Yani hii move ndefu kama yakiindi nimejitaidi sana kuichek mpaka nimemaliza yote nikwasababu inamahadili na inamafunzo mengi sana ongeren wote mlio shiliki kutuletea vitu vizuli ❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉
Hongera sana mastar chado umetoa funzo kubwa maana hivi vitu hutokea😢 nwapenda mno 💋❤❤❤❤alafu wanaume mjifunze sana mchague wakuowa wengine mashetani 😢
Kama Hii movie mmeigiza kweny kipind cha Ramadan Hapo Kwa Mungu mnachochakujib lakin Kama mmeigiza Nje ya mwez wa Ramadan Hapo Sawaa Hii movie inae mafunzo chado hujawah kuniangusha master
Chado kweny hii movie umenifurahisha sana maana umecheza ukatuni mwingi mno af m mwenyewe mpenzi wa comedy umetisha sana at tula man ntufe peleng'e mpeleng'e ingogo igwe izo👉🤜🤛
Gozi 😂😂😂goz 😂😂😂gozi kaowe tu 😂😂😂kumbe kweli mwanaume akitaka kufanya kitu chake akosi vijisababu asanteni xna kwakutufungua masikio move nzuri xna ila chado ni comedy ww 😂😂😂😂mke wa pili afadhali wa kwanza kamwe chado kaz unayo 😂😂😂😂aliy dady nae na mchawi mwenzie mbona ubaya ubwela 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Walai huyo wa kusema kwamba kiimani hiyo imekaa aje ananimaliza kwa kicheke yaani jambo lake limekataa kutimia kwa khanifa sasa anaamua kuwa mkali 😂😂😂😂😂aty kiimani hiyo imekaa aje😂😂😂😂
Jamani eeee wadau kwa mm ninacho omba tuzidini kuwaombea kwa Allah wazd kufanya mazur zaid na awaepushe na mabaya yawapitye mbal Hawa jamaa wanajua kitengo balaaa sana 🤣🤣🤣
Top Five 5 Movie Kali Za Chado Master Kama Hamjaziona Mkaangalie 1.Mission Impossible
2.Problem
3.Swaumu ngumu
4.Mtegoni
5.Na Hapa ipo
Nishaziangaliaa ztee yaaani Kali ilee mbaaya
Ni🔥🔥🔥
Chado mtu wa maana sana
Kuna ile account yake yakitambo movie zengine hazijamalizika s aziletee huku amalize hizo story😂😂mm ntka k watch movie zako zote
@@NabbiiWamungu Anzaa Na hzoo sio pouwaaah
Walio mkubal mganga mzee wa misumli gonga like hp
Mama ngwengwe nimekupenda bure❤❤
Ni noma Sana nawa kubali Sana kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩 chado masta 2025
Asante chado pamoja n timu yako hii movie inamafunzo hongereni nyote kwa ushirikiano wenu🌹🥰🥰❤️
Bonge la movie
Mama ngwengwe anajua, chado,mzee wa misumar na wengine ni hatar ogopa 🎉🎉🎉
Yani hii move ndefu kama yakiindi nimejitaidi sana kuichek mpaka nimemaliza yote nikwasababu inamahadili na inamafunzo mengi sana ongeren wote mlio shiliki kutuletea vitu vizuli ❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉
Mashalla ♥️
Hongera sana mastar chado umetoa funzo kubwa maana hivi vitu hutokea😢 nwapenda mno 💋❤❤❤❤alafu wanaume mjifunze sana mchague wakuowa wengine mashetani 😢
Kaka we noma hii kitu hii kitu hii Kali kinoma yani mungu akulinge
Kama Hii movie mmeigiza kweny kipind cha Ramadan Hapo Kwa Mungu mnachochakujib lakin Kama mmeigiza Nje ya mwez wa Ramadan Hapo Sawaa Hii movie inae mafunzo chado hujawah kuniangusha master
Powa Mr chado nimekukubal
Yaani vituko vya Chado vimefanya nimpende bure.....Mungu awalinde sana Chado gang much love for you guys❤❤
yani chado niki fanikiwa kufika Tanzania natamani nikuone unanipa raha sana Kaka yangu🌹🌹🌹🌹tuna subiri inayo fata💃💃💃💃💃
Nakupnd xn da hanifa unafistiri xn yaan kl movie zk umejistiri mashaallah 🥰
