Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na Uokoke na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
niyupi atafunza watu kweli? ya mungu, visazi wapotea kwa sababu elimu ya mungu imeto makanisani, ata mwalimu wa kidunia anafunza nidhamu, anglia kanisa 80% wanawake trouser vijana pipe trs, bibilia imefunza kuhushu mav 6:31 azi pastors onyeni wasirika, iyo ndiyo kazi mungu alitupa, tuzifanye jina la kristo yesu ikadharauliwa na dini singine
Nabii wewe na watu wako mmelaniwa pamoja na watu wako kama lisemalo andiko hili Kumbukumbu la Torati 27 26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Mtumishi wa mungu au shetan Wagalatia 1 8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe. 9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
Sio Kila jambo ulitafasiri kama uonavyo wewe,acha kuona hivyo,Kuna watu unaweza kuwakuta msibani wanalia,kwasababu ya mpendwa wao aliyefariki,lakiniukashangaa mtu mmoja anakwambia Huyo halii anajifanyisha tu,!!,how did you know?kwani hicho alichokifanya Huyo kuchonga sanamu ya geodevi,amemwabudu,kwani wewe hukusoma ktk biblia Kwamba usihukumu usije ukahukumiwa,au hujui unapoanza kuingia ktk vita na watumishi wa Mungu,unakuwa unapigana na Mungu mwenyewe,?usifate mkumbo,uje chochote unachokifanya Kwamba ni kizazi au Kwamba ni kibaya utakitolea hesabu siku ya mwisho mbele za Mungu.
Pongezi kwenu .....umefanya kazi nzuri sana......wengine wanaona ni kusifiwa lakini sio hivyo mnavyoona.....huyu mtumishi wa Mungu watu wanampenda sana kupitia kwa ile neno anayotuhubiria...kwanza mimi imenijenga ki Imani sana...nilikuwa muonga Sasa hivi Nina nguvu kupitia nabii dr Geodavie Mungu akubariki sana.....mimi ni muimbaji kutoka Kenya...asante
Ila mbona nadhindwa kujizuia nakuta nakupenda sana baba mungu akutunze baba yangu mpendwa wa moyo nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yani acha tu
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Ufunuo 12:12b Ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu
@@monicalaithon482 nakukosea wewe na yeye but sio Mungu aki. Im sure hata God hapendi hii design ya Geodavie kupigiwa magoti ...so hiyo ni opinion yako mazee.
Nawashagaa upofu mlopigwa na Hawa watu wanaojiita manabii.jamani MUNGU wetu hasema manabii Kama Hawa alisemea manabii Kama akina ezekieri Sasa hawaa.mhuu kweli watu wa MUNGU wanasngamia kwa kukosa maarifa
Sasa hapo mtihan, wakija wajuu zao wa hawa watu waliopo humo ndan wao hawatasema ni nabii Bali ni Mungu wao kwasababu hawatakuwa wakijua huu ni mfano kama zama za nabii nuhu,..
Ila Wote tutakufa InshaAllah Mtakwenda kuufaham ukweli wakat ambao hakuna biashara 🙏
Nyie jitoeni fahamu Kiama kinakuja mtajua hamjui Mana naona mnajisahau kumwabudu Mungu mnamwabudu Mtu sasa
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na Uokoke na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Ishiiiii miaka mingi mwamba royal prophet kutoka kisongo arushaa🔥🔥🔥 maneno machache Kaz kubwa🤝🌹🌹🔑🗝️👈
Njaa zitawauwa 🙈 ila msisahau tu siku za mwisho zimeshafika, M/mungu nijaalie mwisho mwema 🤲
Kwakweli
Amen
Amina ya Rabbi
Amiin
Mungu anawajua walio wake.mungu akutetee zaidi mti wenye matunda ndio upigwao mawe.
