Dah! Nimempenda sana Shishi Baby kwa kuwa real na kuwapeleka wenzake mpaka home manake wasanii wetu wengi wanapenda maisha fake tofauti na alichoonyesha Shishi baby. Much respect kwake
+SIR BOSCO 😂😂😂 alimuuliza young killer akazingua kusema kweli.ikabidi amwambie unapaka nachokipaka mie😁 kwakweli ukijiamini utaishi kwa amani sana kwenye hii dunia.maana hata alivyomchangamkia Nuh si km wengi tulivyodhani mwisho wa mapenzi si uadui
sijui nieleze vip jinsi ninavyo kupenda shilole wanadada wengi wanaficha masingila ya kwa lakini wee auko ivyo hongera my mswahi lakini una roho ya kizungu mungu akusimamie kwa kila ukifanyacho
She did a wonderful thing, yani hadi natamani kulia she bring a bongo flever home she made a history kwawana Igunga, Its so amaizing respect kwako SHILOLE
MashaAllah Shishi Bby Mungu akuzidishie tena na tena Amani na barka kwenye maisha yako maana wengi wasani sivirahisi kufanya kitu kama hicho mamy Wallah Allah akuzidishie huna majivuno😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏
Kwenyu ni kwenyu hata kama kibandani huezi sikilia aibu hata wazazi wawe aje huezi waficha.Hongera sana shishi mabadiliko ni mwanadamu hufanya mutumainie mungu utabadili nyumbani😍😍😍
Hongera Shishi kwa kuwa na courage lakini nakushauri ufikiri mara mbili huko nyumbani ukipeleka milioni 10 tu unabadilsha kila kitu maisha yanakuwa bora sana Duh... kweli maisha si kama tunavyo yaona jitahidi dada ake hiyo hali ya nyumbani inatisha.
Suhail Al Bastaki kwani kwa dadake ndio hawezi kutuma hizo 10millioni!?huyo dadake saa iyi ndiye mamake,sababu ndiye kamlea,mama yawo mzazi alifariki Shishi bado mdogo akiwa na miaka misaba(she was 7years old ),hapo ndipo kwao tu.
Shilole huwa unani bowa sna ila kwa hili ss nakupenda sna tena wewe ni msanii unae paswa kuigwa kwa hicho ulicho kifanya ushauri wangu kwako ni kwamba fanya kazi kama sehemu ya maisha yako naimani utafika mbali sna ongera sanaaaaaaaaaaa
respect to shishi coz ame show real life ya watanzania n were they came frm. wasanii igeni mfano mzuri toka kwa shilole ka show upendo kuwachukua na kuwapeleka kwa aliko tokea respect kwa hilo. wangekua wengne cjui ingekuaje.. appreciate u shishi
Katika vitu ambavyo nimeshangaa ni upendo wa ajabu sana alioufanya shilole na kudhihirisha nyumbani ni nyumbani hata kama pako vipi wengi sana hawawezagi hili jambo big up my ccter
Real life is good for you guys shishi is doing well.nuhu you have a few days to come up with shish coz u see if you want and you can get it if you like.look around life goes on.
Daaah Dada shishi mm comment zimeisha maaana zote Wamesha maliza waliokuwa Wakwanza but msisitizo aumkazo nikujenga home basi nimemaliza Nc Dada shishi 😍 love u mingimingi!!
Safi sana Shishi kwa ulichokifanya... Umeonesha tofauti yako na wasanii wengine ambao wanapaonea aibu kwao na kupatelekeza.... In short nimependa saaaaana ulichokifanya;
Dah! Nimempenda sana Shishi Baby kwa kuwa real na kuwapeleka wenzake mpaka home manake wasanii wetu wengi wanapenda maisha fake tofauti na alichoonyesha Shishi baby.
