RAJABU ATAKA KULELEWA NA SHILOLE
Вставка
- Опубліковано 4 лют 2025
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Dogo anavipaji vingi mnoo
1)Confidence yake unexplainable
2)Anajua kuteka attention ya audience
3)Anajua kuimba hata asiposhinda atafika mbali asikate tamaa
4)Attention to details
5)Public Speaker
6)Charming not boring
7)Comedian
8)Knows times of being serious and joking time
9)Body language 99%
10)Smart❤
xo thanks mzee baba
Umemaliza🎉
11. Hundred 💯 of eyes contact
Umemalizaaaaa
Si ameshasema hii kazi anaiweza ndio maana kaiomba,hakika anaiweza kweli.
Nmempenda huyu jamaa anajua 😂😂😂
😂😂😂 he is very charming wish to see him again
Daaaah dogo anajuwa sana
Nimempenda bure anajua sana comedian and Singer❤❤
Nimeangalia zaidi ya mara moja
oya mwamba hataki kufungiwa na basataaa😂😂😂 dah sio kweli😅
Dogo anachangamsha na kwenye kuonyesha kipaj kafanya kweli, katisha bg up
Mchangamfu nimempenda 😂
Tulio mkubali rajabu gonga like 😂
Hahahaaa anavibaji 3 kuimba na kuchekesha na mitindo Ni 🔥🔥🔥
Huyu dogo atafika mpaka final kwasababu atakuwa anachangamsha kampu
Nimeangalia mara mbili mbili kwanza kateka attention ya majaji alaf kapiga bom manchuria kumalizia maiti 😅
😂😂😂😂shishi kimemramba, jamaa ywajua sana
Uyu jamaa na alieimba wimbo wa jay melody watakua wasanii wakubwa sana
Umetisha🔥mi nimekukubali
❤❤❤❤Rajabu ongera sana.Halafu duniani watu wawili wawili:yaan kama baba Nassibu daimond
Anajua sana😂
Mwana mitindo! Comedian and the Singer kipaji hicho
Ataweza kazi kweli au
Uyu jamaa alivyo ingia ingia nikajuwa wale comedia kumbe anakitu safi sana
dogo ana confidence sana,, I like it
Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤
❤❤❤❤dogo ametisha
😁😁😁kisha uyu dogo anaimba kwakweli sauti nzuri,aweke kwanza comedy pembeni kisha afanye kilicho mleta naoana kama atafika mbali kwenye BSS
Kaka Rajab ongera sana😂😂😂❤❤
Nmerudiaaa mpka bando limeishaa.....dogo alivojibu kaz anaiwezaaaa😂😂😂😂😂
100% Nampa zote Kwa Kweli mungu ambless! 🔥
Uyu jamaaa😂😂🔥🔥🔥
Talented singer
Huyu akitoboa atakuwa bonge la chawa 😂😂😂
😂😂
Aiseeee umetisha balaaaa
Yani mimi mpaka sasaivi bado nacheka😂😂😂😂😂 tangu saa moja na nusu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂yani nimecheka hadi machozi😅😅😅
Jamaa yupo vizuri aiseee🔥
Huyu kijana ni mmeru pure
Kajama kanaimba sana bwana ❤
Huyu jama noma sana aje na guitar kabisa atatisha kinomanoma!
His verry talented ❤😂😊
Nimekubali 1000%
Ambia shilole akupe kazi
Keep it up rajab
😂😂😂😂😂jamn wee kaka ww umenifurahisha
Hii imeenda😂😂😂😂
Mpaka rahaa😂😂
Dogo kauwa sio pouwa
Vaipu Kali sanaaaa
Una baya mwanangu Roja...😅😅😅😅
Adiwameshindwa kumuuliza ninihilo alilolivaa shingoni ninaning'inia 😂😂😂😂😂😂
Ndugu zangu kuna watu wanajua mpk wanapitiliza aisee😅
Diamond angemchukua huyu dogo anajua mpk kapitiliza
Ila rajabu
Namkubali sana mtu wangu
Yani dogo katisha hadi raha, huwa sina tabia yaku comment mpaka kanifanya ni comment 😂😂😂😂
Naiwedhaaaa😂😂 iyo iyo
😂😂😂😂ila wwwe
Kijana katisha saan 😅😅😅
😅😅😅😅😅😅Rojaaaa
Kauwa huyo kaka😂
Katishaaaaaaa
Watoto wa shishi wataolewa mama yao akifaliki.kwasababu wakuringana nao wanampenda mama yao. Shishi unapendwa
Anajuaaaaaa
Kachangamka adi Raha
Yani ukiona mpaka master J anacheka😂ujue sio poa
😂😂😂😂confidence yake tu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ana sauti nzuri
Hiiii bss ya mkoa gani please nataka kuangalia full
Bingwa ametisha
I love uyu kaka sichoki kumuagaliya
Confidence 98%
mamtu ya hivi darasan yanapiga kelele mwish wa mtihani kagonga one😂
lijamaa limeuwa mwanza na na mwisho akauwa kabisaaaa😅😅
Km mzee Abdul juma
my MoMA favorite song❤
Imebidi nirudie tena😂😂😂
Hhhh sema fogo anaongea mcheshi sana
Huuuu ni motooo
Anajua
nimerudiarudia afu nachekacheka kanikosha kwa kwel 😊
Aje na guitar 🎸
Wowowoow 🎉🎉🎉🎉🤸♀️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Dogo kafanana na mzee abdul baba Nasibu
😆😆🤝kweli kabisa
Si amesema anaitwa rajabu abdul
Jina lenyewe ni Abdul.mtoto wameze huyo.tutajuwa mbele siku zijazo
😂😂😂😂😂 hatali
Kweri kabisa wanafanana saana 🙌🙌👌👌
anajua huyu. hivi yuko wapi saiv?? alipita round two au aliishia apoapo round two..😀😀😀
Dogo anajua
Kipaj sana
He knows what he si doing
Mnemuach amalizie sasa😂
❤❤❤❤
bongo bhan
Jamaa anavipaji vingi
Kamsifia San 😂mpk wengine wakamaind
Waooow
Dah😂
Rajabu Abdul kama sura ya Mzee Abdul wa Diamond
Shishi mwenyewe kalegea kbs Et jina la Mume wangu hilooo huku anarembua kbs ase dogo umejua kuteka hisia za mtu uko vzr
🔥
Jamaaa sauti anayo
Mbna kafanana na dudulayo uyo
Dudulaayoo Nini?
Nahis ni baba ake c kasema hapo anaitwa rajabu abdul
Shishi ananyota ya watoto wake.wale wangekuwa wakwe kwake ndo wanampenda.dogo katisha
Shilole unazinguwa
Chaming
😂😂😂😂❤❤❤
😂😂❤
Bro utafungiwa na basata😂