Hawatusaidii Sisi ndo tunawasaidia, tunawalipa mshahara, mnakula bule, mnajisaidia bule hizo zote ni nguvu zetu, mnakula jasho letu na bado mnaiba jasho letu, inauma Sana.
Acha kujipendekeza kila raia ana uhuru WA kutoa maoni yake Muulize ruto Sioni kosa lake natamani ungemwita muulize kwnn ulichoma picha naje unahisi serikali ifanye nnn sio kumkamata
Alitukanwa mungu na aliyetukana ni afande sele mbona serikali hamkufanya kitu Kwa sababu ni mungu ndio maana hamsemi lkn samia ndio mwajiona Kimbelembele kusema huyo MTU ashikiliwe hii sio Hakii kabisa na huu ni ukatili wa kiimani kabisa serikali mnavyofanya sio haki mwacheni MTU aseme anachokitaka. ( Every citizen has a right to do what he or she wants at any time or any place)
Kwani. Mama samia ni mungu mama sio mungu ni mtu tu na ukisema kakashf basi ameshindwa kuongea kilichokera kuhusu mama ndo maana kafanya action hiyo sasa mfanyakazi wangu hawezi kuogopwa akikera anaambiwa je ni wapi sauti za maskini zitamfikia au ni shobo we mkuu ambaye nawe unalipwa mshahara kwa kupitia kodi zetu
Mnamuonea tu kumkamata picha kitu Gani nanyie serekali mnayoo tufanyia Yana uzur gan bwana ,mtu anaongea ukweli tu nyie vipi mnazingua tz Bora tuwe kama Kenya tu
Acha ushamba mama hajaanza kusemwa vibaya leo wala jana... Ni maraisi wote na jambo la kawaida tu.... Unaweza kuona ni jambo jema kumbe ndio kuanzisha tatizo
Nyinyi viongozi mnakuwa na jazba sana akili fupi tu wewe ndio kama unataka kutengeneza hili jambo lisambae na kutengeneza mada hakuna utalatibu mwingine wa busara wa kuchukuwa hii hali ya ukhanisi inazidi kiasi watu wanaogopa kupeleka watoto wao kwenye boarding school ww mwanambeya umechukuwa hatua gani ww unataka kutia kuni kwenye moto
Kumtia hatiani ni ngumu sana sana maana hajavunja sheria...! Hiyo picha ya samia, ni picha ya kawaida tu na siyo nembo ya taifa. Lakini, anapokuwanayo,, anakuwa anaimiliki kama personal property yake, so anaweza kuichana tu au kuichoma... lakini, kamkosoa Mama... tu, hajamtukana matusi ya nguoni.... HUYO JAMAA, LABDA SHERIA ISITENDE HAKI...IKITENDA HAKI, HAWEZI FUNGWA KABISA.
@@Dizzolee-tz na mkizidi kuleta ushoga wenu atawatia vidole kabisa.....bwabwa mkubwa wewe. Mna chuki mpaka hamjui hata mnaloongea?!! Hebu nendeni mkafirimbwe kwa nabii Tito huko.
Vijana wa Tanzania asilimia kubwa ni wajinga sn, Na hawajuwi wanachokifanya, yaani kuna mtu anatetea ujinga wa huyu kijana, eti ni sw, hebu jaalia kwamba rais samia ni km mama yako mzazi alafu anafanyiwa ivyo, ungepokeaje Na ungejihisije?, Hakuna alokatazwa kutoa maoni yake ila kwa utaratibu Na uungwana Na sio kwa kuvunjiana heshima, huyu kijana sijuwi anatoka familia gani ila hichi anachokifanya ni matokeo ya malezi ya wazazi wake ambayo wamempatia, Na sijuwi dini gani, maana dini zote zinakataza kumvunjia mtu heshima yake.
hakuna maoni ya kumtukana raisi,tusisababishe vurugu na ukosefu wa heshima kwa kisingizio cha kutoa maoni!! kwanza kuchoma picha ya raisi ni kosa kisheria!!
Wanashindwa kuwakata wanao iba mabillioni ya hela serikalini wana kazi wa kuwanyanyasa wanannchi kwanza hapo alipo sio tanzania' fanya maendeleo ya mbeya kazi uliyopewa sio kazi yako hiyo ni ya polisi
Mkuu wa Mkoa hana akili kabisa huyu .Kila mtu ako na Freedom of expression..Shida ya sisi watanzania tunajipendekeza sana na hawa politicians wengi ni slaves kwa watu wa nje ..