Much respect kwake
I'm
BARAKA MWAMWAJA sana sanaaa
yap
Ss unakuta ck wakifika wt walienda kuzika ndo unakuta tena wt kuadisia a bora wapajue kqbla hj pt shida
yaani ktk wasanii wasojali kbs ni shishi na wala hajali kbs mkataa kwao mtumwa mtu kwao mama
angekuwa mwingine wasingeenda
+SIR BOSCO. 😂😂😂 hawa ndo wanawake wa kuoa.sio Mwanamke akifika mjini anasahau ya nyuma
Binafsi nilivyokuwa namfikiria ni tofauti afu yupo na confidence kubwa ulimwona wakati anamchana Msanii .... kutumia mkorogo
+SIR BOSCO 😂😂😂 alimuuliza young killer akazingua kusema kweli.ikabidi amwambie unapaka nachokipaka mie😁
kwakweli ukijiamini utaishi kwa amani sana kwenye hii dunia.maana hata alivyomchangamkia Nuh si km wengi tulivyodhani mwisho wa mapenzi si uadui
SIR BOSCO
Nimeipenda sanaaaa..... kwa dada zetu nivigumu sana kufanya hv wanajidai wapo juu mjini tu
nakubali maamuzi
nakupenda shilole .... Mungu akupe hatua zaidi ya mafanikio... respect
sijui nieleze vip jinsi ninavyo kupenda shilole wanadada wengi wanaficha masingila ya kwa lakini wee auko ivyo hongera my mswahi lakini una roho ya kizungu mungu akusimamie kwa kila ukifanyacho
vizuri sana sister shishi, nyumbani ni nyumbani ,big up.hachana na hao masharo na masista duu ambayo wanavunga,we kamanda.
She did a wonderful thing, yani hadi natamani kulia she bring a bongo flever home she made a history kwawana Igunga, Its so amaizing respect kwako SHILOLE
Fact
Stanley Maganga
wengine hawaendi kwao mpaka wafariki
MashaAllah Shishi Bby Mungu akuzidishie tena na tena Amani na barka kwenye maisha yako maana wengi wasani sivirahisi kufanya kitu kama hicho mamy Wallah Allah akuzidishie huna majivuno😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏
Sifa Cycy_Bby igunga ndo mkoa gani jmn
Hgg
Shishi nimekupenda bure mpaka nimejifunza kitu
nyumbani ni nyumbani hatakama kichakani Mkataa kwao mtumwaaa nakukubali shishi babby
shishi baby...... home is sweet, usisahau ulipo toka ila usiishi maisha uliyotoka,
its something very awesome i respect u shishi bby
Joseph Masindi
Shilole mi nime kupenda saana huvungi mama kwenu ni kweni ni meipenda sana hiyo
mimi napenda pale Mr Blue amelala kwa lile godoro n chakula kakiweka godoroni... not only shishi but almost all of them wamekubali mazingiza
Nakukubali sana shish unaupeo sana mama
Kwenyu ni kwenyu hata kama kibandani huezi sikilia aibu hata wazazi wawe aje huezi waficha.Hongera sana shishi mabadiliko ni mwanadamu hufanya mutumainie mungu utabadili nyumbani😍😍😍
Shishi is so brave and strong coz most of our artists is so rare to see dem invite dem frens remote areas like dat
Waooo nimekupenda shishi
Huyu ndye msanii mkali mwenye utu wa udugu msahau kwao na mkataa kwao ni mtumwa,nadhan ni msanii wa kwanza kufanya hivi safi sana shishi bby kigoli
kwa mara ya kwanza naweka LIKE kwa hii video
Shishy baby una upeo wa kufikir
Gud
Mwamke huyu syo bshooo kabsa
i like it... it feels good to see how far u came from and the progress you have made in your life
Nimemuona gadina
Hongera Shishi kwa kuwa na courage lakini nakushauri ufikiri mara mbili huko nyumbani ukipeleka milioni 10 tu unabadilsha kila kitu maisha yanakuwa bora sana Duh... kweli maisha si kama tunavyo yaona jitahidi dada ake hiyo hali ya nyumbani inatisha.
nikweli kabisa 10 milioni inaweza kubadilisha vitu kibao hapo home kwao
Thabit Molly asha sema sikwao ni kwa dadake jamani
Suhail Al Bastaki kwani kwa dadake ndio hawezi kutuma hizo 10millioni!?huyo dadake saa iyi ndiye mamake,sababu ndiye kamlea,mama yawo mzazi alifariki Shishi bado mdogo akiwa na miaka misaba(she was 7years old ),hapo ndipo kwao tu.
Thabit Molly masidhi
😆😆
2019 shishi aiseeee safi dear hongera sanaaa ndio maana unasonga mbele na hivi ndio maisha yanavyotaka
u have done something very good shilole,,God bless u abundantly..
she is very very real...kwa hili umescore sana Shishi!!!
Sema Blue msela sana yaani kaamua kujiachia kabisa kwenye kigodoro chembamba namna ile
Wise Noizy noma San
😂😂😂😂
kumbukeni shilole hana wazazi kwa dada yake ndio laifu yake bravo shishi baby
shish we mkali love u so much u nver forget where u come from and that is a good thing u av done God bless ya so much wengine wafuate mfano huo
sana tu wanangu
NIMEKUWA AGAINST THIS GAL BUT KWA HILI NIMEKUMAHABA GHAFLA.BIG UP SHISHI.
