GEORGE BONABUCHA Akubali LAWAMA, Ajitangaza TEAM JUMA CHOKI - "NASSIB Hata AROGE Hawezi KUSHINDA"
Вставка
- Опубліковано 6 чер 2024
- GEORGE BONABUCHA Akubali LAWAMA, Ajitangaza TEAM JUMA CHOKI - "NASSIB Hata AROGE Hawezi KUSHINDA"
Bondia kutoka JWTZ, George Bonabucha amefunguka kuelekea pambano kubwa la 'DAR BOXING DERBY' litakalochezwa Juni 29, 2024 katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam. - Спорт
Mmmh juma na mpenda nasibu pia nampenda 😢😢😢😢😢❤❤
mm ni mpenzi wa ngumi ila kwa hawa mabondia mm wote wapo vizr sana
😢😢wote wakali na ninawakubali xn duuh 😢😢
Juma choki ushindi kwako mmm konde boy 4:03 ❤
Nassib ka drop I bet for juma choki
Nasibu ❤ juma❤ 😢😢😢😢 nina street kibao 😢😢 mumejua kuniumiza
Mmmhhh!!??Nasibu mkali ana speed na choki mkali ana speed. Ila kura yangu nampa Juma choki Kwa sababu ana speed na pia ana makotakota,mvamizi. Nasibu akikutanaga na bondia wa namna hii ni shida sana kushinda.
Juma atashinda tena kwa ko
daa huyu aliewapambanisha hawa watu anitafute ntampa clet moja la coka cola meja upo vizr
kaka upo vzr sana
Juma choki ushindi kwako mmm konde boy
Choki mkali nasibu kwachoki bado
Juma choki atashinda mchezo
Weweee mwenyewe unakaa na ngumi zako zakukatika viuno
Mje Sasa kuangalia ngumi ..achaneni na yule mwimba taarabu...
Nasibu awapiga wote wewe na juma choki