Wakimalizana na huyo sheria itayotumika kumshtaki naomba itiliwe mkazo sana manake matusi mtaani imekuwa jambo la kawaida aswa kwa makonda wa dala dala na vijana wengi muda mwingine utumia tusikama sehemu ya kusifia lakini si tabia njema..
Nackia Kuna jamaa amenunua leo umeme wa Elfu tatu akapata uniti moja😅😅😅 Kwani makato saiz ya umeme mwisho wa mwezi ni shingapi au wamepandisha kimya kimya
Tanzania hao viongoz sisi tumepiga kura wengine wameingia bila sera tuliyemchagua alikuwa na sera tofaut kwan rais ni mfamle au malikia mbona viongoz wengi wamesemwa
Tatizo wabongo kumsifia mama ndio wanaona dili mama kizimkazi mm wananiboa kumsimfu mtu ambae Hana msaada wowote zaidi yakutuzingua tu na uongozi wake wa urith ,,mpaka mtu afe
Hinyi sio kabisa oo akamatwemara moja yani mamboyamsingi mnashindwa kuyafuatilia mnafatilia upuuzi inatakiwa ujiulize kwa nini Kadanya hivi tafuta sababu ila kauliyake nikwamba yupo upande wa 👹👹👹
Mimi najua watanzania wengi tunatamani kufanya hivi sema uoga tu😂
@@mudrickkisinda1515 walinda legacy na haters wa mama mbona wachache sana.....toa neno wengi.
Mwenyezi Mungu anatukanwa mchana kweupe hatujawahi kuona kiongozi yyte wa serikal akitoa kauli km hii au Samia na Mungu Samia ni Bora kuliko Muumba
Bongo Kuna uhuru wakusifu tuuu kupinga nakukashifu hakuna
@@RamadhaniMadanga-ne7jkmbona mungu alitukanwa
Hawatusaidii Sisi ndo tunawasaidia, tunawalipa mshahara, mnakula bule, mnajisaidia bule hizo zote ni nguvu zetu, mnakula jasho letu na bado mnaiba jasho letu, inauma Sana.
Hahahaha kudadeki wew huogopi...
Acha kujipendekeza kila raia ana uhuru WA kutoa maoni yake
Muulize ruto
Sioni kosa lake natamani ungemwita muulize kwnn ulichoma picha naje unahisi serikali ifanye nnn sio kumkamata
😂😂😂😂😂😂
Alitukanwa mungu na aliyetukana ni afande sele mbona serikali hamkufanya kitu Kwa sababu ni mungu ndio maana hamsemi lkn samia ndio mwajiona Kimbelembele kusema huyo MTU ashikiliwe hii sio Hakii kabisa na huu ni ukatili wa kiimani kabisa serikali mnavyofanya sio haki mwacheni MTU aseme anachokitaka. ( Every citizen has a right to do what he or she wants at any time or any place)
Kumamae zenu na serikali yenu ya mama samia ya kikuma
@@SelemaniEmail haters stress zitawaua mamamamamamamae zenu!!
