahizo wiki 2 situtafariki. Kbs🙆🫣🙈
Pole saana.pokea uponyanji katika Jina la Yesu. Twendelee
Afya ni muhimu jiangalie hali yako. M.mungu atakuaafu Inshallah 🤲🏻
Kwa kweli tunapenda sana simuliz zako ila afya muhimu kwa upande wangu nakwambia upumzike ili upate nafuuu ya haraka japo nita boeka
Pole kabis naa Endelea hivo
Anko jay Leo ndan ya simuliz tam na nzuri ah hii kitu ni 🔥🔥🔥🔥🔥 tuendelee tu
Anko jay hiyo sauti iko tuu, Sawa jikaze na KAZI mungu atakulinda mashabiki wako tutaboeka sanaaa jikaze tumekuzoa sanaaa❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪
pole Sana Ankojay kazi nzuri mungu akupe afueni yaaraka
Pole Kwa kuumwa nakuombea afueni ta haraka....uzidi kutuburidisha
Pole sana ankojay kwa mafua mungu akuponye haraka ila naomba usitupumzishe sana tutaboeka wengne hatuna sehem tunazotoa faraja isipokua humu kwenye simuliz😊😊😊
Karibu niwe nakupa faraja 😊
Amin simulizi inanikumbusha mbalisana maishayangu matupu asante
Masha Allah what a nice story, lucky him to have two beautiful wife's , thanks 👍❤
Sawa Asante pole na pumzika upone kuumwa ni ibada pia tutavumilia tu
Anko pumzika mpaka upone afya ni muhimu sana tunakujali afya yako pole sana kipenzi wetu tunakuombea sana mungu akupe afueni kuwa na imani utapoa kwa uwezo wa mungu tunapenda sana na kukujali
Pumzika kidogo kama hujisikii vizuri.
pole sana Anko akee, utapona...
Tumeridhia ivo ivo anko jay mm Niko single swz kukaa bila kuskilz simulz😂😊😊
daaaah pole sana anko mungu akufanyie wepesi kwa mimi naona tuendelee bana sawa sauti iko sawa na wala haina shida
Pole sana...kama waeza endelea mpenzi wetu naomba uendelee.
Ankojay tumekuzoea sana Allah Akupe shufaa ya haraka my love inshaAllah
Pole sana kaka Allah akupe shifaa ya haraka sauti mbona IPO sawa tu kaka ❤❤❤
Pole sana Anko jay pumzika than uende hospital hunywa dawa ukicome for simulizi your feesh with a new vioce tunakuombea quick recovery 🙏much❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪but in Dubai ❤❤❤❤❤
Pole sana,,,ankoj utabona kwa jina la yesu, meza dawa
Pole kwa mafua ila ukisimam utatuacha na upweke mbn lkn bd saut yako nzur anko j
Hello wadada wenye sura za kawaida nyinyi sio wabaya mpo😂😂😂😂😂😂😂
Pole habibi anko Jay Allah atkupa afuwan tunakupenda sana ww ndo faraja yetu
Pole sana anko kwa mimi simulizi ndiyo faraja yangu kwa siku kwakweli tapoleka
Pole sana anko j kwa homa hiyo itaisha tu tengeneza tangawizi,ndimu,kitunguu swaumu kienyeji pmj na asali hiyo ni dawa nzuri sana nakutakia kila la kheri
If you're feeling too had then you have to rest i wish you quick recovery we love you
Asante sana ankojay kwa simliz na pole sana kwa mafua mwenyezi mungu akupe afueni ya haraka kwa maoni yangu naona upumzike kiasi angalao upone ndio tuendelee afya mhimu anko one ❤❤❤❤❤
Pole sana na shukran kwa kutujali ila pumzika maana mwili hauna spare ujue tunakutakia shiffaa ya haraka in shaa ALLAH