Chado kweny hii movie umenifurahisha sana maana umecheza ukatuni mwingi mno af m mwenyewe mpenzi wa comedy umetisha sana at tula man ntufe peleng'e mpeleng'e ingogo igwe izo👉🤜🤛
❤❤❤❤🎉
Ally sitaki kucheka Mie 😂😂😂 nawapenda Sana chado mastar group 💋💋💋🙏🙏🙏🙏
😂😂😂😂jamani chado kakutana na moto mwanamke ana mdomo uyo kufulu😂😂❤❤❤kazi zuli kweli
Mashallah chado hii umetisha yan mumeicheza vizur nimewapenda bure mashallah
Kaka ongera kazi nzuri sanaa ongera embu mnaomkubali chado embu mu like tujuanee
Gozi 😂😂😂goz 😂😂😂gozi kaowe tu 😂😂😂kumbe kweli mwanaume akitaka kufanya kitu chake akosi vijisababu asanteni xna kwakutufungua masikio move nzuri xna ila chado ni comedy ww 😂😂😂😂mke wa pili afadhali wa kwanza kamwe chado kaz unayo 😂😂😂😂aliy dady nae na mchawi mwenzie mbona ubaya ubwela 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣 chado utavunja watu mbavu kadem ka midambanguro nako kashakua kamke ka chado
Kaka move zako zote au kazizako zote usiwe unamuacha mr mdabanguro anafaa kwenye kazi zako make anaweka udabwiudabwi
Gozi Leo umechoma,biashara ni ya familia mke nyumbani,kazini usijionyeshe
Chado kweli umeweza nakupenda tu sana kakangu mungu akubariki kwa kazi yako nzuri nasubiria ya kidem jau sasa 😂😂😂😂
Chado nakupenda bure we kaka kama ni kuigiza ty uko vzr 👍
MOVI NZURI SANA MASHAALLAH❤
Hahahahahahaha🤣🤣 chado kayatimba
Hii movie tamu mash Allah nimeipenda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani chado leo nimecheka sana leo yani missions impossible ndo imenifanya nitafute zengine uko vizuli chado
Hii movie nimeipenda kwasababu Ina maadili ya kutosha
Nzul sana hii jamn
Majina y hizi movie daandika kwa tishat zangu Yani jina ziko poa❤❤❤
Yani chado nimecheka kwa kweli et tambi zangu 🤣🤣🤣🤣
Chado umetisha yani napenda movie zako zote♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰💋🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😂😂😂🎉 impossible inafanya tutafute izi movie 🎥 zingine
Ni kwel kaka
Nakuunga mkon juu ya ili
Chado umeuwa
Mzee wa misumari nyimbo gani hiyo😂😂😂
Chado mastar nakukubar sana anyama mwingi❤❤❤❤❤
Kutoa kipnde Cha kwanz mpk 60 na kuendelea sio kitu Cha mchezo uy jamaa n hatal sn
chado wewe kiboko kipande cha kuchambana chado umekicheza sana daah mungu akupe uzima chado
Chado hii umeweza😊😊😊
Daaa nimeipenda Sana inamafunzo mengi Sana asanten
Weeeeh chado nifanyie oder ya mbavu zangu mbili, maana hazipo kwa vicheko😂😂😂😂😂
Hii movie inanichekesha sijawai kupata .vituko mob much love from 🇰🇪 😂😂😂😂😂
Onger San chad akik unachez vzr xan❤🌹🌺
Hapa chado alikuwa ustadh jamani😅😅😂
I'm from malawian ila mumenichekecha Sana kwenye movie hiyi
Chado mpe sin mpya kidemu jau .. movie iwe kidemu jau mcharukoo na wew mkaka mmoja bishoo umepanga kwao😅😅 ni idea yangu tuu nawapenda mnoo
Sana mnyama chado masta
Hapa ndommecheza kwa mafunzo mlotupa jmni shukran sana
Ingelikua washikirika wanalipwa hapa hapa tukijionea wote ivi ingelikua raha sanaa
🤣🤣🤣🤣🤣 nilikuja kuangalia mission impossible nikaionq na hii nikasema ngoja niangalie akika nimecheka sana chado tupumzishe bas nimecheka kifara🤣🤣🤣🤣
ww ndo mm nikaona umo umo acha nitoke nayo😅😅😅😅😅
Ila kama tumeingalia Jana mbona
