RAIS TEC ATANGAZA KUSTAAFU KWA ASKOFU KILAINI,MWENYEWE AIMBA "NIMEUMALIZAA MWENDOOO"
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
Asante sana Baba kilaini, MUNGU akulinde katika maisha yako yote, kweli umeumaliza mwenda vizuri.🎉
Hongera sana na asante sana Baba!
Hongera sana baba askofu
Tutakumiss baba