Pole sana ankojy mungu akusaidiye utakuwa sawa napenda sawuti yako hata iwe ya mafua
Kwa kweli maisha ya mtu mungu pekee ndiyo mweye kujui kwa nini Lazima kama mtu hataki tana si mtu wako. Jamani shatani ni adui wa mtu siku sote pole kaka. Mungu hawaji mtu wake nashukuru sana kupokea yesu kuwa mwokozi wa mishe yako asente Sana ANKO JAY mungu hakubariki sana
Asante kwa simulizi nzuri ankojey
tuendeleee Wangu Akocheiii👌👌👍👍
Pole anko, pumzika upone, from kenya
Leta mazuri my dear sauti mbn Iko sawa jmn
Pole Ango j kapumuzike kidogo tutakumiss 🎉🎉
Said imetisha Sana hila mwnafunz amezidi jamani hongereni Sana wote tunawapenda mnooooooo jamani amezidi shaka
Waaah wapenda hizi vitu mikono juu❤❤❤❤😂😂😂😂
Pole sana broo afya muhimu sana pumzika Ila kuusu sauti imezidi kunoga bala❤
Pole sana kwa mafua Ankojay, from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pumzika kiasi but tutaboeka sana coz tushazoea simulizi kila siku 🤔🤔😪😪 quick recovery my brother
Jamani anko J umejua kunichekesha kwenye hii story
Asante sana anko jay😱😱😱😱
😊
Pole sana , pumzuka kwanza japo kwetu ni shida
Ankojay unapenda sana.kujisifiya sasasasa kilasimulizi zako unapenda kusema.kuwa.wiwi..ni. mzulisani mimi napenda sasa sauti ya.ko🥰🥰🥰🥰🥰🥰na..penda. ukisimuliya🥰
Nimewahii love, shufaa yaharaka ankoo j
Mungu.akusaidie.sauti.yako.ifunguke.ila.tupe.tuu.maana.ukipumzika.tuta.boeka
Sana❤️❤️
Anko jay jikaze Tu, tumekuzoa kusikia simulizi zako mashabiki tunakuombea mungu akupe nguvu🙏🙏🙏🇰🇪
Pole San ako hey pumuzik kwanz
Pole zangu Desmond kwa yote yaliyokupata. Shukran mwandishi pamoja na msimulizi. Anko J you have never disappointed us na pole kwa homa.❤❤❤ from Kenya
Anko Jay nnakukubal sana
Pole San anko mungu akufanyie wepes upone haraka
Pole Anko pumzika n mungu akupe afuen y haraka inshallah 🙏
Pole Sana Alla aachilie uponyaji waharaka
Pole sana anko ndo maana nimejaribu kukutafuta UA-cam sioni simulizi mpya ooh qr❤❤❤❤❤
Anko JY tafathari munitumie Raiti Ningejuwa 3nakwenderea ntashukru sana wakwetu njombe Felix na mumis💚💚💚💚💚💚💚
Pole sana ank ukipumzika itakuwa pow mungu akuponye
Poleee sana afya ni muhimu zaidi Ank j
Wow fantastic 👏
dah hii xtory xi mchezow kiukwel ime2funz xan
pole Sana anko jay kwa kuumwa punzika Kwanza tunajali afya yako
Pole pumzika kiasi👌🏻🇰🇪
Aky pole wa mafua Qr kln tumekuzoea tutakuwa na pweke heri ujikaze tuu❤❤❤❤❤
Pale sanaa ankojay kwa mafua nakuombea kwa mungu upone haraka uendele na kazi mapumziko mema ciao ciao ❤❤❤❤😂😂
anko jay pole na homa allah akufanyie wepensi upone haraka anko pumzika tu tutasubiri tu tunakupenda san anko jay wetu 😘😘
Daah I will miss your voice anko j please recover as early and come back tunakusubiria tuko pamoja nawewe kwenye kila kipindi 💝💝 tunakupenda mno
Pole sana ako jay mungu akupe uponyaji waharaka pumzika twakuelew❤❤
Tunakurumia kweli Anko J lakn nnani ataiga sauty yako mpaka akave iyo nafac ili upumzike,,,pole sana Mungu akupe afuen uendelee na kaz yako,,Mungu atakuondolea fluu In Sha Allah
