Wachezaji wa ndani wengi wametosha harafu baadaye hawapangwi wanakaa pesa zinaenda baadaye mo anakuja kusema anatumia bilioni bila sababu, yeye ndiye kasajiri matokeo mabovu tunamng'oa yeye MO,
Binafc ninaham na shauku yakuona simba yetu ikirud kwenye makali yake naubora pia......hakika jina la chama linaenda kufutika kwenye fikra na masikio yawana simba.......NGUVU MOJA💪
Hawa hawa, utasikia ohhh wachezaji wa ten percent😂😂 Simba wata struggle sana! Wachezaji huchukua mda mrefu ku gel! Hasa wakiwa WENGI! Kocha pia tatizo,atakua hawajui wachezaji! Ukiangalia YANGA,wanajazia tu kwenye kikosi palipo na uhitaji! Simba Timu nzima ina uhitaji🤣🤣🤣 football sio MANENO!
Mda utaongea bt viongoz wetu Jobe na Fred watupishe mcjaze wachezaj wasiokua na uwezo Wala sifa ya kuichezea simba cs tumewapatia mda wa kucheza na hawajaonesha chochote so tuwape thank u na tuongeze mbadala wa kapombe na shabalala pia tupate back mzr wa kutusaidia kimataifa,pia tupate sain nzuri ya kiungo mkabaj na strike mwenye asili ya straike
Daah oy!! Ila kusema kweri Fredi Coublan anajuwa mpila kiukweri! Ila wachezaji aliokuwa akicheza nao walikuwa wagumu mno! Naomba mungu sana abaki tuone kazi yake hata kwa nusu msimu jamani namkubari saana hy jamaa!!!!!!
Hakika upo sawia kabisa
Wachezaji wa ndani wengi wametosha harafu baadaye hawapangwi wanakaa pesa zinaenda baadaye mo anakuja kusema anatumia bilioni bila sababu, yeye ndiye kasajiri matokeo mabovu tunamng'oa yeye MO,
Huyu jamaa nikigeugeu hiiklp naifath nitamuonyesha hii ndio bongo tulia uspapalike
Usiumie Jobe Atavunjiwa mkataba kwa Sasa anamalizana na Simba namna ya kulipana
KINACHO MUEEKA JOBE KWENYE SIMBA KWASASA NINI NAHAMNAKITU ANATIA ASARA TEAM TU
Wewe Dr mohamed taala hamna
Lakini haija eleweka usajili WA simba hata hawaeleweki tunaogopa kichapo kilicho pita
Usajili umefanyika vizuri, tunategemea mazuri msimu ujao
So kila mchezaji nzuri lazima aitwe timu ya Taifa maana wazuri ni wengi
Huyu jamaa bonge la mshamba analazimisha kuingia kwenye mpira lkn haumtaki
Jaribu na wewe ndugu yangu
We ndiyo mshahara ongea nawe tukusikie
Binafc ninaham na shauku yakuona simba yetu ikirud kwenye makali yake naubora pia......hakika jina la chama linaenda kufutika kwenye fikra na masikio yawana simba.......NGUVU MOJA💪
Doctor asante ulipolalamika nilsema vipi huyu sasahivi Simba ipo safi Magoliiiii tunataka mambo kama haya hamaaa nenda kakahapo ma.bo safii❤❤❤
KWA HAMZA HAMNA BEKI HAPO MCHEZAJI HATA TEAM YA TAIFA HAITWI,HAMNA MCHEZAJI HAPO TUTALAUMIANA SANAA LIGI IKIANZAA
Mmh ww naye kwaiyo mchezaji mpaka aiwetwe timu ya taifa
hamza atawashangaza wengi tunajua wewe ni utopolo
Hii timu wakizoeana mama weee hataRiii
Alienda wapi?
Hawa hawa, utasikia ohhh wachezaji wa ten percent😂😂 Simba wata struggle sana! Wachezaji huchukua mda mrefu ku gel! Hasa wakiwa WENGI! Kocha pia tatizo,atakua hawajui wachezaji! Ukiangalia YANGA,wanajazia tu kwenye kikosi palipo na uhitaji! Simba Timu nzima ina uhitaji🤣🤣🤣 football sio MANENO!
Haya tuliza mshono watakuonesha shoo
Huyu ni utopolochura
Kumbuka hata unaemuona chama hapo kuna mda uwa haitwi timu ya taifa wakat wabongo ndo mnamuona ni professional player
Yanga kazi yao kutupondea tu, wanaumia sana na MO
Mda utaongea bt viongoz wetu Jobe na Fred watupishe mcjaze wachezaj wasiokua na uwezo Wala sifa ya kuichezea simba cs tumewapatia mda wa kucheza na hawajaonesha chochote so tuwape thank u na tuongeze mbadala wa kapombe na shabalala pia tupate back mzr wa kutusaidia kimataifa,pia tupate sain nzuri ya kiungo mkabaj na strike mwenye asili ya straike
Daah oy!! Ila kusema kweri Fredi Coublan anajuwa mpila kiukweri! Ila wachezaji aliokuwa akicheza nao walikuwa wagumu mno! Naomba mungu sana abaki tuone kazi yake hata kwa nusu msimu jamani namkubari saana hy jamaa!!!!!!