Innalillahi wainnailaih rajiun ikowap sasa barak y ndoa kwa shubha iyo. Wanawake wanajiachia tena kwa kupayusha saut mbele z wanaume tumche allah waislam. Madume mazima yacheza n wakezawatu, huu uislam au ukafili
MASHAALLAH SHEIKHE HAFIDHI UPO VZR PAMOJA KOO YAKO MZIMA YA MADRASA ALLAH AKUZIDISHIENI UMRI NA AFYA NJEMA MUZIDI KUENDELEA VZR KWENYE KIPAJI CHENU HICHO 👍🤝
Hatutakiwi kunyamaza icho icho unachokijua kifikishe hakika tutaenda kuulizwa kwani kazi yakufikisha ujumbe wa kheir sio wa masheikh tu .kwakweli hii nidhambi naniharamu music tuendako hatukujui nisafar kubwa inahitaji matayarisho mema.ni ukumbusho tu fadhakkir
@@salmaadil7122 exactly..sio kla kitu mpk mashekh na ww unaeangalia utakuwa na dhima cku ya mwisho kwa kuangalia2 upotovu bila kuusia mana inawezekana m2 amepitikiwa but kutokana na usia wako akabadilika sio kla sehemu mashekh wako
Mashallah shehe upo vizuri na tem yako lkn munajali hali za matajiri masikini munawapigia za zamani mukiaalikwa kwann,shehe ulijigawa na qadiria ili uoneshe kipaji chako upo vizuri bigup
Hamna Sheikh wala ustadhi aimbae n wanawake huku wakikatika dansi huu n mtiani wenu nyote holini cc n umma bora twaamrishana mema n kukataza na maovu SS haya n maovu mno.
@@hasinahabibu946 kabla ya mimi kukupa aya naomba unioneshe iyo aya au hadidhi,ilioruhusu hilo,na inayoonesha huu wajibu kama unavodai,pia nipe uhalali wa hizo kwapa vivundo tunavooneshwa,kama huna basi usishadidie mambo ambayo huyajui mamaa eti tu kwasababu unafurahisha nafsi yako
@@ismailjuma3692 ww unajielewa wapi na vp unauhakika ya ww unajielewa Tuache ghuruur za kidunia dini ina mipaka haijaturuhusu hy ht km mtu ana uwezo wa kumiliki dunia
Vinatanda ivyò uharamu na pia wanawake wanavyocheza sio katika ndoa za kiislamu apo ndoa inaingizwa na ushetani,,,,Hebu tujiulize Rasullah (S a w) alifanyiwa kama hivi 😭 wakati anamuoa mama etu bi Khadija,,,,sasa apo tunaiga mila na desturi na Mayahudi,,,Ndoa ya kiislamu sio kama ivyo kabisa haifai ivyo,,,,tunafuata mila ya Mayahudi
Innalillahi wainnailaih rajiun ikowap sasa barak y ndoa kwa shubha iyo. Wanawake wanajiachia tena kwa kupayusha saut mbele z wanaume tumche allah waislam. Madume mazima yacheza n wakezawatu, huu uislam au ukafili
Huu ni mitihani kwetu wanawake
Wame pitisha mipaka
Asante ustadh hafidh mungu akulipe kila la kheri
MashaAllah Sheikh Hafidh nae haachwi nyuma,, Allah amzidishie Amiin
MashaAllah, nakuelewa mno na kaswida zako ustadh Hafidh
Napenda snaa Nasheed za ahlulmadina mungu awape maskzno.Ameen mungu akuwekee ustadh hafidh
Zuka ww hinikaswida ama nitarabu kesho mwaenda jubu kwa allah
Ka hafidh kahaunamke nioe mm nnakupenda bure mashallah Allah aibariki baraka tele ndoa yenu mpate vizazi vilivyobora In shaa Allah Amin
Amin
Mm cna coment sana kwa fundi wa qaswaida ww hodar km unamkubali like hapa please
ماشاءاللہ Shekh Hafidh pamoja na Ahlul~madina kwa ujumla mko vzuri na mmejipanga
Mashallahu mashallahu shehe hafdh nakupe sana mungu akulinde NA husda
Mashaa allah . Hongereren sana , mwenyez Mungu akutuzie ndoa yako
Mashaallah pambeee💃💃💃💃💃💃💃yafurahia yako familia 😙😙😙😙😙wako wazazi .....furaha zimewajaaa💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Mashallh mungu aikuze ahlullmadina ila nami napenda kusoma kaswid
Chorass ipo Maashaallah sana vizur sana duh wee shekh Hafidh hatar sna
Asiya mwaguni 2 month ago shekh hafidh hongera kwa kaswida yenu nzuri mashallakh
Ust Hafidh lazima acheze kidogo.