Eeeh Mungu nionyeshe njia sahihi ya kukuabudu niepushe na manabii
Hongera sn Baba Geodave God bless you ❤❤❤🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 💯
Waaah!!!!Wana msujudia binadamu,na kumuita baba!!Ole wao
Aisee dunia imefka mwisho watu wanamuamin binadam na kumsujudia na kumsahau mungu hariewaumba eti wanamuomba awafungurie burand ikuwe
Hawa siyo kwamba anamwamin sema njaa ndo tatizo anataka hela tu
@@preciousjohn9405 wengi wanawaza wafanye nini waonekane na huyu nabii sio kumtumikia Mungu aliyewaumba 😏😏😏
@@preciousjohn9405 kabisaa
@@preciousjohn9405 🤣🤣🤣
Kweri kabisa
I love my dady ❤❤❤ishi sanaaa wenye wivu wajinyonge
Mungu akupa kwa wakati wakee
Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun
Mungu awafungue macho nyie watu khaaa😢😢😢 mtu unaona kabisa ushetani uhu tupo mwishoni wa dunia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanaelewa ila ni njaa Kali sana wanayo ,machawa wamejaa sana nchi hii 🧐🧐
😢😢😢usijifanyie sanamu ya kuchoga Wala chochote Kile kilicho mbinguni Na duniani
Ipo siku mtatolea hesabu na kila goti litapigwa Mbele za Mungu wa Mbinguni 😢😢
Duh sitamni haya maisha ya duniani
Fanyeni yote kwenye haya maisha ila musi jaribu kugombana namtu anaye mtumikiya mungu. Jihazareni sana tena sana.
Ila hata yeye anajua hawa watu wanalenga hela tu hapa Yesu hayupo kabisa.
Kabsa yan wote watafuta pesa
Kazi mnayo... tuendelee KUABUDU MASANAMU, Mbuyu pia ulianza kama mchicha
Asomaye na afahamuu ✍️
Yesu anakuja Kwa mara ya pili wateule kaeni macho.nadhani kila kilichotabiriwa mumekwisha kuona
Kabisa
Naona Jamaa kakaa mbele anasubiri mtaji
Mungu tusamehe😢
niyupi atafunza watu kweli? ya mungu, visazi wapotea kwa sababu elimu ya mungu imeto makanisani, ata mwalimu wa kidunia anafunza nidhamu, anglia kanisa 80% wanawake trouser vijana pipe trs, bibilia imefunza kuhushu mav 6:31 azi pastors onyeni wasirika, iyo ndiyo kazi mungu alitupa, tuzifanye jina la kristo yesu ikadharauliwa na dini singine
Mungu anachukia sanamu wewe ni nani ukakubali sanamu soma kutoka 20:4-5
Kila nikimwona huyu nabii nazidi kuwaombea wanaohubiri kweli ya Mungu # Mungu amrehemu
Jameni mwache kumwabudu binadamu, Jehovah atosha kuabudiwa pekee yake
Nabii wewe na watu wako mmelaniwa pamoja na watu wako kama lisemalo andiko hili Kumbukumbu la Torati 27
26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Mtumishi wa mungu au shetan Wagalatia 1
8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.
9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
Thus saith the LORD; Cursed be the man that trusteth in man, and maketh flesh his arm, and whose heart departeth from the LORD.
Jeremiah 17:5 KJV
Sio Kila jambo ulitafasiri kama uonavyo wewe,acha kuona hivyo,Kuna watu unaweza kuwakuta msibani wanalia,kwasababu ya mpendwa wao aliyefariki,lakiniukashangaa mtu mmoja anakwambia Huyo halii anajifanyisha tu,!!,how did you know?kwani hicho alichokifanya Huyo kuchonga sanamu ya geodevi,amemwabudu,kwani wewe hukusoma ktk biblia Kwamba usihukumu usije ukahukumiwa,au hujui unapoanza kuingia ktk vita na watumishi wa Mungu,unakuwa unapigana na Mungu mwenyewe,?usifate mkumbo,uje chochote unachokifanya Kwamba ni kizazi au Kwamba ni kibaya utakitolea hesabu siku ya mwisho mbele za Mungu.
