Kwa swala la mtoto wa kumuokoa umeyumba .......ht mtoto akiolewa bado ni wako ni ukoo wako...swala la kubeba jina la familia hiyo si issue cha msingi ni upendo na kujali kwa mtoto ....tena mtoto wa kiume atalibeba hilo jina sawa ila moyo na Akili vyote vIPO kwa mke na familia ya mke wake. Tena kwa asilimia kubwa Hawanaga mchango kabisaaa kwa familia zao....labda apate mke mwenye huruma aseme basi mrushie mama mkwe ht 10000 haahaaa
😂😂😂😂😂😂 ila Luvanda mdg wangu hiiki kipindi Nimechekaaa mpk nimecheka tena🙌🙌🙌
We mtangazaji ujitafute kwenye uimbaji. Una sauti nzuri sana KUIMBA SIFA za Mungu wetu
Dhuuu Za Mungu tena 🙄🤭
Ni mwimbaj mzr sana karibu kinondoni revival church utamwona
Safi sana MC Luvanda umejibu vizuri sana hasa swala la kumuokoa nani, mwanao wa kiume ndio murndeleza ukoo upo sahihi
Suzzete such a great presenter ....International presenter🥰🥰🥰🥰🥰
Dah huyu kaka anachekesha nyie😀😀😀😀😀😀😀😀😀hahahaaaa nacheka kama chizi
Mkeo ni mostly beutifully
Ndio mnavyomdanganya?
@@belak999 angekuoa wewe sasa
@@gracejosephy2242 unafikir kila mwanaume ni mume, anaishi nyumba ya upande wa ukweni,Hiyo ni mfano mmoja tu
Na video zake za conn zitafute uzione
@@belak999 za nan
I love u luvanda my brother,
Luvanda uwa yuko sawa kabisa
Mc Luanda umenifurahisha kwenye kujibu maswali aisee
Hahahahahaaaaa Luvanda umeua
Nacheka mimi na hii talk 😂😂😂
Mtakuja kutengeneza simu alovera muarubain tikiti mhhhh kujua kwinhi huko kkk
Kwani huyu ni comedia 🤣🤣🤣🤣 tatizo Lilian ana ujuaji mwingi
Hapo Kwa Lili ni mtani wake na kuhusu kuokoa angeokoa mke wake
Luvanda,mke wako ni mzuri zaidi then. mh Rais,. Wanakufata ni vyovyote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umemuwezaaa Sanaa
Leo kapatikana hhhhhh
Kwa swala la mtoto wa kumuokoa umeyumba .......ht mtoto akiolewa bado ni wako ni ukoo wako...swala la kubeba jina la familia hiyo si issue cha msingi ni upendo na kujali kwa mtoto ....tena mtoto wa kiume atalibeba hilo jina sawa ila moyo na Akili vyote vIPO kwa mke na familia ya mke wake. Tena kwa asilimia kubwa Hawanaga mchango kabisaaa kwa familia zao....labda apate mke mwenye huruma aseme basi mrushie mama mkwe ht 10000 haahaaa
Safi Mc Luvanda
Kwa swali la wachungaji,ningejibu
😀😀😀😀
Kipindi chenu chagueni lugha Moja tu ili kiwe sawa
Ili takiwa we ndo unywe
leo umepatikana na sumu zako
Mungu awapiganie mwanangu.
We mtangazaji uache kujichekesha kwaa mume wa mwenzako kujichekesha huko ndio nini mfyuuuu
Kwan luvanda ni mume wa Lilian mbona sielew
Yes ni mkewe
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimecheka sana
Pia tambua kwamba anayejua kuwa ni mtoto wako halali ni mama peke yake.
Jmn mbavu zangu
Kajikaza kiumw
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Kipindi kizuri mnoo