Nimeona👀👀👀👏👏👏👍👍👍
J
Hongera sana kiongozi upo sawa nimeipenda hii kazi
Mashallah mashallah jamani qaswida zenu nazipenda zote wallah huwa silali mpaka nisikilize
MASHA-ALLAH MASHA-ALLAH nazpenda sana Allah awajaaliye kla la kher INSHA-ALLAH
Nimeipenda jamaaa yangu kazi yako IPO poa sanaaa
Allah akuepusheni na dhambi zenu , uzuri wa mwanamke anatakiwa anyone mumewa2 sio mitandaoni
💯💯ustath hafith mashaaaa allah hii nashiidii umeitokea tena sana 💯💯
Mashaallah Allah bless siku hii tulifurahi sana tu mashaallah nakukubali
Sana
Subhanallah .wanawake tulionekana wengi motoni kwa hli hii 😭😭😭
Naam umeliona hilo
Nyie ndo hao haaahaaa
Hongeren mungu awaepushie jicho la husda amin
MASHAALLAH SHEIKHE HAFIDHI UPO VZR PAMOJA KOO YAKO MZIMA YA MADRASA ALLAH AKUZIDISHIENI UMRI NA AFYA NJEMA MUZIDI KUENDELEA VZR KWENYE KIPAJI CHENU HICHO 👍🤝
Hongera sheikh hafidh utafanya nije zanzibar...
Ma Shaa Allah Hafidh kapita vzr sana humu
Mashallah muko poa Allah awazidishie
Qaswida Kinaendele
Ila hawa wakaka ni wazur duuh
Dah mashaallah nilitamani sana kuwepo hii siku
Mashallah pongezi kwako ustadh hafidh
Mashallah,,shamra shamra za harusi, wote wanapendeza na furaha
Allah akupewepes katika mafanikio yako love xana
Masha Allah shekhe hafidh uko sawa
Mashallah Mungu awajaze kheri ktk ndoa yenu
Amin
Mashallah Allah awape ndoa ya kher Inshallah 🙏
Amin
Makaka vipenziii.......furaha zimewajaa💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Mashallah kazi nzuri sana
Ni vyema tukatafakari tuache kumchezea mungu uislam haujaruhusu ujinga huu
Mm naww hatujui kitu tunyamaze tu tuyaangalie
Hatutakiwi kunyamaza icho icho unachokijua kifikishe hakika tutaenda kuulizwa kwani kazi yakufikisha ujumbe wa kheir sio wa masheikh tu .kwakweli hii nidhambi naniharamu music tuendako hatukujui nisafar kubwa inahitaji matayarisho mema.ni ukumbusho tu fadhakkir
Asante kwa kuliona hilo
@@salmaadil7122 exactly..sio kla kitu mpk mashekh na ww unaeangalia utakuwa na dhima cku ya mwisho kwa kuangalia2 upotovu bila kuusia mana inawezekana m2 amepitikiwa but kutokana na usia wako akabadilika sio kla sehemu mashekh wako
Mashaaall nakukubali balaa sheikh hafidh
Iyo qaswida shekh hafith umeipatia sana
Hafidhi mola akuhifadhi
Mashallah Allah aidumishe milele ndoa yenu idumu
Kwahali hii ndoa haiwezi kudumu mana hasad nimewapata
@@maryammarika4152 Nashukuru mungu bado nipo ndoani n duwa zako mbaya izo
Keep it up sheikh hafidh nice to hear this
Mashallah habibtu
Mashallah shehe upo vizuri na tem yako lkn munajali hali za matajiri masikini munawapigia za zamani mukiaalikwa kwann,shehe ulijigawa na qadiria ili uoneshe kipaji chako upo vizuri bigup
Hamna Sheikh wala ustadhi aimbae n wanawake huku wakikatika dansi huu n mtiani wenu nyote holini cc n umma bora twaamrishana mema n kukataza na maovu SS haya n maovu mno.