@@apostlef.f.masala3255 Acha upumbavu Huyo Pepo unamtisha had nani? Eti unashindana na Mungu watanzania njaa itawauwa
Uko sahihi... cursed is the one who puts trust unto a man
@@floramongi1410 ok Asante matukano yako,we are all human being,take care
This is too much 😢
Waaaaaah
Hivi watu mbona mnada fanyika baada ya kumpa Mungu utukufu lakini binti mnawapa binadamu utukufu
Duuh Usilie Baba yangu Nabii Mkuu GeorDavie. Umetuzaa natunajivunia wewe Dad. GITEGA BURUNDI tuko nawewe Senior Prophet GeorDavie
God have mercy mmefungua vilinge mnadai ni kanisa poor
Jamaa kashindwa tu kusema kusema nipe kazi nikutengenezee masanamu sample hii apa
Nasema tena nakupendaaaaaa baba mungu azidi kukuinua
Mwenyez Mungu akupe ufaamu akufungue macho ya kiroo ujue uko wap unaenda wap
Eeeeeeeemungu tusaidie roho hizi chafu ziangamie
Pongezi kwenu .....umefanya kazi nzuri sana......wengine wanaona ni kusifiwa lakini sio hivyo mnavyoona.....huyu mtumishi wa Mungu watu wanampenda sana kupitia kwa ile neno anayotuhubiria...kwanza mimi imenijenga ki Imani sana...nilikuwa muonga Sasa hivi Nina nguvu kupitia nabii dr Geodavie Mungu akubariki sana.....mimi ni muimbaji kutoka Kenya...asante
Hmn co kwel
Shetani hakosi wafuasi hata alipo Tulsa nchi alikokota theluthi hivyo hatushangai mnavyo mtukuza Huyo Pepo geodev
THIS IS IDOLATRY WHICH IS DEVIL 😈 WORSHIP
Ila mbona nadhindwa kujizuia nakuta nakupenda sana baba mungu akutunze baba yangu mpendwa wa moyo nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yani acha tu
Baba naomba number yenu ya sim nasisi tuko mbale sana
Can someone interpret what is been said to me
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ufunuo 12:12b Ole wa nchi na bahari!
Kwa maana yule ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu
hongorasana kwamandko
Tunaenda sawa
Amen kwa kuyatambua hay Mungu amekupa upeo wa kuona mbal
@@esterlaurent9395 🙏🏿
Call me hongera Kwa maandiko na ndivyo ilivyo
What a shame, this is idolatry., God have mercy upon us
MPAKA MTU anatoa machoz jaman WANADAMU tuna MANENO,,,, mmmh mungu awasaidie watumishi wanaohubiri katika ROHO na kweli..
Kutoka 20:4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, , , ,,,,,,,,
Abarikiwe sana kijana na ujuzi wake afike mbali
Yan jamaa kila kukicha anatafuta kutrend daah na wajinga wanaoshindwa kusoma bible Au kuruhan 😢😢😢
Mapepo
Sawa si sanam MUNGU ni mwema ipo siku
Natakakufika kwa nambii mkuu nataka namba zake
Mchungaji huyu anapendwa sana mungu ambaliki
Wanakusema vibaya ila unagusa mioyo ya wanyonge mungu akubaliki sana
Mwaminini mungu peke yake siyo binadamu
Mtu ako naliya mweye mnampigiya makofi 😂😂 akose mumuinbiye kanyimbo kafaradja 😢😢😊😊
Baba jondev nakuomba san jaman mie ninashda nakuomba jaman nisaindie
Monomento Ndio nn toa njaa zako hapo
Usijifanyie sanamu ya kuchonga😢😢😢😢
Kwan amejifanyia????
Kweli mungu alikataa😢😢
Nikweli kabsa 😢😢
@@CoasterMahenge-yz9sj hiyo nini sii sanamu ya kuchonga ama
Good work kaka❤❤❤
NIMEMWAMINI NABII MKUU BABA YANGU WA KIROHO, NIMEMJUA YESU KRISTO KWA USAHIHI ZAIDI.
ASANTE YESU.
mimi napenda tu hilo jina nabii mkuu, kuna na yule wa yanga nabii nani sijui jina lingine ngumu lakwake
Duniiaa imekwishaaa
Amen🙏🙏🙏🙏
Njaa mbaya
Ibada ya kugawa fedha
Huyu jamaa anapenda kusujudiwa aisee!!