😂😂😂hila chado ananifanya narudia tuu
P1 sanaaaa
Wee need to be friends 😂😂😂😂
Yani mm nawapenda ila swaumu ngumu jamani 😂😂😂 movie zenu zinatupa mafunzo kwel flm zenu😢😢
Ila chadooo😂😂😂😂
😂😂🙌🏻🙌🏻chado n mkewe kaah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimeceka mpaka basi
Hii movie inae masaa 4 au sioni vizuriiii Mbn Ndefu Sanaa au ilikuwa ni season
Ushaambiwa full move inamana kam vipo vipande ishirini basi vimeunganishwa kwa sababu unaona ndefu
Asa mgang we vp
Astaqafiru tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimefurahi sana
Chado tulia mkeo aolewe n kalist muache amdabangule kidogo 😂😂😂😅
Tunaona matunda ya mkojan gang safi sana hakika mmetoka mmekwiva
Ila chado unanifurahisha na wake zako😂😂😂😂
hii swaumu ni kali sana. we need part 2 please Mr Chado Masta
Acha ushamba wewe .inamana wewe ni kuwatch tu ila kutazama hpo juu uone imeandika full movie aaaahhhh wee bora tu umewatch ety😂😂😂😂
Chado jmn unatumaliza mbavu jmn
🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi safi brother
asanteni sana commenters,, comment zenu mara nyingi ndo zinanifanya nitazame movie au niache..mbarikiwe sana kwakweli movie nzuri❤❤❤
Wow nakubali san
🤣🤣🤣hila chado kumbe hadi comedy unaweza jaman akika nimecheka sana🤣🤣🤣
Daaa nimecheka mno tena sana Adi kichwa kinauma
Chado nimkali mpaka comedy anaweza
Ila chado unamawenge 😂😂😂😂ùnatuchekesha ban 😂😂😂
Ila chado wallah kwakuchambana namkewe😅😅😅
Chado we ni mwambaaaa
😂😂😂😂 mwisho mwisho ndio tamu😅😅😅 sheikh Amir
Umu yumo adi kurya boy unyama sana
Shekh gonzi anavisa,wenzio wakitaka kuongeza mke hawafanyi vitimb namna iyo
Chado na Gozi nawakubali
Ustaadhi kwani kiimani hio imekaaje hio😅😅😅😅
Yni mwanaume akikuchoka haa! Vituko kila aina..yni hanifa kazi unayo😮😢
We semeni wewe una gubu sana ,ila we gozi uliyataka huo ni mwanzo tu😂😂😂😂mwana kuyataka mwana kuyatafuta ila pole gozi 😂😂😂😂
❤❤❤❤❤💐💐💐💐💐chukua maua yako😂😂😂😂🙌🙌
😅😅😅nimecheka mno hii muvi kiboko hongereni sana
Nikiwa nasubir mission nazuga na hii❤
Walai huyo wa kusema kwamba kiimani hiyo imekaa aje ananimaliza kwa kicheke yaani jambo lake limekataa kutimia kwa khanifa sasa anaamua kuwa mkali 😂😂😂😂😂aty kiimani hiyo imekaa aje😂😂😂😂
Chado kweli muhuni nacheka mpaka naliya 😂😂😂😂
Chado 😂😂😂😂😂 wee kiboko🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimecheka san chado umetisha san
Jamani eeee wadau kwa mm ninacho omba tuzidini kuwaombea kwa Allah wazd kufanya mazur zaid na awaepushe na mabaya yawapitye mbal Hawa jamaa wanajua kitengo balaaa sana 🤣🤣🤣
Ilaaa waliiiii 😂😂😂😂😂😂
Kiimani hii imekaa aji🤣🤣🤣
Nimeanza kunpanda chadobjwenye najima sahii naangalia kwa sim unanifanya nitamn kununua TV nifaidi vzr😂😂
Hanifa anajua sana anafiti Kila sehemu
Chado umetisha utaniuwa mbavu natokea zanzibar
Jamaa anamtesa mkewe na kule anateswa na mchepuko..malipo ni hapahapa duniani
😂😂😂😂😂😂 jamani chado namkewe daa
l like chado masta
😂😂😂😂chado master wee kiboko nmecheka mpka bc😂😂
Kaz nzuri masha allah 😂😂😂
Eti mswali ramadhani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndo mnachokitaftaga waoji WA sunna
Jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Oa chado Niende nyumbani aw nikaze??😅😅😅😅
Humuuu mume uwaaa hataryii