Shilole huwa unani bowa sna ila kwa hili ss nakupenda sna tena wewe ni msanii unae paswa kuigwa kwa hicho ulicho kifanya ushauri wangu kwako ni kwamba fanya kazi kama sehemu ya maisha yako naimani utafika mbali sna ongera sanaaaaaaaaaaa
Mimi pia nimempenda sana. she is so open and real
this is so nice jaman Good job shishi nimemuona Amina tulisoma darasa moja wow nimelia
respect to shishi coz ame show real life ya watanzania n were they came frm. wasanii igeni mfano mzuri toka kwa shilole ka show upendo kuwachukua na kuwapeleka kwa aliko tokea respect kwa hilo. wangekua wengne cjui ingekuaje.. appreciate u shishi
Safi sn shishi ayo ndio maisha watu waige ukiwa star sio ndio ujiwekee juuusn big up kwako
Safi sana angekuwa mwingine angeficha kwao nyumbani ni nyumbani
Lucas Mhagama
Katika vitu ambavyo nimeshangaa ni upendo wa ajabu sana alioufanya shilole na kudhihirisha nyumbani ni nyumbani hata kama pako vipi wengi sana hawawezagi hili jambo big up my ccter
Real life is good for you guys shishi is doing well.nuhu you have a few days to come up with shish coz u see if you want and you can get it if you like.look around life goes on.
Kuanzia Leo mimi shabiki yako
love u shishi hustler woman keep it ip na mungu yu pamoja nawe love u sana sanaaa
shilole we ni mtu wa kipekee kabisa katika wasanii wa bongo mungu akubariki sana
big up saaaana shilole na mr mziwanda nuh amenona ama nimacho yangu love you kwamazuri nakusapot but kwamabaya siwezi kukusaport big up lov love
big up shishi nimeipenda sana very very nice east to west home is the best
Daaah Dada shishi mm comment zimeisha maaana zote Wamesha maliza waliokuwa Wakwanza but msisitizo aumkazo nikujenga home basi nimemaliza Nc Dada shishi 😍 love u mingimingi!!
Nimekupenda Sana Dada wasanii weng wakitoka Kimaisha huwa wanaficha makwaoo hongera
I almost dropped tears in this ishhh, sijui kwanini hata...I love reality....I MISS HOME!
safi sana dada umekuwa na roho yakujiamini sana, nyumbani ni nyumbani mungu akubariki ktk kaz zako
Uwazi ndo kitu cha msingi katika maisha 😍 you shishi
Big up shilole u r one in a Million superstar who never forget where she came from
hongera Dada kuna wengine hawapendi kujionyesha katika hayo mazingira ila ww big up siz
Shilole we ni mwanamke wa tofauti saaana shuw we ni bonge la dem by the way love you so much
shishi...am proud of u siz ..no one like u..aki uko real c kama wengine...
nimependa sana shilole kuwa muwazi hadi home like you shshi bby
Nakukubali zaidi ya maelezo shishi kwa hili wallah Allah akujaalie mengi mema Zaidi ...Ameen yarabil alamin +254
Mashallah mung akzdishie Dada shishi uko real xna
nampenda huyu dsada huwa hajivungi na nimkweli wengine wanajidai km hawajatoka vijijini
waoh ni gd thing ila ni vyema zile pesa unazozitumia kwa sherehe zisizona jina ukazitumia kujenga home
kijijini ukijenga vizuri unalogwa hahah, bola aache hvyo hvyo au aboreshe kidogo tu
MUHAMMED RASHID kweli kaka
Kani Veri hahahh
nikweri samtmmi
MUHAMMED RASHID kabisa
Real life not forget. God with u .shilole ..wa kwetu nyumban n nyumbani banaa
Vzr dada shishi cyo mtu wa kiki unaonyesha maisha halisi big up my.
Umetisha sana uko fresh .
kwa hilo shishi nakupa big up unajuwa wengi tuna fail kuwapeleka malafiki nyumbani hatuwezi nyumbani ni nyumbani tu hats kuweje hongera saana dadake
I never know you're this sweet shishi, but I love you for this
Gud she is proud of where she is from. East or West home is best,ametoka mbali. lakini si atleast ajaribu kufanya maendeleo kiasi pia nyumbani.