Usiseme hivo unakosea sanaaa
@@monicalaithon482 nakukosea wewe na yeye but sio Mungu aki. Im sure hata God hapendi hii design ya Geodavie kupigiwa magoti ...so hiyo ni opinion yako mazee.
Pesa ilimuuza yesu na mm naend kw Jo Devi kutoa ushuhuda niliacha bangi kw kuona vituko vya waumin.wake
Amen
Asee mungu turehemu
Yani watu wame changanyikiwa kabisa.ole wenu🥺🥺
THIS IS IDOLATRY AND GOD HATES IDOLATRY
how is apostle krick handling this situation???
Acheni ujinga nyiny wakiristo mbona mnaendelea kudanganywa tu kila siku
Enyewe siku za mwisho zimewadia,unabii ushatimia yy pamoja na wafwasi wake ambao wamekataa kufungua machi jehanamu watakwenda
Dady cku zote mti wenye matunda mazuri lazima upigwe mawe.ww ni shujaa songa mbele usisikilize wafa maji
Haya bana awee, wasije wakafunga siku 100 sasa
Pumbav, sinema hii. Huyo amelipwa ili atengeneze hilo sanamu na hio sinema.
🙏🙏
Biblia ingebaki tu kwa kilatini, watu wangeenda shule wenyewe
👏👏😭😭 Daddy 🥰
Hiu ni upendo mkuu
WEHU KATIKA VIWANGO VYAO.
😍😍😍
WAKO SAHIHI WAABUDU SANAMU WOTE MIUNGU YAO HUICHONGEA SANAMU YUKO SAWA KWA DINI YAO HATUSHANGA
Nashukuru Mungu wetu hakuna ajuae sura wala mwili wake na huyo ndie kiboko ya fani na karama zote
Nebuchadnezzar wa leo
Shindwe kabisa,,someni neno binadamu,,tunaangamizwa kwa kukosa ufahamu
Mmmh
Nawashagaa upofu mlopigwa na Hawa watu wanaojiita manabii.jamani MUNGU wetu hasema manabii Kama Hawa alisemea manabii Kama akina ezekieri Sasa hawaa.mhuu kweli watu wa MUNGU wanasngamia kwa kukosa maarifa
Mwana Adam,ni mubaya tanguzamani mpaka leo kabisa😢
Makafir jiandaeni kwenda mtoni
Chukua zawadi hiyo baba!! Kazi yako inaonekana MUNGU wa mbinguni akuongezee miaka mingi! Tukuone wengi
Mjinga mkubwa unasaport ujinga Sanam hazitakiw soma bible uelewe hizo ndo nyakat za mwisho
itafika mda na nabii mkuu nayeye atakujakuabudiwa
muda ndio huu anaabudiwa hujaligundua hilo?
Sasa hapo mtihan, wakija wajuu zao wa hawa watu waliopo humo ndan wao hawatasema ni nabii Bali ni Mungu wao kwasababu hawatakuwa wakijua huu ni mfano kama zama za nabii nuhu,..
Jaman na mayele atengenezewe sanam yake taifa pale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆atatowa mkwanja? mie nipo razi kuondowa yaleataa ya taifa nikaweka round about yenye sanamu yake katikati
Polen watu bado mnapotea
Watu wangu wamekua kama kondoo waliepotea wachungaji wao wamewapoteza yeremiah 50_6
This is demonic...msiabudu miungu mingine ila MUNGU..
msijichongee sanamu.
🤣🤣🤣🤣kuishi kwingi kweli ni kuona mengi njaa inatufanya tuone vituko
MUNGU atu ulumiye saana sisi bi umbebyake ,tuko watu wabaya , kwabudu w
Wana Adam
Pole baba unasitahili usilie hadi machozi ya me nilenga
Baba wako wap naww
@@amanididas7660 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hata maandiko yanasema shins Moja la mabaya ni kupenda pesa ole wetu watanzania
Daniel meshaki na Abednego tuna wakumbuka si kwa sababu walichonga sanamu bali kwa matendo yao makuu
Wakristo naona mmechokaa na manabii wenu😅