NIOMBE SAMAHANI KWA WOTE AMBAO MJAPENDEZWA NA ILE SEHEMU TUNAYOMZUNGUMZIA YULE NDUGU YAKE BIBI TAYARI JAMBO LENU NALIFANYIA KAZI KILE KIPANDE KINATOLEWA MUDA SI MREFU ASANTENI SANA MUNGU AWABARIKI
Sio jambo jema kumzungumzia mtu jp cm hana hila kuna wapo wanotazama watamwambia ikaleta huasama futa haraka ikiwezekana maisha haya yapo ndgu wa turbo moja awapendani hila sio vzl kuliweka mtandaoni
Amina soma comment huko kuna mtu ananitafuta eti ananichamba kwa nini nimemwita fabi mara 3 kwani mimi ndio ninaetowa msaada mwambie msaada natowa kama anataka nimtangazie kwa spika nakuja kutangaza
Hapo waambiwe kuchota mwisho ndoo tatu au tano basi yy mwenyewe atajua jinsi ya kutumia maji yake nyumbani kwake ila ukisema muweke masharti ya hivo hamutaweza kumzuia kufanya kitu akiwa nyumbani kwake
Fabi Fabi Fabi nakwita mara 3 hayo mambo si yakuongea kwenye media hata kama hana simu watu watampelekea ugomvi utazidi ya hapo muwe munaongea private 😢😢
Fabi please tunakupenda sana ayo mambo mengine sio ya kuongea kwenye Media naomba uifute haraka sana watu sio wa mchezo utaleta uhasama.kwenye familia Allahu Akbar
Fabi futa hii video usije kuzidisha uhasama jaman hiyi itafanya fitna video hii tokapo sio mtu mzuri ndo atazidi jaman fabi mengine sio yakuongelea mtandaoni
NIOMBE SAMAHANI KWA WOTE AMBAO MJAPENDEZWA NA ILE SEHEMU TUNAYOMZUNGUMZIA YULE NDUGU YAKE BIBI TAYARI JAMBO LENU NALIFANYIA KAZI KILE KIPANDE KINATOLEWA MUDA SI MREFU ASANTENI SANA MUNGU AWABARIKI
Ameen Yallaaby Ameen
Tena juba juba kweli mashallah shoga yake kaka fabi😂😂😂alichoii😅😅
sawa kaka usijali
Hatari sana
Bibi Allar ata kulinda ata kama sio vizuri ahache iyo roho chafu ukiona mtu anajulikana ubaya basi ndio mwisho Mungu apendi ahache iyo tabia
Apo bomba lifungwe liwekesiku marumu Kwa wiki mala mbili apo nafuu
Yani nyinyi mnawasema watu kwenye mtandao kharamu yani😢 mwenyewe akiyapata ni uhasama
Sio jambo jema kumzungumzia mtu jp cm hana hila kuna wapo wanotazama watamwambia ikaleta huasama futa haraka ikiwezekana maisha haya yapo ndgu wa turbo moja awapendani hila sio vzl kuliweka mtandaoni
Watozwe hela
Binadam atar kaaa 😢
😂😂😂😂😂Jamn hap kwenye kitanda bib umenifurahish
Amina soma comment huko kuna mtu ananitafuta eti ananichamba kwa nini nimemwita fabi mara 3 kwani mimi ndio ninaetowa msaada mwambie msaada natowa kama anataka nimtangazie kwa spika nakuja kutangaza
Kaka fabi na sema wema daima una ku wa uwovu wewe wapangiye kila mtu ape we doo 4 kwa siku
Hapo waambiwe kuchota mwisho ndoo tatu au tano basi yy mwenyewe atajua jinsi ya kutumia maji yake nyumbani kwake ila ukisema muweke masharti ya hivo hamutaweza kumzuia kufanya kitu akiwa nyumbani kwake
Apo watalana😂tu juya maji
Kumbe Dada yako gwiji duuuuuh, hatari sana binadamu mmmmh
Fabi mzima jamani hayo mambo sio ya kuongelea kwenye media
Sawa
Fabi Fabi Fabi nakwita mara 3 hayo mambo si yakuongea kwenye media hata kama hana simu watu watampelekea ugomvi utazidi ya hapo muwe munaongea private 😢😢
Sawa
Kwani mpka umuite mara tatu kaaaa utazani wew ndo unatoaga msaada wakati wew ni mtizamaji tu
@@kamarhelo
Kwani wewe kinakuuma nini
Na nikitoa msaada unataka nikutangazie ili ujue au una stress
Faby atawasikia
Fabi tuletee neema tumemmisi na pamoja na watoto wake 3 tumuone watoto wake wanaendeleaje tumsaidie
Fabi futa hiki utashitakiwa tunakupenda
Fabi please tunakupenda sana ayo mambo mengine sio ya kuongea kwenye Media naomba uifute haraka sana watu sio wa mchezo utaleta uhasama.kwenye familia Allahu Akbar
Natoa ndugu yangu
Shoga angu Amina uwepo nipo juzi unadiskasi ndevu leo upo huku niache mie 😀😀😀❤🇬🇧
Me nipo 😅shoga angu zahir amesikia umeona mrejesho ombi langu kalisikia anapelekwa.saloon kashushuka mjuaji 😂😂
Tusubir mrejesho shalo atakavyo pendeza😂😂😂
Fabii huko panapo uzwa milion nne hebu tupaon
Nimesharusha tayali
Faby cha msingi ni kuuza maji hpo bac hicho kipande kisha futwa nn ? 😂😂maana cjakickia😂
Aaah fabi usiseme mambo hayo ni private akisikia mwenyewe atamkomoa
Waache wasutwe yeye na bibi yake
@@SantaJumaa😂😂😂 wache wasutwe kwa kigoma cha ulugwai
Fabi futa hii video usije kuzidisha uhasama jaman hiyi itafanya fitna video hii tokapo sio mtu mzuri ndo atazidi jaman fabi mengine sio yakuongelea mtandaoni
Fabi fabi fabi nakwita mara3 hayo mambo sio poa kabisa