Ur among of da super women keep it up shishi👏👏
Shishi baby unajuwa mm nakukubali kinoma yaan unajiamini sana nafurahia sana uwepowako
Shishi nakupenda saaaaanaaaaaa wasichana wengine wanaonaga aibu kupeleka wenzao majumban kwao hongera shishiiiiiii
Kwanza mm nampongeza kwa kusubutu kufanya hv maan angekuwa mwingn asingesubutu ,,naamn atapaweka sawa tu kwao,napenda maisha yake ya ujasiri jmn
wabheja sana mwanike kommaga mungu akuambilije
kweri shirole bado anampenda nuh
basi atambue umuim wake maisha yaendereheee
Merci beaucoup pour votre aide
Mm nimeona hivyo
uko vzr sana dada nakupenda kwa kutokuwa na majivuno japo vitu unavyo mwaaaaaa
Hongera shishi kuanza na wenzako watamaliza😊 mtu kwao😙
Umefanya jambo la maana sana shishi,,,much love 💙💙💙💙💋💋💋💋
mkataa kwayo mtumwa nakependaje dda shishi mungu akutangulie kwa kila ufanyalo...mapenzi upofu shishi bby mrudue nuh jamani
Safii sana nyumban ni nyumban shilole nimekukubali mpka nashndwa kuelezea
Ila shishi ni mwanamke mpambanaji kinyama Mungu akubariki. Na hana makuu kabsaa yaani ni wachache sana wanaoweza kufanya hvyo
Dah,,,for real don judge a book by its colour,,this is amazing men
Shishi the fighter very inspirational jaman am inspired
Fanya uwajengee kamjengo dada Shishi. We mtu mkubwa bhana
hongera zako msema kweli mpenzi wa mungu, wengine hawawezi kupeleka mtu kwao
sina meng sana bt bigup my lovely Sister mana mkataa kwao ni mtumwa mbli nipata funzo juu yawew na nuhu
Sitaki nikufosi dada yangu mzuri ila ukipata hakiba wajengee nyumban nzuri ila nimependa uwazi wako
Yani shishi nakupenda bureeeee hujifichiii safi mrembo
shilole nimekupenda sana mkataa kwako huyo mtumwa
Da sality mama ndo maan mm nakupenda pig up my shishi beibye
Maua sama ilove u shishi nakupendaje
nimekupenda shishi. co huyu riamisa kupenda maisha mazuri wakati hana Elea. na ataishia kupangishiwa tu mama ake.
Shish nakupenda sana mama
safy sana shishi beby ikopouwa sana watapata tabu saanaaa
Shilole ongera sana naitwa coudra micharazo nimekipenda sana ilico kifanya Mkataa kwao mtumwa
Niiiiiiiice one shishi. umetisha
Safi sana Shishi kwa ulichokifanya... Umeonesha tofauti yako na wasanii wengine ambao wanapaonea aibu kwao na kupatelekeza.... In short nimependa saaaaana ulichokifanya;
nimeipenda hiyo.., umeonesha kitu tofauti
namshauri shilol Mungu akimjali ajenge kwao
Huu ni mfano wa kuigwa kwa wasanii na watu marufu wote mtuonyeshe makwenu mtokako ili tupate kujifunza
Safi sana shilole,nyumbani ni nyumbani hata kama ni kijijini
mmmmmmmmm mhu tunatoka mbali jamani du millard asante kwakutujuza mengi na mengi hakika tunajua vingi kupitia wew mungu akubariki
Jodein JMJ
Jodein JMJ
shishi hongera sana mkataa kwao mtumwa.wewe upo juu
shishi nimekupenda bure dadaangu,,uko very real safi sana nyumban ni nyumban
ni vizuri inatia moyo wenzie wanadai mjini ndiyo kwao mauti ya kuwakuta mhhh
Big up Dada shishi kwani niwatu wachache wenyekujionyesha makwao Kama hivyo du kweli mkataa kwao mtumwa
Good Shishi but fanya mpango uwajengee kamjengo
nimekupenda sana
Umeona ee lakini hata iyo kaijenga bado matengenezo
@@bahatisunga1642 poa poa
muhimu daa shishii .....mtu nikwao sikuzoteeee ...nakupa hongeraaaaaaaaa xnaaa
Nkuombe kitu shishi et, wainue hom hat kidogo waufurahie uwepo wako pa1 nao na mungu atakubark au vp
shishi ndo ninachokupendea
uko vzur Ccter shishi huigz maisha, love you
This is much bebeee shihiii nakukunda bhanaaaa 😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Nuhu mziwanda acha zarau dogo ulkua umpe jp big up lkn ushamba umefanya
Yani hata mie kanichefua sana
nakupenda kwa hili .well come to Canada shilole
hapa nisomo kubwa kwa namna tunavyoishi tusisahau tulikotokea.
nimekupenda sana na mungu akubariki kwa kuto jifanya