BABA YANGU ANA MALI NYINGI NYIMBO ZA WOKOVU No.178 by DANIEL SIFUNA. (NI MWANA WA MFALME.)
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Baba Yangu Ana Mali Nyingi
V1
Baba yangu ana mali nyingi,
Hushika hazina zote mkononi;
Fedha zote na mawe thamani,
Na dhahabu zote ulimwenguni.
chorus
Ni mwana wa Mfalme,
Mwana wa Mfalme;
Pamoja na Yesu,
Ni mwana wa Mfalme.
V2
Mwana wa Baba, Mwokozi wangu,
Alitembea humu ulimwengu;
Bali anatuombea sasa,
Ili tuwe watu wake kabisa.
V3
Nilitupwa mbali duniani,
Nikakubali kuwa mwenye dhambi;
Bali sasa nimeokolewa,
Kweli, jina langu limeandikwa.
V4
Hema au nyumba, sioni shaka,
Makao mazuri nitayapata;
Nikihamishwa na watu wangu,
Nitafurahi na Mwokozi wangu.
#swahili
#gospel
#viral
#trending
#old
#kwaya
#Tenzi za roho
#Nyimbo za wokovu
#swahili worship songs 2024
More blessings. Asante Yesu Amen
Amen ❤❤❤
napenda sana nyimbo zako mungu akubariki sana❤
Yesu ndio kila kitu🙏🙏🙏
Hallelujah, Hallelujah ,Hallelujah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Nyimbo zina baridi saana.
Amen🙏🙏.Barikiwa mtumishi wa Mungu
❤❤❤❤Amen
❤
❤❤❤❤Amen
Amen 🙏🙏
❤❤❤❤
Ameeeeeeen Glory to Jesus
❤❤❤❤❤❤
Amina sana mtumishi nyimbo zako hakika zanibaliki
Barikiwa Sana mtumishi
❤❤❤❤Amen
Hongera.
Amen mungu akuongeze bidii yakuimba bro
❤❤❤❤❤❤
Amen brother be blessed nice song with a powerful massage
Amen amen 🙏🙏Kwa nyimbo zako za upako huwa zinanibariki Sana mungu awe nawe
Amen amen amen❤❤❤
Hallelujah Hallelujah ❤
Nyinbo zako nzuri Mungu akubariki sna mtumishi
I like them
Hallelujah. Our God owns everything. He is a King of Kings 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mungu wetu yuapenda sifa hushuka upesi
Bwana azidi kutawala huduma hii sifa zimrudie bwana wetu yesu Cristo
Thank you Jesus. Am really blessed.
❤❤❤❤❤
Wealth and Riches belongs to you Lord. Amen.
Amina Amina Bwana akubariki sana mtumishi nyimbo zako zanibariki sana
Nice songs good job👍👍👍
Amen amen
May God bless you more for touching many souls through your songs
Amen❤❤❤❤❤
Amen I'm a princess and I fear less! Thenkyou Jesus❤❤❤ for your unfailing Love Amen
Amen❤❤❤❤❤
Amen barikiwa sana
Be blessed your songs has more teachings
Wealthy and Riches belongs to God ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Amen
I am blessed because of yr good song
Well done. Glory for the powerful worship
Amen auncle ❤❤
Amen my brother
Asante sana kanisani singekosa kuimba huu wimbo hallelujah
❤❤❤❤ wow amen
Nyimbo zako huninjenga sana kiongonzi
Eeish this song is on fire🔥🔥🔥
Wimbo huu wanikumbusha mbali،ubarikiwe sana
Ameeeen, Glory be to God
Mimi ni mwana wa mfalmeeeeeee
Mbarikiwa sana kiongozi Nyimbo zako huninjenga sana mungu hakuzindishie roho ya uimbanji na njina lako lihesambike mbinguni
Nyimbo zako zimenijenga Sana ndugu ,popote nitembeapo najihisi kuwa dhambizangu zimeondolewa,,,,,, jinalangu limekubalikaaaaa,ubarikiwe zaidi wazaidi
Aaaamen
Glory be to God ❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
God bless you man of God
Mimi ni Pst Josphat vyema saana mhuduma Nyimbo zako zina ufunuo Mungu akutie nguvu
Nice song i used to sing my own things,thanks pastor
More blessings bro 🙏 🙌❤. Keep moving
Amen mtumishi wa Mungu unanibariki sana.
❤❤❤❤❤
🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Nyimbo itakika ndio hizi sasa
Blessings brother ❤
Amen amen❤❤❤❤
Be blessed too bro, aky nyimbo zako zote zinanijenga tu, big up Ur talent🙏🙏🙏🙏
Ame amen
God bless you
AMINA AMINA AMINA nashukuru sana kusikia hizi nyimbo, next utuletee ule unasema kwamba,Enyi wanadamu msifadhaike mioyo amini mungu pia amini nami nyumbani kwa mna makao mengi.Barikiwa sana 🙏🙏
Be blessed
Umenikumbisha mbali brother...nazidi kubarikiwa Kwa nyimbo zako,may you God bless you,live long and gain more holy spirit power in this ministry
God bless u so much
Be blessed 🙏🙏🙏
Amen amen ❤
Stay blessed
May God bless you
Amen,,mimi nyimbo zako hunibariki sana... barikiwa sana brother❤❤
Aaaamen
Umenikumbusha nikiimba choir nikiwa mdogo barikiwa sana
Thank you 🙏 God bless you dearly
Amen
Napenda sana nyimbo zako
Aky hzi nyimbo zilikua zikiimbiwa nikiwa mdogo sasa zimepotea kbsa Mungu azidi kukusaidia uzirudishe tena aky zisiishe kabsa
Amen amen
Amina mtumishi barikiwa sana kwa huduma naomba utuletee nyimbo ya wokovu 277 "Nitaogopa nini" nitashukuru huwa inanibariki sana
Amen amen
Usubiri unakuja
@@danielsifuna7377 Amina sana
May God bless you... already to repent 😢
Bwana Yesu asifiwe na barikiwa na nyimbo zako naomba na nyimbo ya BWANA YESU ANAKUJA VUMILIA IPO KWENYE TENZI NUMBER 127 UBARIKIWE
Amen amen Noted
Mimi ninakitabu cha Nyimbo za wokovu. Lakini N. 178 ni tafauti na iyi ambae unayaimba. Tatizo ni nini?
Amen❤
Amen
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen ❤
❤❤❤