Mungu akufanyie wepesi
Pole sana ankol jay mungu atakupona
Pole anko jay kwa kuumwa Ila tunaomba uendelee hivyohvyo na saut yako ya mafua ❤❤ tunakupenda sanaaaaaaa hata mim ninamafua kama wew😂😂😂 mwayaa 😘😘😘
Pumzika hata mwezi mzima Afya kwanza sie tu nakuombea dua ❤
Pole sana Anko jy pinxika kwanza usi foc nimwili huyo tuta kusubiri usijali tuko pamoja nawe asante uhuguwe pole
Pole sana Anko jay kwa kuumwa Allah atakuponyesha kwa haraka Inshallah. Afya ni Bora pumzika Hali utakapoweza kuwa sawa ingawaje sauti Yako imekuwa hamasa zaid kwani sauti Yako hiyo ni dhahabu .Mungu akubarikie zaid
Your health comes first it's very important to take a short break if you are not well, wishing you quick recovery ❤❤❤
Kaaah!!mwanafunzi tena,kapanua miguu😂😂😂
quick recovery Anko jay ukiona umezidiwa unaeza pumzika kidogo but tutaboeka sana, Mungu skip one kipenzi chetu from Kenya 🇰🇪❤
Weeee anko unapumzikaje bwana lete story bwana
@@imeldalikulu muwe na imani basi tumuache tu mkaka wa watu apumzike jamani
Asa nte Anko j na mtunzi simulizi nzuri lna mafunzo pia
Tuendelee Anko J, pole sana
Aiseee pole xn ankoj qwa mafua mungu akuponye
Pole sana ankojay....pumzika kidogo kwani afya ni muhimu
Ank pole sana Allah akuponye kwahalaka kipenzi chetu
Pole ank j mungu akujalie upone haraka
Imetimia miaka 18 tangu niisikilize hii simulizi pendwa
Pole ankojay weenderea sauti yako nimsuri
Mmmh pole sana Ankojay kwakuumwa tunakuombea Dua uweze kuka vizuri kwaharaka inshaAllah nikweli na mwili unahitaji. kupumzishwa ila tutabaki. Wapweke sana😢😢ikipita siku Moja 2 haujatupa. Simulizi tunaumwa jee kwahizo wiki 2 situtafariki. Kbs🙆🫣🙈
Pole sana ankojay bora pumzika leo❤
Pole sana Ankojay Allah akupe shifaa y haraka, uzidi kutupa vitu vitamu
Duuu pole Ankojay Allah atakupa shifaa ya haraka lkn ukipumzika tutamisss sauti yako usijali Allah atakupa nguvu twakupenda saana Ankojay
Mhm Anko J yaani haachi kujisifia ananichekesha akijitolea mfano nakuwa hoi😂😂😂 shukran kwa simulizi nzuri sana 😂😂❤❤❤
With 7mins ago waaaaah number 24 😢 enyewe ankol jay ebu pumizika kwanza lakini tutaboeka
Jamani ayi kumbe mpenzi unaumwa pole Allwah akupe afya nasihha ❤❤❤
Pole anko ,get well soon bcz tutakaaa bila simulizi kweli siku itakuwa ndefu vumilia plz
Pole kwamagonjwa piya ungepumzika tu... Ili upate nafuu
Pore shuja wetu tunarizika kama haupo tutaboreka🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Pole sana ww lete simuliz usipunzike anko jy
Pole sana Anko mungu akuponye
Anko jay safi sana asante always ❤❤❤❤❤
Hi bezngu? Ankojay Poe nakuumwa lakini Asante Ankojay kwa simulizi 🙌
Mungu atakuponya tena tutakuombea🙏
H
Pole sana anko mungu akuponye
Mmmh😂😂😂ok sawa ,pole Anko j mungu akuponye dia, kunywa ginger 🫚 kwa wingi 😊😊😊
Hiiii simuliz tamu sana aise
Poleee sanaaa.mpumzik
Anko J pumzika kwanzaa mpaka upone😊😊 mafua
Waaah😢😢,,ansante sasa swali n mumewe madam alipopatana n n habari ya kifo cha mkewe alidoo