Mama mzazi nchi hii😂😢😢
Asakwe kivp haliyakua ana ongea ukweli
Acha ujinga samai mama kwa wanae sio Mimi Wala ww ndio hata ww ukipata tatizo huwezi kumuona au kuja kukuona kwakua ww sio mama ako
This guys hutuambia eti kenya.. ooh.. kenya.. eehh 😂
Freedom of speech and expression my friend. Wewee ndio ukona umbeya
Nyinyi mko nyuma sana,,😂😂😂 yaani mtu hawezi akatofautiana na rahisi wenu
Kwani. Mama samia ni mungu mama sio mungu ni mtu tu na ukisema kakashf basi ameshindwa kuongea kilichokera kuhusu mama ndo maana kafanya action hiyo sasa mfanyakazi wangu hawezi kuogopwa akikera anaambiwa je ni wapi sauti za maskini zitamfikia au ni shobo we mkuu ambaye nawe unalipwa mshahara kwa kupitia kodi zetu
Mnamuonea tu kumkamata picha kitu Gani nanyie serekali mnayoo tufanyia Yana uzur gan bwana ,mtu anaongea ukweli tu nyie vipi mnazingua tz Bora tuwe kama Kenya tu
Muwasake hata wanao uuza lasilimali za inchi yetu na wanaovunja katiba
Mim binafsi samia sio mama yangu wala sio shangazi yangu.....huyo mchoma picha ameonesha jinsi gani raia wamemchoka huyo mama yenu
Kabisa
Kutunwa jambo ra kawaida Kuna kazi nyingi za kutusaidia wananchi anatukanwa mungu hamuongei kwakua mungu hatoi ajira na pesa
Acha ushamba mama hajaanza kusemwa vibaya leo wala jana... Ni maraisi wote na jambo la kawaida tu.... Unaweza kuona ni jambo jema kumbe ndio kuanzisha tatizo
Kama hataki kutukanwa angekaa nyumbani na bwana yake juu ako kazi yetu na sisi ndo mabosi wake Tanzania wananchi mjue haki yenu kaa raia
@@jeremiaholesingooi3940 hebu lisikilizeni na hili punga!!🥱🥱🥱🥱
Msengeee www
Nyinyi viongozi mnakuwa na jazba sana akili fupi tu wewe ndio kama unataka kutengeneza hili jambo lisambae na kutengeneza mada hakuna utalatibu mwingine wa busara wa kuchukuwa hii hali ya ukhanisi inazidi kiasi watu wanaogopa kupeleka watoto wao kwenye boarding school ww mwanambeya umechukuwa hatua gani ww unataka kutia kuni kwenye moto
Musitariju kufanya kitu kama icho tena...tanzania sio 🇰🇪
Mambo ayo yamepitwa na wakati,
Nyinyi wote mnamtetea mama samia nyie ni masenge tu
Hapa Atuna kiongoz , unashindwa kulaani mauaji ya kikatili na marehem kukatwa viungo unalaani picha ya samia kuchomwa Moto kilaza kweli kweli
Huyo samia ndo mungu wenu???
Uyo samia ivi ni nan mbna simjui
@@StevenSanga-n3n na hata Hana haja ya kujulikana na sungusungu kama wewe, Ili iweje kwanza?!!!
Mm kama mwana jamii mwenye haki za nchi niraiya wa nchi narejea hata kama agekuwa sio rais apewe haki yake ya kuzalilisha tu kisheria kisheria
R.i.p JPM
Mwamba kweli kweli
Mama'e, na Bado mtahaha sana.
Kumtia hatiani ni ngumu sana sana maana hajavunja sheria...! Hiyo picha ya samia, ni picha ya kawaida tu na siyo nembo ya taifa. Lakini, anapokuwanayo,, anakuwa anaimiliki kama personal property yake, so anaweza kuichana tu au kuichoma... lakini, kamkosoa Mama... tu, hajamtukana matusi ya nguoni.... HUYO JAMAA, LABDA SHERIA ISITENDE HAKI...IKITENDA HAKI, HAWEZI FUNGWA KABISA.
Na ww ni msenge
😂
Nimecheka😅😅
😅😅😅😅😅😅😅
Huyu raisi mpendwa rushwa atumtak kauza nchi ytu na ndugu zake wakin kikwete cmpendi huyu mama bc tu
Mjinga km wewe usipompenda unampunguzia nini'?!!! Bado yupo sana minduku wakubwa nyie na udini wenu huo!
@@Sahlomon-jp4jrwe ni msenge sana huyo mama ako kaupata urais kwa kumzima mwenzao nasio kumpa kura kwa utayali wetu we komwe lako matako yako wewe
@@Dizzolee-tz na mkizidi kuleta ushoga wenu atawatia vidole kabisa.....bwabwa mkubwa wewe. Mna chuki mpaka hamjui hata mnaloongea?!! Hebu nendeni mkafirimbwe kwa nabii Tito huko.
Hakuna aliyeongea ukweli akabaki salama
Kwanza hapo ulipo ni Mbeya naona upo mwanjelwa hapo..
KIJANA HUYO INAONYESHWA NIMFUASI WA CHADEMA UCHOCHEZI WA MBOE NA LISU UMEMUINGIA NAHUKU MIKOANI WAPO WAMESIMIA KATIKA ITKADI YA UDINI NA UTANGANYIKA
Bado siku chache mtakuja vijijini kutuomba kura tutakutana ukoo tumewachoka sana itakuwa kama Kenya sasa
Kura yako haisaidii kitu raisi anakua tayari amechaguliwa😂😂😂😂
@@hassanmuhidin871utashangaa atavyochekechwa na kura! Kuiba hatowezekana
Sio kumkashif😂 watu wanatoa ya moyoni yanayowatesa
Kazigan wanafanya kupandisha bei tuu
Boss yuko China au naona vibaya? Sijapenda kitendo cha vijana kufikia hatua ya kuchukia hadi picha za viongozi.
