Ni kutoka kwenye basi la Wasanii wa bongofleva wakiwa safarini kwenye show za FIESTA tamasha ambalo linafanyika kwenye mikoa mbalimbali Tanzania sasa hivi.
Namkubali sana mchomvu kwa mashavu aliyowapa wana na ukizungumzia mziki wa tz hauwezi kuacha kumtaja mchomvu salut sana kaka nakubali voice yako pia watu wengi wamekopi sauti yako
shishi ata mwenyewe alishasema hajui English. usijaji watu wote kwa kumwona mtu mmoja watu wengi waliosoma Tanzania wanajua English tena vizuri kabisa.
Rusesa Wear English yako imekusaidia nn ? kwani lugha ya Taifa ya Tanzania ni kingereza tuache, mbona maisha yako hovyo na hicho kingereza chako hakijakusaidia...cchogo kweli wewe
ahahahahahahahha nimecheka sana msione tumekaa kimya mkaona kama vp mbona hatuulizi sasa ss tulikua tunamaswalai yetu tunauliza vp ahahahahahahahahahah dah nimecheka hatari
Mi nafikiri Shilole kama hawezi kuongea Kiingereza aongee kiswahili tutamwelewa tuu. Kuongea kiswahili ni utambulisho na pia ni ufahari. Anaweza kuongea kiswahili tuu.
Mtu wa nguvu millard ungefanya kama kuwa unatupa vipande kama hivi ambavyo huwa vina happen fiesta mkiwa safarini kwenye basi mie nafikiri vingemake headline sana mtu wa nguvu... kwan mastory kama haya nna maswali yake mashabiki tunaenjoy.. think about it
Namkubali sana mchomvu kwa mashavu aliyowapa wana na ukizungumzia mziki wa tz hauwezi kuacha kumtaja mchomvu salut sana kaka nakubali voice yako pia watu wengi wamekopi sauti yako
Adam jamaa nomaa!
nc
Daah nimemic fiesta tena Adam bhna
Mchomvu nakuelewa sana presenter upo vizuri na unakipaji Jombaa big up sana aisee sema nini hzi clip ziwe continuously basi msi ishie hapo tu
"She is my young brother"😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Apo u team haujaanza shilole
shilole ongea tu kiswahili
+Roger Mwinyi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmetisha mazee
Mungu we! ni shida kwa kweli!
adam noumaaa sanaaa a .town 100
Adam nomaaaa saaana
Au veep bhana
Shilole wala usijisikie vibaya iko siku utafika utaongea kingereza safi, waache waseme, iko siku watakuona unafanya interview BBC English.
*Abby Msa* Exactly my
Abby Msa Umeona Heeeee!!!!!
..:-C:'(,-):-\B-):O=-O:-$
@@saumuhassan1365 x
adam anazingua khaaa😂😂😂
Nina swali ujue au vipi bhana?
Yaani wasanii watanzania mnanipa raha sana zaidi ya raha.
adam ni tatz aseeeeeeeeee
GOD BLESS YOU ADAM. YOU ALWAYS MAKE ME HAPPY MA NIGGA
shilole anapenda kingeleza jitaidi utaweza au jipendekeze kwa wema na Vanessa kwakweli
Tanzania kweli English balaa! Njooni kenya tuwafunze moja mbili.
shishi ata mwenyewe alishasema hajui English. usijaji watu wote kwa kumwona mtu mmoja watu wengi waliosoma Tanzania wanajua English tena vizuri kabisa.
Watanzania wengi wanajua English vizur Sema huyo hajenda shule # kumbuka education is free of charge in Tanzania
+Fetrishaz Kidai nice mamy umemjibu poa coz kenya kiswahili yao ni mbovu but hajaiona ameona english ya tz
Rusesa Wear ndomana mtawaliwa na wekundu wa msimbazi kama unaona kingereza kinamaana kwako mbona unazeekea kenya chupi wew
Rusesa Wear
English yako imekusaidia nn ? kwani lugha ya Taifa ya Tanzania ni kingereza tuache, mbona maisha yako hovyo na hicho kingereza chako hakijakusaidia...cchogo kweli wewe
adam uko vizuri
*Kama unamkubali young killer msodoki gonga like*
Bro Adam funga kazi. Chekesha mbaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!!!
Shilole nakupenda sana she's ma young blaza hihihiiiii
blue amechekeka sana😂😂😂😂😂
Hivi shilole kuna ulazima uzungumze Kiingereza wakati hakipandi?