MASHAALLAH MASHAALLAH 😻😻
Ndugu zangunAllah awazidishie insa Allah ,kwa hiii qaswida nzuri 👌👌
Ah uyu jama anajua kwl mashallah
Maashaa AllAh
Harusi NJEMA ndugu zetu
Shekhe napenda Sana qaswida zako
Masha Allah please nataka jina la Muimbaji na number yake nataka kupeana kazi yangu please
Ni shekhe hafidhi
Paaambee mashaallah holi gn hili
Saccos Meli nne
Upumbavu tu
@@hasinahabibu946 kabla ya mimi kukupa aya naomba unioneshe iyo aya au hadidhi,ilioruhusu hilo,na inayoonesha huu wajibu kama unavodai,pia nipe uhalali wa hizo kwapa vivundo tunavooneshwa,kama huna basi usishadidie mambo ambayo huyajui mamaa eti tu kwasababu unafurahisha nafsi yako
@@hasinahabibu946 unajina zuri lkn inaonekana hujuji wala hujitambui.
@@ismailjuma3692 ww unajielewa wapi na vp unauhakika ya ww unajielewa Tuache ghuruur za kidunia dini ina mipaka haijaturuhusu hy ht km mtu ana uwezo wa kumiliki dunia
Masha Allah
Masha Allah
Hongera kaka yetu
Hongera mungu ajalie ndoa njema
Amin
Mabruk arfu mabrouk 🇰🇪🇰🇪💯💯
ظىب
Naomba contact za Ahlul madina kwa ajili ya booking
Sheh hafidh nakukubali
Haraam Izo zambi hapo
Subhanallah
Alah atuhifadh
Nyie hamna zambi
Allah amuongoze
Na mtizamaji pia umepata izo dhambi
Maxhalla nimependa
Aaaaaa baba ii ni kali ya mwakaaaaaaa
One day inshallah
Kwani bado?
Nakubali Ahlulmadina ipo juuuuuuuuu
Mashallah nimeipenda😘😘
Mashallh brother hafidh
Mnao imba wote mnachakueleza mbele ya allah
Mashallah ❤️ very nice 🥰❣️🌹
Mashallah Allah Swanson
Vinatanda ivyò uharamu na pia wanawake wanavyocheza sio katika ndoa za kiislamu apo ndoa inaingizwa na ushetani,,,,Hebu tujiulize Rasullah (S a w) alifanyiwa kama hivi 😭 wakati anamuoa mama etu bi Khadija,,,,sasa apo tunaiga mila na desturi na Mayahudi,,,Ndoa ya kiislamu sio kama ivyo kabisa haifai ivyo,,,,tunafuata mila ya Mayahudi
Swahihi
Mashaallah nimependa hii
I really like dis nasheed
Congratulation ...😍😍😍
"Huo ubaya wenu haushindi kuduraaa...Hii ni Dunia kufanyiwa wema dharuraaa" napenda Hui✔
Masha Allah kapendeza san
Man shall ah jmn naomben jina la nyimbo please
Ubaya wenu
Mashaallah,sheikh hafidh.
Hafidh rudi kwa Allah unabeba jukumu kwa Allah
Nikweli kabisa arud kwa allah imuhadae pumzi
Kwann
@@salmazahor5882 kwani hujuw chochot kinacho shaghabiyan na vinanda ni kharam na sisi wanawake jins tunavyo kaaa na kuchanganyik
Wambia ustadh wee-wee 💯💯🔥🔥❤️❤️❤️👌
Hongeraaaaa kwa wimbo mzuriii
💯💯 nakubali kazi
Ustadh hafiidh maashaalah
Jamani mimi nikija kuolewa sitaki maonyesho yani ninaaibu na sipendi nataka niolewe kimnya kimnya
Mashallah Mashallah Allhamdulillha 👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏💟💟💟💝😍🤩👩❤️👨👩❤️👨
Original yake ntapatajee hii kaswidaa
Ndo iyo
Ungemshirikisha Mbosso lingekua bonge la ngoma
😂🤣🤣🤣🤣
😂 😂 😂 😂 😂
Hhhhhh
Mashallah mashallah pambe sana
Raha sana🤝
Mashallah nzur
Inatofauti gani tarabu?
Hayo mambo ya kijahili
Haipo
Hongera sanaa kijanaa
Safii sana
Mashaa Allah
Asante shehe
Maasha Allah
nikweli hii kwaswida nikama mziki mtihani
Muogopeni Allah
Wako ignorant sana na hizi harusi Zak!
Mixing with non mahrams and music
Naikubali sanaaaaa
Mashaaallah
Congratulation
Mashallah