😢😢
Toka zako ww ukweli. Usisemwe
Achen miyeyusho mbona jamaa amefanya good baada apewe pongez mnamkamata
Hii nguvu polisi wanayoitumia wangetumia kutafuta jambazi Lilo muua dreva bajaji ar
Huyu mkuu wa mkoa ye yuko china amepoa ,mama anadhalilishwa huku
Licha ya Wana mbeya sote tunamlani kuchana handi picha ya mama yetu ???? Tatizo malezi ya family Yao si mazuri
Acha kujifanya umerudhika na maisha. Raia wa kawaida maisha ni ya kipumbav sana. I'm outside
Acha kujipendekeza kiande ww wapi alipo tukana ??
Wanuka Mav
Huyu anyongwe kafiri anamtuka Rais wetu
Uongozi wenu mubovu tunalilia moyoni IPO siku tutakiwasha msituchagulie watu wa ovyo
HakiaMungu ngoja ninyamaze tu
@@ipepeetube449 lazima unyamaze, usiyemtaka Yuko mjengoni akiwa na afya tele......utafanyaje zaidi ya kutuliza kitenesi hiko.
Akamatwe kwani kavunja sheria gani?
Hatuna uhuru wala amani nimateso tu
...kumukamata si busara itachochea mengi....
Kivp Sasa
Itakuwa Amekua divorced na empowered women😭 MSAMEHEE #Mama #Raisi #Samia #ccm
Huyo kijana maisha yanemshida mtaani alitaka kila vya bure
KIJIJI ULICHOKISEMA MKUU WA MKOA SIO ALICHOKITAMKA KUWA YUPO. MIHEMUKO HIYO
No comments
Vijana wa Tanzania asilimia kubwa ni wajinga sn, Na hawajuwi wanachokifanya, yaani kuna mtu anatetea ujinga wa huyu kijana, eti ni sw, hebu jaalia kwamba rais samia ni km mama yako mzazi alafu anafanyiwa ivyo, ungepokeaje Na ungejihisije?, Hakuna alokatazwa kutoa maoni yake ila kwa utaratibu Na uungwana Na sio kwa kuvunjiana heshima, huyu kijana sijuwi anatoka familia gani ila hichi anachokifanya ni matokeo ya malezi ya wazazi wake ambayo wamempatia, Na sijuwi dini gani, maana dini zote zinakataza kumvunjia mtu heshima yake.
Watu wamechoka hakuna Cha heshima
@AbubakaryOmry-qw5dk umechoka wewe Fala usiyetaka kufanya kazi unasubiri serikali ikupe vya bure nyau wewe
@@walidmgonja3644Najua wewe ni shoga unapata pesa kirahisi,sasa acha wanaume wa kazi walalamike maama wanafanya ngumu,we umeshaolewa tayari 👙
Hauna akili wewe
Mkuu fanya kazi yako kwani asiefunza na mamae hufunzwa na ulimwengu lakini huenda ni mwenda wazimu mumchunguze
Rais akifanya ushenz asifiwe, uyu mpuuz ajiuzuru tu hatumtaki
Ww mkuu wa mkoa ni mjinga sana huna akiri
Huyo nae anavuta bangi
Mkuu wa mkoa unaongea ukiwa wapi
Aiseeee
We unaongea kama nani
Akamatwe haraka asituletee ujinga wa kikenya hapa tz
Ujinga wa kikenya ni upi??? Wananchi kupigania haki zao?? Skia mjinga ni ww tena mjinga wa kutupwa... useless 😏😏
Nikweli asakwe na nahatua zichukuliwe dhidi yake asijifanye Genz
Na badooo Gen Zzzzzzzzzzzz
hakuna maoni ya kumtukana raisi,tusisababishe vurugu na ukosefu wa heshima kwa kisingizio cha kutoa maoni!!
kwanza kuchoma picha ya raisi ni kosa kisheria!!