Ninja wangu blue kashapata mambo anacheeeka
dah Adam bana mecheka mpk machozi
da kingereza wito why don't we use kiswali as our nation language?
daaaah adamu ni tatizoooooooooo hahahahaaaaaa
adam katisha sana 😃😃😃
tok kiswahili ww shishi plzz
my braza👐👐👐
nc my blood
umenivunjaaa mbavuuuu kaka ww 😁😂😂😂😃😅😅
ila kweli, mbn kawa mweupe?
nimeipenda hiyo
we kaka noma unasifa mi nasubli swali nisikie we wafany ivyo khaaaaa nom san
She is my young brother .. 2020#Corona . hahaha
Noumaaa sanaaa imooo
Mchomvu anavutia kaya chooni walahi tena, alafu mbichi 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ata naw shi shi mbon unatumia mkorog pia🤨🤨🤨🤨🤨😐😐😐😐🤔🤔🤔🤔🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️?
Huyu Shilole kama hajui kingereza bora anyamaze ati she's my brother!! 😣😣
Gud
😂😂😂😂😂 mchomvu umenishinda tabia chaaaaaa!!
Ahsante ADAM! Hahahahahahahaaaaaaa
shilole anajitoaga ufahamu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ahahahahahahahha nimecheka sana msione tumekaa kimya mkaona kama vp mbona hatuulizi sasa ss tulikua tunamaswalai yetu tunauliza vp ahahahahahahahahahah dah nimecheka hatari
imamu mponda 😂😂😂😂😂😂
imamu mponda 😂😂😂😂
daah kweli kajikoboa
Rip Gardner 😢
Nomwa Sana
baba joniiiiiiiii tisha sana
Akikosekana teja we unafaa Sudii
shilole kweli rahaa
Au vp bhana duuuuuuuuuuuuuuuh mbav za ngap. 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Ahahahahhh...Kila mtu ana maswali yake binafsi
Adaam si kulaumu tatizo kitu cha Arusha kina kusumbua kichwaa
TV i
Au vip bana..!
C uyo Killer, c uyo Shilo, wote nawaonen mmekua wapotevu 2 so bera start loving yoselves na muachen kuharib MILI yenu bure!!!!!
hahahhahh mchovu nomaaaaa
Kati ya shilole na young killer sijui nani kamuumbua mwenzake!
hata form form hajariza utasikia befor
Shilole anaboaaaaaa sana!!!
Japhet Steven
Hahahahaha uwiii au VP bwana mbavu zangu mie
Adam Adam nakuona nakuona
shule si zipo si usome elim haina mwisho usisikie aibu kusoma km hv ambavyo unaropoka tu she is my young brother
Nna enjoy Mr blue anavyochek apo... Mchomvu motoo
i like
Shilole nenda English corse
Mr bluu jaman mbona uko ivyo sijakujua kabisaa mwe kama unakwashakoo
Mi nafikiri Shilole kama hawezi kuongea Kiingereza aongee kiswahili tutamwelewa tuu. Kuongea kiswahili ni utambulisho na pia ni ufahari. Anaweza kuongea kiswahili tuu.
She's my young brother
hahhahah Adam kiboko kbs
wanaelekea wapi hao?
motoni
+ibn Moses 😀😀😀😀😀
ibn Moses...hahaaa umenimaliza..
duh nami nimo
😂😂😂😂au vp bana....adam kivhwa chako ni kilobytes
taarifa
d ommy alishashtuka mwanzoni kuwa atakachofanya #adam ni kichekesho alishaanza kucheka kabla
Adam Adam jamani mbavu zanguuuuu duuuh
Mtu wa nguvu millard ungefanya kama kuwa unatupa vipande kama hivi ambavyo huwa vina happen fiesta mkiwa safarini kwenye basi mie nafikiri vingemake headline sana mtu wa nguvu... kwan mastory kama haya nna maswali yake mashabiki tunaenjoy.. think about it
nice
Nyccc
Kweli kanajichubua Aka katoto kama Mabatin kwenye Mafuriko
acha ushamba shilole kingereza hujui
hahahhahahah kuna mwenye swali
nazani wasanii watanzania awasomi English.😂😂😂😂 Pole kwenyu
Mbavu zangu😂😂😂😂😂🙌
Shishi utani unaofanana na ukweli sio mzuri ukizingatia ni kweli killer anajichubua
umechekesha kaka safi
Uyu kaka anamashauzi 😅😅😅swali aliulizwi
Young killer anaogopa demu
M
2024
😂😂😂😂ur very funny
mr blue aujui kucheka
Gosebert Kadimi we unajua
baba la baba Adam teh teh
hahahaaaaaa nouma umeongeza cku zang broo
Adam ni noumaaa
wachache sana ndo tumemwelewa adam mchomvuuuuu😁😁😁
She ........