Akiripoti kutoka China huyu ni Juma Homera
Jamani😂
Fanyeni kazi za maana kutukanwa kupo
Kutusaidia kutuibia
Mbona wanao mtukana Mungu hamuwachukulii hatua hila leo huyo mshenzi mnajiongeresha upuuzi msije ukerewe hatuawataki umbwa nyie
😂😂😂 hapa Kenya wamezoea hata iwe rais Sisi hapana tambua
Wakenya ni wajinga sana 😂
@@hassanmuhidin871 nyinyi endelea kuwaramba
Mnafiki ww ulisake kwanza domo la jeiz lililokua linatoa Siri za ikulu maana Hilo ndilo kubwa ubabe ni WA muda Mungu wa milele
Wanashindwa kuwakata wanao iba mabillioni ya hela serikalini wana kazi wa kuwanyanyasa wanannchi kwanza hapo alipo sio tanzania' fanya maendeleo ya mbeya kazi uliyopewa sio kazi yako hiyo ni ya polisi
Viongoz wanatusaidia,je kama hawatusaidia tuendelee kuwasifia?huyu nae mkuu wa mkoa zwazwa tu kaweka tambi lake mbele analinda ugali.
Huyo rais wako kakupa ajira ndo maana unamtetea cc hatumtaki hata kumuona tukutane 2025
@@ponsianomnyaru9140 hama nchi nungu nungu we!!
Mkuu wa Mkoa hana akili kabisa huyu .Kila mtu ako na Freedom of expression..Shida ya sisi watanzania tunajipendekeza sana na hawa politicians wengi ni slaves kwa watu wa nje ..
Wakimalizana na huyo sheria itayotumika kumshtaki naomba itiliwe mkazo sana manake matusi mtaani imekuwa jambo la kawaida aswa kwa makonda wa dala dala na vijana wengi muda mwingine utumia tusikama sehemu ya kusifia lakini si tabia njema..
Ukiongea kutoka china 😂 au wap
Nackia Kuna jamaa amenunua leo umeme wa Elfu tatu akapata uniti moja😅😅😅
Kwani makato saiz ya umeme mwisho wa mwezi ni shingapi au wamepandisha kimya kimya
😅😅😅😅😅😅😅2000
Hakuna kitu kama hiko
@@allymusira2153 fatiria
Jipendekeza
Duh haya bhana ndo kazi ya polisi hiyo
Akamatwe
Kumtukana kiongozi wa nchi ni kosa kubwa kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko achukuliwe atua kali sana huyo ni muovu akamatwe
😂😅 Kenya hatuna. nidhamu kwel
Story ya kumtukana Rais watuachie wa Kenya 😅
Mkuu wa mkoa mjinga kabisa
Ukweli unaongelewa Tanzania, maelekezo ya kumtafuta muongea ukweli yanakoka China
Mkuu wa Mko mwenyewe anatoa maelekezo huku ayuko eneo lake la kazi, Anatoa maelekezo yuko China, Hii nchi bhana
Tanzania hao viongoz sisi tumepiga kura wengine wameingia bila sera tuliyemchagua alikuwa na sera tofaut kwan rais ni mfamle au malikia mbona viongoz wengi wamesemwa
Ipo siku yenu TU. Tukichoka.
Waah, kwani wabongo hawana uhuru wa kuongea?
Utaongelea wapi kwa sababu rais amekuwa mungu anasujudiwa mnooo
Sasa kama hawatusaidii Sisi tufanyeje
Tanzania bhn ukisema ukwer tu ujue maisha yako yapo hatarini asa sijui uhuru wetu niwaviongoz tu au maana wananchi hawana uhuru wakuseme ukwer🤔🤔🤔
Tatizo wabongo kumsifia mama ndio wanaona dili mama kizimkazi mm wananiboa kumsimfu mtu ambae Hana msaada wowote zaidi yakutuzingua tu na uongozi wake wa urith ,,mpaka mtu afe
Hinyi sio kabisa oo akamatwemara moja yani mamboyamsingi mnashindwa kuyafuatilia mnafatilia upuuzi inatakiwa ujiulize kwa nini Kadanya hivi tafuta sababu ila kauliyake nikwamba yupo upande wa 👹👹👹
Uko china unakula kodi
Uhu ndo udicteta Sasa
Nani Kama mama😂
😮
Nikiriport kutoka china nimimi mkuu 😅😅😅